Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Asha Rozi Migiro na ushoga

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. #1
      Nikupateje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2009
      Posts : 872
      Rep Power : 973
      Likes Received
      619
      Likes Given
      615

      Default Asha Rozi Migiro na ushoga

      Ban Kimoon kaamua kuweka wazi matakwa ya taasisi yake kuwa ushoga utambuliwe katika nchi za Africa kwani wamechoka sasa na msimamo wa miaka mingi wa Africa kutotambua haki za mashoga.

      African Union: Ban Ki-moon urges respect for gay rights

      Sikubaliani na ushoga lakini nampa pongezi Ban Kimoon kutokuwa mnafiki kwa hilo ambalo ni dhahiri linalosimamiwa na taasisi yake.

      Ban Kimoon amekuwa bosi wa Dr. Asha Rozi Migiro kwa miaka kadhaa katika hiyo taasisi yake. Tuliposhangilia Migiro kupata post ile basi haya anayotamka bosi wake ndiyo yaliyotakiwa yasisitizwe na taasisi nzima ambayo Migiro ni second in command.

      Sijawahi kusikia waandishi wakimuuliza Dr. Asha Migiro kuhusu ushoga ambao bosi wake leo kaamua kutupasulia jipu. Mimi nadhani huu ni wakati wa waandishi wambane huyu mama tujue utekelezaji wake lilipokuja suala la ushoga kwenye kipindi chote alichokaa na Ban Kimoon na taasisi yake.

      Ieleweka kuwa kumwuliza Dr. Asha Migiro si kumdhalilisha kwani hata Waziri Mkuu ameulizwa swali hilo bungeni akajibu kuwa "hata wanyama hawafanyi hivyo".

      Hivyo thread yangu nategemea idumu.
      Roulette and FJM like this.
      .."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.


    2. #2
      Dopas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2010
      Posts : 664
      Rep Power : 581
      Likes Received
      99
      Likes Given
      86

      Default Re: Asha Rozi Migiro na ushoga

      Wanyama hawafanyi kwa sababu wanajua sio asili- nature ambayo Muumba aliwapa viumbe wake ili wafurahie muungano wa ..ke na ..me katika kusex. Je tuseme hata wanyama wanatuzidi- wanadamu katika utambuzi wa mipango ya Muumba na viumbe? Au tuseme mwanadamu ni mwerefu zaidi....

    3. #3
      Makupa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 2,181
      Rep Power : 815
      Likes Received
      256
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Nikupateje View Post
      Ban Kimoon kaamua kuweka wazi matakwa ya taasisi yake kuwa ushoga utambuliwe katika nchi za Africa kwani wamechoka sasa na msimamo wa miaka mingi wa Africa kutotambua haki za mashoga.

      African Union: Ban Ki-moon urges respect for gay rights

      Sikubaliani na ushoga lakini nampa pongezi Ban Kimoon kutokuwa mnafiki kwa hilo ambalo ni dhahiri linalosimamiwa na taasisi yake.

      Ban Kimoon amekuwa bosi wa Dr. Asha Rozi Migiro kwa miaka kadhaa katika hiyo taasisi yake. Tuliposhangilia Migiro kupata post ile basi haya anayotamka bosi wake ndiyo yaliyotakiwa yasisitizwe na taasisi nzima ambayo Migiro ni second in command.

      Sijawahi kusikia waandishi wakimuuliza Dr. Asha Migiro kuhusu ushoga ambao bosi wake leo kaamua kutupasulia jipu. Mimi nadhani huu ni wakati wa waandishi wambane huyu mama tujue utekelezaji wake lilipokuja suala la ushoga kwenye kipindi chote alichokaa na Ban Kimoon na taasisi yake.

      Ieleweka kuwa kumwuliza Dr. Asha Migiro si kumdhalilisha kwani hata Waziri Mkuu ameulizwa swali hilo bungeni akajibu kuwa "hata wanyama hawafanyi hivyo".

