Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 69
    1. #1
      king86c's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 36
      Rep Power : 375
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default



    2. ngwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th April 2011
      Posts : 443
      Rep Power : 499
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Nyie kila mkilala Willy,mkiamka Willy,hakuna kazi za kufanya

  • #22
    Kimbunga's Avatar
    JF Platinum Member Array
    Join Date : 4th October 2007
    Location : Kisiwani Juma
    Posts : 7,472
    Rep Power : 6167
    Likes Received
    3035
    Likes Given
    1015

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Quote By king86c
    Tokea nimeanza kusoma maelezo yake uku ndani naona ni mtu ambaye akishindwa anatapata kama kuku aliyekatwa shingo angalia ndani NDIYO Ameanza .. .ata mzee wako alikosa nafasi ya kugombea urais kwa maneno yake matatizo yako inabidi ungalie kwanza ndani ya chama changu kuna wasafi au nayazungumza namini kuwepo jamvini ukizungumza kuhusu Mbowe ameanza biashara miaka mingi alafu wewe unakumbuka baba yako
    aliwambia wananchi wake wale pumba kama kuna njaa kwahiyo sikutofautishi na yeye kwakuwa katika uwaziri mkuu wake ameifanyia nini Tanzania wewe imefika wakati unashiriki kwenye siasa ya utumbo unavyodai hiYo ni dharau kubwa kwa watanzania na pia nikulize swali kwanini unashiriki siasa za utumbo ?
    Mkuu hoja hujibiwa kwa hoja. Great thinkers maana yake ni kufikiri na kudadavua mambo na wala si matusi. Hivi Willy angekuwa anatumia jina kama unalotumia wewe (disguised) ungepata wapi matusi hayo ya kumtukana yeye na baba yake?

    Nadhani ni vyema tukawapa haki zao hawa wenzetu ambao ni Verified Users kwa kuwa wamethubutu kujitokeza hadharani wakati waengine tunapiga risas huku tukiwa vichakani na hatuonekani. Kuna thread kama tatu za kumshambulia Willy, nadhani hii si haki kwa kuwa mashambulizi yenyewe si mashambuliz yenye hoja za kufikirisha bali matusi na kejeri.

    Tujisahihishe JF isionekane ni kijiwe cha kutukanana.
    chama and ycam like this.
    CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

  • #23
    mtotowamjini's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 23rd April 2012
    Location : None of Your Business
    Posts : 4,531
    Rep Power : 1262
    Likes Received
    1109
    Likes Given
    28

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    watu mna stress za maisha humu ndani dah...wivu,chuki..sijui huyu mtoa mada ni mzanzibari
    Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

    One man's good fortune is another man's misfortune


  • #24
    Kimbunga's Avatar
    JF Platinum Member Array
    Join Date : 4th October 2007
    Location : Kisiwani Juma
    Posts : 7,472
    Rep Power : 6167
    Likes Received
    3035
    Likes Given
    1015

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Quote By Pasco
    Humu jf tuna vichaa wengi sana japo sio mpaka waokote makopo!.

    Kama Willy amesema mahali siasa za Tanzania ni siasa utumbo, mleta mada alipaswa kwanza kutuonyesha huo utumbo aliusemea wapi, post au kama ni fb au kwenye blog yake ndipo ushushe lawama, kulaumu tuu bila kuonyesha chanzo cha hizo lawama, nao pia ni ukichaa na sio lazima uokote makopo!.

    Pamoja na shutuma zao, naombeni sana kila mtu awe judged by his/her own merit!. Sio haki kumshutumu mtoto kwa makosa ya baba yake!. Huku sio kumtendea haki!.

    Pasco!.
    Pasco well said. Nahisi kuna njama za makusudi za kuichafua JF ili ionekane ni kijiwe cha matusi na wala si pahala ambapo ni chemichemi ya hoja zinazotikisa na kuangalia mustakabali wa nchi yetu. Hivi mtu anaamka na kuanza kumshambulia mwingine bila sababu, hii inatusaidia nini hapa kwenye hii forum? Kama mtu ana bifu na mwenzake atumie PM wamalizane.
    Ndahani likes this.
    CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

  • #25
    Mpitagwa's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 10th February 2012
    Location : Dar es Salaam
    Posts : 927
    Rep Power : 552
    Likes Received
    319
    Likes Given
    204

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    JF tujitahidi kuachana na kuwajadili watu wa kawaida kabisa kama kijana William Malecela, mwacheni ale maisha kwani ni kijana permanent. Lets leave him alone.

