Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: unapafahamu kwa mama ngoma??

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,411
      Rep Power : 967
      Likes Received
      585
      Likes Given
      143

      Default unapafahamu kwa mama ngoma??

      sasa hivi ocean road hamna vifaa vya kupimia salatani. wagonjwa wanaelekezwa waende kupatiwa huduma kwenye hospital binafsi mali ya mfanya kazi wa ocean road.
      Ndo maana hospital zetu hazina vifaa kwa sababu makusudi ili vifaa vikikosa serikalini madoctor wapate wateja kwenye hospitali zao binafsi.
      Hii hali sio nzuri na haina tija kwa watanzania.
      Lokissa and Kwetu Iringa like this.


    2. #2
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,121
      Rep Power : 5817
      Likes Received
      1037
      Likes Given
      2886

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      mmiliki wake ndio mkurugenzi wa ocean road
      hospitali ipo mwenge nyuma ya kammbi ya jeshi
      kama alinunua kwa fedha zake unataka ahamishie ocean road hicho kifaa?
      umejuaje kama hajapewa na wafdhili wake? ukiwa daktari ni rahisi sana kupata vifaa bure nchi za ulaya
      na uzuri havina kodi,nashangaa serikali kwanini inazembea kupata hivo vifaa nje wkt vipo.
      Kwetu Iringa likes this.
      You may know me but you have no Idea who I am !

    3. #3
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,863
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22555

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      Alisoma Ujerumani, alipoagiza vifaa vya serikali na yeye alichomeka contena zake mbili zikawa cleared na gvt zilipopelekwa kwake, wafanyakazi wakapiga kelele kwa kudhani ameiba vya serikali.

      Tatizo ni vinavyo haribika ni vile vya serikali, vya kwake haviharibiki hivyo wagonjwa kuelekezwa kwenda kupima kwake!.

      Nilichoka pale alipoulizwa hilo la kuelekezwa kupima nje aliruka kimanga!.

      Kiukweli tunalo tatizo la kimaslahi kwa madaktari wetu wanaopratice private!.

      Mashine ya Citi Scan na MRI za Muhimbili zilikufa kitambo!. Mgonjwa unaelekezwa kwenda kupiga Regency kwa 500,000 na ambulance yao 100,000. Ukifika kule unamkuta oparator ndiye yule yule wa Muhimbili kule ni part time!.

      Ukitibiwa Muhimbili ukijiona hujaridhika, unaelekezwa hospitali binafsi ya kwenda!. To your surprise unamkuta huyo ndio yule yule daktari wako wa Muhimbili!.

      Unaandikiwa dawa, unakuta Muhimbili hawana, yule pharmasist anakuelekeza duka la dawa la kuipata!.

      Mimi natumia kimashine cha TENS kufanyia phyisio pale Muhimbili. Ili kupunguza usumbufu wa kwenda yule therapist wako anakushauri akuagizie mashine yako awe anakuja kukufanyia home. Unamuuliza bei anakuambia ni US.$ 600, unaomba model number, una search kwenye net, to your surprise kumbe ni US $ 100! plus postage!. Yaani mtu unavuna US $ 500 nzima toka kwa poor sick person simply because yuko desparate!,

      Hata baadhi ya recomendation za India pia ni dili!.

      Pasco!.
      August, Bill, Dingswayo and 3 others like this.

    4. #4
      BIG Banned's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Banned
      Posts : 263
      Rep Power : 411
      Likes Received
      63
      Likes Given
      77

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      Kufa kufaana!!.
      dubu likes this.
      Vua GAMBA Vaa GWANDA

    5. #5
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,861
      Rep Power : 29104
      Likes Received
      12273
      Likes Given
      4935

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      Duh! Pasco umenikumbusha ndugu yangu mmoja ni supper specialist Arusha. Aliwahi kumuambia best friend wa mamangu anahitaji kuenda India. Nikagoma kuchangia nikasema recommendation ya India itaanzia Muhimbili. Akaja maskini, kufikia hosp wakatuambia ana kansa imesambaa mwili wote hata hakuna muda mrefu. Alifariki miezi 3 toka afike kwa matibabu. Kumbe yule ndugu ana commission yake kila akipeleka kichwa!

      Kama ni hukumu Mungu anahitaji change of plan. Akicheza hapati mtu, wote ni waovu!
      August and dubu like this.


    6. #6
      Globu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Location : Giningi
      Posts : 5,102
      Rep Power : 3359
      Likes Received
      572
      Likes Given
      37

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      Sasa mulitegemea madaktari wakale wapi? Centro Police au......?
      dubu likes this.

