Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape azomewa makambako

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 70 of 70
    1. #1
      tweve's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2011
      Posts : 273
      Rep Power : 480
      Likes Received
      60
      Likes Given
      196

      Default Nape azomewa makambako

      Akiwa makambako nape amekutana na zahama hiyo baada ya kukataa kuulizwa maswali na wananchi.

      Baada ya kuona wanamzomea na kuonyesha alama ya v inayotumiwa na cdm naye kawaonyesha alama ya matusi kuwajibu. Asema wanaohama ccm ni oil chafu azomewa, asema slogan ya m4c imekosewa ilibidi iwe movement for demokratic change, aambiwa hiyo ni ya ccm na si cdm. Leo wamepata aibu ya mwaka.

      Source ni mimi mwenyewe niliyekuwepo kwenye mkutano


    2. #61
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,685
      Rep Power : 2121
      Likes Received
      1157
      Likes Given
      1601

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Ngoja tumsubiri aje hapa jamvini mtaona atakavyojitetea na kutukana hapa!!!! Hili jahazi la sisimwewe lazima tukubali kuwa linazama!!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    3. #62
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,756
      Rep Power : 1930
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Quote By Radhia Sweety View Post
      In Japanese, Nape is form of a cancerous swelling affecting the upper part of the uterus.
      Radhia ulipotelea wapi? Au ban

    4. #63
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,914
      Rep Power : 1702
      Likes Received
      1366
      Likes Given
      284

      Default Re: Nape azomewa makambako

      kwa nini nape anahangaika mwenyewe?

    5. #64
      CHEMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : A TOWN
      Posts : 369
      Rep Power : 1936
      Likes Received
      58
      Likes Given
      19

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Nape nimemshauri sana huyu dogo,,,jitammbua...na utambue mbinu sahihi kwa sasa.nguvu ya chadema mmeitengeneza nyie wenywe.sasa hodi mpaka kwenye ngome zenu kusini,,,mkiweza kurekebisha uchumi hii game mnawin tofauti ya hapo hamna chenu,,,

    6. #65
      nderingosha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2011
      Posts : 863
      Rep Power : 1461
      Likes Received
      450
      Likes Given
      127

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Quote By Edson View Post
      ana ka msemo kake anasema ''ukitaka uendelevu wa zizi tazama ndama wake''........qwa qwa qwa qwa .......
      hivi hii misemo ya kihuni wanapangaga!! mwenzake baharia nae ana wake wa "biashara ya utumbo na harufu"..LOL
      ....real change begins with PEOPLE.......


    7. #66
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 673
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Quote By Tewe View Post
      Tumuamini nani? Kazomewa ama kapokewa na mpokezi mazuri? Msituchaga leteni picha kuthibitisha msemayo
      Kwani picha inatoa sauti au? Uthibitisho upi unaotaka?

    8. #67
      BONGOLALA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 5,403
      Rep Power : 1581
      Likes Received
      1187
      Likes Given
      194

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Makambako ni wajanja balaa hawawezi kuikumbatia ccm kamwe!

    9. #68
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,114
      Rep Power : 5815
      Likes Received
      1030
      Likes Given
      2878

      Default Re: Nape azomewa makambako

      CCM inaweza kujifananisha na nchi tajiri zinazoheshimu rasilimali na kutopenda starehe?
      hebu linganisha huyu waziri mkuu wa nchi tajiri na Pinda wa nchi maskini uone tofauti zilizopo
      ukweli uko pale pale CCM wametufikisha tulipo wametuibia vya kutosha wameuza nchi
      naona CCM na nape wanahaki ya kuzomewa kabisa

      huyu waziri mkuu nchi tajiri na usafiri wa baskeli.


      huyu ni pinda na magari ya kifahari.
      You may know me but you have no Idea who I am !

    10. #69
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,114
      Rep Power : 5815
      Likes Received
      1030
      Likes Given
      2878

      Default Re: Nape azomewa makambako

      naomba kukiri nimeishi na bado nipo nje ya tanzania sijaona vx mtaani zaidi ya vigari vidogo wala sijawahi ona msafara wowote
      mawaziri hata wabunge tunakutana nao kwenye train asbh wakienda kazini. mkuu wa chuo ninachosoma usafiri wake baiskeli
      tanzania hata katibu tawala, mkuu wa wilaya,mkoa,mawaziri nk wana tembelea vx za garama kubwa mwananchi wa kawaida
      anaishi maisha ya shida, hata wafadhili wanatucheka kwa hali hii.

      magari yote haya ni msafara wa PInda.hii sio haki
      Last edited by Lokissa; 6th June 2012 at 23:22.
      You may know me but you have no Idea who I am !

    11. #70
      mbise victor's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th March 2012
      Posts : 43
      Rep Power : 374
      Likes Received
      4
      Likes Given
      4

      Default Re: Nape azomewa makambako

      kama lisinde alitukana nakila mtu alisikia ila ccm wakasema no hakutukana ila alikua anakipamba chama je ni kweli mnategmea leo kuna mtu atkwaambia nape katukana? MNANICHEKESHA
      Lokissa likes this.

    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...