Naibu Amiri wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) Azzan Khalid Hamdan amewasili leo katika uwanja wa ndege wa Zanzibar akitokea Oman. Sheikh Azzan ni miongoni mwa viongozi wanaotafutwa na Jeshi la Polisi.
Baada ya kufika uwanja wa ndege tu amekwenda nyumbani kwake na kufika nyumbani kwake huko mfenesini amekuta nyumba yake imeathirika kutokana na mabomu yaliopigwa wakati yeye akitafutwa na jeshi la polisi
Sheikh Azzan amekwenda kutoa taarifa kwa jeshi la polisi kuhusiana na kadhia aliyoikuta nyumbani kwake na pia kuulizia iwapo yeye ni miongoni mwa wanaotafutwa na jeshi la polisi.
Baadhi ya maoni ya wakaazi wa Zanzibar kuhusu ujio wa naibu amiri wa JUMIKI na taarifa za kutafutwa kwake na Jeshi la Polisi.
- Nurdin Moh'd Hao polisi bora wamuache patakuja kuwa hapatoshi bure.
- Juma Awadhi hawana lolote hao vibaraka tu
Salim Seif maandamo akapokewe?
Juma Awadhi hawana lolote hao vibaraka tu na insha-allah tutaomba dadaetu utujaze huko badae hali ilivokua lkn hao wanaokamata mashekh watapambana na ALLAH mwnyw!
Masoud Khamis Karibu nyumbn Sheikh wetu jidai unawatu wakufanaweye
Mohamed Jabir Allah kwa hakika hatokuwa pamoja na wao na mwenyeezimung awalinde viongozi wetu wote wa harakati mpaka kieleweke. Lengo lao tayari tumekwisha lielewa na m/mungu atupe nguvu za pamoja inshaallah. Mungu atawahukumu hapa hapa duniani kabla ya yaumulkiyama. Mwenyezi mungu tupe umoja zaidi katika kudai HAKI YETU.
- Ali Baba Mukifanya mchezo na sheikh wetu pataruka kivumbi
- Jamal Mohamed huyu ndio ustadh wa kunukuu maneno ya karume
- Jamal Mohamed simba wetu huyo kamanda
- المجاهد الكندي Msianze fitna, huyu ni sheikh wetu ambae 2namuaminia kama sheikh Msellem, Farid n Mussa Juma.
My take
Katiba ya Jamhuri inatoa haki ya kila mwananchi kuzungumzia fikra zake na kutoa maoni yake katika kila jambo, liwe linahusiana na siasa, afya, elimu, miundo mbinu na hata muungano ILA haki hiyo haimpi mwananchi kutenda jambo ambalo linaweza kuhatarisha usalama wake mwenyewe, usalama wa jamii inayomzunguka na taifa kwa ujumla.







Reply With Quote

Follow Us Here