    7. #7
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,331
      Rep Power : 34416
      Likes Received
      10548
      Likes Given
      14624

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      Jaman hili sala la private hosp lishakuwa ni tatizo kabisa, nyingine hazitibu bali kuharibu kabisa hata wale wenye majina makubwa sijui ni ili wapate hela zaid? bora hata hapo kwa mama ngoma mimi kuna moja nilienda kibaha kwa DR BAKE lol nilichovuna Mungu ni shahidi.

      Despite sifa zote nilizopata nilikutana na madudu ya ajabu hosp ni mbaya kuliko choo cha gereza, iyo bei unakimbia usafi hakuna kabisa. Dr yeye tu hana msaidizi zaid ya mtu wa anesthasia. anaowafanyia upasuaji hawapitii kwenye zile taratibu za kawaida kama zinvyotakiwa like lab investigation kujua kama mgonjwa atahitaj nini in advance lol.

      % kubwa ya wagonjwa wanapata infection wanakuja ku end up na ma osteomlitis yasiyotibika kwasababu ya infection. wakifika huko Moi miguu inachomolewa ukibahatika ndo utibiwe kwa mamilion mengine lol maskini anashida sana.

      Hivi kweli wizara ya afya kwanini hamuwafungii watu kama hawa? na je kwa hapa kwetu unaweza kushtaki wapi case kama hizi?
      BAK, August, Dingswayo and 1 others like this.

    8. BAK is offline
      BAK
      #8
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,849
      Rep Power : 45018
      Likes Received
      8692
      Likes Given
      8758

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      Quote By gfsonwin View Post
      Jaman hili sala la private hosp lishakuwa ni tatizo kabisa, nyingine hazitibu bali kuharibu kabisa hata wale wenye majina makubwa sijui ni ili wapate hela zaid? bora hata hapo kwa mama ngoma mimi kuna moja nilienda kibaha kwa DR BAKE lol nilichovuna Mungu ni shahidi.

      Despite sifa zote nilizopata nilikutana na madudu ya ajabu hosp ni mbaya kuliko choo cha gereza, iyo bei unakimbia usafi hakuna kabisa. Dr yeye tu hana msaidizi zaid ya mtu wa anesthasia. anaowafanyia upasuaji hawapitii kwenye zile taratibu za kawaida kama zinvyotakiwa like lab investigation kujua kama mgonjwa atahitaj nini in advance lol.

      % kubwa ya wagonjwa wanapata infection wanakuja ku end up na ma osteomlitis yasiyotibika kwasababu ya infection. wakifika huko Moi miguu inachomolewa ukibahatika ndo utibiwe kwa mamilion mengine lol maskini anashida sana.

      Hivi kweli wizara ya afya kwanini hamuwafungii watu kama hawa? na je kwa hapa kwetu unaweza kushtaki wapi case kama hizi?
      Mkuu gfsonwin nchi yetu inatisha sana kusema kweli hospitali zetu hovyo, madawa fake, vifaa hospitalini hakuna kabisa. Kila siku ya Mungu unaomba wewe na wote wale uwapendao msiugue maana kule hospitalini badala ya kutibu kunaweza kukawa chanzo cha kumuongezea ugonjwa mgonjwa.
      August and gfsonwin like this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    9. #9
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,331
      Rep Power : 34416
      Likes Received
      10548
      Likes Given
      14624

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      Quote By BAK View Post
      Mkuu gfsonwin nchi yetu inatisha sana kusema kweli hospitali zetu hovyo, madawa fake, vifaa hospitalini hakuna kabisa. Kila siku ya Mungu unaomba wewe na wote wale uwapendao msiugue maana kule hospitalini badala ya kutibu kunaweza kukawa chanzo cha kumuongezea ugonjwa mgonjwa.
      huu ni ukweli kabisa BAK ila inamaana serikali chini ya tbs na tfda inafanya nini? mambo ya afya ni ya muhimu sana kwani ni gharama sana kutibu afya iliyoharibiwa, na pia ni kumpotezea sana mgonjwa muda wa kujenga taifa. Poor Tz utaskia tu ooh! Bakai hosp chafu lakin haifungiwi kwanini? mimi sielewagi hata kidogo maana ya haya.
      BAK likes this.

    10. #10
      BUBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Location : KIMANZICHANA
      Posts : 642
      Rep Power : 565
      Likes Received
      174
      Likes Given
      175

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      Mkuu Pasco mambo unayoyasema humu ni muhimu zaidi...na sina hakika kama serikali yetu inapo-promote private service providers kwenye sekta muhimu kamaya afya huwa inafahamu fraud kama hizi na sometimes zinaweza kugeuka kuwa subbotage (hujuma). Si ajabu vifaa vya umma vinawezaa kuwa tempereed with ili watu wakose msaada na kwenda kupata tiba kwenye hospitali/zahanati zao. But then unajiuliza is that ethcal?
      Quote By Pasco View Post
      Alisoma Ujerumani, alipoagiza vifaa vya serikali na yeye alichomeka contena zake mbili zikawa cleared na gvt zilipopelekwa kwake, wafanyakazi wakapiga kelele kwa kudhani ameiba vya serikali.

