Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape azomewa makambako

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 70
    1. #1
      tweve's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2011
      Posts : 273
      Rep Power : 480
      Likes Received
      60
      Likes Given
      196

      Default Nape azomewa makambako

      Akiwa makambako nape amekutana na zahama hiyo baada ya kukataa kuulizwa maswali na wananchi.

      Baada ya kuona wanamzomea na kuonyesha alama ya v inayotumiwa na cdm naye kawaonyesha alama ya matusi kuwajibu. Asema wanaohama ccm ni oil chafu azomewa, asema slogan ya m4c imekosewa ilibidi iwe movement for demokratic change, aambiwa hiyo ni ya ccm na si cdm. Leo wamepata aibu ya mwaka.

      Source ni mimi mwenyewe niliyekuwepo kwenye mkutano


    2. #21
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,352
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3109
      Likes Given
      4232

      Default

      Quote By choleroad View Post
      nape, naamini bado kuwa wewe ni miongoni mwa wanasiasa wachache wenye uvumilivu na IQ ya juu kabisa ktka medali za siasa tuliokuwa nao TZ, lakini kitendo chako cha kutoweza kusoma alama za nyakati haswa wakati huu ambao cdm wanatumia madhaifu ya ccm kujiimarisha unanisikitisha sana. Na wewe unakubali kuwa kwenye siasa za kizamani za kina wasira makamba senior na wengineo? please nape WAKE UP, njoo na siasa za kishindan na kisasa zaidi haswa kwa kucheza pia na alama za nyakati na uhalisia wa kichwa vya watanzania wa leo
      .
      Mkuu hahahaa....IQ ya juu halafu anafanya siasa za Wasira?? Sasa ujuu uko wapi hapo??
      Au ulikuwa unaongelea ndugu zake wa kule Mahale mountains??

    3. #22
      Ditto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th August 2010
      Location : Johannesburg, South Africa
      Posts : 50
      Rep Power : 457
      Likes Received
      23
      Likes Given
      40

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Huwezi amini mda wote huu namsubiri jamaa aje apa kutupasha.. comments zake huwa zafurahisha sana

    4. #23
      Activist p's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th May 2012
      Posts : 40
      Rep Power : 365
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Asantee

    5. #24
      Radhia Sweety's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 1,413
      Rep Power : 0
      Likes Received
      691
      Likes Given
      4

      Default Re: Nape azomewa makambako

      In Japanese, Nape is form of a cancerous swelling affecting the upper part of the uterus.

    6. #25
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,191
      Rep Power : 596
      Likes Received
      137
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape azomewa makambako

      yule kula kulala tu akili za ukula kulala ni kama riz1


    7. #26
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,801
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      1044
      Likes Given
      163

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Si mchezo. Aende na Arusha..

    8. #27
      tweve's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2011
      Posts : 273
      Rep Power : 480
      Likes Received
      60
      Likes Given
      196

      Default

      Quote By juu kwa juu View Post
      tweve wewe si mkweli nape hajazomewa aliyekwambia amekudanganya mimi nilikuwepo hapa mkm. Mapokezi yalikuwa mazuri tu.
      inaonekana ulikuwepo kwenye mapokezi nasi kwenye mkutano. kwenye mapokezi leo mmekodi bajaji zote kwa sh elf 5 kwa ajili ya mapokezi ya nape ambapo sehemu ya mapokezi hadi uwanjani ni km mita 600 ,bajaji zilipofika uwanjani zote zilitoweka na watu walikuwa wachache sana.huu ndo ukweli wangu

    9. #28
      SILENT WHISPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 2,055
      Rep Power : 923
      Likes Received
      578
      Likes Given
      162

      Default Re: Nape azomewa makambako

      yeye change anayoijua ni yakidemokrasia tu....! hajui kuwa kuwa kuna changes kibao...! economical change, regime change,strategic change...etc..! Nepi ni nepi tu!

      M4C stands fora broader range of changes we need...including constitutional change..!
      MBUTAIYO likes this.
      POLITICIAN, ONE WHO SHAKES YOUR HAND BEFORE ELECTION AND YOUR CONFIDENCE LATER

    10. #29
      Milindi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd March 2009
      Posts : 219
      Rep Power : 568
      Likes Received
      45
      Likes Given
      253

      Default Nape azomewa makambako o

      Mkutano WA nape makambako waishia kwa nape kuzomewa na kuoneshwa alama ya chama pinzani.nape uzalendo ulimshinda akafungua kioo na kuonesha ishara ya mkono akiwa na maana kuwa wale wanaozomea wana...
      ...rwa. jiheshimu
      pono likes this.

