Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Rutunga M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2009
      Posts : 662
      Rep Power : 651
      Likes Received
      152
      Likes Given
      87

      Default Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      Kwa kweli kama kuna kitu ambacho sijui ni ushamba,kukosa picha/habari au matukio ,blogs zote za TZ zinakopy matukio kutoka moja kwenda nyingine.

      ni nadra sana kuona picha au tukio moja katika blog x na husiikite katika blog y kwa nini?

      naongelea hasa zile blogs maarufu
      Kwa Tanzania Masuala ya Uongo yanaaminiwa sana kuliko Masuala ya Ukweli !

    2. Miaka 50

    3. #2
      qq.com's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2012
      Posts : 327
      Rep Power : 859
      Likes Received
      96
      Likes Given
      80

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      mbona hiyo kawaida kwa tz
      huoni hata magazeti,tv,radio nk
      Remote likes this.
      @FFID9M N=DEND9

    4. #3
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,196
      Rep Power : 5100
      Likes Received
      2776
      Likes Given
      231

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      hakuna vitendea kazi..

    5. #4
      qq.com's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2012
      Posts : 327
      Rep Power : 859
      Likes Received
      96
      Likes Given
      80

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      Quote By ndetichia
      hakuna vitendea kazi..
      kama nini?

      unapoamua kuwa blogger si kazi ya kuw na fursa ya moderm na laptop tu hii ni kazi/ajira watu wengi hawajui hilo
      @FFID9M N=DEND9

    6. #5
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,908
      Rep Power : 5059
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2635

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      Wanaboa sana,ukiangalia michuzi hauna haja kuangalia jiachie wala ngowi yani ni yaleyale bora mange anajitahidi.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,921
      Rep Power : 24139
      Likes Received
      4642
      Likes Given
      2628

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      Quote By King Kong III
      Wanaboa sana,ukiangalia michuzi hauna haja kuangalia jiachie wala ngowi yani ni yaleyale bora mange anajitahidi.
      Kwa kusema uwongo?

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    9. #7
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,513
      Rep Power : 19750
      Likes Received
      5441
      Likes Given
      3638

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      Quote By King Kong III
      Wanaboa sana,ukiangalia michuzi hauna haja kuangalia jiachie wala ngowi yani ni yaleyale bora mange anajitahidi.
      Hapa ndipo unaweza kumrahisishia mtu makini ajuwe wewe ni mtu wa viwango gani!!...
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    10. #8
      gwambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 149
      Rep Power : 435
      Likes Received
      32
      Likes Given
      41

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      Ngoja mi nipite kwanza

    11. #9
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,024
      Rep Power : 9492
      Likes Received
      3149
      Likes Given
      1224

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      Wanakosa cha kuweka ndo maana wanaamua kufanya copy and paste utaona blogs zote picha ni hiyo hiyo/ hizo hizo
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    12. #10
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,908
      Rep Power : 5059
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2635

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      Safari_ni_Safari na Matola nachokoza mada tu.

    13. #11
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2865

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      Quote By Rutunga M
      Kwa kweli kama kuna kitu ambacho sijui ni ushamba,kukosa picha/habari au matukio ,blogs zote za TZ zinakopy matukio kutoka moja kwenda nyingine.

      ni nadra sana kuona picha au tukio moja katika blog x na husiikite katika blog y kwa nini?

      naongelea hasa zile blogs maarufu
      Hata mimi zamani nilifiiiri hivi hivi. Lakini baada ya kuwa kwenye mafunzo kwa vitendo katika gazeti moja maarufu nchini Marekani nikiwa chuoni, nilikuja kufahamu hata nchi za wenzetu ni jambo la kawaida kutokana na mfumo wa upatikanaji wa habari. Huko ng'ambo wengi huandika habari kutokana na source nyingi za online. Ingawa hawa wanaotuma habari online hudai malipo, kwa asiyelipia hawezi kupublish habari hiyo gazetini au audience nyingine.

      Kwetu tunaona kama jambo jipya lakini ni la kawaida.

    14. #12
      bona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2009
      Location : tanzania
      Posts : 982
      Rep Power : 681
      Likes Received
      85
      Likes Given
      235

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      lisikitishwa na news za michezo, nikiwa kama mpenzi wa michezo nashangaa kwa mfano magazeti kama sports starehe, dimba nk habari zao zote ni mtu amekaa kwenye net anacopy one to one ( kwa waliosoma hesabu wataelewa kwa urahisi ) anatafsiri lugha tu! yaani full wala habadili hata kionjo!
      ... if it is a Miracle, any sort of evidence will answer, but if it is a Fact, proof is necessary.

    15. #13
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,568
      Rep Power : 857
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2906

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      uko sahihi mkuu, mfano michuzi,jiachie,mtaa kwa mtaa! cjui hata kwanini asingebaki na blog moja,kanyumbulisha cjui "juniour" wanaandika yale yale, nyambaf kabisa!
      Who Jah bless, No one Curse!

    16. #14
      Zurii's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th March 2012
      Posts : 64
      Rep Power : 376
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      kwa upeo wangu na katika kuchunguza hizi blogs nimegundua kwamba habari nyingi huwa wanatumiwa na wahusika na si kucopy na kupaste kama unavyo fikiria nadhani waulize wahusika utambiwa. Utakuta mtu anahabari yake basi anaituma kwa bloggers wote kupiti amailing list yake na ikumbukwe kila blog inawasomaji wake kuna wengine hawaingii kwa michuzi au kwa mjengwa so ikiwekwa kwingine ambako wanaingia wanapata kuisoma habari. Kuna matukio mengine huwezi kuzuia mfano msiba wa kanumba nayo utasema ni copy&paste? Ingia BBC, CNN na websites zingine utakuta kuna habari kibao zinafnana tofauti utakuta ni unadikaji wa habari lakini habari ndo hiyo hiyo.

    17. #15
      Rakeem's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th August 2011
      Posts : 33
      Rep Power : 399
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Tatizo la COPY&PASTE kwa Ma-Bloggers wa Tanzania!

      LABDA TEMBELEA HII UONE TOFAITI Tanzania's Ultimate Property blog

    18. #16
      Mkereketwa_Huyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2011
      Location : London | Dar Es Salaam
      Posts : 1,762
      Rep Power : 4576
      Likes Received
      566
      Likes Given
      385

      Default

      Quote By Rutunga M
      Kwa kweli kama kuna kitu ambacho sijui ni ushamba,kukosa picha/habari au matukio ,blogs zote za TZ zinakopy matukio kutoka moja kwenda nyingine.

      ni nadra sana kuona picha au tukio moja katika blog x na husiikite katika blog y kwa nini?

      naongelea hasa zile blogs maarufu


      Ndiyo uone wabongo walivyo, yaani hawana mbinu za kuwa unique. Wanajifanyia vitu kama vile wasanii wa fleva, kuigana. Inakera sana!

    19. #17
      Mkereketwa_Huyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2011
      Location : London | Dar Es Salaam
      Posts : 1,762
      Rep Power : 4576
      Likes Received
      566
      Likes Given
      385

      Default

      Quote By King Kong III
      Wanaboa sana,ukiangalia michuzi hauna haja kuangalia jiachie wala ngowi yani ni yaleyale bora mange anajitahidi.
      Naona umelewa. Mange, what the ****? Demu hana akili na hajawahi tu kuwa na akili maishani mwake. Uliza waliosoma naye utapata data zake. That's why she's acting the way she's acting. You can never take her seriously unless you too are useless.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...