      Tatizo ni vinavyo haribika ni vile vya serikali, vya kwake haviharibiki hivyo wagonjwa kuelekezwa kwenda kupima kwake!.

      Nilichoka pale alipoulizwa hilo la kuelekezwa kupima nje aliruka kimanga!.

      Kiukweli tunalo tatizo la kimaslahi kwa madaktari wetu wanaopratice private!.

      Mashine ya Citi Scan na MRI za Muhimbili zilikufa kitambo!. Mgonjwa unaelekezwa kwenda kupiga Regency kwa 500,000 na ambulance yao 100,000. Ukifika kule unamkuta oparator ndiye yule yule wa Muhimbili kule ni part time!.

      Ukitibiwa Muhimbili ukijiona hujaridhika, unaelekezwa hospitali binafsi ya kwenda!. To your surprise unamkuta huyo ndio yule yule daktari wako wa Muhimbili!.

      Unaandikiwa dawa, unakuta Muhimbili hawana, yule pharmasist anakuelekeza duka la dawa la kuipata!.

      Mimi natumia kimashine cha TENS kufanyia phyisio pale Muhimbili. Ili kupunguza usumbufu wa kwenda yule therapist wako anakushauri akuagizie mashine yako awe anakuja kukufanyia home. Unamuuliza bei anakuambia ni US.$ 600, unaomba model number, una search kwenye net, to your surprise kumbe ni US $ 100! plus postage!. Yaani mtu unavuna US $ 500 nzima toka kwa poor sick person simply because yuko desparate!,

      Hata baadhi ya recomendation za India pia ni dili!.

      Pasco!.

    11. #11
      chakarikamkopo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 73
      Rep Power : 370
      Likes Received
      31
      Likes Given
      22

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      Quote By gfsonwin View Post
      Jaman hili sala la private hosp lishakuwa ni tatizo kabisa, nyingine hazitibu bali kuharibu kabisa hata wale wenye majina makubwa sijui ni ili wapate hela zaid? bora hata hapo kwa mama ngoma mimi kuna moja nilienda kibaha kwa DR BAKE lol nilichovuna Mungu ni shahidi.

      Despite sifa zote nilizopata nilikutana na madudu ya ajabu hosp ni mbaya kuliko choo cha gereza, iyo bei unakimbia usafi hakuna kabisa. Dr yeye tu hana msaidizi zaid ya mtu wa anesthasia. anaowafanyia upasuaji hawapitii kwenye zile taratibu za kawaida kama zinvyotakiwa like lab investigation kujua kama mgonjwa atahitaj nini in advance lol.

      % kubwa ya wagonjwa wanapata infection wanakuja ku end up na ma osteomlitis yasiyotibika kwasababu ya infection. wakifika huko Moi miguu inachomolewa ukibahatika ndo utibiwe kwa mamilion mengine lol maskini anashida sana.

      Hivi kweli wizara ya afya kwanini hamuwafungii watu kama hawa? na je kwa hapa kwetu unaweza kushtaki wapi case kama hizi?
      Pale kwa Dr Bake ni hatari sana.......mama yangu alikuwa ameambiwa afanyiwe upasuaji wa uti wa mgongo (discs). Nilivyo waona wagonjwa waliopasuliwa naye wanafanya post surgery treatment na bado hawajapona niliingia wasiwasi. Nikaamua kufanya utafiti nikawauliza watu mbalimbali....majibu niliyopata nikaahirisha nikamatafuta Dr. Mndolwa wa Muhimbili akanishauri vizuri tukamfanyia mgonjwa MRI pale Regency ikaonekana hakuna haja ya upasuaji isipokuwa mazoezi ya viungo. Sasa ni miezi nane mama yuko ok kabisa......namshukuru sana Mungu
      August, gfsonwin and anders batta like this.

    12. #12
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,331
      Rep Power : 34416
      Likes Received
      10548
      Likes Given
      14624

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      Quote By chakarikamkopo View Post
      Pale kwa Dr Bake ni hatari sana.......mama yangu alikuwa ameambiwa afanyiwe upasuaji wa uti wa mgongo (discs). Nilivyo waona wagonjwa waliopasuliwa naye wanafanya post surgery treatment na bado hawajapona niliingia wasiwasi. Nikaamua kufanya utafiti nikawauliza watu mbalimbali....majibu niliyopata nikaahirisha nikamatafuta Dr. Mndolwa wa Muhimbili akanishauri vizuri tukamfanyia mgonjwa MRI pale Regency ikaonekana hakuna haja ya upasuaji isipokuwa mazoezi ya viungo. Sasa ni miezi nane mama yuko ok kabisa......namshukuru sana Mungu
      aisee wewe ulikuwa na Mungu sana au sijui niseme ni mama ndo alikuwa na mungu, manake ungejichnganya kufanya tu basi angekuwa kilema maisha. Binafsi amenigharimu sana na kama siyo muhimbili mgonjwa wangu angekufa. lakin nashukuru sasa hivi amepona. Dr bake hosp yake inatakiwa ifungwe kabisa. inaua watu nenda mMOI wagonjwa wanauakuja kwaajili ya correctional ni wengi sana wametoka kwa baki.sipend hata kumsikia.
      August likes this.

