Jaman! Mzungu ametuita waafrica third world country, jina hili silipendi ila basi tu. Lakini bado utamkuta sharobaro nchi za ng'ambo anaziita mbele. Mi naona huu ni ujinga hv kama ulaya ndo mbele, nyuma wapi?
Jaman! Mzungu ametuita waafrica third world country, jina hili silipendi ila basi tu. Lakini bado utamkuta sharobaro nchi za ng'ambo anaziita mbele. Mi naona huu ni ujinga hv kama ulaya ndo mbele, nyuma wapi?
Jaman! Mzungu ametuita waafrica third world country, jina hili silipendi ila basi tu. Lakini bado utamkuta sharobaro nchi za ng'ambo anaziita mbele. Mi naona huu ni ujinga hv kama ulaya ndo mbele, nyuma wapi?
Mmmmmmh_pole mkuu,,..lakn ndio ukweli ingawa ni unauma...tusali/tunaabudu kikwao,tunaimba kikwao,tunatembea kikwao,tunavaa kikwao,tunaongea kikwao etc...etc...
"We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"
Jaman! Mzungu ametuita waafrica third world country, jina hili silipendi ila basi tu. Lakini bado utamkuta sharobaro nchi za ng'ambo anaziita mbele. Mi naona huu ni ujinga hv kama ulaya ndo mbele, nyuma wapi?
Nyuma ni Africa, Asia, etc . baada ya marekani na ulaya. Pendekeza jina basi with reference to economic development. Naona ni jina sahihi. Tupo nafasi ya tatu nyuma kimaendeleo. Unataka waseme mfalme amevaa nguo nzuri wakati yupo uchi!!!
Nyuma ni Africa, Asia, etc . baada ya marekani na ulaya. Pendekeza jina basi with reference to economic development. Naona ni jina sahihi. Tupo nafasi ya tatu nyuma kimaendeleo. Unataka waseme mfalme amevaa nguo nzuri wakati yupo uchi!!!
kiuchumi wakat mali zenyewe za kwetu,madin na v2 kibao.tujipe heshma tujithamini.mf asia ni second world country bt lini walijiita hivyo?
Follow Us Here