Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Vita ya Raila Odinga na Mugabe

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Exaud J. Makyao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2008
      Location : MOSHI TANZANIA
      Posts : 1,536
      Rep Power : 841
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Vita ya Raila Odinga na Mugabe

      Nimepokea kwa mshangao mwito wa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga kumtaka Rais Mugabe wa Zimbabwe kujiuzulu au vipelekwe vikosi vya kijeshi kwenda kumng'oa.

      Hivi WANAJAMII,
      Kweli Odinga anastahili kumkemea Mugabe au alipaswa kuanza kujikemea mwenyewe na kisha kumkemea Rais KIBAKI?

      Raila Odinga amesahau Vifo vilivyotokea nchini Kenya mara tuu baada ya uchaguzi mkuu?

      Tena je Raila amesahau vituko vya kuwatia nguvuni waandishi wa habari hivi majuzi katika kukumbuka siku ya jamhuri?

      Exaud J. Makyao
      0784347001

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Kitila Mkumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2006
      Posts : 3,919
      Rep Power : 6962
      Likes Received
      1065
      Likes Given
      35

      Default Re: vITA YA RAILA ODINGA NA MUGABE

      Wito wake ni sawa kabisa....

    4. #3
      MiratKad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2008
      Posts : 311
      Rep Power : 626
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: vITA YA RAILA ODINGA NA MUGABE

      Quote By EXAUD J. MAKYAO
      Nimepokea kwa mshangao mwito wa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga kumtaka Rais Mugabe wa Zimbabwe kujiuzulu au vipelekwe vikosi vya kijeshi kwenda kumng'oa.

      Hivi WANAJAMII,
      Kweli Odinga anastahili kumkemea Mugabe au alipaswa kuanza kujikemea mwenyewe na kisha kumkemea Rais KIBAKI?

      Raila Odinga amesahau Vifo vilivyotokea nchini Kenya mara tuu baada ya uchaguzi mkuu?

      Tena je Raila amesahau vituko vya kuwatia nguvuni waandishi wa habari hivi majuzi katika kukumbuka siku ya jamhuri?

      Exaud J. Makyao
      0784347001

      Sioni cha kushangaa. Ukanzamizaji ni lazima ukemewe na kila mtu.
      We were founded upon the ideal that all are created equal, and we have shed blood and struggled for centuries to give meaning to those words - OBAMA in Egypt.

    5. #4
      Killuminati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2007
      Location : Duniani
      Posts : 305
      Rep Power : 678
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: vITA YA RAILA ODINGA NA MUGABE

      Quote By EXAUD J. MAKYAO
      Raila Odinga amesahau Vifo vilivyotokea nchini Kenya mara tuu baada ya uchaguzi mkuu?
      Have u ever heard about forgive and forget? Anachokisema ni kweli, Mugabe anaendelea tu kula vichwa vya raia wake continuously, Kenya kuna mauaji yanayoendelea? Mugabe must go! Now it is the time.
      Who feels it, knows it

    6. #5
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,601
      Rep Power : 22055
      Likes Received
      992
      Likes Given
      777

      Default Re: vITA YA RAILA ODINGA NA MUGABE

      Odinga yuko sahihi bse Mugabe ata usuluhishi hataki sasa si kheri apinduliwe tuu au wale kichwa akapumzike kwa mola
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Kjnne46's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th December 2006
      Posts : 69
      Rep Power : 651
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Thumbs up Re: vITA YA RAILA ODINGA NA MUGABE

      Quote By MiratKad
      Sioni cha kushangaa. Ukanzamizaji ni lazima ukemewe na kila mtu.
      Vya kushangaa ni vingi katika kauli ya Raila:

      1. Utatumia kipengele gani cha sheria za Zimbabwe "kumpindua" Mugabe?
      2. Utapeleka Jeshi gani (UN, AU, la JK)) la kuivamia Zimbabwe kwa kanuni gani (which article in the UN, AU or TZ constitution)? Na hata ikivamiwa si watakufa watu wengi zaidi kuliko hao wa kipindupindu?

      -- una habari Iraq ambako Mwamerika alimlazimisha Saddam Bin Hussein kuangamiza kwanza silaha zake KABLA YA KUMVAMIA kwamba hadi 13/12/08
      Number Of Iraqis Slaughtered is "1,284,105" and U.S. Military Personnel Sacrificed (Officially acknowledged) is "4,209" !! Idadi hiyo eti lengo ni kumng'oa mtu mmoja tu lakini MiratKad na WAPENZI WA MAREKANI HAWAJAKEMEA au hata kuandamana alipokuja 'Kichaka' hapa Bongo.
      -- hivi Nyerere aliwahi kutaja HESABU YA WAGANDA NA WATANZANIA WALIOPOTEZA MAISHA YAO TULIPOIVAMIA UGANDA? Lazima itakuwa ni MALAKI. Kisa? Kumng'oa Idi Amini na kumsimika rafiki yake Obote ambaye hata hivyo Waganda wakampindua tena!

