Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape azomewa makambako

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 70
    1. #1
      tweve's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2011
      Posts : 269
      Rep Power : 475
      Likes Received
      58
      Likes Given
      196

      Default Nape azomewa makambako

      Akiwa makambako nape amekutana na zahama hiyo baada ya kukataa kuulizwa maswali na wananchi.

      Baada ya kuona wanamzomea na kuonyesha alama ya v inayotumiwa na cdm naye kawaonyesha alama ya matusi kuwajibu. Asema wanaohama ccm ni oil chafu azomewa, asema slogan ya m4c imekosewa ilibidi iwe movement for demokratic change, aambiwa hiyo ni ya ccm na si cdm. Leo wamepata aibu ya mwaka.

      Source ni mimi mwenyewe niliyekuwepo kwenye mkutano

    2. Study Abroad

    3. #41
      mjomba wa kale's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 386
      Likes Received
      9
      Likes Given
      1

      Default Re: Nape azomewa makambako o

      Hajagundua kuwa akiwanyooshea kidole cha kati wananchi vidole vingine vinne kikiwepo na kile kinene zaidi gumba vinaingia kwake? Kweli ana....... Anavivumilia vyote hivyo!.

    4. #42
      wikolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 449
      Rep Power : 524
      Likes Received
      129
      Likes Given
      59

      Default Re: Nape azomewa makambako o

      Atakuja kukanusha tu hapa.

    5. #43
      Chiume's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th April 2012
      Posts : 48
      Rep Power : 368
      Likes Received
      15
      Likes Given
      2

      Default

      Hapana sasa mnakubuhu kwa uongo,simpendi Nape lakini kwa Makambako kafanya kitu sijaamini kama ni Nape huyuhuyu ninae mchukia. Katoka vijana wanasukuma gari yake kwa furaha leo wawadanganya watu. Mengine sawa lakini si la Makambako

      QUOTE=Milindi;4005850]Mkutano WA nape makambako waishia kwa nape kuzomewa na kuoneshwa alama ya chama pinzani.nape uzalendo ulimshinda akafungua kioo na kuonesha ishara ya mkono akiwa na maana kuwa wale wanaozomea wana...
      ...rwa. jiheshimu[/QUOTE]

    6. #44
      sir.JAPHET's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 608
      Rep Power : 474
      Likes Received
      90
      Likes Given
      43

      Default Re: Nape azomewa makambako o

      akome kulingaa, na bado atalijua jiji

    7. #45
      The Invincible's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2006
      Location : Online
      Posts : 1,943
      Rep Power : 1056
      Likes Received
      168
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Quote By Tewe
      Tumuamini nani? Kazomewa ama kapokewa na mpokezi mazuri? Msituchaga leteni picha kuthibitisha msemayo
      Unamuamini huyu 'chini kwa chini'? Huyu yupo hapo mtaa wa lumumba akisubiri buku yake kama malipo ya siku kwa kuposti *****.
      Watanzania mbumbumbu wamemchagua raisi dhaifu ajenge taifa la watu wasiojiamini, 2010/2015 - Tafakari

    8. Miaka 50

    9. #46
      Dangire's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : Dar
      Posts : 179
      Rep Power : 420
      Likes Received
      35
      Likes Given
      3

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Quote By tweve
      Akiwa makambako nape amekutana na zahama hiyo baada ya kukataa kuulizwa maswali na wananchi.baada ya kuona wanamzomea na kuonyesha alama ya v inayotumiwa na cdm naye kawaonyesha alama ya matusi kuwajibu.asema wanaohama ccm ni oil chafu azomewa,asema slogan ya m4c imekosewa ilibidi iwe movement for demokratic change ,aambiwa hiyo ni ya ccm na si cdm.leo wamepata aibu ya mwaka.
      Source ni mimi mwenyewe niliyekuwepo kwenye mkutano
      yaani gamba hili 'nepi' ndo wa kuwafundisha cdm cha kufanya na cha kuwaza? mbona haji na mipango ya kukiokoa chama chake!!

    10. #47
      Chiume's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th April 2012
      Posts : 48
      Rep Power : 368
      Likes Received
      15
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By webondo
      Jama tupeni picha tupate uhondo!
      Naleta picha soon jinsi vijana tena nawafahamu kabisa wa cdm wakisukima gari la Nape, kwa hili ntamtetea Nape

    11. #48
      Jakubumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Location : United states
      Posts : 1,146
      Rep Power : 713
      Likes Received
      298
      Likes Given
      123

      Default

      Quote By Suzie
      Sishangai maana CCM siku hizi mnaenda ki-reverse mkizomewa ndo mmeshangiliwa. Teh teh te teh sijui na hapa utasema nimecheka ama nimekucheka
      Hata mimi sishangai maana kwa ccm maandamano wanayaita mapokezi

    12. #49
      Jakubumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Location : United states
      Posts : 1,146
      Rep Power : 713
      Likes Received
      298
      Likes Given
      123

      Default

      Quote By Chiume
      Naleta picha soon jinsi vijana tena nawafahamu kabisa wa cdm wakisukima gari la Nape, kwa hili ntamtetea Nape
      Badala ungeziweka mda huu unasema soon, nenda kafanye fotoshop

    13. #50
      Mzizi wa Mbuyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 3,186
      Rep Power : 1267
      Likes Received
      530
      Likes Given
      403

      Default

      Quote By Suzie
      Sishangai maana CCM siku hizi
      mnaenda ki-reverse mkizomewa ndo mmeshangiliwa. Teh teh te teh sijui na
      hapa utasema nimecheka ama nimekucheka
      Hawana aibu, nikikumbuka siku membe alipozomewa uwanja wa taifa nilikuwepo uwanjani lkn kuna watu walikataa katakata kuwa hakuzomewa!