      Hivyo thread yangu nategemea idumu.
      Mods ondoeni hii thread inachochea tabia ya ushoga

    4. #4
      BINARY NO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 555
      Rep Power : 488
      Likes Received
      141
      Likes Given
      64

      Default Re: Asha Rozi Migiro na ushoga

      may be this might be a reason kwa Dr ASHA-ROSE kupigwa chini katka UN kwani mataifa makubwa wameifanya UN kua km vile TAASISI yao so wanachokitakata wanataka kiwe imagine ilianza nchi ya UINGEREZA tukawakatalia almost nchi zote za AFRICA zilikataa one month later MAREKANI nae akasisitiza still tukiwashangaa ndo kwanza baadhi ya nchi za AFRICA zikawa na michakato ya kutunga sheria kali dhidi ya USHOGAna USAGAJI.Sasa wamekuja na mkakati mwingine wa kutumia UN ambayo ni umoja wa mataifa kwa mashinikizo ya UK na US kwanini wasiende ISRAEL,IRAN wakawaambie mambo km hayo....nadhani hapa MIGIRO hakufiti that's why......mbona huyo BAN KI MUN asiende kwao KOREA YA KUSINI akapeleke ushetani huo...

    5. #5
      Raia Mwema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2008
      Posts : 536
      Rep Power : 667
      Likes Received
      77
      Likes Given
      27

      Default Re: Asha Rozi Migiro na ushoga

      labda ni moja ya sababu zilizomfanya mama kuomba kupumzika mambo ya ushoga pengine yamekuwa magumu kwake na kwa imani yake.


    6. #6
      Raia Mwema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2008
      Posts : 536
      Rep Power : 667
      Likes Received
      77
      Likes Given
      27

      Default Re: Asha Rozi Migiro na ushoga

      Wakati mwingine hata hizi sheria za nchi ikiwemo Tanzania sio lazima zikidhi matakwa yako na ya imani yako jambo la msingi ni je mama amewahi kutekeleza au kukidhi haja ya sheria hiyo akiwa UN. kwa mfano, Nguruwe ni haramu kwa waislam lakini anafugwa nchini huwezi kumuuliza Ally hassan mwinyi ulitekeleza vipi au ulizuia vipi ufugaji wa nguruwe ukiwa mwislamu. Mwinyi atajibu binafsi sikuwahi kufuga nguruwe kosa langu liko wapi?

    7. #7
      kiche's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 339
      Rep Power : 550
      Likes Received
      105
      Likes Given
      0

      Default Re: Asha Rozi Migiro na ushoga

      Quote By Raia Mwema View Post
      labda ni moja ya sababu zilizomfanya mama kuomba kupumzika mambo ya ushoga pengine yamekuwa magumu kwake na kwa imani yake.
      Si sababu,ushoga huo ulikuwepo hata kabla ya yeye kuingia UN,mama amepigwa chini tu tusimpe umaarufu asionao.

    8. #8
      Songoro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2009
      Posts : 2,394
      Rep Power : 0
      Likes Received
      541
      Likes Given
      24

      Default Re: Asha Rozi Migiro na ushoga

      Kama akiulizwa jibu lake lina faida gan kwa Taifa?

    9. #9
      Nikupateje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2009
      Posts : 872
      Rep Power : 973
      Likes Received
      619
      Likes Given
      615

      Default Re: Asha Rozi Migiro na ushoga

      Quote By Makupa View Post
      Mods ondoeni hii thread inachochea tabia ya ushoga
      Wanaochochea ushoga ni wale wanaoshindwa kuupinga palepale mbele ya David Cameroon na Ban Ki-Moon wanasubiri kuupinga kwenye airpot lounges wanapofika homeland.
      .."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.

    10. #10
      Bangoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 2,756
      Rep Power : 5797
      Likes Received
      450
      Likes Given
      0

      Default Re: Asha Rozi Migiro na ushoga

      Ndg zangu adhabu ya MUNGU kwa
      anaefanya kitendo hicho, ni dhabi ya mauti. Kama ulisha wahi kufanya anza kuomba msamaha adhabu yake inaanzia duniani unamaliziwa huko kwa GOD!

    11. #11
      Mtoto wa Kishua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2009
      Posts : 755
      Rep Power : 643
      Likes Received
      56
      Likes Given
      23

      Default Re: Asha Rozi Migiro na ushoga

      Mimi nadhani ushoga ni aina ya tatizo la akili ,angalia mashoga wengi jinsi vichwa vyao(shepu) na uso vinavyo onekana, kidogo vinataka kukaribia mtu mwenye tatizo la akili .

