Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hati za Muungano ndio hizi?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 33
    1. #1
      zanzibar huru's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 134
      Rep Power : 377
      Likes Received
      40
      Likes Given
      29

      Default Hati za Muungano ndio hizi?

      Hati za Muungano baina ya Nchi mbili: Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Tanganyika haipo na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar imebadilishwa jina na kuitwa "Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ)". Sheria ipi, ya mwaka gani, chini ya Raisi yupi, kwa sababu gani, jina la NCHI lilifutwa na badala yake likawekwa jina la SERIKALI?


      akilipana and Mziba like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,601
      Rep Power : 818
      Likes Received
      278
      Likes Given
      51

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      ni kitabu gani hicho chenye haya maandishi unayoyaita wewe hati za muungano?
      Mziba likes this.

    4. #3
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,116
      Rep Power : 1386
      Likes Received
      918
      Likes Given
      412

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      adobe 1964?
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    5. #4
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,497
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16335
      Likes Given
      8415

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      Hata hati za muungano zikiletwa hamtakubali mtaamisha magoli! Mlianza bendera mkapewa, wimbo wa taifa mkapewa, vyote mnavyotaka mmepewa sasa hata hati ikija hamtokubali. Angalau sasa mmedai nchi yenu na hili tutawapa yaishe salama ndugu zetu. Hatutaki Muungano!!!
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    6. #5
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7367
      Likes Received
      6152
      Likes Given
      22273

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Hata hati za muungano zikiletwa hamtakubali mtaamisha magoli! Mlianza bendera mkapewa, wimbo wa taifa mkapewa, vyote mnavyotaka mmepewa sasa hata hati ikija hamtokubali. Angalau sasa mmedai nchi yenu na hili tutawapa yaishe salama ndugu zetu. Hatutaki Muungano!!!
      Mzee Mwanakijiji, kuwapa Zanzibar nchi yao ni kuvunja muungano!, huu ni uhaini!. Tutatakacho wapa ni haki ya kuujadili ni muungano wa aina gani wanautaka na sio kuuvunja!.
      leroy likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,387
      Rep Power : 1028
      Likes Received
      1160
      Likes Given
      596

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      Nilipoona title nikadhani umekuja na kitu kipya kumbe umedesa kilichokuwa humu jamvini tangu juzi....kurasa ileile makosa ya kuscan yale yale ...Lol. Bora tu mlale mbele mnatuwekea usiku.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    9. #7
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,387
      Rep Power : 1028
      Likes Received
      1160
      Likes Given
      596

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      Quote By Pasco
      Mzee Mwanakijiji, kuwapa Zanzibar nchi yao ni kuvunja muungano!, huu ni uhaini!. Tutatakacho wapa ni haki ya kuujadili ni muungano wa aina gani wanautaka na sio kuuvunja!.

      Mkuu pasco/Mods hapo kwenye RED ni sawa?

      Join Date : 22nd September 2008

      Posts : 6,845
      Rep Power : 0

      Likes Received 2890

      Likes Given 7349
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    10. #8
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,598
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      315
      Likes Given
      894

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      Quote By Pasco
      Mzee Mwanakijiji, kuwapa Zanzibar nchi yao ni kuvunja muungano!, huu ni uhaini!. Tutatakacho wapa ni haki ya kuujadili ni muungano wa aina gani wanautaka na sio kuuvunja!.
      Wakiujadili halafu wakisema hawautaki hapo utasemaje? Pasco unajuwa muungano ni sawa na ndoa, lazima pande zote mbili zikubaliane, kwa mfano wewe kila siku mkeo anakudai talaka na anakuambia hakupendi tena utang'ang'ania kuishi naye? Na ukilazimisha kuishi naye basi anaweza hata kukuwekea sumu ufie mbali awe huru kuolewa na yule anayempenda, na sumu tayari tumeshaiona kwa njia ya kulipua makanisa na kuwataka watanganyika warudi kwao bara.Hapa hakuna suluhisho zaidi ya kuwapa Zanzibar yao na sisi turudishe Tanganyika yetu.
      NI UTAAHIRA MKUBWA SANA KUIUNGA MKONO CCM

    11. #9
      Konya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2011
      Posts : 812
      Rep Power : 565
      Likes Received
      79
      Likes Given
      1

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      maisha ya huu muungano ni ya kutia mashaka na hata kama ukiendelea kuwepo bado majinamizi yataendelea kuuandama tu ni bora tukakubaliana moja

    12. #10
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      Ndio zenyewe mkuu, kwani tatizo nini wajemeni, hata kama hati zisingekuwepo..even an oral agreement is a valid and enforceable agreement..even though it is highly advised the oral agreement to later on be in written form as evidence..kwa mfano kama hati hazikuwepo..na makubaliano ya muungano yangekuwa ya mdomo..bado yangekuwa halali kisheria..tatizo uelewa wa watu katika mambo yamsingi ni mdogo sana..watu wamekalia siasa tu badala ya kutafuta ukweli ndio maana EA watanzania bado tupo nyuma na tunazidi kuachwa nyuma kila siku..maneno maneno tu hamna kitu..

    13. #11
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,472
      Rep Power : 6167
      Likes Received
      3041
      Likes Given
      1015

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      Quote By Pasco
      Mzee Mwanakijiji, kuwapa Zanzibar nchi yao ni kuvunja muungano!, huu ni uhaini!. Tutatakacho wapa ni haki ya kuujadili ni muungano wa aina gani wanautaka na sio kuuvunja!.
      Aaaah Pasco hawapewi tu si wanapewa kama walivyoachia!
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    14. #12
      Mziba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th February 2010
      Posts : 228
      Rep Power : 517
      Likes Received
      34
      Likes Given
      73

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      Quote By zanzibar huru
      Hati za Muungano baina ya Nchi mbili: Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Tanganyika haipo na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar imebadilishwa jina na kuitwa "Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ)". Sheria ipi, ya mwaka gani, chini ya Raisi yupi, kwa sababu gani, jina la NCHI lilifutwa na badala yake likawekwa jina la SERIKALI?


