Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nini msaada wa recruitments agents kwa vijana wa kitanzania?

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      libby's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 18th January 2010
      Posts : 8
      Rep Power : 476
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Nini msaada wa recruitments agents kwa vijana wa kitanzania?

      Tanzania sasa limeibuka limbi la makampuni yanayojiita Recruitment Agents eg Epic, Rada recruitment,Erolink,Infinity communication,etc...wamekamata nafasi zote za kazi kwa makampuni binafsi kiasi kwamba vijana wa kitanzania wanaomalizia vyuoni kupata ajira imekuwa kama ndoto...ni mpaka upitie kwa haya makampuni ndio upate kazi.
      matatizo ya haya makampuni ni kama yafuatayo.
      1. WEZI- wanaibia vijana especially wale fresh from school.wanawapa kazi ngumu kwa mshahara mdogo na wenye makato yasiyoeleweka .
      2. WABABAISHAJI- Mishahara hiyo midogo isiyoendana na viwango vya elimu za hawa vijana haileweki siku ya kutoka, mara tarehe 28,30,2,5 hata 15 ya mwezi mwengine.
      3. UNDUGU/URAFIKI- Wanapeana kazi,vyeo na madaraka kiundugu,kirafiki yaani hamna haki inafuuatwa. mfano,unakuta Financial manager anadiploma ama ndio kwanza yupo chuo analipwa 1.6M -2M Wakati kuna kijana ana masters, postgraduate diploma au hata bachelor degree wanampa kazi ya customer care na mshahara laki 3?
      4. HAWAJUI SHERIA ZA KAZI- Wanaajiri vijana kwa mkataba wa customer care wa mwaka mmoja,katikati wanampeleka kwenye post nyengine yenye kazi nyingi zaidi kwa mkataba ule ule.Ni elimu ndogo walionao viongozi wa haya makampuni kama Rada,Brightday au Infinity communication.

      NINA MENGE ILA UKWELI NI KWAMBA HAYA MAKAMPUNI HAYANA FAIDA YOYOTE KWA VIJANA, NI WEZI, WANAHARIBU SOKO LA AJIRA NA KUSHUSHA KIWANGO CHA MISHAHARA NA UTENDAJI WA KAZI PIA, KAMA MFANYAKAZI HARIDHIKI NA MSHAHARA, MAZINGIRA YA KAZI HATOFANYA KAZI KWA MOYO MMOJA.

      YAFUNGWE IKIWEZEKANA, HATUYAHITAJI.
      WEZI

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,524
      Rep Power : 1797
      Likes Received
      654
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By libby
      Tanzania sasa limeibuka limbi la makampuni yanayojiita Recruitment Agents eg Epic, Rada recruitment,Erolink,Infinity communication,etc...wamekamata nafasi zote za kazi kwa makampuni binafsi kiasi kwamba vijana wa kitanzania wanaomalizia vyuoni kupata ajira imekuwa kama ndoto...ni mpaka upitie kwa haya makampuni ndio upate kazi.
      matatizo ya haya makampuni ni kama yafuatayo.
      1. WEZI- wanaibia vijana especially wale fresh from school.wanawapa kazi ngumu kwa mshahara mdogo na wenye makato yasiyoeleweka .
      2. WABABAISHAJI- Mishahara hiyo midogo isiyoendana na viwango vya elimu za hawa vijana haileweki siku ya kutoka, mara tarehe 28,30,2,5 hata 15 ya mwezi mwengine.
      3. UNDUGU/URAFIKI- Wanapeana kazi,vyeo na madaraka kiundugu,kirafiki yaani hamna haki inafuuatwa. mfano,unakuta Financial manager anadiploma ama ndio kwanza yupo chuo analipwa 1.6M -2M Wakati kuna kijana ana masters, postgraduate diploma au hata bachelor degree wanampa kazi ya customer care na mshahara laki 3?
      4. HAWAJUI SHERIA ZA KAZI- Wanaajiri vijana kwa mkataba wa customer care wa mwaka mmoja,katikati wanampeleka kwenye post nyengine yenye kazi nyingi zaidi kwa mkataba ule ule.Ni elimu ndogo walionao viongozi wa haya makampuni kama Rada,Brightday au Infinity communication.

      NINA MENGE ILA UKWELI NI KWAMBA HAYA MAKAMPUNI HAYANA FAIDA YOYOTE KWA VIJANA, NI WEZI, WANAHARIBU SOKO LA AJIRA NA KUSHUSHA KIWANGO CHA MISHAHARA NA UTENDAJI WA KAZI PIA, KAMA MFANYAKAZI HARIDHIKI NA MSHAHARA, MAZINGIRA YA KAZI HATOFANYA KAZI KWA MOYO MMOJA.

