Ukistaajabu ya Mussa... - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 19th November 2008, 08:58 PM   #1
Ukistaajabu ya Mussa...
Bubu Ataka Kusema Bubu Ataka Kusema is offline 19th November 2008, 08:58 PM

Date::11/19/2008
Waziri asihi vyombo vya habari kuachana na habari za EPA, migomo ya walimu
Festo Polea na Kuruthum Ahmed
Mwananchi

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mwamtumu Mahiza amevitaka vyombo vya habari nchini kuachana na habari zinazohusu sakata la wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje, (EPA) pamoja na masuala ya migomo ya walimu kwa madai kuwa masuala hayo tayari yametafutiwa ufumbuzi.

Badala yake alivitaka vyombo hivyo kuelekeza nguvu hizo katika habari nyingine ikiwa ni pamoja na kufichua na ukatili wa kijinsia dhidi ya wanafunzi.

Waziri Mahiza alisema hayo jana wakati akizindua kampeni ya “Jifunze bila woga” iliyofadhiliwa na taasisi isiyo ya kiserikali ya Plan-Tanzania yenye lengo la kupinga ukatili wa kijinsia mashuleni.

Mahiza alisema anachukizwa kuana masuala ya EPA na migomo ya walimu ikishikiliwa bango kila kukicha wakati tayari malalamiko hayo yamefika mwisho kwa sababu walimu wameanza kulipwa na watuhumiwa wa EPA wameshafikishwa Mahakamani.

“Sasa tubadilishe CD, kila wakati EPA na migomo ya walimu, waandishi wa habari na vyombo vya dola tubadilike, mimi nikiona mnalivalia njuga kwa kufichua masuala ya unyanyasaji wa kijinsia, kuwafichua waharibifu wa wanafunzi, kisha wakakamatwa nitafurahi sana,” alisema Waziri Mahiza

Mahiza alitumia nafasi hiyo kulaani walimu wote wanaoharibu watoto kijinsia kwa kutumia udhaifu wa wanafunzi wa kike na kiume kwa kuwarubuni kwa kuwapa vitu vinavyowashawishi kama Simu na magari.

Alisema masuala ya ukatili wa kijinsia yanaongezeka licha ya kukemewa mara kwa mara.

Aliwataka viongozi wa dini mbalimbali nchini kuandaa makongamano yenye lengo la kuombea laana walimu na watu wengine wanaorubuni wanafunzi bila kujali maisha yao ya baadae.
__________________
~*~Life is Good~*~

 
Bubu Ataka Kusema's Avatar
Bubu Ataka Kusema
JF Premium Member
Points: 12,700,657, Level: 100 Points: 12,700,657, Level: 100 Points: 12,700,657, Level: 100
Activity: 56% Activity: 56% Activity: 56%
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Mfaranyaki
Posts: 12,678
Thanks: 1,034
Thanked 1,199 Times in 697 Posts
Views: 788
Reply With Quote
  #2  
Old 19th November 2008, 10:20 PM
Kibunango's Avatar
Kibunango Kibunango is offline
Kibunango Mapinduzi Daima...! CCM Damu.
JF Senior Expert Member
Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100 Points: 10,820,469, Level: 100
Activity: 39% Activity: 39% Activity: 39%
 