  • Study Abroad

  • #26
    Safari_ni_Safari's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 5th October 2007
    Location : Kibaruani
    Posts : 11,880
    Rep Power : 24131
    Likes Received
    4611
    Likes Given
    2624

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Quote By Kimbunga
    Mkuu hoja hujibiwa kwa hoja. Great thinkers maana yake ni kufikiri na kudadavua mambo na wala si matusi. Hivi Willy angekuwa anatumia jina kama unalotumia wewe (disguised) ungepata wapi matusi hayo ya kumtukana yeye na baba yake?

    Nadhani ni vyema tukawapa haki zao hawa wenzetu ambao ni Verified Users kwa kuwa wamethubutu kujitokeza hadharani wakati waengine tunapiga risas huku tukiwa vichakani na hatuonekani. Kuna thread kama tatu za kumshambulia Willy, nadhani hii si haki kwa kuwa mashambulizi yenyewe si mashambuliz yenye hoja za kufikirisha bali matusi na kejeri.

    Tujisahihishe JF isionekane ni kijiwe cha kutukanana.
    Kimbunga,

    Hongera kwa busara yako!

    Angalizo lakini kwa yafuatayo:


    1. WJM si member pekee aliyetoka hai(come out live) wako wengi tu. Hembu jiulize kwa nini yeye tu anashambuliwa(kama ni kweli anashambuliwa)
    2. Binafsi nimemgundua kuwa ni mtu aliyebadiilka sana taoka ''arejee'' nyumbani. Sijajua ni kwa nini
    3. Naye si haba kushambulia au kutetea upuuzi

    Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


  • #27
    Papaya's Avatar
    Senior Member Array
    Join Date : 2nd March 2012
    Posts : 108
    Rep Power : 385
    Likes Received
    21
    Likes Given
    0

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Huyu jamaa ni kilaza sana. Umbo lake na akili yake haviendani! Hongereni wabunge kumpiga chini ubunge wa east africa

  • #28
    Bitabo's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 27th September 2011
    Posts : 1,375
    Rep Power : 661
    Likes Received
    445
    Likes Given
    261

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Wakati akiwa @NY, nilikuwa nadhani ni mtu wa maana kama MMM. sasa nilipomuona bungeni anaomba kura za EALA na alipokosa hizo thread anazoanzisha, nimegundua WILLY NA KIBONDE ni sawa kasoro Kibonde ni mtangazaji na Willy ni baharia.
    Uovu wa siku moja, unaondoa wema wa MWAKA MZIMA

  • #29
    king86c's Avatar
    Member Array
    Join Date : 4th February 2012
    Posts : 36
    Rep Power : 375
    Likes Received
    4
    Likes Given
    0

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    hapa atumshambulii ila tunauliza hizi siasa za utumbo kwanini anashiri nani mwenye makosa na kwanini ashiki kama ajasema hivyo aje akanushe

  • #30
    ZeMarcopolo's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 11th May 2008
    Posts : 7,119
    Rep Power : 5022
    Likes Received
    2371
    Likes Given
    2204

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Le Mutuz, Le Baharia, Le Big Show @ New York City ha ha ha ha ha ha ha!!!