    14. #51
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,680
      Rep Power : 22519
      Likes Received
      6338
      Likes Given
      2831

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Nape ni stooge tu! Namfananisha na boya linalotumwa msitari wa mbele vitani ili kujaribisha kama kuna adui!
      Amepewa kazi ya kuwaaminisha watu kuwa maiti inaweza kufufuka na kuwaletea watu maendeleo...Ccm ni maiti!

    15. #52
      Bosco Ntaganda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : DRC- MSITUNI
      Posts : 489
      Rep Power : 466
      Likes Received
      64
      Likes Given
      63

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Ha ha ha, huyu kijana mwenzetu napelepe anachekesha kweli kweli

    16. #53
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1525
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Quote By Chiume
      Naleta picha soon jinsi vijana tena nawafahamu kabisa wa cdm wakisukima gari la Nape, kwa hili ntamtetea Nape
      Pia utuambie aliwalipa shilingi ngapi hao waliosukuma gari lake hilo.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    17. #54
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default

      Quote By Chiume
      Naleta picha soon jinsi vijana tena nawafahamu kabisa wa cdm wakisukima gari la Nape, kwa hili ntamtetea Nape
      Tafuta picha za songea haraharaka utupie hapa tuuzuge umma kumnusuru katibu mwenezi, anahaibika kaka.

    18. #55
      Alwayz on top's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 140
      Rep Power : 316
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default

      Mh! hlo nalo gamba livuliwe,.wasira kazomewa anasema walikua watano tu wamezomea wengne wameshangila yan hawa chama cha mafisi wameshachokwa tuwatoe kwa nguvu

    19. #56
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,160
      Rep Power : 2087
      Likes Received
      1223
      Likes Given
      313

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Quote By juu kwa juu
      tweve wewe si mkweli nape hajazomewa aliyekwambia amekudanganya mimi nilikuwepo hapa mkm. Mapokezi yalikuwa mazuri tu.
      sishangai ndo maana unajiita juu kwa juu
      ______________________________ _
      Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....

    20. #57
      PrN-kazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 2,207
      Rep Power : 5358
      Likes Received
      292
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By juu kwa juu
      tweve wewe si mkweli nape hajazomewa aliyekwambia amekudanganya mimi nilikuwepo hapa mkm. Mapokezi yalikuwa mazuri tu.
      hili liko wazi Kada yeyote lazima atetee.

    21. #58
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,298
      Rep Power : 1005
      Likes Received
      1290
      Likes Given
      521

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Quote By Daudi mchambuzi
      Kwa iyo aliwaonyesha wapiga kura dole la kati??
      Dah, nnauye jr kama ni kweli kazi unayo.
      Ila sishangai sana kwani wewe ni mmoja kati ya waasisi wa kifo cha ccm.


      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      Ndugu zanguni; ogopeni sana kiumbe kinachokaribia kukata roho kuingia mautini na hasa kama matendo yake wakati wa uhai wake yalikuwa ya mashaka. Kiumbe cha aina hiyo kiko tayari kufanya lolote ili kujinusuru lakini ndio hivyo tena siku "yenyewe" ikiwadia imewadia.

      Na ndipo ilipofikia CCM; matendo yake kwa taifa letu yamekuwa machafu ajabu; siku zake ilizoandikiwa kuishi ndio hivyo tena zimekwisha mtasikia na kuona kila kimbwanga. CCM walipofikia sasa hivi wako tayari kuropoka kila aina ya upuuzi ili kujinusuru. Suala la ukweli na amani ya nchi kwao sio issue tena; la muhimu watajiokoaje na kifo kinachowakabili!

      Narudia tena: AMANI YA TAIFA HILI ITAVURUGWA NA CCM wala sio na kabila, dini, au kanda fulani; kama ikitokea basi vitakuwa ni vichocheo tu vya CCM bali ibilisi halisi ni lichama lenyewe!

    22. #59
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,853
      Rep Power : 5948
      Likes Received
      798
      Likes Given
      227

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Nape Oil Chafu ina soko kubwa sana Kenya na Uganda kama unayo leta tukauze tujikomboe na huu waya!
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    23. #60
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,853
      Rep Power : 5948
      Likes Received
      798
      Likes Given
      227

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Nini Nape kipande kile Mwenyekiti wake alipopolewa mawe sembuse nape...watu wamechoka kudanganywa ebo!
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    24. FemaTV & Radio
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...