Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

    Report Post
    Results 1 to 19 of 19
    1. #1
      imamu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th May 2012
      Posts : 33
      Rep Power : 359
      Likes Received
      7
      Likes Given
      3

      Default Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      Am a customer of Airtel modems. I bought one after seeing the advert that the modems cost 30,000/=tshs and have free internet for six months only to realise that the advert is far from the truth. I have to recharge the modem time and again like the other usual modems. Wana jamii Tanzania inachezewa sana. Hawa airtel ni wezi kama wezi wa madini. Wanaahidi mrahaba kwa vijiji vinavyozunguka halafu hawatoi mrahaba huo. Mwenzenu nimenunua modem yao kati ya hizo wanazotangaza lakini haina hiyo internet ya bure. Nilipowauliza wakaniambia inabidi uweke vocha ya shilingi elfu 6, nikaweka hakuna kitu. Nikawapigia customer care yao wakaniambia modem yako haijaunganishwa na internet, wakanishauri niweke vocha japo ya shilingi mia tano ili waniunganishe, nikaweka hamna kitu. Kwa sasa naitumia modem hiyo kama zile za zamani kabla ya hili tangazo yaani kila inapoisha vocha naichaji. Huu sio wizi kwa Watanzania? Tunanyanyasika hivi mpka lini ndugu zangu nchi yetu wenyewe? Saidia wana jamii forum mawazo yenu.
      Steve Dii, smwakagenda and Borat69 like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Tangopori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 336
      Rep Power : 421
      Likes Received
      72
      Likes Given
      19

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      Mi mwenyewe. Wameniudhi kweli.
      GateCrasher likes this.

    4. #3
      NtakuwaSikuchukui's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 371
      Likes Received
      10
      Likes Given
      4

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      Wezi kichizi jamaa wa india,tuwe macho.
      La msingi maneno kama free internet na unlimited internet yasimamiwe na TCRA waakikishe yanatumika ipasavyo sio wananchi wanadanganywa,lugha za kitapele ndani ya ardhi yetu, free wakati unalipia na ataukilipia upati internet saa hiyo hiyo hadi saa nne usiku,sasa huku si kutesana.
      GateCrasher likes this.
      NI AFADHALI TURUDI TUONGOZWE NA B .W.MKAPA KULIKO KICHWA CHA MWANDAWAZIMU HIKI....2015 NI MBALI SANA JAMANI TUAMKE USINGIZINI.....TUFANYE TUWEZALO....MUNGU ATATUSAIDIA PALE TUTAKAPOISHIA.....

    5. #4
      Steve Dii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2007
      Location : Kihesa - Iringa
      Posts : 6,794
      Rep Power : 3278
      Likes Received
      921
      Likes Given
      2800

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie



      Prof. Nkomo wa TCRA ni mzuri sana wa kuongea kwenye makongamano. Hopefully team yake inayo-monitor kero za watu mitandaoni italitupia jicho hili tatizo na kupatiwa ufumbuzi.

      Promotions wa kadhaa tunazosikia na kuona mitandaoni, magazetini, kwenye luninga, n.k. huduma zake haziendani na kile kinachotangazwa. Bila shaka, huu ni mfano mmojawapo wa huduma zinazohadaa jamii.
      Shomari and GateCrasher like this.



      Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

      Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.



    6. #5
      Steve Dii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2007
      Location : Kihesa - Iringa
      Posts : 6,794
      Rep Power : 3278
      Likes Received
      921
      Likes Given
      2800

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      Quote By NtakuwaSikuchukui
      Wezi kichizi jamaa wa india,tuwe macho.
      La msingi maneno kama free internet na unlimited internet yasimamiwe na TCRA waakikishe yanatumika ipasavyo sio wananchi wanadanganywa,lugha za kitapele ndani ya ardhi yetu, free wakati unalipia na ataukilipia upati internet saa hiyo hiyo hadi saa nne usiku,sasa huku si kutesana.
      NtakuwaSikuchukui, Unahoja ya msingi kwenye kutesana huku. Ila sidhani kama huo "uhindi", "uchina", "uzungu",au "ukenya" wao unasababisha huku kutesana, kama siyo usimamizi hafifu na uwajibikaji duni wa taasisi na vyombo husika ndani ya mipaka ya nchi yetu. Maana sheria zipo na watu wanalipwa mishahara kufatilia mambo kama haya, ila 'ndo hivyo tena...!
      GateCrasher likes this.



      Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

      Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.



