Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 41
    1. #1
      silent lion's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 196
      Rep Power : 408
      Likes Received
      29
      Likes Given
      0

      Default Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      Wadau kama mnavyojua leo ndio maadhimsho ya miaka 60 tangu Elizabeth II atawazwe kua malkia wa Uingereza.

      Sasa kuna kitu kimoja nimekikumbuka leo na naomba kwa mwenye kumbukumbu atujuze.

      Nilipokua mdogo nilikua nasikia eti yule Ex Rais wa malawi hayati Hasting Kamuzu Banda alikua ni daktari binafsi wa Malkia. Na kazi yake kubwa ilikua ni kutibu sehemu ya uzazi (nyeti) ya huyo Queen.

      Sasa Waingereza kwa kuhofia Dk Banda asije kula tunda, ikabidi wampe sharti la kuhasiwa. Na yeye akatoa sharti kwamba sawa ila apewe Urais wa Malawi. Wakakubaliana and the rest is history.

      Jee wenzangu habari hii ni ya kweli?
      Waberoya likes this.


    2. #2
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,729
      Rep Power : 2030
      Likes Received
      1697
      Likes Given
      1697

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      Hii story nilishaisikia lakini ilikuwa tofauti kidogo.
      Inasemekana kuwa Malkia alikuwa ni mgonjwa na daktari pekee wa kumtibia alikuwa ni Banda.
      Ugonjwa ulikuwa sehemu 'mbaya' ndipo kwa kutomwamini daktari huyo mweusi wakapeana masharti ya kumwasi.
      Naona si kweli kwa sababu zingeweza kutumika njia nyingine za kumwepusha Banda kula tunda.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    3. #3
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1746
      Likes Received
      1519
      Likes Given
      2835

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      sijui nani huwa anazitunga.....
      peoples power likes this.
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    4. ALF is offline
      ALF
      #4
      ALF's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 94
      Rep Power : 432
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      je hayo mambo yalifanyika lini? Sababu banda ana mtoto nafikiri anaishi Afrika Kusini. Au alihasiwa baada ya kuwa na mtoto?.

    5. #5
      IPECACUANHA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2011
      Posts : 1,114
      Rep Power : 644
      Likes Received
      229
      Likes Given
      51

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      That is a MYTH


    6. #6
      silent lion's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 196
      Rep Power : 408
      Likes Received
      29
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By ALF View Post
      je hayo mambo yalifanyika lini? Sababu banda ana mtoto nafikiri anaishi Afrika Kusini. Au alihasiwa baada ya kuwa na mtoto?.
      Mkuu kumbuka Banda alizaliwa 1898 na elizabeth alitawazwa kua Malkia mwaka 1952 yaani Banda akiwa na miaka 54. So inawezekana ikawa kweli.

    7. #7
      MwalimuZawadi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2007
      Posts : 623
      Rep Power : 727
      Likes Received
      50
      Likes Given
      3

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      Wangekuwa walimkorokochoa miaka hii, mbegu zingewekwa kwenye friji. Wait a minute, walimkorokochoa ili iweje, maana kuna mambo mawili hapa; mbegu na kisafirisha mbegu. Walilenga nini zaidi?
      Sent from my Nokia rinGo using JamiiForums

    8. #8
      silent lion's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 196
      Rep Power : 408
      Likes Received
      29
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By MwalimuZawadi View Post
      Wangekuwa walimkorokochoa miaka hii, mbegu zingewekwa kwenye friji. Wait a minute, walimkorokochoa ili iweje, maana kuna mambo mawili hapa; mbegu na kisafirisha mbegu. Walilenga nini zaidi?
      May be both

    9. #9
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,522
      Rep Power : 24929
      Likes Received
      2234
      Likes Given
      1829

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      Hivi inawezekana kweli malkia augue kisha Dr. awe ni Banda, yaani Ulaya nzima akosekane aje kupatikana Afrika labda kama ni miti shamba.
      dizbap and abunura like this.