      Zanzibar ni huru: Ningependa kujua uhuru gani unaozungumzia. Na pia tafadhali andika hizo kero za muungano zilizopo. Na kwenye katiba andika vipengele vipi? Kuhusu jina ni suala la Zanzibar viongozi na academics wapo,. mbona unalaumu Tanganyika?

    15. #13
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1612

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Hata hati za muungano zikiletwa hamtakubali mtaamisha magoli! Mlianza bendera mkapewa, wimbo wa taifa mkapewa, vyote mnavyotaka mmepewa sasa hata hati ikija hamtokubali. Angalau sasa mmedai nchi yenu na hili tutawapa yaishe salama ndugu zetu. Hatutaki Muungano!!!
      Umesema yote Mkuu! I real like it!

    16. #14
      Morinyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th August 2011
      Posts : 700
      Rep Power : 702
      Likes Received
      149
      Likes Given
      75

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      Quote By Pasco
      Mzee Mwanakijiji, kuwapa Zanzibar nchi yao ni kuvunja muungano!, huu ni uhaini!. Tutatakacho wapa ni haki ya kuujadili ni muungano wa aina gani wanautaka na sio kuuvunja!.
      Zanzibar itaendelea kuwa nchi ndani ya muungano na si vinginevyo.

    17. #15
      DALLAI LAMA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 8th March 2012
      Posts : 2,831
      Rep Power : 0
      Likes Received
      697
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Hata hati za muungano zikiletwa hamtakubali mtaamisha magoli! Mlianza bendera mkapewa, wimbo wa taifa mkapewa, vyote mnavyotaka mmepewa sasa hata hati ikija hamtokubali. Angalau sasa mmedai nchi yenu na hili tutawapa yaishe salama ndugu zetu. Hatutaki Muungano!!!
      umenena MM.2wape kijinchi chao 2okoe bajeti yetu inayoenda huko.kama ni usalama Ikulu tutahamishia dom ama a town..maana ikiwa pale ni hatari toka pembezoni mwa bahari.JK Tupe zawadi ya tanganyika yetu.

    18. #16
      Mkeshaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Location : This is Anfield
      Posts : 3,629
      Rep Power : 1371
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      315

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      Quote By Pasco
      Mzee Mwanakijiji, kuwapa Zanzibar nchi yao ni kuvunja muungano!, huu ni uhaini!. Tutatakacho wapa ni haki ya kuujadili ni muungano wa aina gani wanautaka na sio kuuvunja!.
      Mkuu fafanua vizuri hapo kwenye red. "Kuvunja muungano ni uhaini"? Mke hanifai halafu nisimwache....au hadi aniue!
      You'll never walk alone - LFC.

    19. #17
      Elli's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,513
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2102
      Likes Given
      1839

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      Kumbe docs ziko vizrui hivyo sasa swali la msingi ukisoma hapo juu ni kwamba kuna Government of Tanganyika na ile ya Government ya Watu wa Zanzibar (hii ipo) swali ni kwamba hii ya Tanganyika iko wapi? au iko kwene hayo maandishi tu? nionyeshwe hata jengo moja tu la serikali ya Tanganyika, kama hakuna basi hawa jamaa wakae kimya tusijekuwachapa vibao buree

    20. #18
      zanzibar huru's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 134
      Rep Power : 377
      Likes Received
      40
      Likes Given
      29

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      its their country and they have a right kujadili mstakbali wao

    21. #19
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Hata hati za muungano zikiletwa hamtakubali mtaamisha magoli! Mlianza bendera mkapewa, wimbo wa taifa mkapewa, vyote mnavyotaka mmepewa sasa hata hati ikija hamtokubali. Angalau sasa mmedai nchi yenu na hili tutawapa yaishe salama ndugu zetu. Hatutaki Muungano!!!
      Wewe kama nani wakuweza kufanya maamuzi? unatamani lakini hukujaaliwa na manani, wewe baki kuwa fataani wa mitaani na majamvini husutiki hata kwa karabai sabini.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    22. #20
      Kabembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2009
      Location : ITETE-Kandwesi
      Posts : 873
      Rep Power : 701
      Likes Received
      170
      Likes Given
      169

      Default Re: Hati za Muungano ndio hizi?

      Pasco unaposema kuwapa nchi yao una maana gani? kwani tuliwapora au kuwanyang'anya kinguvu? Mbona muungano ulishavunjika kitambo au wewe hujui kuwa zanzibar ni nchi yenye majeshi,bendera na wimbo wa taifa? Ni muungano gani wa nchi mbili unaolalia(egemea) upande mmoja,yaani kwamba wao waamie huku wajenge popote pale wafanye biashara,kazi waoe,wajenge misikiti,waendeshe migahawa,baa lakini sisi haturuhusiwi hata kuabudu kwa uhuru,kumiliki shamba au nyumba hata kuajiriwa kule ni shughuri,sasa huu ni muungano wa nama gani?
      Quote By Pasco
      Mzee Mwanakijiji, kuwapa Zanzibar nchi yao ni kuvunja muungano!, huu ni uhaini!. Tutatakacho wapa ni haki ya kuujadili ni muungano wa aina gani wanautaka na sio kuuvunja!.
      'Wasiwasi Ndio Akili Yenyewe'

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...