Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ajali mbaya yaua 11 Mbeya

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 51
    1. #1
      Ruhinda's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th August 2011
      Posts : 19
      Rep Power : 394
      Likes Received
      5
      Likes Given
      1

      Default Ajali mbaya yaua 11 Mbeya

      Kwa mjibu wa habari ambazo nimezipata,

      Inadaiwa watu zaidi ya 11 wamefariki dunia katika ajali ya gari la abiria aina ya Caoster inayofanya safari zake Mbeya Tukuyu hadi Kyela baada ya kugongana uso kwa uso na lori la mizigo lililokuwa likitokea nchini Malawi baada ya kudaiwa kufeli breki na kulivaa basi hilo mudasiyo mrefu.

      Taarifa kutoka kwa baadhi ya mashuhuda wamesema hali ni mbaya kutokana na kudaiwa kuna majeruhi wengi ambao wameumia vibaya na hali zao ni mbaya na kwamba kuna uwezekano wakupatikana vifo zaidi.

      Majeruhi wanaendelea kukimbizwa katika Hospitali ya rufaa mkoani Mbeya, taarifa zaidi baadaye

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      NICE LAMECK's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 209
      Rep Power : 401
      Likes Received
      26
      Likes Given
      37

      Default Re: Ajali mbaya yaua 11 Mbeya

      Jamani jamani Watanzania wenzetu poleni sana kwa maumivu mulionayo na kwa wale waliopoteza maisha Mungu azilaze roho za marehemu wote mahala pema peponi amen.

    4. #3
      Chipolopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2012
      Posts : 869
      Rep Power : 540
      Likes Received
      148
      Likes Given
      313

      Default Re: Ajali mbaya yaua 11 Mbeya

      Inasikitisha sana....

    5. #4
      Mupirocin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 1,562
      Rep Power : 806
      Likes Received
      523
      Likes Given
      408

      Default Re: Ajali mbaya yaua 11 Mbeya

      Poleni sana,

    6. #5
      Sting007's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th July 2011
      Posts : 215
      Rep Power : 439
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default Re: Ajali mbaya yaua 11 Mbeya

      Poleni sana Ndugu zetu.

    7. Miaka 50

    8. #6
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,927
      Rep Power : 5064
      Likes Received
      3203
      Likes Given
      2661

      Default Re: Ajali mbaya yaua 11 Mbeya

      Du Jamaa wa tukuyu wanatoa kafara hao!!!

    9. #7
      Mr.creative's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th August 2011
      Posts : 312
      Rep Power : 456
      Likes Received
      27
      Likes Given
      5

      Default Re: Ajali mbaya yaua 11 Mbeya

      Oh! Jesus Christ have mercy on them

    10. #8
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 776
      Rep Power : 515
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default Coaster yaua abiria 12 papo hapo uyole mbeya.

      Coaster, gari la abiria limegongana uso kwa uso na Lori la Fm Abri wa Iringa eneo la Igawawilo uyole na kuua abiria 12 papo hapo. Source mimi mwenye nilikuwa kwenye tukio.

    11. #9
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,056
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default Re: Coaster yaua abiria 12 papo hapo uyole mbeya.

      Pole sana kwa wahanga wote wa ajali. Ombi langu kwako, ni vizuri hii habari ingekuwa hoja mchanganyiko maana mambo ya ajali si siasa.
      The unseen is illustrated by the seen.

    12. #10
      Mwanawalwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 330
      Rep Power : 418
      Likes Received
      91
      Likes Given
      53

      Default Re: Coaster yaua abiria 12 papo hapo uyole mbeya.

      may their souls rest in peace dah ajali zimezidi

    13. MTK
      #11
      MTK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 936
      Rep Power : 4497
      Likes Received
      303
      Likes Given
      333

      Default Re: Coaster yaua abiria 12 papo hapo uyole mbeya.

      Quote By Havizya
      Coaster, gari la abiria limegongana uso kwa uso na Lori la Fm Abri wa Iringa eneo la Igawawilo uyole na kuua abiria 12 papo hapo. Source mimi mwenye nilikuwa kwenye tukio.
      May the almighty father rest the souls of the departed in eternal glory; Amen

    14. #12
      Mnyaturu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th December 2011
      Posts : 82
      Rep Power : 390
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Jamani vp wakazi wa mbeya?

      Tunasikia juujuu kuwa kunaajali mbaya imetokea maeneo ya igawilo mbona hamtujuzi?

    15. #13
      pera's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th July 2011
      Posts : 132
      Rep Power : 423
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default ajali imetokea mbeya

      wa2 10 wamefariki papo hapo

    16. #14
      Mnyaturu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th December 2011
      Posts : 82
      Rep Power : 390
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: ajali imetokea mbeya

      tupe full data.

    17. #15
      pera's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th July 2011
      Posts : 132
      Rep Power : 423
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default Re: ajali imetokea mbeya

      wanaume 6 wanawake 4

    18. #16
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,167
      Rep Power : 870
      Likes Received
      316
      Likes Given
      719

      Default Re: Jamani vp wakazi wa mbeya?

      Umesikia kutoka wapi?

    19. #17
      SIMBA WA TARANGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2012
      Location : Kapugi-Tukuyu
      Posts : 976
      Rep Power : 562
      Likes Received
      209
      Likes Given
      150

      Default Re: Ajali mbaya yaua 11 Mbeya

      Imenishtua hii, R.I.P marehemu.

    20. #18
      Cul Naf's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 372
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Jamani vp wakazi wa mbeya?

      Kweli kuna ajali imetokea maeneo ya igawilo barabara ya kwenda kyela. Lori limefeli break na kwenda kuligonga gari ya abiria aina ya coaster,watu 8 wamekufa hapohapo na wengine kujeruhiwa vibaya.

    21. #19
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,439
      Rep Power : 975
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1811

      Default Re: Ajali mbaya yaua 11 Mbeya

      INANIUMA Sana!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    22. #20
      Asnam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Location : Yutong
      Posts : 2,618
      Rep Power : 11181
      Likes Received
      1637
      Likes Given
      1170

      Default Re: Ajali mbaya yaua 11 Mbeya

      Mungu azipumzishe roho za marehemu,tatizo hatupendi kupeleka gari service ndo maana kila siku ajali haziishi,ajali zingine zinaepukika jamani.
      "Quality is always better than quantity. That's why the people I call true are few."

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...