    13. #13
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,121
      Rep Power : 5817
      Likes Received
      1037
      Likes Given
      2886

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      mkuu pasco hizi habari ni nyeti mbona hamzitoi kwa media wananchi wakajua ukweli
      kwani tunategemea nyie kuwa investigative journalist kuanika uozo.
      Last edited by Lokissa; 6th June 2012 at 23:40.
      Pasco likes this.
      You may know me but you have no Idea who I am !

    14. #14
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,111
      Rep Power : 636
      Likes Received
      261
      Likes Given
      279

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      Katika taarifa ya habari leo saa mili usiku, huduma za X RAY pale hospitali ya DR BARKE imesitishwa na kufungwa kabisa. wameonyesha majengo na sehemu yenyewe hapafai kabisa.
      August likes this.

    15. PhD is offline
      PhD
      #15
      PhD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Location : houston texas
      Posts : 2,667
      Rep Power : 1608
      Likes Received
      699
      Likes Given
      182

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      dr. prof. twalibu ngoma ana mbwembwe huyo na ana watoto wawili pia ni madaktari, ila nikiwa bongo land nilitibiwa na kupona kwenye hospitali yake pale
      They wiil disqualify you for the little weaknesses you have and they will never glorify you for the great strength you have shown, Phd- Houston Texas July 23, 2012

    16. #16
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,863
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22555

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      Quote By Lokissa View Post
      mkuu pasco hizi habari ni nyeti mbona hamzitoi kwa media wananchi wakajua ukweli
      kwani tunategemea nyie kuwa investigative journalist kuanika uozo.
      Mkuu Lokissa, investigative journalism, inahitaji guts, nilipokuwa young bila family, niliweza, sasa ni family man, nimeweka mbele maslahi ya family kwanza ndipo ya taifa yafuate. Sidhani kama kuna Watanzania amnapo japo wanakumbuka kuna mtu aliitwa Stan Katabalo, investigative journalism kwanchi zetu masikini zisizo na life insurance ni risk. Rafiki yangu Jerry Muro amerudi TBC na mtamuona atakuwa kajifunza!.

      Uandishi unaolipa zaidi ni kazi kama aliyofanya Salva kule Mtanzania na sasa alipo!.JK akimaliza, jamaa ni ubalozini!.
      August and Lokissa like this.

    17. #17
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,121
      Rep Power : 5817
      Likes Received
      1037
      Likes Given
      2886

      Default Re: unapafahamu kwa mama ngoma??

      mini nadhani uandishi ni wito pasco
      hivo unapaswa kujitoa mhanga kuokoa taifa lako. Ungeanika uozo wa huyu bwana wengi wangesalimika
      kwani yaonyesha kwa maksudi huyu dr anawatuma watu ktk hospital yake ili walipie pale
      na yawezekana pia kifaa hicho hapo ocean road kinafanya kazi.
      Inakuwaje chombo cha habari kiwaajiri bila kuwapa insurance?
      Acha woga na sidhani kama kuna ugumu mkubwa wa kupeleleza ocean road na hospital ya huyu bwana tena pale ukiwapa wafanyakazi wa hapo kiasi kidogo sana utapewa full data.
      USIOGOPE KWA AJILI YA KULINDA MASLAHI YA WENGI
      JITOE MHANGA KAMA YESU ALIVOKUFA KWA AJILI YETU
      FAMILIA YAO INALINDWA NA MUNGU NA SIO WEWE.

      Quote By Pasco View Post
      Mkuu Lokissa, investigative journalism, inahitaji guts, nilipokuwa young bila family, niliweza, sasa ni family man, nimeweka mbele maslahi ya family kwanza ndipo ya taifa yafuate. Sidhani kama kuna Watanzania amnapo japo wanakumbuka kuna mtu aliitwa Stan Katabalo, investigative journalism kwanchi zetu masikini zisizo na life insurance ni risk. Rafiki yangu Jerry Muro amerudi TBC na mtamuona atakuwa kajifunza!.

      Uandishi unaolipa zaidi ni kazi kama aliyofanya Salva kule Mtanzania na sasa alipo!.JK akimaliza, jamaa ni ubalozini!.
      You may know me but you have no Idea who I am !

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...