Sasa hii too much hadi salio duh, Juzi asubuhi nilikuwa na 2000 kwenye simu ghafla nikaona net imepotea kutazama salio nakuta zero sikupiga simu wala sms na sijakopa nimelalamika tangu Juzi mpaka leo naambiwa tatizo linashughulikiwa mpaka lini Mnaboa

Reply With Quote


Follow Us Here