    12. #12
      Mtoto wa Kishua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2009
      Posts : 755
      Rep Power : 643
      Likes Received
      56
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By BINARY NO View Post
      may be this might be a reason kwa Dr ASHA-ROSE kupigwa chini katka UN kwani mataifa makubwa wameifanya UN kua km vile TAASISI yao so wanachokitakata wanataka kiwe imagine ilianza nchi ya UINGEREZA tukawakatalia almost nchi zote za AFRICA zilikataa one month later MAREKANI nae akasisitiza still tukiwashangaa ndo kwanza baadhi ya nchi za AFRICA zikawa na michakato ya kutunga sheria kali dhidi ya USHOGAna USAGAJI.Sasa wamekuja na mkakati mwingine wa kutumia UN ambayo ni umoja wa mataifa kwa mashinikizo ya UK na US kwanini wasiende ISRAEL,IRAN wakawaambie mambo km hayo....nadhani hapa MIGIRO hakufiti that's why......mbona huyo BAN KI MUN asiende kwao KOREA YA KUSINI akapeleke ushetani huo...
      Na uzinifu je?

    13. #13
      Zakumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2008
      Location : Mtoni
      Posts : 3,975
      Rep Power : 1350
      Likes Received
      893
      Likes Given
      374

      Default Re: Asha Rozi Migiro na ushoga

      Afu hamkawihi kujiita GREAT THINKERS. Asha Migiro anahusiana nini na matamko ya Ban Kmoon. Maneno aliyosema Ban Kimoon ni kurudi Tangazo la Umoja wa mataifa kuhusiana na haki za binadamu, The Universal Declaration of Human Rights.

      Article ya pili ya tangazo hili inasema:
      • Everyone is entitled to all the rights and freedoms set forth in this Declaration, without distinction of any kind, such as race, colour, SEX, language, religion, political or other opinion, national or social origin, property, birth or other status. Furthermore, no distinction shall be made on the basis of the political, jurisdictional or international status of the country or territory to which a person belongs, whether it be independent, trust, non-self-governing or under any other limitation of sovereignty.
      The Universal Declaration of Human Rights

      Azimio hii lilitungwa 1948 kabla Asha Migiro hajazaliwa. Mwaka 1984 serikali ya Tanzania ilifanya mabadiliko ya kikatiba na kutambua haki za binadamu. Soma kipengle hiki chini:
      • (9) Lengo la Katiba hii ni kuwezesha ujenzi wa Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar au wa chochote kati ya vyombo vyake na udugu na amani kutokana na kufuata siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, amabyo inasisitiza utekelezaji wa misingi ya kijamaa kwa kuzingatia mazingira yaliyomo katika Jamhuri ya Muungano. Kwa hiyo, Mamlaka ya Nchi na vyombo vyake vyote vinawajibika kuelekeza sera na shughuli zake zote katika lengo la kuhakikisha-
      • (a) kwamba utu na haki nyinginezo zote za binadamu zinaheshimiwa na kuthaminiwa;
      • ---
      • (f) kwamba heshima ya binadamu inahifadhiwa na kudumishwa kwa kufuata Kanuni za Tangazo la Dunia kuhusu Haki za Binadamu;
      Hiyo hapo juu ni katiba ya Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, SEHEMU YA PILI: MALENGO MUHIMU NA MISINGI YA MWELEKEO WA SHUGHULI ZA SERIKALI, Ibara ya 9, Kipengere (f).

      Mambo aliyosema Ban Kimoon kulinda haki za mashoga yanakubalika na katiba ya Tanzania ya mwaka 1984. Na Tanzania ni signatory wa Tamko la Haki za Binadamu. Hivyo mnavyompinga Ban Kimoon na Mama Asha Migiro ni kutotumia akili kwa sababu serikali yenu ilikubali hayo.

      Tumie akili na sio kutoa hoja kwa hisia.

      Wenu

      Za10
      If we permit feathers to be freely borrowed, who is to tell the peacock from the crow?

    14. #14
      assuredly4's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 874
      Rep Power : 747
      Likes Received
      136
      Likes Given
      138

      Default Re: Asha Rozi Migiro na ushoga

      [QUOTE=Zakumi;3231959]Afu hamkawihi kujiita GREAT THINKERS. Asha Migiro anahusiana nini na matamko ya Ban Kmoon. Maneno aliyosema Ban Kimoon ni kurudi Tangazo la Umoja wa mataifa kuhusiana na haki za binadamu, The Universal Declaration of Human Rights.

