Nyie kila mkilala Willy,mkiamka Willy,hakuna kazi za kufanya
Nyie kila mkilala Willy,mkiamka Willy,hakuna kazi za kufanya
Mkuu hoja hujibiwa kwa hoja. Great thinkers maana yake ni kufikiri na kudadavua mambo na wala si matusi. Hivi Willy angekuwa anatumia jina kama unalotumia wewe (disguised) ungepata wapi matusi hayo ya kumtukana yeye na baba yake?
Nadhani ni vyema tukawapa haki zao hawa wenzetu ambao ni Verified Users kwa kuwa wamethubutu kujitokeza hadharani wakati waengine tunapiga risas huku tukiwa vichakani na hatuonekani. Kuna thread kama tatu za kumshambulia Willy, nadhani hii si haki kwa kuwa mashambulizi yenyewe si mashambuliz yenye hoja za kufikirisha bali matusi na kejeri.
Tujisahihishe JF isionekane ni kijiwe cha kutukanana.
CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.
watu mna stress za maisha humu ndani dah...wivu,chuki..sijui huyu mtoa mada ni mzanzibari
Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde
One man's good fortune is another man's misfortune
Pasco well said. Nahisi kuna njama za makusudi za kuichafua JF ili ionekane ni kijiwe cha matusi na wala si pahala ambapo ni chemichemi ya hoja zinazotikisa na kuangalia mustakabali wa nchi yetu. Hivi mtu anaamka na kuanza kumshambulia mwingine bila sababu, hii inatusaidia nini hapa kwenye hii forum? Kama mtu ana bifu na mwenzake atumie PM wamalizane.
CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.
JF tujitahidi kuachana na kuwajadili watu wa kawaida kabisa kama kijana William Malecela, mwacheni ale maisha kwani ni kijana permanent. Lets leave him alone.
Kimbunga,
Hongera kwa busara yako!
Angalizo lakini kwa yafuatayo:
- WJM si member pekee aliyetoka hai(come out live) wako wengi tu. Hembu jiulize kwa nini yeye tu anashambuliwa(kama ni kweli anashambuliwa)
- Binafsi nimemgundua kuwa ni mtu aliyebadiilka sana taoka ''arejee'' nyumbani. Sijajua ni kwa nini
- Naye si haba kushambulia au kutetea upuuzi
Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te
Huyu jamaa ni kilaza sana. Umbo lake na akili yake haviendani! Hongereni wabunge kumpiga chini ubunge wa east africa
Wakati akiwa @NY, nilikuwa nadhani ni mtu wa maana kama MMM. sasa nilipomuona bungeni anaomba kura za EALA na alipokosa hizo thread anazoanzisha, nimegundua WILLY NA KIBONDE ni sawa kasoro Kibonde ni mtangazaji na Willy ni baharia.
Uovu wa siku moja, unaondoa wema wa MWAKA MZIMA
hapa atumshambulii ila tunauliza hizi siasa za utumbo kwanini anashiri nani mwenye makosa na kwanini ashiki kama ajasema hivyo aje akanushe
Le Mutuz, Le Baharia, Le Big Show @ New York City ha ha ha ha ha ha ha!!!
This hommie is very friendly lakini watu mnatafuta jinsi ya kumfanya mbaya. Anyway, ilisimwa kuwa mti wenye matunda ndio utakaopigwa mawe.
"To greed, all nature is insufficient"
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Nakubalina na PASCO,
Ila kama kweli imefika Wilium anasema siasa za TZ in Utumbo basi na sisi tunaofanya haya mageuzi humu nchini tutakuwa na matatizo kwa mujibu wa Wilium kama mleta uzi atathibitisha hilo...
Unajua tatizo letu ni kwamba mtu anakuwa na malengo Binafsi na nafasi hizi za kuongoa watu... Swali langu ni kwamba kwa nini mara nyingi watu wanapogombea na kushindwa katika mazingira yeyote huishia kutoa maneno ya ajabu? na kutokwa na mate mdomoni? Huu ndiyo ule Ubinafsi ambao hautakiwi...
Kwani ni Lazima wewe uwaongoze wananchi? Kama hawakutaki ni lazima wewe? kwanini mtu asionyeshe juhudi binafsi ili akigombea tena achaguliwe?
Wiliuma alishindwa kwa sababu ya Mfumo Mbovu wa uchaguzi nchi na Rushwa ya kutisha ndani ya CCM... sasa kwanini asikilaumu chama chake cha CCM na waliotoa Rushwa?
Nashauri tutumie lugha ya busara kidogo..
“Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"
haya ndio W J Malecela aliyoyasema nanukuu tarehe 28 may mimi mwenyewe nimeamua kuingia kwenye biashara ya UTUMBO YANI SIASA sijawai kuogopa harufu yake kwa hiyo nani kasema tuyaeke kwa mapana na marefu nani kawakera watanyania
nani kawakera watanzania kama siasa ni utumbo yeye si aendelee kuwa bahari tunataka majibu kutoka kwakwe ya utumbo wa siasa ni upi
WILLIAM ANALETA UTANI NA WATANZANIA MAISHA HAYA NI MAGUMU SABABU YA CCM,KWA SABABU KINAONGOZA KWA MANUFAA YA WANA CCM TU,NDIO MAANA WALISEMA CCM INA WENYEWE NA WENYEWE NI CCM NA TANZANIA INA WENYEWE NA WENYEWE NI PEOPLE'S POWER.SUKITA ILILIWA NA WANACCM TANZANIA IMEUZWA NA MKAPA MWANA CCM SASA WATU WANCHUKIA UBADHILIFU WA CCM NA MAKADA WOTE HIVYO MALECELA HUPONI HUMO.M4C FOREVER.
Huyu Wille katuchoka na uku akumbuke safari yake kwenda Dodoma ndio ilipoanzia hivi Ana undugu na Lusinde
IDDI AMIN ALICHUKIWA KWA KUWA DIKTETA NYERERE ALIPENDWA KWA KUWAPIGANIA WANYONGE MANDELA HATASAHAULIKA KWA KUKATAA UBAGUZI CCM INAKATALIWA SABABU YA UFISADI NA WILLIAM UNCHUKIWA KWA KUOGEA PUMBA
Follow Us Here