mtoto wa kipalestina anasaidiwa na wapita njia baada ya kupigwa bomu katika mguu wake na wanajeshi wa Israel.
Attachment 55299
mtoto wa kipalestina anasaidiwa na wapita njia baada ya kupigwa bomu katika mguu wake na wanajeshi wa Israel.
Attachment 55299
Sema ukweli hata kama ni chungu.
Last edited by majorbuyoya; 4th June 2012 at 10:51.
mshamba wewe,unajua mayahudi asili yao nani? Au kwasbbu walishi palestina basi ni haki yao,ukweli ni kuwa uyahudi dini na sio kabila kwa miaka takriban 2000 kabla ya hapo mayahudi walikuwa wachache na kabila,asili yao ni iraq kaskazini,unaposema israel ilitawala uanjua watu wangapi wametawala pale???????
Unajua Kabla ya mayahudi watawala walikuwa nani? Au wewe unataka kusema mayahudi walitawal palestina tangu mwanzo wa dunia?
unajua kuna waarabu wayahudi? Unajua kuwa watu wadini mbalimbali wameishi pamoja na mayahudi hapo jerusalem? Au unachotaka kusema mayahudi walikuwa na taifa likawa linatawala?
Kama kuishi hapo kwa muda tu ni kudai haki mbona marekani(rafiki na mtetezi mkubwa wa israel) hawarudishi ardhi kwa wahindi wekundu ambao ni ardhi yao ya asili???
Mheshimiwa shida ya watu humu ndani huwa wanadhani mayahudi ni ardhi yao peke yao kwasbb kwasbb ya kitabu chao cha dini,na kusahau kuwa kuna imani nyingi sana sio ukristu tu.
Hivi wakristo kwa nini hawafuati dini ya Wayahudi kama wana wa-admire hivyo !?
mhh dunia inaenda mwisho..
Swali kwa mleta mada mpaka huyu mtoto anapigwa bomu na majeshi ya Israel alikuwa anatokea wapi au alinifanya nini mpaka yakamkuta???Huenda alitaka kuwaua kwa kuwa walikuwa wanaamini ni mtoto kumbe ni Kagaidi ngoja apate kichapo na hapo katia akili mwenyewe kudadadeki kama asemavyo yule mbunge **** wa Magamba,lusinde Gamba Livingstone
Last edited by Mahmood; 4th June 2012 at 05:08.
Sema ukweli hata kama ni chungu.
Sema ukweli hata kama ni chungu.
ritz hebu nisaidie Waisrael ni dini gani vile!?.....maana binafsi sijui Waisrael ni dini gani!!
Mahmood tunaomba picha za Syria ili uwaoneshe Members hapa JF ndio tujuwe wewe kweli unatetea haki na si unafki.
UDINI UMEWAFANYA WATANZANIA KUWA VERY ILLOGICAL KULIKO KIPINDI CHOCHOTE KILE. Lakini haya ni matokeo ya malezi mliyopewa vijana wa kisasa. Yaani usichangie mada mapaka kwanza tujue wewe ni dini gani ili tuone kama tukuunge mkono ama la. Taifa liko katika sekunde za mwiiisho.
Back to the point. Kwanza kabisa narudia tena, katafiti maneno "collateral damage" na "legitimate target." Kisha utumie mtazamo huru kuona uhalali wa mbinu wanazotumia jamaa zako kudai huo uhuru. Ndio sasa urudi kuchangia thred hii ukiwa umefunguka mawazo. Sitaki udini hapa, twende kwa facts tu. Hawa wapalestina licha ya haki zao zoote wanazodai ni wajanja sana. Mbinu wanazotumia (powerful graphics) zinaonekana kufanikiwa kwa kiasi fulani kwa vile tu watu ni wavivu wa kutafiti mambo. Hebu tazama mama huyu kitendo anachomfanyia mwanae wa kumzaa:
Halafu toa maoni yako juu ya picha hizi pia:
mabinti waliofuzu kujitoa mhanga huko Palestina.
Hebu na tujadili sasa nafasi ya watoto hawa katika uwanja wa mapambano.
The glory of Christianity is to conquer by forgiveness - William Blake
Hapo mashariki ya kati mbona panaiumiza sana dunia kichwa???
eti ulishawahi kuwa na mama? kama umewahi( naamini umezaliwa kawaida) basi wewe utaona haki zote za mama kufanyia mwanae hivo,usaliti kwenye kugombania uhuru sio kitu cha kawaida na mama kufanya kitendo kama hicho ujue kuwa imemuuma saaaaana.mara ngapi plo wanabembeleza ata kurudishwa kwa mipaka ya 1967 lkn israel anapotezea.mimi ni jibu hili swali kwanini israel na marekani hawakubali kumtambua hamas atakama amepita KIHALALI? alafu wana wafungia boda,hamas akijitetea basi utasikia magaidi.
naoana mbishi sana,kukubali eti kurusha mabobu kama vile mtu anashamba lake anamwagia dawa mimea ni sawa? kwa syria fasta watu wanadai kwa palestina vp hapo
na kama FACTS NI PICHA haya google tushindane Attachment 55440 wapo bizi kuchora makombora unadhani watakuwa na huruma hawa,funguka na wewe au kufunguka kwako ni pande moja?
GOD IS GREAT
Mkuu kama huelewi picha zinaongea zaidi ya majungu yanayopigwa midomoni. Na ndio maana mwanzisha thread ali-google hiyo picha ili kuwahadaa watu kama wewe. Au unafikiri aliipiga Gaza hiyo picha? Vita vya wapalestina na waisraeli na zaidi ya unavyodhani wewe. Hao unaowatetea wanatumia watoto wao kama human shield. Halafu wewe unapoteza nguvu zako kuandamana huku.
Hivi na wewe wawezasema kuwa una mama? Kweli kabisa mama yako badala ya kukaa akiomboleza kwa uchungu mtoto wake kuuawa, anaanza kuipiga mateke maiti ya mwanae aliyembeba miezi 9 tumboni! halafu eti unajidai kupigania uhuru ni jambo gumu sana, kwa staili hiyo kweli? Hii ni roho gani? Kwa hiyo mpalestina akiuawa na mwisraeli it's a media issue, akiuawa na HAMAS ni safi tu. You're kidding me! Acheni propaganda za images, face the facts.
The glory of Christianity is to conquer by forgiveness - William Blake
IF NOT US, WHO? IF NOT NOW, WHEN?
WaTanzania tu watu wa ajabu sana. Mleta mada kaweka picha bila ya kusema kaitoa wapi ila amekuwa hodari kudai kuwa huyo mtoto ni mPalestina na kapigwa bomu na waisraeli na wote mnaamini na mnatoka povu mdomoni kuwaalani waIsraeli. Kama ni kweli basi atupe source ya hiyo picha unless yeye mwenyewe alikuwepo kwenye tukio.
Google image search inaonesha kuwa huyo mtoto ni wa Iraq na hilo bomu ni muendelezo tu wa harakati za watu wa Iraq kuuana wenyewe kwa wenyewe.
Kwa habari zaidi tembelea hapa Latif Yahia Blog.: Inside the Iraq War.
Follow Us Here