      YAFUNGWE IKIWEZEKANA, HATUYAHITAJI.
      WEZI
      Wajua kuna wengine wana shida kweli ya kazi wengine wanapoteza muda hasa kazi za customer care imekuwa ni kijiwe cha kuzugia!!kama unaona unanyanyaswa kuna vyombo vingi kukusaidia....nenda TAMWA,TAWLA utasaidiwa mawazo ya kisheria uwashitaki kama wanaenda tofauti na mkataba.
      Ila wengi wamepita hivyo na sasa wako mbali,pale unapata reference yako zikitoka kazi nzuri sehemu huwezi kukosa.....hujalazimishwa wala kufungwa kamba!tafuta haki kwa kufuata sheria na utaratibu si kulalamika bila kujenga hoja za kisheria!!ushauri tu napita
      mfianchi likes this.

    4. #3
      TumainiEl's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Posts : 512
      Rep Power : 578
      Likes Received
      92
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By libby
      Tanzania sasa limeibuka limbi la makampuni yanayojiita Recruitment Agents eg Epic, Rada recruitment,Erolink,Infinity communication,etc...wamekamata nafasi zote za kazi kwa makampuni binafsi kiasi kwamba vijana wa kitanzania wanaomalizia vyuoni kupata ajira imekuwa kama ndoto...ni mpaka upitie kwa haya makampuni ndio upate kazi.
      matatizo ya haya makampuni ni kama yafuatayo.
      1. WEZI- wanaibia vijana especially wale fresh from school.wanawapa kazi ngumu kwa mshahara mdogo na wenye makato yasiyoeleweka .
      2. WABABAISHAJI- Mishahara hiyo midogo isiyoendana na viwango vya elimu za hawa vijana haileweki siku ya kutoka, mara tarehe 28,30,2,5 hata 15 ya mwezi mwengine.
      3. UNDUGU/URAFIKI- Wanapeana kazi,vyeo na madaraka kiundugu,kirafiki yaani hamna haki inafuuatwa. mfano,unakuta Financial manager anadiploma ama ndio kwanza yupo chuo analipwa 1.6M -2M Wakati kuna kijana ana masters, postgraduate diploma au hata bachelor degree wanampa kazi ya customer care na mshahara laki 3?
      4. HAWAJUI SHERIA ZA KAZI- Wanaajiri vijana kwa mkataba wa customer care wa mwaka mmoja,katikati wanampeleka kwenye post nyengine yenye kazi nyingi zaidi kwa mkataba ule ule.Ni elimu ndogo walionao viongozi wa haya makampuni kama Rada,Brightday au Infinity communication.

      NINA MENGE ILA UKWELI NI KWAMBA HAYA MAKAMPUNI HAYANA FAIDA YOYOTE KWA VIJANA, NI WEZI, WANAHARIBU SOKO LA AJIRA NA KUSHUSHA KIWANGO CHA MISHAHARA NA UTENDAJI WA KAZI PIA, KAMA MFANYAKAZI HARIDHIKI NA MSHAHARA, MAZINGIRA YA KAZI HATOFANYA KAZI KWA MOYO MMOJA.

      YAFUNGWE IKIWEZEKANA, HATUYAHITAJI.
      WEZI
      Hili nitatizo kubwa na nina shangaa kwanini serikal ipo kimya kias hiki, vijana ktk umri wao mdogo wanaanza kaz kwa mikataba mifupi,mifupi je future yao itakuwaje? Huu ni wizi na ubadhirifu mkubwa ktk soko la ajira nawaza ni nani alie kubaliana na huu mpango wakijinga kiasi hiki. Inauma nakukera sana kuona watanzania vijana wanakuwa ktk ajira za mashaka. Sheria zipo wapi? Viongoz wapo wapi wa taifa hili?? Ee Mungu tusaidie.

    5. #4
      TumainiEl's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Posts : 512
      Rep Power : 578
      Likes Received
      92
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Skills4Ever
      Wajua kuna wengine wana shida kweli ya kazi wengine wanapoteza muda hasa kazi za customer care imekuwa ni kijiwe cha kuzugia!!kama unaona unanyanyaswa kuna vyombo vingi kukusaidia....nenda TAMWA,TAWLA utasaidiwa mawazo ya kisheria uwashitaki kama wanaenda tofauti na mkataba.
      Ila wengi wamepita hivyo na sasa wako mbali,pale unapata reference yako zikitoka kazi nzuri sehemu huwezi kukosa.....hujalazimishwa wala kufungwa kamba!tafuta haki kwa kufuata sheria na utaratibu si kulalamika bila kujenga hoja za kisheria!!ushauri tu napita
      WEWE NI MMOJA WAO! Tunakujuwa

    6. #5
      nziriye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2011
      Posts : 689
      Rep Power : 559
      Likes Received
      32
      Likes Given
      7

      Default

      i hate erolink much,kwanza hawatoi mkataba wa kazi,pili wadada wa pale mapokezi wabantu kama mie wanaringa lol,yani kitambulisho cha kazi wanasumbua .njoo kesho,hr ayupo...na kinachokera zaidi upo voda,kitambulisho kimeandikwa erolink kamba yake hyo id ni ya voda,asilimia 95.9 huwa hawavai id nje ya premises za pale mlimani city....naunga mkono hoja inabidi haya makampuni yapigwe ban.

    7. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...