    10. #10
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,053
      Rep Power : 14671
      Likes Received
      2955
      Likes Given
      2099

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      Uongo mtupu.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    11. #11
      nduu/mamaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Location : AROUND THE WORLD
      Posts : 2,274
      Rep Power : 1015
      Likes Received
      559
      Likes Given
      183

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      Akili za mbayuwayu changanya na za kwako.......

    12. #12
      dizbap's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th November 2009
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 96
      Rep Power : 506
      Likes Received
      49
      Likes Given
      47

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      Lisemwalo Lipo! Si unajua tena maneno haya bwana.....!
      Remember what is unbecoming to do is also unbecoming to speak of.

    13. #13
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,402
      Rep Power : 5162
      Likes Received
      3345
      Likes Given
      2738

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      Propaganda zile kama zile story za nyerere na kawawa funika kikombe!!

    14. #14
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,579
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      672
      Likes Given
      884

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      Hata mm nilishayasikia hayo, isipokuwa ni uzushi kwani mgonjwa hatibiwi na Dr mmoja bila ya nesi.
      Sasa wazungu watamwachaje Banda na Malkia

    15. #15
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      ni uongo
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    16. #16
      Angel Nylon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 879
      Rep Power : 654
      Likes Received
      151
      Likes Given
      66

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      hata mi nlisikia

    17. #17
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,182
      Rep Power : 27036
      Likes Received
      8458
      Likes Given
      17777

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      Kwa miaka ile uvumi huu ulivyoenea ilikuwa ni kweli kabisa, kwa sababu huo ndio ulikuwa mwisho wa uwezo wetu wa kufikiri............

    18. #18
      Nasolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2008
      Posts : 987
      Rep Power : 846
      Likes Received
      92
      Likes Given
      36

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      Hizi habari zina dalili zote kuwa ni za kutunga na kuunganisha unganisha, kwa hiyo ni za uongo na uzushi tu

    19. #19
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,863
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22555

      Default Re: Stori ya kamuzu Banda na Malkia Elizabeth wa Uingereza

      Habari hizi zinaweza kuwa ni za kutungwa ili zilikuwepo. Watungaji sio sisi.

      Nilichosikia mimi ni hivyo hivyo kuwa Hastings alikuwa the best gyno na ndie alikuwa gyno wa qeen.

      Kabla haja muatend alikuwa akipigwa nusu kaputi ili kutunza usalama wa malkia. Sasa kuna siku kiwango kilizidi hivyo kumfanya jamaa akawa importent.

      Ili kumpooza ndipo Malkia akampa zawadi koloni lake la malawi. Ndipo akatafuta jina la Kiafrika la Kamuzu Banda! na kujiita rais wa maisha.

      Hakuzaliwa Malawi, hakuwa Mmalawi, hakuzungumza lugha yoyote ya kiasili ya Malawi zaidi ya Kiingereza, alikuwa na mke zuga ila hakuwa na mtoto. Hakuna kumbukumbu zozote za kihistoria kuonyesha Hasting alizaliwa wapi na asili yake ni wapi bali alikuwa mtoto wa familia ya waliokuwa watumwa huru.

      Mimi niliwahi kutembelea kaburi lake liko nje kidogo ya jiji la Lilongwe!.

      Ukiondoa Jo Burg na Cape Town, Lilongwe ndio mji uliojengeka kwa modern planning kuliko mji mwingine wiwote barani Africa South of Equator,
      Ndahani likes this.

    20. #20
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,191
      Rep Power : 596
      Likes Received
      137
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Saint Ivuga View Post
      ni uongo
      Kipindi nipo darasa la 5 mwaka 96 kuna jamaa alikuwa muongo sana pale shule ya msingi vingunguti 'A ndo alitushushiaga uzi huu. Dah yule jamaa sitamsahau

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...