Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 25
    1. #1
      Ericus Kimasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2006
      Posts : 256
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      162
      Likes Given
      349

      Default Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi


      Napenda kuweka sawa Taarifa ya awali juu ya Taarifa ya msiba na ratiba ya mazishi ya Dokta Kyaruzi kama ilivyoletwa hapa Jamvini awali na Ndg. Pasco wa JF

      Mazishi ya Dr. Vedasto Kyaruzi aliyefariki tarehe 20/05/2012 saa 1:20 Jioni katika Hospitali ya Mkoa wa Kagera, yatafanyika Jumamosi, tarehe 26/05/2012 saa tisa alasiri Missenye-Nyabianga, Kyaka katika shamba lake.

      Mazishi haya yatanguliwa na misa ya kuaga mwili hapo kesho Ijumaa, tarehe 25/05/2012 kuanzia saa saba (7:00) mchana. Misa hii itafanyika nyumbani kwa Marehemu Kashai-Matopeni. Baada ya misa safari ya kuelekea Kyaka kwa maziko itaanza. Mwili wa marehemu utalala shambani kwa marehemu Missenye-Nyabianga

      Umma unakaribishwa kujiunga na familia kwa sala, hali na mali katika kipindi hiki kizito.

      Bwana alitoa, na Bwana ametwaa. Jina la Bwana na lihimidiwe.


      Kwa Taarifa zaidi wasiliana na:

      Fredy Nshunju
      M/Kiti Kamati ya Habari
      Na. ya Simu: 0767404113

      Evarista Rugeiyamu
      Katibu-Kamati ya Habari
      Na. ya Simu: 0784888091





      Attached Thumbnails Attached Thumbnails Click image for larger version. 

Name:	36497_10150916155768069_599863068_9846082_2107665148_n.jpg 
Views:	0 
Size:	18.9 KB 
ID:	54500  
      Last edited by Ericus Kimasha; 24th May 2012 at 16:30.
      Mkandara, JokaKuu, n00b and 2 others like this.


    2. #2
      Ben Mugashe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th October 2008
      Location : Dar
      Posts : 357
      Rep Power : 616
      Likes Received
      127
      Likes Given
      225

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      Upumzike kwa amani Babu yetu mpendwa...
      n00b likes this.

    3. #3
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      Inna Li Llahi wa Inna Illahi Rajiun.

      Poleni wote mnaohusika na msiba huu.
      n00b likes this.

    4. #4
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,768
      Rep Power : 7665
      Likes Received
      4930
      Likes Given
      4509

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      Quote By Ericus Kimasha View Post

      Napenda kuweka sawa Taarifa ya awali juu ya Taarifa ya msiba na ratiba ya mazishi ya Dokta Kyaruzi kama ilivyoletwa hapa Jamvini awali na Ndg. Pasco wa JF

      Mazishi ya Dr. Vedasto Kyaruzi aliyefariki tarehe 20/05/2012 saa 1:20 Jioni katika Hospitali ya Mkoa wa Kagera, yatafanyika Jumamosi, tarehe 26/05/2012 saa tisa alasiri Missenye-Nyabianga, Kyaka katika shamba lake.

      Mazishi haya yatanguliwa na misa ya kuaga mwili hapo kesho Ijumaa, tarehe 25/05/2012 kuanzia saa saba (7:00) mchana. Misa hii itafanyika nyumbani kwa Marehemu Kashai-Matopeni. Baada ya misa safari ya kuelekea Kyaka kwa maziko itaanza. Mwili wa marehemu utalala shambani kwa marehemu Missenye-Nyabianga

      Umma unakaribishwa kujiunga na familia kwa sala, hali na mali katika kipindi hiki kizito.

      Bwana alitoa, na Bwana ametwaa. Jina la Bwana na lihimidiwe.


      Kwa Taarifa zaidi wasiliana na:

      Fredy Nshunju
      M/Kiti Kamati ya Habari
      Na. ya Simu: 0767404113

      Evarista Rugeiyamu
      Katibu-Kamati ya Habari
      Na. ya Simu: 0784888091
      Mwenyezi Mungu amweke mahapa pema peponi...
      Mkuu umesema unataka kuweka sawa taariufa ya awali mbona sioni lolote hasa kuhusiana na Chama cha CCM kushindwa kumuenzi marehemu kwa heshima zote ambazo anastahili. Ama kuna jingine.
      Exploration of reality

    5. #5
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,842
      Rep Power : 1154
      Likes Received
      194
      Likes Given
      0

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      Quote By Ericus Kimasha View Post

      Napenda kuweka sawa Taarifa ya awali juu ya Taarifa ya msiba na ratiba ya mazishi ya Dokta Kyaruzi kama ilivyoletwa hapa Jamvini awali na Ndg. Pasco wa JF

      Mazishi ya Dr. Vedasto Kyaruzi aliyefariki tarehe 20/05/2012 saa 1:20 Jioni katika Hospitali ya Mkoa wa Kagera, yatafanyika Jumamosi, tarehe 26/05/2012 saa tisa alasiri Missenye-Nyabianga, Kyaka katika shamba lake.

