Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 32
    1. #1
      manutddevil's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 358
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Habari kutoka chanzo cha kuaminika zinasema kuwa, mzee mmmoja anayejulikana kwa jina la Nzuankende Kitundu almaarufu kwa jina la MBUNGE wa Kijiji cha misigiri wilayani Iramba mkoani Singida amehama chama chake cha CCM na kuhamia CHADEMA.

      Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Mbunge huyo zinasema kuwa amehamia CHADEMA kutokana na tohuma mbalimbali za ufisadi zinazoelekezwa CCM ambazo yeye aliziita ni za kweli.

      Aidha Mbunge huyo aliendelea kusema kuwa wakati umefika sasa wa Ukombozi wa Taifa la Tanzania na hivyo kutoa wito kwa watanzania wote wenye mapenzi ya dhati na Taifa hili kuhamia CHADEMA kwani wameonesha wana nia ya Dhati ya ukombozi wa Watanzania.

    2. RukaaJuu Final

    3. LAT
      #2
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      hongera sana mzee mbunge

    4. #3
      mchambakwao's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th December 2011
      Posts : 77
      Rep Power : 391
      Likes Received
      12
      Likes Given
      18

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Huyo ana impact gani huko Iramba hata akahamia upinzani au ndo wale wale wachumia matumbo?

    5. #4
      AirTanzania's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Location : Uwanja Wa Ndege
      Posts : 769
      Rep Power : 537
      Likes Received
      248
      Likes Given
      813

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Hizi post zenu nyingi na vichwa vya habari haziendani kabisa, uwe unakula mchana kabla hujaposti kitu chochote ili akili zako zikae sawa na ujue unachokiandika sio unakimbilia kupost kama Pasco
      Matola likes this.
      CCM to me is like al Qaeda or al Shabaab, terrorize the nation and his people.CCM is an organization of thug regime lead by criminal and corrupt, put in power by NEC

    6. #5
      Babuu Rogger's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 234
      Rep Power : 426
      Likes Received
      35
      Likes Given
      2

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Ninampongeza sana, NOTHING TO LOSE.

    7. Miaka 50

    8. #6
      manutddevil's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 358
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      huyu mzee anaenfluence kubwa sana katika kijiji cha misigiri

    9. #7
      sun wu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 1,970
      Rep Power : 7747
      Likes Received
      1087
      Likes Given
      256

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Na yule chizi anayejulikana kwa jina maarufu kama Raisi wa Tanzania sijui lini atahamia Chadema
      Opportunities Multiply as they are Seized Sun Tzu

    10. #8
      thandiswa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 86
      Rep Power : 376
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Kama ni kweli tunawakaribisha kwa moyo mmoja,coz mapambano yanaendelea!

    11. #9
      manutddevil's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 358
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      we gamba nn

    12. #10
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,411
      Rep Power : 993
      Likes Received
      775
      Likes Given
      261

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Mtoa mada umenirusha roho sana!
      manutddevil likes this.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    13. #11
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,632
      Rep Power : 2007
      Likes Received
      1651
      Likes Given
      1622

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Mbunge!!

    14. #12
      manutddevil's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 358
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Quote By AirTanzania
      Hizi post zenu nyingi na vichwa vya habari haziendani kabisa, uwe unakula mchana kabla hujaposti kitu chochote ili akili zako zikae sawa na ujue unachokiandika sio unakimbilia kupost kama Pasco
      gamba nn

    15. #13
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Quote By manutddevil
      Habari kutoka chanzo cha kuaminika zinasema kuwa, mzee mmmoja anayejulikana kwa jina la Nzuankende Kitundu almaarufu kwa jina la MBUNGE wa Kijiji cha misigiri wilayani Iramba mkoani Singida amehama chama chake cha CCM na kuhamia CHADEMA.

      Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Mbunge huyo zinasema kuwa amehamia CHADEMA kutokana na tohuma mbalimbali za ufisadi zinazoelekezwa CCM ambazo yeye aliziita ni za kweli.

      Aidha Mbunge huyo aliendelea kusema kuwa wakati umefika sasa wa Ukombozi wa Taifa la Tanzania na hivyo kutoa wito kwa watanzania wote wenye mapenzi ya dhati na Taifa hili kuhamia CHADEMA kwani wameonesha wana nia ya Dhati ya ukombozi wa Watanzania.
      Mkuu ahsante kwa taarifa hii kwani inazidi kunipa uhakika kuwa sasa Wanyiramba na Wanyisanzu wanataka ukombozi wa kweli. Pia mpe hizi salam fataki Mwigulu na Salome.
      manutddevil likes this.

