Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chonde wanasisa, tamaa na ubinafsi wenu ni mauti kwetu

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      Chatumkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Location : DOM
      Posts : 1,384
      Rep Power : 974
      Likes Received
      184
      Likes Given
      166

      Default Chonde wanasisa, tamaa na ubinafsi wenu ni mauti kwetu

      Juzi nililazimika kumsidikiza rafiki yangu ambae alimpeleka mtoto wake wa miaka minne ambae alimeza pini ya kubania karatasi.Katika hospitari ya rufaa ya mkoa wa Dodoma hakupata huduma kutokana na mgomo wa madaktari.Pale nlikutana na mgonjwa<kijana wa kama miaka 32 hivi>Baada ya kumtaka maoni yake kuhusu mgomo,lawama alizimimina kwa Spika Makinda kama ni "imediate cause" ya mgomo wa madaktari.Alidai madaktari pamoja na kuwa na madai ya msingi ya muda mrefu,waliendelea kuwa wavumilivu.Ni tamko la kitamaa la spika Makinda la kutaka kuhalalisha posho mpya ya wabunge ndilo lililotifua nyongo ya madaktari na wao kuona waanze kudai haki zao kwa mtindo huu.Kijana anaamini kwamba bila lile tamko la posho ya wabunge mgomo huu ambao umemuacha akiwa wodini kwa siku nne bila tiba usingekuwepo. Baada ya kuyatafakari kidogo maoni yake,nikaona yana ukweli ndani yake.Na hapo ndipo nilipokuja kutambua ubaya wa ubinafsi na tamaa za wanasiasa!Chonde akina Makinda maana tamaa,ulafi,uchoyo na ubinafsi wenu ni MAUTI kwetu.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kubingwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2010
      Location : Hapahapa
      Posts : 501
      Rep Power : 561
      Likes Received
      61
      Likes Given
      202

      Default Re: Chonde wanasisa, tamaa na ubinafsi wenu ni mauti kwetu

      Tawile!

    4. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...