Ukistaajabu ya Mussa... - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 19th November 2008, 08:58 PM  
Ukistaajabu ya Mussa...
Bubu Ataka Kusema Bubu Ataka Kusema is online now 19th November 2008, 08:58 PM

Date::11/19/2008
Waziri asihi vyombo vya habari kuachana na habari za EPA, migomo ya walimu
Festo Polea na Kuruthum Ahmed
Mwananchi

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mwamtumu Mahiza amevitaka vyombo vya habari nchini kuachana na habari zinazohusu sakata la wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje, (EPA) pamoja na masuala ya migomo ya walimu kwa madai kuwa masuala hayo tayari yametafutiwa ufumbuzi.

Badala yake alivitaka vyombo hivyo kuelekeza nguvu hizo katika habari nyingine ikiwa ni pamoja na kufichua na ukatili wa kijinsia dhidi ya wanafunzi.

Waziri Mahiza alisema hayo jana wakati akizindua kampeni ya “Jifunze bila woga” iliyofadhiliwa na taasisi isiyo ya kiserikali ya Plan-Tanzania yenye lengo la kupinga ukatili wa kijinsia mashuleni.

Mahiza alisema anachukizwa kuana masuala ya EPA na migomo ya walimu ikishikiliwa bango kila kukicha wakati tayari malalamiko hayo yamefika mwisho kwa sababu walimu wameanza kulipwa na watuhumiwa wa EPA wameshafikishwa Mahakamani.

“Sasa tubadilishe CD, kila wakati EPA na migomo ya walimu, waandishi wa habari na vyombo vya dola tubadilike, mimi nikiona mnalivalia njuga kwa kufichua masuala ya unyanyasaji wa kijinsia, kuwafichua waharibifu wa wanafunzi, kisha wakakamatwa nitafurahi sana,” alisema Waziri Mahiza

Mahiza alitumia nafasi hiyo kulaani walimu wote wanaoharibu watoto kijinsia kwa kutumia udhaifu wa wanafunzi wa kike na kiume kwa kuwarubuni kwa kuwapa vitu vinavyowashawishi kama Simu na magari.

Alisema masuala ya ukatili wa kijinsia yanaongezeka licha ya kukemewa mara kwa mara.

Aliwataka viongozi wa dini mbalimbali nchini kuandaa makongamano yenye lengo la kuombea laana walimu na watu wengine wanaorubuni wanafunzi bila kujali maisha yao ya baadae.
__________________
~*~Life is Good~*~

 
Bubu Ataka Kusema's Avatar
Bubu Ataka Kusema
JF Premium Member
Points: 12,705,077, Level: 100 Points: 12,705,077, Level: 100 Points: 12,705,077, Level: 100
Activity: 50% Activity: 50% Activity: 50%
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Mfaranyaki
Posts: 12,679
Thanks: 1,037
Thanked 1,203 Times in 698 Posts
Views: 789
Reply With Quote
  #11  
Old 20th November 2008, 08:36 AM
Lorah Lorah is offline
Lorah has no status.
Senior Member
Points: 70,926, Level: 100 Points: 70,926, Level: 100 Points: 70,926, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Aug 2008
Posts: 166
Thanks: 5
Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power: 22
Lorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enoughLorah will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Quote:
View Post
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mwamtumu Mahiza amevitaka vyombo vya habari nchini kuachana na habari zinazohusu sakata la wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje, (EPA) pamoja na masuala ya migomo ya walimu kwa madai kuwa masuala hayo tayari yametafutiwa ufumbuzi

Mahiza alisema anachukizwa kuana masuala ya EPA na migomo ya walimu ikishikiliwa bango kila kukicha wakati tayari malalamiko hayo yamefika mwisho kwa sababu walimu wameanza kulipwa na watuhumiwa wa EPA wameshafikishwa Mahakamani.
Tafadhali mpelekeeni ujumbe huu