      Article ya pili ya tangazo hili inasema:
      • Everyone is entitled to all the rights and freedoms set forth in this Declaration, without distinction of any kind, such as race, colour, SEX, language, religion, political or other opinion, national or social origin, property, birth or other status. Furthermore, no distinction shall be made on the basis of the political, jurisdictional or international status of the country or territory to which a person belongs, whether it be independent, trust, non-self-governing or under any other limitation of sovereignty.
      The Universal Declaration of Human Rights

      Azimio hii lilitungwa 1948 kabla Asha Migiro hajazaliwa. Mwaka 1984 serikali ya Tanzania ilifanya mabadiliko ya kikatiba na kutambua haki za binadamu. Soma kipengle hiki chini:
      • (9) Lengo la Katiba hii ni kuwezesha ujenzi wa Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar au wa chochote kati ya vyombo vyake na udugu na amani kutokana na kufuata siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, amabyo inasisitiza utekelezaji wa misingi ya kijamaa kwa kuzingatia mazingira yaliyomo katika Jamhuri ya Muungano. Kwa hiyo, Mamlaka ya Nchi na vyombo vyake vyote vinawajibika kuelekeza sera na shughuli zake zote katika lengo la kuhakikisha-
      • (a) kwamba utu na haki nyinginezo zote za binadamu zinaheshimiwa na kuthaminiwa;
      • ---
      • (f) kwamba heshima ya binadamu inahifadhiwa na kudumishwa kwa kufuata Kanuni za Tangazo la Dunia kuhusu Haki za Binadamu;
      Hiyo hapo juu ni katiba ya Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, SEHEMU YA PILI: MALENGO MUHIMU NA MISINGI YA MWELEKEO WA SHUGHULI ZA SERIKALI, Ibara ya 9, Kipengere (f).

      Mambo aliyosema Ban Kimoon kulinda haki za mashoga yanakubalika na katiba ya Tanzania ya mwaka 1984. Na Tanzania ni signatory wa Tamko la Haki za Binadamu. Hivyo mnavyompinga Ban Kimoon na Mama Asha Migiro ni kutotumia akili kwa sababu serikali yenu ilikubali hayo.

      Tumie akili na sio kutoa hoja kwa hisia.

      Wenu

      Za10[/QUOTE

      KUMBUKA
      Pamoja na Tanzania kuridhia UN Universal Declaration 1948, haikuridhia ushoga, na suala la kutambua haki za mashoga na wasagaji yamejitokeza juzi juzi katika moja ya mikataba ya kimataifa iliyopitishwa ambayo ilitaka wanachama kuridhia na Tanzania haijaridhia

      Pili Katiba ya Tanzania pamoja na Sheria ya Ndoa, 1971 vinatambua ndoa ni kati ya mwanaume na mwanamke, sasa hicho unachokisema ndugu yangu umekitoa wapi

      Tafadhali usitupotohse acha wanasheria waingie jamvini watujuze zaidi lakini mm nijuavyo convention ya kutambua haki za mashoga na wasagaji ss sio signatory
      Last edited by assuredly4; 30th January 2012 at 08:06.

    15. #15
      Watunduru's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 162
      Rep Power : 409
      Likes Received
      33
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Raia Mwema View Post
      Wakati mwingine hata hizi sheria za nchi ikiwemo Tanzania sio lazima zikidhi matakwa yako na ya imani yako jambo la msingi ni je mama amewahi kutekeleza au kukidhi haja ya sheria hiyo akiwa UN. kwa mfano, Nguruwe ni haramu kwa waislam lakini anafugwa nchini huwezi kumuuliza Ally hassan mwinyi ulitekeleza vipi au ulizuia vipi ufugaji wa nguruwe ukiwa mwislamu. Mwinyi atajibu binafsi sikuwahi kufuga nguruwe kosa langu liko wapi?
      nguruwe si haramu na hakuna kitabu hata kimoja kinachosema hivyo,mungu hajaumba haramu bwana,haramu ni kula nyama ya nguruwe kwa sababu ina vimelea vyenye madhara ktk mwili wa binadamu.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...