    11. #30
      fered mbataa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th February 2012
      Posts : 240
      Rep Power : 418
      Likes Received
      34
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape azomewa makambako o

      pichaaaaa tuone mambo yalivyo

    12. #31
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,554
      Rep Power : 1065
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      621

      Default Re: Nape azomewa makambako o

      Na bado....juzi ametoka kuropoka hovyo na kuwakandya wapinzani safari ya kuwa mpinzani inaendelea....
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    13. #32
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,384
      Rep Power : 2663
      Likes Received
      3054
      Likes Given
      13989

      Default

      Kwa iyo aliwaonyesha wapiga kura dole la kati??
      Dah, nnauye jr kama ni kweli kazi unayo.
      Ila sishangai sana kwani wewe ni mmoja kati ya waasisi wa kifo cha ccm.

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

    14. #33
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,974
      Rep Power : 761
      Likes Received
      284
      Likes Given
      147

      Default

      Quote By Milindi View Post
      Mkutano WA nape makambako
      waishia kwa nape kuzomewa na kuoneshwa alama ya chama pinzani.nape
      uzalendo ulimshinda akafungua kioo na kuonesha ishara ya mkono akiwa na
      maana kuwa wale wanaozomea wana...
      ...rwa. jiheshimu
      hata mwanza alifanya hivyo hivyo!

    15. #34
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,249
      Rep Power : 2080
      Likes Received
      970
      Likes Given
      3966

      Default Re: Nape azomewa makambako o

      kama ungepata kupiga picha hiyo alama ya kidole ilikuwa pouwa sana

    16. #35
      Supervisor's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 336
      Rep Power : 505
      Likes Received
      111
      Likes Given
      6

      Default Re: Nape azomewa makambako o

      Nape njaa itamuua anakomaa na chama lilowashinda wenyewe. Utasikia nae atakuja na majibu kama ya 'sokwe'

    17. #36
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 593
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Nape azomewa makambako o

      Jama tupeni picha tupate uhondo!

    18. #37
      Amiliki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 1,530
      Rep Power : 780
      Likes Received
      738
      Likes Given
      33

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Quote By tweve View Post
      Akiwa makambako nape amekutana na zahama hiyo baada ya kukataa kuulizwa maswali na wananchi.baada ya kuona wanamzomea na kuonyesha alama ya v inayotumiwa na cdm naye kawaonyesha alama ya matusi kuwajibu.asema wanaohama ccm ni oil chafu azomewa,asema slogan ya m4c imekosewa ilibidi iwe movement for demokratic change ,aambiwa hiyo ni ya ccm na si cdm.leo wamepata aibu ya mwaka.Source ni mimi mwenyewe niliyekuwepo kwenye mkutano
      Nangojea kuliona gamba litakavyokuja mbio humu kukanusha. Maana kila kitu yeye sasa ameamua kukikanusha tu. Itafika mahali atakanusha kwamba yeye si mwasisi wa CCJ.
      Huku Magamba wakiendelea kusambaratishwa; Chadema Rahaaa!!!!! Si Rahaa!!!! WOTE: RAHAAAA!!!!!!!!!!

    19. #38
      tara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 392
      Likes Received
      61
      Likes Given
      97

      Default Re: Nape azomewa makambako

      Quote By tweve View Post
      Akiwa makambako nape amekutana na zahama hiyo baada ya kukataa kuulizwa maswali na wananchi.baada ya kuona wanamzomea na kuonyesha alama ya v inayotumiwa na cdm naye kawaonyesha alama ya matusi kuwajibu.asema wanaohama ccm ni oil chafu azomewa,asema slogan ya m4c imekosewa ilibidi iwe movement for demokratic change ,aambiwa hiyo ni ya ccm na si cdm.leo wamepata aibu ya mwaka.
      Source ni mimi mwenyewe niliyekuwepo kwenye mkutano
      wasiwasi wangu ni hayo maandishi mekundu , jamaa alikuwa hajatupia indian hemp kweli alipoyatamka..

    20. #39
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,384
      Rep Power : 2663
      Likes Received
      3054
      Likes Given
      13989

      Default

      Quote By Kiganyi View Post
      Hahahahahahahahahahaha!

      Le Mutuz hakumsindikiza??
      Le mutuz ana figure ya kifisadi, yani kabla ya kuongea tu wangemtupia mawe.

    21. #40
      Jakubumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Location : United states
      Posts : 1,214
      Rep Power : 730
      Likes Received
      312
      Likes Given
      130

      Default

      Quote By Daudi mchambuzi View Post
      Kwa iyo aliwaonyesha wapiga kura dole la kati??
      Dah, nnauye jr kama ni kweli kazi unayo.
      Ila sishangai sana kwani wewe ni mmoja kati ya waasisi wa kifo cha ccm.

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      Kama anaonyesha watu kidole cha kati kwanini wasimshushe kwenye gari? Kwani hii nchi ni yake peke yake? Tusiwaendekeze hao washenzi wametunyonya mda mrefu sana.

      Sent from iphone6 using my laptop

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...