Tutaacha kuzungumzia EPA pale kesi itakapo isha kwani tuna experience tuliyoipata Richmond alipojiuzulu Lowasa tulimaliza na nyie mkatulia sinahabari imefikia wapi hope JK atatuambia mwisho wa mwaka kama atakuwa nchini
na walimu mpaka alipwe mwalimu wa mwisho kwa sababu tumeyaona ya wazee wa East Africa.
ya migomo ya chuo mpaka rais azungumze suala la vyuo vingi kufungwa kwa pamoja sio la kulivyalia suti na kwenda LIBYA km hakuna kitu ni swala la kuahirisha safari na kutuma ujumbe kuna emegency imetokea nchini kwangu sitaweza kuhudhuria kikao anyways ndo vijana wa siku hizi wazee wamelala mlangoni kwakwe yeye anapita na ving'ora kama ni takataka tu poor me...
Reply With Quote
  #12  
Old 20th November 2008, 09:25 AM
Lole Gwakisa's Avatar
Lole Gwakisa Lole Gwakisa is offline
Lole Gwakisa has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 225,228, Level: 100 Points: 225,228, Level: 100 Points: 225,228, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Wed Nov 2008
Posts: 1,180
Thanks: 289
Thanked 281 Times in 139 Posts
Rep Power: 24
Lole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enoughLole Gwakisa will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Mama Bakari Mahiza,nafikiri umekalia kuti la kuanguka,CD unazozisikia ni ule mlio wa kuti kuanza kumeguka na kuanguka.Waandishi wa habari ambao ni kioo cha jamii ndio wanatujulisha juu ya kuti bovu linalotaka kuanguka.Isije ikawa ajabu kuti hilo litakapomeguka kabisaa! maana CD yake tumeshaicheza.Kumeguka kimya kimya wataumia wengi zaidi maana wanao umia na huo wimbo wa EPA, Richmond n.k. wanajua nyimbo hizo walizitunga vipi.Endelea kucheza mama ,na kama wewe hazikuhusu basi kaa chini na wenyewe wenye CD hizo wataendelea kunengua, kama waandishi wetu na vyombo vya habari wanavyo koleza vibwagizo!!!!!
Reply With Quote
  #13  
Old 20th November 2008, 09:44 AM
Utamaduni's Avatar
Utamaduni Utamaduni is offline
Utamaduni Yohana 14:6- John
JF Senior Expert Member
Points: 97,539, Level: 100 Points: 97,539, Level: 100 Points: 97,539, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Home
Posts: 364
Thanks: 16
Thanked 32 Times in 15 Posts
Rep Power: 23
Utamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Ukistaajabu ya Musa ..... Utaona Jeetu Patel, i mean utaona ya Fi**uni huyu jitu patel
__________________
Mvumilivu hula mbivu...akivumilia sana hula vilivyooza
Reply With Quote
  #14  
Old 20th November 2008, 09:47 AM
Utamaduni's Avatar
Utamaduni Utamaduni is offline
Utamaduni Yohana 14:6- John
JF Senior Expert Member
Points: 97,539, Level: 100 Points: 97,539, Level: 100 Points: 97,539, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Home
Posts: 364
Thanks: 16
Thanked 32 Times in 15 Posts
Rep Power: 23
Utamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Ukistaajabu ya Musa ..... Utaona ya Jeetu Patel, i mean utaona ya Fi**uni huyu jitu patel
__________________
Mvumilivu hula mbivu...akivumilia sana hula vilivyooza
Reply With Quote
  #15  
Old 20th November 2008, 09:51 AM
Utamaduni's Avatar
Utamaduni Utamaduni is offline
Utamaduni Yohana 14:6- John
JF Senior Expert Member
Points: 97,539, Level: 100 Points: 97,539, Level: 100 Points: 97,539, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Home
Posts: 364
Thanks: 16
Thanked 32 Times in 15 Posts
Rep Power: 23
Utamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enoughUtamaduni will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Ukistaajabu ya Musa ... Utaona ya Jeetu Pateli,,,, i mean utaona ya huuy Fi**uni jeetu patel
__________________
Mvumilivu hula mbivu...akivumilia sana hula vilivyooza
Reply With Quote
  #16  
Old 20th November 2008, 11:26 AM
BrownEye BrownEye is offline
BrownEye has no status.
Senior Member
Points: 74,755, Level: 100 Points: 74,755, Level: 100 Points: 74,755, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Posts: 76
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
BrownEye will become famous soon enoughBrownEye will become famous soon enoughBrownEye will become famous soon enoughBrownEye will become famous soon enoughBrownEye will become famous soon enoughBrownEye will become famous soon enoughBrownEye will become famous soon enoughBrownEye will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Quote:
View Post
ipo haja ya kubadili cd... Hakuna la kustaajabu hapo
cd inayogusa wengi siku zote hupigwa sana au kijana umesahau? Hizo cd zinazogusa na kukandamiza walalahoi tu tumeshazichoka, hakuna anayevutiwa nazo.

Sasa dhuluma basi ni kelele... Mpaka kieleweke!!!!
Reply With Quote
  #17  
Old 20th November 2008, 12:40 PM
bm21's Avatar
bm21 bm21 is offline
bm21 is a Missile
JF Senior Expert Member
Points: 105,974, Level: 100 Points: 105,974, Level: 100 Points: 105,974, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon May 2008
Location: Britain
Posts: 763
Thanks: 1
Thanked 17 Times in 13 Posts
Rep Power: 23
bm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enoughbm21 will become famous soon enough
Angry Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Kuna mwalimu wangu alinifundisha kuwa 'Unless we put meaning into it, a word has no meaning'. Akafafanua kidogo kuwa maana ya neno hutokana na jamii sio mtu fulani mfano waweza kuwa mwanaume kijinsia lakini jamii fulani inayotambua mwanaume aliepita jando isikutambuwe kuwa mwanaume.