      3. Akina Raila, Watanzania na Afrika kwa jumla tuachane na MTAZAMO WA UPANDE MMOJA. Sisi tunakutana na wa-Zimbabwe wanaeleza HALI TOFAUTI KABISA NA HIYO YA BBC, CNN, VOA lakini wao hawana vyombo vya habari ambavyo vinaweza kutangaza au kuchapisha UKWELI ULIVYO. INASIKITISHA SANA PROPAGANDA ZINAZOSAMBAZWA, ndio maana SADC hawakubaliani nazo
      4. Madhila na matatizo ya kiuchumi WALIOYASABABISHA NI HAO HAO WAINGEREZA NA MAREKANI na hata wanathubutu "kuangamiza wananchi" kwa kuiwekea vikwazo Zimbabwe ili Mugabe achukiwe. One of the methods used by the US to depopulate the BLACK race (in addition to biological weapons) is sanctions. Plse comrades, read news from other sources ......

      TUFUMBUE MACHO WAFRIKA ...... MATAIFA YA MAGHARIBI SIO MARAFIKI!!!!
      WAMESHINDWA MASHARIKI YA KATI HADI WANAPATA "KIPIGO" CHA MAANGAMIZI YA UCHUMI WAO. HIVI HAMJIULIZI KULIKONI PAMOJA NA WANAUCHUMI WAO WOTE NA VYUO VIKUU VYAO VYOTE WAMESHTUKIA WAMO KATIKA "ECONOMIC RECESSION" AMBAPO WAARABU WANAOFUATA ISLAMIC SHARIAH ILIYOANZISHWA NA ILLITERATE HAWAKUATHIRIKA????

    9. #7
      Bull's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2008
      Posts : 970
      Rep Power : 570
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default Re: vITA YA RAILA ODINGA NA MUGABE

      Odinga, Tsangarai na Zuma hao ndio vibaraka wa wazungu wanaojipendekeza na wanaotumiwa kuhujumu Africa tuwe macho nao

    10. #8
      Ulusungu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th April 2008
      Posts : 87
      Rep Power : 585
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: vITA YA RAILA ODINGA NA MUGABE

      Quote By Bull
      Odinga, Tsangarai na Zuma hao ndio vibaraka wa wazungu wanaojipendekeza na wanaotumiwa kuhujumu Africa tuwe macho nao


      Hata nami naomba kuwa kibaraka wa wazungu kwa kuunga mkono kung'olewa kwa Robert Mugabe, ana kila sifa ya kung'olewa kwa nguvu...

      Nafikiri ifikie mahala tuwaangalie wazimbabwe na mateso wanayopitia kuliko kuendeleza malumbano ya vibaraka na wazalendo wauwaji... naona imekuwa tabia kwamba kila atoae mwito wa mugabe kung'olewa anahesabika kama ni kibaraka wa wazungu.

      Ni kiongozi gani anayeweza kujiona kama yeye si kibaraka wa wazungu kwa namna moja au nyingine akiwemo Mugabe mwenyewe, wakati umefika waafrika tuukatae ufedhuli wa Mugabe an ango'olewe

    11. #9
      Ulusungu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th April 2008
      Posts : 87
      Rep Power : 585
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: vITA YA RAILA ODINGA NA MUGABE

      Quote By EXAUD J. MAKYAO
      Nimepokea kwa mshangao mwito wa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga kumtaka Rais Mugabe wa Zimbabwe kujiuzulu au vipelekwe vikosi vya kijeshi kwenda kumng'oa.

      Hivi WANAJAMII,
      Kweli Odinga anastahili kumkemea Mugabe au alipaswa kuanza kujikemea mwenyewe na kisha kumkemea Rais KIBAKI?

      Raila Odinga amesahau Vifo vilivyotokea nchini Kenya mara tuu baada ya uchaguzi mkuu?

      Tena je Raila amesahau vituko vya kuwatia nguvuni waandishi wa habari hivi majuzi katika kukumbuka siku ya jamhuri?