Join Date: Tue Aug 2006
Location: Tampere
Posts: 4,870
Thanks: 351
Thanked 207 Times in 169 Posts
Rep Power: 4033
Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!Kibunango is one of most respected JF members!
Send a message via MSN to Kibunango Send a message via Yahoo to Kibunango
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Ipo haja ya kubadili CD... hakuna la kustaajabu hapo
__________________
Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problems,
But, if you think again, neither does milk."
Vituko Vya Zenj
Reply With Quote
  #3  
Old 19th November 2008, 10:37 PM
Mag3's Avatar
Mag3 Mag3 is offline
Mag3 has no status.
JF Premium Member
Points: 430,925, Level: 100 Points: 430,925, Level: 100 Points: 430,925, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Sat May 2008
Posts: 1,302
Thanks: 209
Thanked 375 Times in 156 Posts
Rep Power: 64
Mag3 is a jewel in the roughMag3 is a jewel in the roughMag3 is a jewel in the roughMag3 is a jewel in the roughMag3 is a jewel in the roughMag3 is a jewel in the roughMag3 is a jewel in the roughMag3 is a jewel in the roughMag3 is a jewel in the roughMag3 is a jewel in the roughMag3 is a jewel in the rough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Quote:
View Post
Ipo haja ya kubadili CD... hakuna la kustaajabu hapo
Tukinyamaza, mawe yatapiga kelele. In fact CD ndiyo kwanza inaanza kukolea. Hapo EPA hakuna kunyamaza mpaka kieleweke halafu itafuata Meremeta, Deep Green, IPTL, Richmond, Kiwira, CIS, madai ya wastaafu EAC na .....haponi mtu.
__________________
Something that is much more scarce than ability is the ability to recognize ability.
Reply With Quote
  #4  
Old 20th November 2008, 07:16 AM
Bubu Ataka Kusema's Avatar
Bubu Ataka Kusema Bubu Ataka Kusema is offline
Bubu Ataka Kusema says life is GOOD!
JF Premium Member
Points: 12,700,657, Level: 100 Points: 12,700,657, Level: 100 Points: 12,700,657, Level: 100
Activity: 56% Activity: 56% Activity: 56%
 
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Mfaranyaki
Posts: 12,678
Thanks: 1,034
Thanked 1,199 Times in 697 Posts
Rep Power: 2049
Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Quote:
View Post
Tukinyamaza, mawe yatapiga kelele. In fact CD ndiyo kwanza inaanza kukolea. Hapo EPA hakuna kunyamaza mpaka kieleweke halafu itafuata Meremeta, Deep Green, IPTL, Richmond, Kiwira, CIS, madai ya wastaafu EAC na .....haponi mtu.
Habadili mtu CD mpaka kieleweke! Muziki ndiyo kwanza umeanza na waruka majoka wanaifurahia CD hiyo. DJ can you replay my favourate number EPA again and again and again!!! Ingekuwa mwaka 47 EPA ingeshasahaulika siku nyingi tu lakini hii ni 2008 mpaka kieleweke tumechoshwa na usanii usiokwisha.
__________________
~*~Life is Good~*~
Reply With Quote
  #5  
Old 20th November 2008, 07:25 AM
Skills4Ever's Avatar
Skills4Ever Skills4Ever is online now
Skills4Ever Die Trying Guru
JF Senior Expert Member
Points: 117,611, Level: 100 Points: 117,611, Level: 100 Points: 117,611, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Thu Feb 2008
Posts: 1,417
Thanks: 0
Thanked 79 Times in 51 Posts
Rep Power: 25
Skills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enoughSkills4Ever will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Yeye huyo waziri inamhusu nini jamani mbona anatafuta maswahiba yasiyomhusu????maana uozo wao huko wizarani wakae chonjo.......awe mpole na apime maneno yake asitafute cheap publicity
__________________
"No matter how far down the wrong road you've gone,TURN BACK"
Reply With Quote
  #6  
Old 20th November 2008, 08:02 AM
Jibaba Bonge Jibaba Bonge is offline
Jibaba Bonge has no status.
JF Premium Member
Points: 95,250, Level: 100 Points: 95,250, Level: 100 Points: 95,250, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue May 2008
Posts: 185
Thanks: 2
Thanked 13 Times in 10 Posts
Rep Power: 22
Jibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mwamtumu Mahiza amevitaka vyombo vya habari nchini kuachana na habari zinazohusu sakata la wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje, (EPA) pamoja na masuala ya migomo ya walimu kwa madai kuwa masuala hayo tayari yametafutiwa ufumbuzi