    7. Miaka 50

    8. #6
      MATESLAA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Location : KINONDONI STUDIO
      Posts : 1,252
      Rep Power : 643
      Likes Received
      62
      Likes Given
      32

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      Mimi nimerudi kwenye ka moderm kangu ka sasatel najilia raha
      GateCrasher likes this.

    9. #7
      imamu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th May 2012
      Posts : 33
      Rep Power : 359
      Likes Received
      7
      Likes Given
      3

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      Tena tangazo lao hili hapa juu ya threads zetu, waongo na wezi wakubwa hao. Waziri husika kamata mwizi men, au mpaka msubiri bunge liunde kamati jamani. TCRA, TRA mpo? Hao wanaweza kukwepa kodi wakijidai walikuwa kwenye promotions kumbe wanauza bidhaa kama kawa. Wezi haoooooooooooooo, sijui nipige lwange au niache. Kamateni hao haraka sana watueleze sababu za kutuchezea watanzania.

    10. #8
      Sigma's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,258
      Rep Power : 0
      Likes Received
      914
      Likes Given
      613

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      mimcho tu

    11. #9
      kijiichake's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Location : Moshi
      Posts : 193
      Rep Power : 474
      Likes Received
      33
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By imamu
      Tena tangazo lao hili hapa juu ya threads zetu, waongo na wezi wakubwa hao. Waziri husika kamata mwizi men, au mpaka msubiri bunge liunde kamati jamani. TCRA, TRA mpo? Hao wanaweza kukwepa kodi wakijidai walikuwa kwenye promotions kumbe wanauza bidhaa kama kawa. Wezi haoooooooooooooo, sijui nipige lwange au niache. Kamateni hao haraka sana watueleze sababu za kutuchezea watanzania.
      waziri husika mwenyewe ni jizi kuliko hao, je? Jizi likamata jizi lenzake kutatokea nini? Kama sio kugawana nyara? Magamba wote ni majambazi.

    12. #10
      kitenuly's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 304
      Rep Power : 420
      Likes Received
      48
      Likes Given
      182

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      Quote By Steve Dii


      Prof. Nkomo wa TCRA ni mzuri sana wa kuongea kwenye makongamano. Hopefully team yake inayo-monitor kero za watu mitandaoni italitupia jicho hili tatizo na kupatiwa ufumbuzi.

      Promotions wa kadhaa tunazosikia na kuona mitandaoni, magazetini, kwenye luninga, n.k. huduma zake haziendani na kile kinachotangazwa. Bila shaka, huu ni mfano mmojawapo wa huduma zinazohadaa jamii.
      Imekuwa tabia ya watawala misonge kuongea sana, na wakiongea ni mantiki kweli njoo kwenye utekelezaji, ni longo longo na ufisadina, Iam also the victim, wana hidden term zao, hivyo ni wizi wa mchana.
      Steve Dii likes this.

    13. leh
      #11
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 682
      Rep Power : 773
      Likes Received
      260
      Likes Given
      12

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      dictionary yangu inasema kwamba maana ya free ni exempt from external authority, interference, restriction, etc.,; independent; unrestricted.
      sasa, kama kuna masharti hapo pembeni kama weka vocha ya sijui buku sita, how is that free?? na sio airtel tu, hata hizi mitandao zingine zina offer za "free" na masharti. wabongo tutadanganywa mpaka lini?? huu sio wizi mdogo
      "I am doing that which I cannot do, in order that I may learn how to do it." -Picaso
      "I trust everybody, it's the inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)

    14. #12
      Mpigaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2011
      Posts : 381
      Rep Power : 496
      Likes Received
      39
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By imamu
      Am a customer of Airtel modems. I bought one after seeing the advert that the modems cost 30,000/=tshs and have free internet for six months only to realise that the advert is far from the truth. I have to recharge the modem time and again like the other usual modems. Wana jamii Tanzania inachezewa sana. Hawa airtel ni wezi kama wezi wa madini. Wanaahidi mrahaba kwa vijiji vinavyozunguka halafu hawatoi mrahaba huo. Mwenzenu nimenunua modem yao kati ya hizo wanazotangaza lakini haina hiyo internet ya bure. Nilipowauliza wakaniambia inabidi uweke vocha ya shilingi elfu 6, nikaweka hakuna kitu. Nikawapigia customer care yao wakaniambia modem yako haijaunganishwa na internet, wakanishauri niweke vocha japo ya shilingi mia tano ili waniunganishe, nikaweka hamna kitu. Kwa sasa naitumia modem hiyo kama zile za zamani kabla ya hili tangazo yaani kila inapoisha vocha naichaji. Huu sio wizi kwa Watanzania? Tunanyanyasika hivi mpka lini ndugu zangu nchi yetu wenyewe? Saidia wana jamii forum mawazo yenu.
      Kwa kuwa watanzania mnapenda vya BURE BURE na wao wakaamua kuwala kiulaini!!!!MSIPENDE VYA CHEE!