Hivyo basi jamii yawatanzania ndio inayojua ni kwa kiasi gani suara la EPA and ndugu zake limeshughurikiwa sio Mahiza? Hivyo awaachie wanahabali jamii ikiridhika automatically suala la EPA, etc litakuwa historia, hivyo namsihi awaache wadili nao. Kwani tatizo nini eti Mh, au na wewe upo nini?

Suala la unyanyasaji kijinsia jamani wana JF tuliangalie kwa mapana kidogo. Sijafanya research lakini nimefanya observation kama mwanajamii. Kwa observation yangu unyanyasaji halisi nauona kwa vijana wa kiume kuliko wa kike. mtakubaliana na mimi vijana wa kike wengi wanajitegesha kwa tamaa zao na kukosa maadili. na swala hili hata baadhi ya mama zao wanachangia sana. Mimi naona hata uile sheria ya kumwadhibu mwanaume kwa kosa la kupeana mimba na msichana wa shule haiko sawa kwa sababu inawanyanyasa vijana wa viume kijinsia. Mi naona waadhibiwe wote sawa kabisa hii ndio suruhisho la kukomesha mimba mashuleni. Wasichana wengi wanao shika mimba mashuleni ni wale ambao CV zao hazijatulia katika masuala ya mahusiano. Na mara nyingi unakuta ni wasichana wa kuanzia kidato cha 2 - 4. Sasa jamani wana JF katika ulimwengu huu wa Dotcom. Msichana huyu wa Form 2 - 4 kwanini akubali kushika mimba na yeye ni mwanafunzi. Mbona wenzao kwenye nchi zilizoendelea wanakuwa na boyfriends na wanafanya mchezo mbaya kuanzia primary na hawashiki mimba???
Reply With Quote
  #18  
Old 20th November 2008, 12:56 PM
Njowepo's Avatar
Njowepo Njowepo is offline
Njowepo has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 146,758, Level: 100 Points: 146,758, Level: 100 Points: 146,758, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue Feb 2008
Posts: 609
Thanks: 4
Thanked 20 Times in 17 Posts
Rep Power: 24
Njowepo will become famous soon enoughNjowepo will become famous soon enoughNjowepo will become famous soon enoughNjowepo will become famous soon enoughNjowepo will become famous soon enoughNjowepo will become famous soon enoughNjowepo will become famous soon enoughNjowepo will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Huyo wazili si mlaumu ndio uwezo wake wa kufikilia.
Ukiona ivyo kwenye ilo zengwe anaguswa indirectly.
Tumelizwa billioni 133 unasema tubadili CD,hana ata haya
__________________
Europe has 2take concrete steps to ensure its banks are less of a safe haven for looted African funds?
Reply With Quote
  #19  
Old 20th November 2008, 01:01 PM
Jibaba Bonge Jibaba Bonge is offline
Jibaba Bonge has no status.
JF Premium Member
Points: 95,250, Level: 100 Points: 95,250, Level: 100 Points: 95,250, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Tue May 2008
Posts: 185
Thanks: 2
Thanked 13 Times in 10 Posts
Rep Power: 22
Jibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enoughJibaba Bonge will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

“Sasa tubadilishe CD, kila wakati EPA na migomo ya walimu, waandishi wa habari na vyombo vya dola tubadilike,...................!!!!
Reply With Quote
  #20  
Old 20th November 2008, 02:00 PM
BeNoir BeNoir is offline
BeNoir has no status.
JF Premium Member
Points: 72,702, Level: 100 Points: 72,702, Level: 100 Points: 72,702, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue May 2008
Posts: 91
Thanks: 2
Thanked 10 Times in 8 Posts
Rep Power: 22
BeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enoughBeNoir will become famous soon enough
Default Re: Ukistaajabu ya Mussa...

Mh!! mama Mahiza mbona utakuwa na kazi kusimamia CD ipi ichezwe na ipi isichezwe!!
Labda ujaribu kunzia kwenye hizo circle zenu muache ufisadi na viini macho, ndipo CD itabadilishwa.

Kazi ipo. Ukimuamsha aliyelala............
__________________
Trust but verify.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
mussa, ukistaajabu


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Ukistaajabu ya Edward Lowassa utayaona ya Aman A. Karume Sokomoko Habari na Hoja mchanganyiko 28 13th April 2008 06:50 PM
Ukistaajabu ya Musa, Utaona ya Firauni!!! mkenya2008 Jokes/Utani + Udaku/Gossips 1 1st April 2008 01:21 PM
Ukistaajabu ya Musa, Utaona ya Firauni mkenya2008 Jokes/Utani + Udaku/Gossips 0 1st April 2008 12:01 PM
Ukistaajabu ya Mussa... Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 4 15th December 2007 09:04 PM
Uchaguzi Mkuu wa CCM Mwaka 2007 MwanaCCM Jukwaa la Siasa 313 29th October 2007 10:50 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 05:20 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com