      Mazishi haya yatanguliwa na misa ya kuaga mwili hapo kesho Ijumaa, tarehe 25/05/2012 kuanzia saa saba (7:00) mchana. Misa hii itafanyika nyumbani kwa Marehemu Kashai-Matopeni. Baada ya misa safari ya kuelekea Kyaka kwa maziko itaanza. Mwili wa marehemu utalala shambani kwa marehemu Missenye-Nyabianga

      Umma unakaribishwa kujiunga na familia kwa sala, hali na mali katika kipindi hiki kizito.

      Bwana alitoa, na Bwana ametwaa. Jina la Bwana na lihimidiwe.


      Kwa Taarifa zaidi wasiliana na:

      Fredy Nshunju
      M/Kiti Kamati ya Habari
      Na. ya Simu: 0767404113

      Evarista Rugeiyamu
      Katibu-Kamati ya Habari
      Na. ya Simu: 0784888091

      Jipangeni kwa itifaki Kwani MKUU WA NCHI ANAKUJA PIA


    6. #6
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,756
      Rep Power : 1930
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      RIP Kyaruzi . Lakini CCM wapo radhi watoe milioni 10 kwenye msiba wa mtu aliyefia mapenzi kuliko huyu mpigania uhuru

    7. #7
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,862
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6195
      Likes Given
      22551

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      Ericus Kimasha, asante kwa taarifa hii. Baada ya ile taarifa yangu ya J.3, jana ndio media nazo zimeanza kuutangaza msiba huu muhimu.

      Kumbe ndie aliyekuwa balozi wetu wa kwanza wa Tanganyika huru kwenye Umoja wa Mataifa, UN.

      Naomba utupatie update from time to time ikiwepo ushiriki wa serikali/CCM kwenye msiba huu.

      Asante.

      Pasco.

    8. #8
      Ericus Kimasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2006
      Posts : 256
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      162
      Likes Given
      349

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      Quote By Pasco View Post
      Ericus Kimasha, asante kwa taarifa hii. Baada ya ile taarifa yangu ya J.3, jana ndio media nazo zimeanza kuutangaza msiba huu muhimu.

      Kumbe ndie aliyekuwa balozi wetu wa kwanza wa Tanganyika huru kwenye Umoja wa Mataifa, UN.

      Naomba utupatie update from time to time ikiwepo ushiriki wa serikali/CCM kwenye msiba huu.

      Asante.

      Pasco.
      Kaka Pasco,

      Ulikuwa miongoni mwa watu wa kwanza kutumiwa Taarifa ya msiba huu Juma Pili saa mbili kasoro usiku kupitia FB wall ya Pascal Mayalla! Taarifa ilifuatiwa na Wasifu mfupi wa Marehemu. Nafikiri kule huendi sana!

      Pili, kuhusu Chama na Serikali siwezi kuwatolea Taarifa. Tuwe na subira nao maana hawaleti dawa ya mgonjwa iwe kwamba wasipokuja anakufa! Tuwape muda
      Last edited by Ericus Kimasha; 24th May 2012 at 17:13.
      Ben Mugashe likes this.

    9. #9
      Ericus Kimasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2006
      Posts : 256
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      162
      Likes Given
      349

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      Quote By Mkandara View Post

      Mkuu umesema unataka kuweka sawa taarifa ya awali mbona sioni lolote hasa kuhusiana na Chama cha CCM kushindwa kumuenzi marehemu kwa heshima zote ambazo anastahili. Ama kuna jingine.
      Mkuu Mkandara,

      Hilo la kukanusha au kusemea ushiriki wa CCM namwachia Nape Nnauye.

      Jukumu langu lilikuwa kwenye kuweka sawa Taarifa ya Msiba, ulitokea lini, wapi na anazikwa lini, wapi na saa ngapi.

