Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mbunge chadema aweka wazi `sikukwenda bungeni kuruka juu ya viti na kucheza dansi`

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Alagwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 41
      Rep Power : 360
      Likes Received
      4
      Likes Given
      7

      Post Mbunge chadema aweka wazi `sikukwenda bungeni kuruka juu ya viti na kucheza dansi`

      Mbunge wa jimbo la Mbulu Mh Mustapha Akonay amewataka wananchi wa jimbo la Mbulu kuacha siasa Chafu kwani haina msingi wowote mbele ya jamii na kuongea mambo pila ya kujua msingi wake na taratibu za utendaji kazi wa kiongozi hii ni baada ya watu wasio eleweka kuanza kusambaza maneno ya siasa ambayo hayana msingi kwa jimbo la mbulu.

      Aidha Mh Akonay alibainisha kuwa changamoto zilizo kwanye jimbo la Mbulu ni tofauti na Changamoto za Ubungo kwani kwa sasa wananchi wa Mbulu wanataka barabara na maji wakati watu wa ubungo wanamahitaji yao tofauti na wa Mbulu na hivyo hata utendaji wa kiongozi ni lazima uwe tofauti kwani kwa sasa yupo katika harakati za kuwezesha mitandao ya simu kuleta huduma karibu na jamii lakini kwa ubungo au arusha wabunge hawawezi kudai swalla la mawasiliano kwani tayari wanayo katika majimbo yao

      Na Paul Alagwa - Mbulu Manyara

    2. Miaka 50

    3. #2
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      592
      Likes Given
      76

      Default Re: Mbunge chadema aweka wazi `sikukwenda bungeni kuruka juu ya viti na kucheza dansi`

      Jukumu la mbunge ni kuishauri na kuisimamia serikali. Hawajui???

    4. #3
      leroy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Posts : 327
      Rep Power : 587
      Likes Received
      89
      Likes Given
      94

      Default Re: Mbunge chadema aweka wazi `sikukwenda bungeni kuruka juu ya viti na kucheza dansi`

      Quote By Alagwa
      Mbunge wa jimbo la Mbulu Mh Mustapha Akonay amewataka wananchi wa jimbo la Mbulu kuacha siasa Chafu kwani haina msingi wowote mbele ya jamii na kuongea mambo pila ya kujua msingi wake na taratibu za utendaji kazi wa kiongozi hii ni baada ya watu wasio eleweka kuanza kusambaza maneno ya siasa ambayo hayana msingi kwa jimbo la mbulu.

      Aidha Mh Akonay alibainisha kuwa changamoto zilizo kwanye jimbo la Mbulu ni tofauti na Changamoto za Ubungo kwani kwa sasa wananchi wa Mbulu wanataka barabara na maji wakati watu wa ubungo wanamahitaji yao tofauti na wa Mbulu na hivyo hata utendaji wa kiongozi ni lazima uwe tofauti kwani kwa sasa yupo katika harakati za kuwezesha mitandao ya simu kuleta huduma karibu na jamii lakini kwa ubungo au arusha wabunge hawawezi kudai swalla la mawasiliano kwani tayari wanayo katika majimbo yao

      Na Paul Alagwa - Mbulu Manyara
      Aliyemwambia watu wa ubungo hatutaki Barabara na maji nani?
      A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people.

    5. #4
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      592
      Likes Given
      76

      Default Re: Mbunge chadema aweka wazi `sikukwenda bungeni kuruka juu ya viti na kucheza dansi`

      Kamanda Akoonay timiza majukumu yako ya kibunge, CCM wambea!

    6. #5
      Mopalmo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 425
      Rep Power : 517
      Likes Received
      51
      Likes Given
      43

      Default Re: Mbunge chadema aweka wazi `sikukwenda bungeni kuruka juu ya viti na kucheza dansi`

      Hao wananchi nadhani ni wale wanaodhani kazi ya mbunge ni kuwagawia wananchi pesa anazozipata kwenye vikao,huo ni ujinga wa hali ya juu

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Kigogo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,195
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1232
      Likes Given
      313

      Default Re: Mbunge chadema aweka wazi `sikukwenda bungeni kuruka juu ya viti na kucheza dansi`

      hii ya kuruka ruka kwenye viti sio anampiga dongo Sendeka huyuu

    9. #7
      Bado Kidogo 2015's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 186
      Rep Power : 389
      Likes Received
      58
      Likes Given
      11

      Default Re: Mbunge chadema aweka wazi `sikukwenda bungeni kuruka juu ya viti na kucheza dansi`

      Wajiulize miaka yote hiyo chini ya CCM wamevuna nini mpaka ifikie kumzoda namna hiyo mbunge huyo ambaye hana hata miaka mitatu.

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...