    16. #14
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,871
      Rep Power : 7036
      Likes Received
      2038
      Likes Given
      1570

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      I see! Wewe umesoma chuo cha uandishi wa habari cha shigongo nini? Mbona watu mnatulazimisha tusome habari zenu hata kama hazina mvuto? Yaani nimeingia mbio nikijua Mwigulu ndiyo kahamia CHADEMA!
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    17. #15
      manutddevil's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 358
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Quote By MNYISANZU
      Mkuu ahsante kwa taarifa hii kwani inazidi kunipa uhakika kuwa sasa Wanyiramba na Wanyisanzu wanataka ukombozi wa kweli. Pia mpe hizi salam fataki Mwigulu na Salome.
      usijali ndugu salamu zako zitafika kama zilivyo

    18. #16
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 4,598
      Rep Power : 6852
      Likes Received
      1037
      Likes Given
      131

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Hongera Mbunge moto ulio washwa wa ukombozi hauzimwi kwa kupulizwa
      Mwisho wa Ubaya Aibu.

    19. #17
      Lucas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2011
      Location : Ng'whani
      Posts : 2,136
      Rep Power : 14968
      Likes Received
      931
      Likes Given
      481

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Frankly naomba ku-declare kuwa, SIZIPENDI THREAD ZA NAMNA HII! hivi karibuni kuna mwingine alianzisha NAPE ahamia chadema... kwanini usiwe direct katika unachotaka kukisema badala ya ku-play na mind za watu?

      I wish mods wasiruhusu thread za namna hii

      hebu pata picha mtu kasoma heading halafu salio likakata kabla ya kusoma habari yenyewe! si unataka aka-preach nini mtaani?

      please be matured

    20. #18
      Lily Flower's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2009
      Location : Garden
      Posts : 2,479
      Rep Power : 20817
      Likes Received
      1076
      Likes Given
      1617

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Quote By MNYISANZU
      Mkuu ahsante kwa taarifa hii kwani inazidi kunipa uhakika kuwa sasa Wanyiramba na Wanyisanzu wanataka ukombozi wa kweli. Pia mpe hizi salam fataki Mwigulu na Salome.
      Hii kabila kumbe linajulikana mie nilifikiri halijulikani kabisa, maana ukimwambia mtu mie Mnyisanzu anabaki kushangaa.

      MY LOVE IS YOUR LOVE.

    21. LAT
      #19
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default

      Quote By Smiling Saint
      Frankly naomba ku-declare kuwa, SIZIPENDI THREAD ZA NAMNA HII! hivi karibuni kuna mwingine alianzisha NAPE ahamia chadema... kwanini usiwe direct katika unachotaka kukisema badala ya ku-play na mind za watu?

      I wish mods wasiruhusu thread za namna hii

      hebu pata picha mtu kasoma heading halafu salio likakata kabla ya kusoma habari yenyewe! si unataka aka-preach nini mtaani?

      please be matured
      teh teh teh ..... usipende kukimbilia thread ... fungua thread ukitegemea lolote lile ...

    22. #20
      Paul Kijoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2010
      Location : KIMARA, DAR
      Posts : 1,337
      Rep Power : 702
      Likes Received
      226
      Likes Given
      172

      Default re: Anayejiita "mbunge" Iramba Magharibi ahamia CHADEMA!

      Quote By Smiling Saint
      Frankly naomba ku-declare kuwa, SIZIPENDI THREAD ZA NAMNA HII! hivi karibuni kuna mwingine alianzisha NAPE ahamia chadema... kwanini usiwe direct katika unachotaka kukisema badala ya ku-play na mind za watu?

      I wish mods wasiruhusu thread za namna hii

      hebu pata picha mtu kasoma heading halafu salio likakata kabla ya kusoma habari yenyewe! si unataka aka-preach nini mtaani?

      please be matured
      Du! Inasikitisha kufanya jukwaa hili linaloheshimika kuwa kichaka cha heading za UDAKU! Mleta mada anatakiwa ajue kuwa huku ni sehemu ya facts tu si sehemu ya kuleta upuuzi bwn. Alivyotengeneza heading haijapendeza kabisa.
      Lucas likes this.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...