      Exaud J. Makyao
      0784347001
      economist umechanganya 'supply and demand' hapa,issue ni kwamba Mugabe anendelea kuua,hayo matatizo ya wengine uliowataja hayapo tena yalikuwa ya mpito, uwepo wa Odinga au Kibaki hauleti mateso kwa wakenya,kilichobaki ni historia...
      Mugabe anaendeleza matateso kwa raia wa Zimbabwe.

      Akamatwe na ahukumiwe kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu

    12. #10
      Bull's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2008
      Posts : 970
      Rep Power : 570
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default Re: vITA YA RAILA ODINGA NA MUGABE

      Quote By ulusungu
      Hata nami naomba kuwa kibaraka wa wazungu kwa kuunga mkono kung'olewa kwa Robert Mugabe, ana kila sifa ya kung'olewa kwa nguvu...

      Nafikiri ifikie mahala tuwaangalie wazimbabwe na mateso wanayopitia kuliko kuendeleza malumbano ya vibaraka na wazalendo wauwaji... naona imekuwa tabia kwamba kila atoae mwito wa mugabe kung'olewa anahesabika kama ni kibaraka wa wazungu.

      Ni kiongozi gani anayeweza kujiona kama yeye si kibaraka wa wazungu kwa namna moja au nyingine akiwemo Mugabe mwenyewe, wakati umefika waafrika tuukatae ufedhuli wa Mugabe an ango'olewe

      Nivizuri urudie historia ya siasa ya Zimbabwe na wazungu ndo utaweza elewa lini Mugabe amaanza kuwa kiongozi mbaya na kwa sababu zipi. wazimbabwe kuteseka nikwasababu Sabotage zinazofanywa na wazungu kwa kutokubali siasa za kuwamilikisha wazungu 80% ya aridhi ya Zimbabwe. Fungua macho!!

    13. #11
      Lole Gwakisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2008
      Posts : 2,959
      Rep Power : 1132
      Likes Received
      462
      Likes Given
      330

      Default Re: vITA YA RAILA ODINGA NA MUGABE

      [QUOTE=Bull;341674]Nivizuri urudie historia ya siasa ya Zimbabwe na wazungu ndo utaweza elewa lini Mugabe amaanza kuwa kiongozi mbaya na kwa sababu zipi. wazimbabwe kuteseka nikwasababu Sabotage zinazofanywa na wazungu kwa kutokubali siasa za kuwamilikisha wazungu 80% ya aridhi ya Zimbabwe. Fungua macho!![/QUOTE]

      Mkuu Bull , visingizio vya Mzee mzima Mugabe juu ya hali ya Zimbabwe kwa sasa havina substance yoyote.
      Pamoja na kutokubaliana na waingereza huo sio mwisho wa dunia.
      Mugabe alitakiwa awe mwanasiasa wa kizazi kipya ili kudeal na wazungu hao.Kwa kupambana nao ana kwa ana itamwia vigumu sana kubreak through.
      Hivi sasa serikali inamshinda kuendesha,chakula hamna,madawa hamna muindombinu ndio kwaheri.Kipindupindu kilichotokea ndio uthibitisho wa kuisha kwa miundombinu ya maji.
      Kimsingi cholera inatokana na wadudu waitwao ecoli, wanaoishi katika kinyesi cha binadamu.Hivyo basi miundombinu ya maji machafu na maji safi isipopata matunzo(maintainance) matokeo yake ndio kutoboka mabomba na kuchangayika kwa maji hayo.Ndicho kinachoendelea Zimbabwe.Hapa DSM vile vile tumeona hili.
      Raila kutaka Mugabe apinduliwe ni kilio cha mtu aliyekata tamaa na Mugabe.
      Mugabe haonyeshi nia yoyote jatika kucompromise na maadui zake, na maadui zake wanamfix vilivyo kwa kumyima misaada.

    Similar Topics

    1. Raila Odinga na Quality Center
      By ngoshwe in forum Business & Economic Forum
      Replies: 1
      Last Post: 26th November 2011, 08:40
    2. Raila Odinga verges to purge out Ruto & CO. from ODM.......
      By Rutashubanyuma in forum Kenyan Politics
      Replies: 1
      Last Post: 6th November 2011, 16:00
    3. Raila Odinga Grounds at SAUT
      By Geza Ulole in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 3rd February 2011, 11:45
    4. How to remove Raila Odinga virus
      By Invisible in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 12
      Last Post: 10th April 2009, 02:57
    5. Oscar Kambona Na Raila Odinga: Beyond Neo-colonialism
      By Kenyan-Tanzanian in forum Kenyan Politics
      Replies: 0
      Last Post: 11th November 2007, 20:39

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...