Mahiza alisema anachukizwa kuana masuala ya EPA na migomo ya walimu ikishikiliwa bango kila kukicha wakati tayari malalamiko hayo yamefika mwisho kwa sababu walimu wameanza kulipwa na watuhumiwa wa EPA wameshafikishwa Mahakamani.
Reply With Quote
  #7  
Old 20th November 2008, 08:04 AM
Jibaba Bonge Jibaba Bonge is offline
Jibaba Bonge has no status.
JF Premium Member
Points: 95,250, Level: 100 Points: 95,250, Level: 100 Points: 95,250, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue May 2008
Posts: 185
Thanks: 2
Thanked 13 Times in 10 Posts
Rep Power: 22
Jibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Mwantunu, hivi hujui watuhumiwa wa EPA kufikishwa mahakamani nayo ni habari?
Reply With Quote
  #8  
Old 20th November 2008, 08:27 AM
Lorah Lorah is offline
Lorah has no status.
Senior Member
Points: 70,926, Level: 100 Points: 70,926, Level: 100 Points: 70,926, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Aug 2008
Posts: 166
Thanks: 5
Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power: 22
Lorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Quote:
View Post
Mwantunu, hivi hujui watuhumiwa wa EPA kufikishwa mahakamani nayo ni habari?
waambie mpaka tujue mwisho wake kama alitegemea mambo yameisha ndo kwanza unaanza na tukitoka tutarudisha richmond, meremata au kiwira mpaka 2010 ndo utaisha sasa hivi itakuwa EPA update si jui tuifungulie kabisa forum yange na magazeti watenge ukurasa ulioandikwa HABARI ZA UFISADI WA EPA na TV kipindi cha EPA hewani tutabeba mpaka kizazi cha saba
Reply With Quote
  #9  
Old 20th November 2008, 08:31 AM
Ibrah's Avatar
Ibrah Ibrah is offline
Ibrah has no status.
JF Premium Member
Points: 594,713, Level: 100 Points: 594,713, Level: 100 Points: 594,713, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Thu Mar 2007
Location: TZ
Posts: 1,263
Thanks: 81
Thanked 80 Times in 48 Posts
Rep Power: 25
Ibrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enoughIbrah will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Huyo Mama amenishangaza sana jana kwenye TV, nadhani ameingilia majukumu ya Wizara ya Jinsia na Maendeleo ya Jamii (Maendeleo ya Jamii). Sasa kama anataka Wanahabari wageuze CD kwenda kwenye masuala ya unyanyasaji, hiyo CD ikielekezwa huko Waziri Sitta naye akisema geuzeni CD andikeni kuhusu Migomo ya Walimu itakuwaje?

Kwa kifupi ajue kuwa WaTanzania kwa sasa priority ni EPA, Elimu (Migomo ya Walimu na Wanafunzi) na baada ya hapo tutataka kujua kuhusu Meremeta, Tangold, Deep Green Finance na ubadhirifu mwingine. Ajue kuwa jukumu la kuandika habari ni la Wanahabari wenyewe na jukmu la habari ipi ipewe kipau mbele ni la Wahariri na Waziri.
__________________
"Then you will know the truth, and the truth will set you free; I am the way, the truth and the life." Jn 8:32; 14:6
Reply With Quote
  #10  
Old 20th November 2008, 08:32 AM
Boney E.M. Boney E.M. is offline
Boney E.M. has no status.
Senior Member
Points: 98,992, Level: 100 Points: 98,992, Level: 100 Points: 98,992, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Jan 2007
Posts: 233
Thanks: 0
Thanked 11 Times in 9 Posts
Rep Power: 24
Boney E.M. will become famous soon enoughBoney E.M. will become famous soon enoughBoney E.M. will become famous soon enoughBoney E.M. will become famous soon enoughBoney E.M. will become famous soon enoughBoney E.M. will become famous soon enoughBoney E.M. will become famous soon enoughBoney E.M. will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Mhamishiwa Waziri, napenda kukueleza kuwa hiyo CD upande mmoja haujaisha kwanini ugeuze wa pili? Wizi wa mitihani umesahau? Ujenzi wa shule nzuri karibu na watoto wanapotoka itasadia kutopenda masuala ya magari na lifti za vibopa. Hivi umeuleta kama mjadala, pendekezo au vipi.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
mussa, ukistaajabu


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Ukistaajabu ya Edward Lowassa utayaona ya Aman A. Karume Sokomoko Habari na Hoja mchanganyiko 28 13th April 2008 06:50 PM
Ukistaajabu ya Musa, Utaona ya Firauni!!! mkenya2008 Jokes/Utani + Udaku/Gossips 1 1st April 2008 01:21 PM
Ukistaajabu ya Musa, Utaona ya Firauni mkenya2008 Jokes/Utani + Udaku/Gossips 0 1st April 2008 12:01 PM
Ukistaajabu ya Mussa... Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 4 15th December 2007 09:04 PM
Uchaguzi Mkuu wa CCM Mwaka 2007 MwanaCCM Jukwaa la Siasa 313 29th October 2007 10:50 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 08:28 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com