      Nahisi simanzi yangu kuhama kutoka uchungu wa msiba na kwenda kwenye kukosekana kwa malipo ya fadhila kwa watu stahili wa nchi hii.
      JokaKuu likes this.

    10. #10
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,862
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6195
      Likes Given
      22551

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      Quote By Precise pangolin View Post
      RIP Kyaruzi . Lakini CCM wapo radhi watoe milioni 10 kwenye msiba wa mtu aliyefia mapenzi kuliko huyu mpigania uhuru
      P.Pango, naomba tusichanganye CCM na serikali, japo ni serikali ya CCM, lakini serikali ni serikali ya JMT na CCM ni chama cha wanachama, wapenzi na washabiki.

      Fedha TSH, Milioni 10 zilitolewa na serikali na sio na CCM.

      Serikali ilipotoa fedha zile ilikuwa na sababu na justification ikatengenezwa na kuweka precedence kumbe misiba muhimu, basi serikali hupaswa kuchangia angalau TSH. Milioni 10!.

      Fedha hizo zingetolewa na CCM kwa vile hiki ni chama tuu cha siasa, kinaweza kimchangia huyu na kisimchangie yule na hakuna wa kukiuliza kwa sababu vyama ni private entities.

      Lakini serikali ni public entitiy, kama serikali yetu ilitumia milioni 10 kumpatia Kanumba maziko stahiki kutokana na mchango wake kwa taifa hili, sisi kama public tonayo haki ya kujua jee serikali yetu imetoa kiasi gani kumpatia maziko stahiki huyu shujaa wetu wa taifa, mwanzilishi wa Taa na mpigania uhuru?. Tena kwake fedha hizo sio favour bali sasa ni right kwa precedence ya Kanumba!.

    11. #11
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,862
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6195
      Likes Given
      22551

      Default

      Quote By Ericus Kimasha View Post
      Kaka Pasco,

      Ulikuwa miongoni mwa watu wa kwanza kutumiwa Taarifa ya msiba huu Juma Pili saa mbili kasoro usiku kupitia FB wall ya Pascal Mayalla! Taarifa ilifuatiwa na Wasifu mfupi wa Marehemu. Nafikiri kule huendi sana!

      Pili, kuhusu Chama na Serikali siwezi kuwatolea Taarifa. Tuwe na subira nao maana hawaleti dawa ya mgonjwa iwe kwamba wasipokuja anakufa! Tuwape muda
      Ericus,
      Asante kwa taarifa, ni kweli sikubahatika kuitembelea wall ya Pascal Mayalla na bahati mbaya mimi Pasco wa jf sio member wa fb na kule sitembelei kabisa!.

      Maadam sasa wewe mwenywe upo, keep us updated!.
      Ericus Kimasha likes this.

    12. #12
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13812
      Likes Given
      18061

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      huyu alikuwa mwenyekiti wa TAA?

      mbona sikuwahi kusoma hiii?????????
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    13. #13
      RUGAHIMBILA E R's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th March 2009
      Posts : 44
      Rep Power : 532
      Likes Received
      8
      Likes Given
      8

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      Rip mzee wa ukweli na mzalendo halisi. kwa wale tuliomfahamu ni pengo kubwa hasa, hawa ndio watu waliostahili kutunukiwa nishani za utumishi uliotukuka na uaminifu mkubwa.
      tutakukumbuka doctor,
      upumzike kwa amani
      amina

    14. #14
      Ericus Kimasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2006
      Posts : 256
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      162
      Likes Given
      349

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      Quote By The Boss View Post
      huyu alikuwa mwenyekiti wa TAA?

      mbona sikuwahi kusoma hiii?????????
      The Boss,

      Waweza kuwa ni muathirika wa mabadiliko ya mitaala yaliyofanywa na Mungai! Zamani vitabu vya historia ya ukombozi dalasa la pili Dr. Vedasto Kyaruzi alikuwemo. Lakini pia hapa JF mwaka jana kuelekea kilele cha sherehe za Uhuru tumekuwa na simulizi la Waasisi wa Tanganyika. Jaribu kulitafuta!

      Pia waweza kupata dondoo hapa http://www.mwananchi.co.tz/magazines...-historia.html
      JokaKuu, Ben Mugashe and The Boss like this.

    15. #15
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,915
      Rep Power : 2990
      Likes Received
      2547
      Likes Given
      3632

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      Quote By Pasco View Post
      P.Pango, naomba tusichanganye CCM na serikali, japo ni serikali ya CCM, lakini serikali ni serikali ya JMT na CCM ni chama cha wanachama, wapenzi na washabiki.

