Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tusitetee madokta tu bila kuchukua hatua sisi ndio tutakufa

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      Mopalmo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 425
      Rep Power : 517
      Likes Received
      51
      Likes Given
      43

      Default Tusitetee madokta tu bila kuchukua hatua sisi ndio tutakufa

      Wana jf nimekuwa nikifuatilia kwa makini hali inavyoenda na maoni mbalimbali kutoka kwa wananchi wenzangu,asilimia kubwa wakitetea madaktari kuhusu madai yao,ila moja tu la msingi nililogundua sisi maskini ndio tutakufa kwa kukosa huduma hasa kama serikali itapuuza madai yao.sasa hali ilipofikia ni pabaya baada ya waziri mkuu kuwaamrisha warudi kazini.nadhani inabidi tufanye kitu ili wajue tunahitaji huduma bora na wala si madaktari kwenda tu kusign tu mahudhurio

    2. Miaka 50

    3. #2
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,081
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6013
      Likes Given
      6847

      Default Re: Tusitetee madokta tu bila kuchukua hatua sisi ndio tutakufa

      I think PM decision is going to create more negative effect kwa wananchi kwani hawatapata huduma yoyote
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    4. #3
      Dr.Chichi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2008
      Location : Arusha
      Posts : 1,624
      Rep Power : 888
      Likes Received
      279
      Likes Given
      6

      Default Re: Tusitetee madokta tu bila kuchukua hatua sisi ndio tutakufa

      anafikiri tukirudi tutatibu kwa ufanisi??anafikiri ntajitoa asilimia 100 kuokoa maisha ya mgonjwa???

    5. #4
      Rich Dad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 741
      Rep Power : 575
      Likes Received
      100
      Likes Given
      12

      Default Re: Tusitetee madokta tu bila kuchukua hatua sisi ndio tutakufa

      Big up mkuu, umeongea point kubwa!
      Quote By Mopalmo
      Wana jf nimekuwa nikifuatilia kwa makini hali inavyoenda na maoni mbalimbali kutoka kwa wananchi wenzangu,asilimia kubwa wakitetea madaktari kuhusu madai yao,ila moja tu la msingi nililogundua sisi maskini ndio tutakufa kwa kukosa huduma hasa kama serikali itapuuza madai yao.sasa hali ilipofikia ni pabaya baada ya waziri mkuu kuwaamrisha warudi kazini.nadhani inabidi tufanye kitu ili wajue tunahitaji huduma bora na wala si madaktari kwenda tu kusign tu mahudhurio

    6. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...