    15. #13
      Borat69's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Location : Global Citizen
      Posts : 698
      Rep Power : 488
      Likes Received
      279
      Likes Given
      77

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      Quote By Steve Dii


      Prof. Nkomo wa TCRA ni mzuri sana wa kuongea kwenye makongamano. Hopefully team yake inayo-monitor kero za watu mitandaoni italitupia jicho hili tatizo na kupatiwa ufumbuzi.

      Promotions wa kadhaa tunazosikia na kuona mitandaoni, magazetini, kwenye luninga, n.k. huduma zake haziendani na kile kinachotangazwa. Bila shaka, huu ni mfano mmojawapo wa huduma zinazohadaa jamii.
      Hili jamaa nalo ni JIIZI na DHAIFU mnooo. Utendaji ni wa KIHUNI tu. Hakutakuwa na jipya mpaka Tanzania kutakapokuwa na mfumo wa uwajibikaji au kuwawajibisha haya MAJIZI kwa manufaa ya UMMA.
      "Our Lives begin to End the Day We Become Silent About Things that Matter"-Dr Martin Luther King Jr.

    16. #14
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      wezi wakubwa hawa, wakishakuuzia mbuzi kwenye gunia huwaoni tena matapeli hawa

    17. #15
      Borat69's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Location : Global Citizen
      Posts : 698
      Rep Power : 488
      Likes Received
      279
      Likes Given
      77

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      Moderator,naomba kwa niaba ya wanaJF kwa kuwa hilo tangazo Lao la Huduma husika limethibitishwa ni la kidanganyifu na Wizi,nafikiri ingekuwa Jambo la busara kuondoa Hilo tangazo lao kwenye hili Jamvi Tukufu. Maana JF inasimamia ukweli na Haki...na hapa sidhani Kama hiyo kampuni husika imeeleza ukweli na Kutenda Haki kwa wateja wake.
      Natanguliza shukrani.
      "Our Lives begin to End the Day We Become Silent About Things that Matter"-Dr Martin Luther King Jr.

    18. #16
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,804
      Rep Power : 11185
      Likes Received
      6991
      Likes Given
      5170

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      tcra imewekwa mfukoni na makmpuni ya simu za mikononi, yanafanya kila aina ya wizi wa kimachomacho bila kuchukuliwa hatua zozote

    19. #17
      Sometimes's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2010
      Posts : 1,357
      Rep Power : 757
      Likes Received
      229
      Likes Given
      39

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      Ni wezi kweli! Mimi tarehe 12/6/2012 nilinunua modemu yao kule Mwanza kwa Tshs.30,000/- na kifurushi cha Tshs.10,000/- kwa mwezi mmoja. Nimeanza kutumia tarehe 14-15/6/2012 kwa kuangalia emails na JF. Ajabu, tarehe 16/6 kifurushi kilishayoyoma nami siku "download" kitu chochote. Hiyo kama haitoshi, tarehe 18/6 nikaweka kifurushi kingine cha Shs.10,000/- nacho kiliisha siku hiyo hiyo wakati siku "download" kitu chochote! Nimeamua sasa kuweka cha Siku moja kwa Shs.500/- angalau hakikatiki mapema. Hata maana ya "Mkongo wa Taifa" siuoni hapa Tanzania kama hali ni ile ile ya wakati wanatumia "satelite"!

    20. #18
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      Wahuni sana hao!

    21. #19
      dfreym's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Posts : 279
      Rep Power : 593
      Likes Received
      49
      Likes Given
      164

      Default Re: Airtel stop lies. Hizi modem hazina free internet; wezi wakubwa nyie

      still a lier,still a lier, vodacom lier... still a lier na airtel lier..... still a lier.. hata tigo lier...... still a lier.... zantel pia lier.... still a lier........ miaka siyo shidaaa, they are still liers, ............ just a litle older..... still a lier.... taabia ni zile zilee....... tabia ni zie ziilee,........ na wezi ni wale wale,.....
      If money doesn’t grow on trees then why banks have branches?

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...