    This hommie is very friendly lakini watu mnatafuta jinsi ya kumfanya mbaya. Anyway, ilisimwa kuwa mti wenye matunda ndio utakaopigwa mawe.
    Ndahani likes this.
    "To greed, all nature is insufficient"

  • #31
    Ndahani's Avatar
    JF Gold Member Array
    Join Date : 3rd June 2008
    Location : Somewhere
    Posts : 9,645
    Rep Power : 4015
    Likes Received
    2940
    Likes Given
    5063

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Quote By Kimbunga
    Pasco well said. Nahisi kuna njama za makusudi za kuichafua JF ili ionekane ni kijiwe cha matusi na wala si pahala ambapo ni chemichemi ya hoja zinazotikisa na kuangalia mustakabali wa nchi yetu. Hivi mtu anaamka na kuanza kumshambulia mwingine bila sababu, hii inatusaidia nini hapa kwenye hii forum? Kama mtu ana bifu na mwenzake atumie PM wamalizane.
    Attention inahama kutoka kwenye hoja kwenda kwenye individuals. Pengine ni kwa bahati mbaya au kwa makusudi. Who knows?
    We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
    Ralph Waldo Emerson

  • #32
    mamajack's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 21st May 2012
    Posts : 1,153
    Rep Power : 582
    Likes Received
    275
    Likes Given
    71

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Quote By Remmy
    That is too radical.. Ni uhuru wa mawazo, na yeye ndo alivyoona, nami nakubaliana naye...kwanini mtu uhubiri ujamaa wakati unaishi kibepari? Ni unafiki mkubwa.....
    Hafu wewe unavyomlinganisha na babake kushindwa ubunge waona unaakili? Au ulivyojenga hoja, hata isiyo na mpangilio unajiona kichwaaa, hahahaaaaa....watu bwana..
    wewe pia ni kilaza kama yeye,huku hataku hoja zisizo na msingi,kama vipi aende fb alaaaaaaaaaa.historia haifi ndo maana tunamfananisha na dingi ake,kama vipi aprove ustarabu wake,alfu kunawtu mnapenda kuwasemea watu hasa watoto wa mafisadi humu,duh sijui mnapata vijisent.

  • #33
    STEIN's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 29th August 2010
    Location : Arusha
    Posts : 1,341
    Rep Power : 714
    Likes Received
    306
    Likes Given
    156

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Quote By Pasco
    Humu jf tuna vichaa wengi sana japo sio mpaka waokote makopo!.

    Kama Willy amesema mahali siasa za Tanzania ni siasa utumbo, mleta mada alipaswa kwanza kutuonyesha huo utumbo aliusemea wapi, post au kama ni fb au kwenye blog yake ndipo ushushe lawama, kulaumu tuu bila kuonyesha chanzo cha hizo lawama, nao pia ni ukichaa na sio lazima uokote makopo!.

    Pamoja na shutuma zao, naombeni sana kila mtu awe judged by his/her own merit!. Sio haki kumshutumu mtoto kwa makosa ya baba yake!. Huku sio kumtendea haki!.

    Pasco!.
    Nakubalina na PASCO,

    Ila kama kweli imefika Wilium anasema siasa za TZ in Utumbo basi na sisi tunaofanya haya mageuzi humu nchini tutakuwa na matatizo kwa mujibu wa Wilium kama mleta uzi atathibitisha hilo...

    Unajua tatizo letu ni kwamba mtu anakuwa na malengo Binafsi na nafasi hizi za kuongoa watu... Swali langu ni kwamba kwa nini mara nyingi watu wanapogombea na kushindwa katika mazingira yeyote huishia kutoa maneno ya ajabu? na kutokwa na mate mdomoni? Huu ndiyo ule Ubinafsi ambao hautakiwi...

    Kwani ni Lazima wewe uwaongoze wananchi? Kama hawakutaki ni lazima wewe? kwanini mtu asionyeshe juhudi binafsi ili akigombea tena achaguliwe?


    Wiliuma alishindwa kwa sababu ya Mfumo Mbovu wa uchaguzi nchi na Rushwa ya kutisha ndani ya CCM... sasa kwanini asikilaumu chama chake cha CCM na waliotoa Rushwa?


