Hati za Muungano baina ya Nchi mbili: Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Tanganyika haipo na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar imebadilishwa jina na kuitwa "Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ)". Sheria ipi, ya mwaka gani, chini ya Raisi yupi, kwa sababu gani, jina la NCHI lilifutwa na badala yake likawekwa jina la SERIKALI?

Reply With Quote




Follow Us Here