Kwa kweli kama kuna kitu ambacho sijui ni ushamba,kukosa picha/habari au matukio ,blogs zote za TZ zinakopy matukio kutoka moja kwenda nyingine.
ni nadra sana kuona picha au tukio moja katika blog x na husiikite katika blog y kwa nini?
naongelea hasa zile blogs maarufu

Reply With Quote



Follow Us Here