Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: ITV vipi tena?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 56
    1. #1
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,671
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default ITV vipi tena?

      KATIKA HABARI YENU KICHWA CHA HABARI KINASEMA CHADEMA WAJITOKEZA KWA WINGI KATIKA MKUTANO WAO.
      swali langu ni kuwa mna ushahidi gani kuwa waliojitokeza ni chadema peke yao?
      kwa nini mmeanza vizuri mnataka kumaliza vibaya kwa kitu ambacho hakina maana?
      wale waliorudisha kadi hamjawaona?na kama mmewaona kwa nini mpoteshe dsakika za mwisho?
      Hofstede likes this.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Honey K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2008
      Posts : 628
      Rep Power : 521
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default re: ITV vipi tena?

      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki

    4. #3
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      441
      Likes Given
      437

      Default Re: ITV vipi tena?

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      hahahaaaaa Nape bwana.

      mi issue yangu bado Ruzuku tu, bilions zinazoteketea kwa kuwapa vya vya siasa si haki!

      back to the point, leo nilikuwepo Jangwani naamini ulifatilia kupitia ITV. . . aisee kimenuka mtaani!! ccm sijui watajificha wapi
      Ringo Edmund and asigwa like this.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    5. #4
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,801
      Rep Power : 1527
      Likes Received
      796
      Likes Given
      451

      Default Re: ITV vipi tena?

      Hata itangazwe kwa kuhaririwa vipi, kweli itabaki kuwa kweli. Haitajificha kamwe.
      Ringo Edmund likes this.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    6. BAK
      #5
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,665
      Rep Power : 44978
      Likes Received
      8395
      Likes Given
      8374

      Default Re: ITV vipi tena?

      Kwani magamba hawaruhusiwi kuja kuona/kusikiliza CDM jinsi inavyoiteka nchi na wao hatimaye kuamua kulivua gamba!?

      Kama ni magamba, TLP, CUF RUKHSA kuja kusikiliza mkutano wa magamba wakisuuzika na roho zao kwa yale watakayoyaona/kuyasikia katika mikutano hiyo basi wanaweza kabisa kuamua kuwa wanachama hai wa CDM.

      Watu wameacha shughuli zao chungu nzima ili kwenda kuwasikiliza CDM, ujue kuna kitu kimewavutia na hatimaye kuamua kuhudhuria mkutano huo.

      Umeshasikia mpenzi wa Yanga anahudhuria mkutano wa Simba na vice versa!?
      Ringo Edmund likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action


    7. #6
      Sheshejr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 433
      Rep Power : 458
      Likes Received
      63
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      ukwel unaujua moyon, ila ukifanyacho ni kutetea tumbo lako!

    8. #7
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,602
      Rep Power : 1073
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      262

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      We endelea kupiga usanii huku kwenye mitandao ya kijamii na kwenye maruninga lakini unaogopa kuwafuta wananchi kupitia mikutano. Kwa jinsi mnavyokiweka chama chenu mbali na wananchi ndivyo mnavyopoteza umaarufu. Inawezekanaje katibu mwenezi wa chama anashindwa hata kuitisha mikutano ya hadhara ya uhamasishaji na chama kinaangalia tu. Chama chenu hakina watu wenye mvuto kujaza viwanja kama walivyofanya CDM leo

    9. #8
      segwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 1,351
      Rep Power : 685
      Likes Received
      344
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      Napokuona huwa nafurahi sana maana mi kazi yangu ni kùpiga pini magamba,Nchi inatawaliwa na cdm,magamba mko inferior mmejipaka kinyesi kinachoitwa ufisadi,mnaona aibù kujitokeza na kueleza malengo yenu kama chama tawala.Mnapojitokeza mnazomewa mpaka na watoto wa chekechea.Safari hii hamfik 2015.Mambo ndio yameanza.Sasa hv hakuna tena jangwani kuna cdm sqr bado ikulu ya magogoni kubatizwa cdm state house
      Ringo Edmund likes this.

    10. #9
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,740
      Rep Power : 10181
      Likes Received
      5677
      Likes Given
      12666

      Default Re: ITV vipi tena?

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      unajua huu mgomba kwa nini umepandwa barabarani?



      ...................
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    11. #10
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,554
      Rep Power : 2090
      Likes Received
      1097
      Likes Given
      1575

      Default Re: ITV vipi tena?

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      Nadhani wanafiki unawajua wewe, ukweli unao but unaukana, SISIMWEWE bwana, kazi mnayo. Mtatambaa mpaka basi!!! Hata muwaite majina mabaya kiasi gani, eleweni kuwa mnakimbiwa na hakuna kurudi nyuma!!!!
      Ringo Edmund likes this.
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    12. #11
      S.Liondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Posts : 344
      Rep Power : 478
      Likes Received
      55
      Likes Given
      6

      Default Re: ITV vipi tena?

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      Hoja zako ni za kishabiki tu. Hazijazingatia hali halisi. Kiukweli CCM ni janga la kitaifa.
      Ringo Edmund likes this.