    Nashauri tutumie lugha ya busara kidogo..
    “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

  • #34
    king86c's Avatar
    Member Array
    Join Date : 4th February 2012
    Posts : 36
    Rep Power : 375
    Likes Received
    4
    Likes Given
    0

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    haya ndio W J Malecela aliyoyasema nanukuu tarehe 28 may mimi mwenyewe nimeamua kuingia kwenye biashara ya UTUMBO YANI SIASA sijawai kuogopa harufu yake kwa hiyo nani kasema tuyaeke kwa mapana na marefu nani kawakera watanyania

  • #35
    king86c's Avatar
    Member Array
    Join Date : 4th February 2012
    Posts : 36
    Rep Power : 375
    Likes Received
    4
    Likes Given
    0

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    nani kawakera watanzania kama siasa ni utumbo yeye si aendelee kuwa bahari tunataka majibu kutoka kwakwe ya utumbo wa siasa ni upi

  • #36
    andrews's Avatar
    Banned Array
    Join Date : 28th March 2012
    Posts : 1,683
    Rep Power : 0
    Likes Received
    142
    Likes Given
    76

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    WILLIAM ANALETA UTANI NA WATANZANIA MAISHA HAYA NI MAGUMU SABABU YA CCM,KWA SABABU KINAONGOZA KWA MANUFAA YA WANA CCM TU,NDIO MAANA WALISEMA CCM INA WENYEWE NA WENYEWE NI CCM NA TANZANIA INA WENYEWE NA WENYEWE NI PEOPLE'S POWER.SUKITA ILILIWA NA WANACCM TANZANIA IMEUZWA NA MKAPA MWANA CCM SASA WATU WANCHUKIA UBADHILIFU WA CCM NA MAKADA WOTE HIVYO MALECELA HUPONI HUMO.M4C FOREVER.

  • #37
    king86c's Avatar
    Member Array
    Join Date : 4th February 2012
    Posts : 36
    Rep Power : 375
    Likes Received
    4
    Likes Given
    0

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Huyu Wille katuchoka na uku akumbuke safari yake kwenda Dodoma ndio ilipoanzia hivi Ana undugu na Lusinde

  • #38
    chipanga's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 17th September 2010
    Posts : 263
    Rep Power : 492
    Likes Received
    37
    Likes Given
    30

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Quote By OMEGA
    Kusomea nje au kukaa nje haina maana kuwa una akili,ungekuwa mtoto wa mkulima na umefika huko kwa juhudi zako tungesema una akili ,lakini kama ulibebwa kama jeneza haimaanishi kwa vile uko ulaya basi una akili.Nafahamu wengi walio huko ambao ni matahira na hawana mpango wowote.Nyiyi ndio Hakina Hashimu Thabiit ambaye kakaa huko sijui miaka mitano ,sasa hivi anajifanya kasahau Kiswahili.
    Anaongea km teja!
    Before all else, be armed.

    Niccolo Machiavelli

  • #39
    Kalumbesa's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th November 2010
    Location : Shamba
    Posts : 864
    Rep Power : 602
    Likes Received
    266
    Likes Given
    120

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    Quote By king86c
    Tokea nimeanza kusoma maelezo yake hapa jukwaani anaonekana kama mtu ambaye akishindwa anatapata.

    Hata mzee wake alikosa nafasi ya kugombea urais kwa maneno yake, matatizo yako William Malecela, inabidi ungalie kwanza ndani ya chama chako kama kuna wasafi au la. Siasa za Tanzania zinahitaji kujipanga haswa.

    Siasa za kuchafuana kama ilivyokuwa hapo awali zimepitwa na wakati. Eleza mikakati yako na ukipata nafasi uwe mtekelezaji.

    Tumia ushawishi zaidi ya mbinu chafu
    Wiliam Malecela anafikiria au zuzu asilimia 100%. Hivi kuna mtu mwenye kutumia akili zake kufikiri vizuri na mwenye kuweza kuchambua mbivu na mbichi aunge mkono marehemu mtarajiwa CCM?

  • #40
    andrews's Avatar
    Banned Array
    Join Date : 28th March 2012
    Posts : 1,683
    Rep Power : 0
    Likes Received
    142
    Likes Given
    76

    Default Re: W J Malecela anafikiria au zuzu .asilimia 100%

    IDDI AMIN ALICHUKIWA KWA KUWA DIKTETA NYERERE ALIPENDWA KWA KUWAPIGANIA WANYONGE MANDELA HATASAHAULIKA KWA KUKATAA UBAGUZI CCM INAKATALIWA SABABU YA UFISADI NA WILLIAM UNCHUKIWA KWA KUOGEA PUMBA

  • Miaka 50
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...