      Fedha TSH, Milioni 10 zilitolewa na serikali na sio na CCM.

      Serikali ilipotoa fedha zile ilikuwa na sababu na justification ikatengenezwa na kuweka precedence kumbe misiba muhimu, basi serikali hupaswa kuchangia angalau TSH. Milioni 10!.

      Fedha hizo zingetolewa na CCM kwa vile hiki ni chama tuu cha siasa, kinaweza kimchangia huyu na kisimchangie yule na hakuna wa kukiuliza kwa sababu vyama ni private entities.

      Lakini serikali ni public entitiy, kama serikali yetu ilitumia milioni 10 kumpatia Kanumba maziko stahiki kutokana na mchango wake kwa taifa hili, sisi kama public tonayo haki ya kujua jee serikali yetu imetoa kiasi gani kumpatia maziko stahiki huyu shujaa wetu wa taifa, mwanzilishi wa Taa na mpigania uhuru?. Tena kwake fedha hizo sio favour bali sasa ni right kwa precedence ya Kanumba!.
      Pasco,

      ..lakini kila wanapofanya jambo lolote lile husema ni serikali ya CCM ndiyo iliyofanya.

      ..mfano, masuala ya ukombozi wa kusini mwa Afrika nimemsikia Mkapa akisema ni CCM ndiyo waliofanya, hasemi wa-Tanzania.

      ..they like to create that confusion and it has been working for them for a while. sasa mambo yamebadilika wananchi wanaaza kuhusisha matatizo yao na CCM na serikali yake.

    16. #16
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 13,435
      Rep Power : 35816
      Likes Received
      6850
      Likes Given
      21054

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      R.I.P Kiongozi wetu,
      hawa hawakuwa mafisadi.
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    17. #17
      raybse's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd October 2010
      Posts : 93
      Rep Power : 457
      Likes Received
      13
      Likes Given
      3

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      RIP Daktari!!

    18. #18
      BINARY NO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 555
      Rep Power : 488
      Likes Received
      141
      Likes Given
      64

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      RIP babu nadhani nyie ndo mlikua wasomo wa kwanza kabisa kwani ata degree zake inaonesha ni kabla ya uhuru ..Damu ya wazalendo inapotea nadhani magamba yanafurahi kwani poin of reference hazitakuwepo live nani wa kuwakemea hakuna...poleni wafiwa na mungu amlaze mzee wetu kwa utumishi wake wooooooooooooooooooooooooooote ...AMEN

    19. #19
      BINARY NO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 555
      Rep Power : 488
      Likes Received
      141
      Likes Given
      64

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      RIP babu nadhani nyie ndo mlikua wasomi wa kwanza kabisa wakati Tanganyika inapata uhuru na sijui madaktari walikua wangapi....magamba wanafurahi kwani wazee wa chama na serikali ndo wanaisha ivyo tutegemee nchi kuuzwa katika kasi mpya,hari mpya na nguvu mpya,,,,,,,,,,

    20. #20
      Kaitampunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : Kwenye Corner
      Posts : 741
      Rep Power : 530
      Likes Received
      159
      Likes Given
      217

      Default Re: Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

      Quote By Pasco View Post
      P.Pango, naomba tusichanganye CCM na serikali, japo ni serikali ya CCM, lakini serikali ni serikali ya JMT na CCM ni chama cha wanachama, wapenzi na washabiki.

      Fedha TSH, Milioni 10 zilitolewa na serikali na sio na CCM.

      Serikali ilipotoa fedha zile ilikuwa na sababu na justification ikatengenezwa na kuweka precedence kumbe misiba muhimu, basi serikali hupaswa kuchangia angalau TSH. Milioni 10!.

      Fedha hizo zingetolewa na CCM kwa vile hiki ni chama tuu cha siasa, kinaweza kimchangia huyu na kisimchangie yule na hakuna wa kukiuliza kwa sababu vyama ni private entities.

      Lakini serikali ni public entitiy, kama serikali yetu ilitumia milioni 10 kumpatia Kanumba maziko stahiki kutokana na mchango wake kwa taifa hili, sisi kama public tonayo haki ya kujua jee serikali yetu imetoa kiasi gani kumpatia maziko stahiki huyu shujaa wetu wa taifa, mwanzilishi wa Taa na mpigania uhuru?. Tena kwake fedha hizo sio favour bali sasa ni right kwa precedence ya Kanumba!.
      Well done Pasco!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...