    13. #12
      Bwemero L's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 45
      Rep Power : 377
      Likes Received
      7
      Likes Given
      31

      Default Re: ITV vipi tena?

      nyinyiemu, mnasomba wanachama wenu kwa magari (eg mkutano wenu na wanafunzi UDOM) na kuwaahidi kuwapa chakula ndo wanakuja, lakini pipozzz wanakuja kwa nauli zao na bado wakifika wanakichangia chama!!!!! Viongozi wa kweli hawaingii madarakani kwa kuwaonga wananchi bali wananchi wanawachangia kwa sababu ni maskini wenzao na wanajua matatizo waliyonao wananchi!!!! Viva cdm.
      Last edited by Bwemero L; 26th May 2012 at 23:39.
      Ringo Edmund likes this.

    14. #13
      Ngoiva's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 234
      Rep Power : 426
      Likes Received
      38
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By nnauye jr
      wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      cheo kikubwa, hoja za kitoto. Kwa nini usikae kimya kuficha ujinga mkuu.
      Ringo Edmund likes this.

    15. #14
      Advocate Jasha's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th January 2007
      Posts : 717
      Rep Power : 1004
      Likes Received
      161
      Likes Given
      337

      Default Re: ITV vipi tena?

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      Nape imefikia wakati uwe walau na aibu kwani mtu yeyote asie na aibu hatofautiani na mnyama.Kama kuna chama kinacho ungoza ulimwenguni kwa usanii ni CCM nawe ukiwa vuvuzela la chama hicho cha kusikitisha si chama chako wala wewe mwenyewe ambao mnaweza kusoma mishale ya wakati.Ndiyo inaeleweka ya kua mshahara wako unaupata kwa kuwadanganya hao viongozi wako wa juu kuhusu hali ya CCM ambayo de fact tayari mfuu kwani ukiwambia ukweli kuhusu hali ilvyo ndio utakua mwisho wa kibarua chako.NASUBIRI KWA HAMU MAGAZETI YA KUFUNGIA VITUMBUA (UHURU,HABARI LEO KESHO YATATOKA NA VICHWA GANI KUHUSU MKUTANO WA JANGWANI-CHADEMA SQUARE-)MUNGU IBARIKI TANZANIA.
      Ringo Edmund likes this.

    16. #15
      FredKavishe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2010
      Location : dsm
      Posts : 1,025
      Rep Power : 696
      Likes Received
      279
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      Kichwa maji hujambo umekua msemaji wa ITV pole sana kwa umati wa leo sio wakubebwa na fuso na malori

    17. #16
      sk2000's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 121
      Rep Power : 378
      Likes Received
      18
      Likes Given
      16

      Post Re: ITV vipi tena?

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      hiyo kazi ya uvuvuzela iko siku utaamua kuisusa. utapingana na ukweli hadi lini? nakuhurumia sana kwa kuvaa gwanda kimoyo moyo.
      Ringo Edmund likes this.

    18. mka
      #17
      mka's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 235
      Rep Power : 733
      Likes Received
      47
      Likes Given
      206

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      Kwisha habari yenu Nnauye Jr, naona roho inawauma sana unaishia kutunga maneno ya uongo na kutunga fitna. Kila kitu kilionekana ITV leo. Nyie hamuwezi kujaza watu vile bila kuleta malori na kuwapa watu wali. Na sidhani kama umemuelewa mtoa mada, yeye amesema kuwa ITV wametoa taarifa kuwa CHADEMA wamejitokeza kwa wingi wakati wale ni Watanzania kutoka vyama mbali mbali.

      Hivi kuna waigizaji kama CCM hapa duniani? Mara msema mnavuana magamba watu hawavuliki, maisha bora kwa mtanzania wakati maisha ni magumu sana.
      Ringo Edmund likes this.

    19. #18
      sk2000's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 121
      Rep Power : 378
      Likes Received
      18
      Likes Given
      16

      Default Re: ITV vipi tena?

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      vuvuzela 4 life
      Ringo Edmund likes this.

    20. #19
      Feedback's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Posts : 4,096
      Rep Power : 1247
      Likes Received
      2066
      Likes Given
      1126

      Default Re: ITV vipi tena?

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      Unachotakiwa wewe ni kuhangaika na matatizo ya CCM kuliko kuhoji mafanikio ya Chadema.
      Ringo Edmund likes this.
      Only in Tanzania

    21. mka
      #20
      mka's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 235
      Rep Power : 733
      Likes Received
      47
      Likes Given
      206

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Wameona ni usanii mliofanya hawataki kushiriki uzushi........ Mnafanya maigizo mnataka wayatangaze??? Itv hongereni kwa kuwaumbua wanafiki
      Kwisha habari yenu Nnauye Jr, naona roho inawauma sana unaishia kutunga maneno ya uongo na kutunga fitna. Kila kitu kilionekana ITV leo. Nyie hamuwezi kujaza watu vile bila kuleta malori na kuwapa watu wali. Na sidhani kama umemuelewa mtoa mada, yeye amesema kuwa ITV wametoa taarifa kuwa CHADEMA wamejitokeza kwa wingi wakati wale ni Watanzania kutoka vyama mbali mbali.

      Hivi kuna waigizaji kama CCM hapa duniani? Mara msema mnavuana magamba watu hawavuliki, maisha bora kwa mtanzania wakati maisha ni magumu sana, hamtoi mikopo kwa wanafunzi, mfumuko wa bei mkubwa, deni la taifa kubwa, mna ubadhilifu, wezi na wahujumu uchumi mnawakumbatia badala ya kuwawajibisha.

      Tutaendelea kuwanyoosha mpaka mtakavyotuachia nchi yetu.
      Ringo Edmund likes this.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...