Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hii serikali inamuheshimu nani?

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,260
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      1294
      Likes Given
      835

      Default Hii serikali inamuheshimu nani?

      Kila dai linalowekwa mbele ya serikali linaburuzwa na kupigwa danadana hadi wahusika wanatishika na kuamua pangine kuachana na madai yao. Machache ni kama haya:
      1. Madai ya wanafunzi wa vyuo.
      2. walimu (hasa wa sekondari na msingi)
      3. wafanyakazi (kama reli)
      4. madaktari.
      ukiangalia hivyo ni vitengo nyeti sana. Madai ya wadau hawa serikali hujibu kwa nyodo na vitisho ikiwa ni pamoja na kusimamishwa, kufukuzwa, hata kufungwa. Kwa nini serikali yetu hupenda tufike huko? Kama serikali haiheshimu maslahi ya watumishi wake inaheshimu nini? Wakati mwingine unaweza kuona kuwa gharama za kudhibiti hii mitafaruku ni kubwa kuliko gharama za kutekeleza madai. Matokeo yake tunapata majibu kama mtakula nyasi, kula uliwe, wivu wa kike, pigeni mbizi n.k. Hii serikali inamheshimu nani?

    2. Miaka 50

    3. #2
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,188
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      946
      Likes Given
      377

      Default Re: Hii serikali inamuheshimu nani?

      Inawaheshimu mafisadi wote

    4. #3
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,605
      Rep Power : 5624
      Likes Received
      6214
      Likes Given
      2293

      Default Re: Hii serikali inamuheshimu nani?

      wanajiheshimu wenyewe, si ndo maana wamejiongezea posho?
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    5. #4
      nitonye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2011
      Posts : 4,273
      Rep Power : 1291
      Likes Received
      1480
      Likes Given
      27

      Default Re: Hii serikali inamuheshimu nani?

      Serikali corrupt haiwezi kuwaheshimu wananchi wake, serikali ya mabavu siku zote haidumu ipo siku hawa wanaojifanya wamepinda kama Pinda watapindwa tu

    6. #5
      sanjo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 861
      Rep Power : 607
      Likes Received
      219
      Likes Given
      33

      Default Re: Hii serikali inamuheshimu nani?

      Quote By Raia Fulani
      Kila dai linalowekwa mbele ya serikali linaburuzwa na kupigwa danadana hadi wahusika wanatishika na kuamua pangine kuachana na madai yao. Machache ni kama haya:
      1. Madai ya wanafunzi wa vyuo.
      2. walimu (hasa wa sekondari na msingi)
      3. wafanyakazi (kama reli)
      4. madaktari.
      ukiangalia hivyo ni vitengo nyeti sana. Madai ya wadau hawa serikali hujibu kwa nyodo na vitisho ikiwa ni pamoja na kusimamishwa, kufukuzwa, hata kufungwa. Kwa nini serikali yetu hupenda tufike huko? Kama serikali haiheshimu maslahi ya watumishi wake inaheshimu nini? Wakati mwingine unaweza kuona kuwa gharama za kudhibiti hii mitafaruku ni kubwa kuliko gharama za kutekeleza madai. Matokeo yake tunapata majibu kama mtakula nyasi, kula uliwe, wivu wa kike, pigeni mbizi n.k. Hii serikali inamheshimu nani?
      Mkuu serikali isiyo sikivu na iliyojaa rushwa huheshimu MAFISADI na wala rushwa wakubwa basi. Hawa ndio wadau muhimu wa serikali mbovu popote duniani.
      Whatever exists is already becoming obsolete.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 4,024
      Rep Power : 1220
      Likes Received
      982
      Likes Given
      247

      Default Re: Hii serikali inamuheshimu nani?

      serikali tz inawaheshimu wahalifu.

    9. #7
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,260
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      1294
      Likes Given
      835

      Default Re: Hii serikali inamuheshimu nani?

      for real guys, something unexpected should be done unto this govt.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...