Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Askari wa mgodi wa dhahabu wa geita apiga risasi na kuua mwananchi.

    Report Post
    Results 1 to 20 of 20
    1. #1
      Mbuki Feleshi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th January 2011
      Posts : 67
      Rep Power : 434
      Likes Received
      14
      Likes Given
      71

      Post Askari wa mgodi wa dhahabu wa geita apiga risasi na kuua mwananchi.

      Hii imetokea alfajiri ya leo ambapo askari wa mgodi wa dhahabu wa Geita aliyekuwa katika lindo
      maeneo ya pit ya zaman iliyofungwa ya Lonkoni, aliwashambulia kwa risasi wananchi waliokuwa wameingia
      maeneo ya mgodi bila ruhusa (maarufu kama watu wa "magwangara" yaani watu wanaoingia maeneo
      ya mgodi ili kuokota mawe yasiyohitajika yaliyotupwa ambapo huyaprocess na kupata chochote).
      Kwa mujibu wa maelezo ya masecurity hao wanadai watu hao walitumia nguvu kuingia kitendo kilichomfanya
      askari huyo awafyatulie risasi na kumpiga tumboni kijana huyo ambaye alijeruhiwa vibaya sana na kupoteza
      maisha yake papo hapo.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Mbuki Feleshi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th January 2011
      Posts : 67
      Rep Power : 434
      Likes Received
      14
      Likes Given
      71

      Post Mauaji mgodi wa dhahabu wa geita.

      Hii imetokea alfajiri ya leo ambapo askari wa mgodi wa dhahabu wa Geita aliyekuwa katika lindo
      maeneo ya pit ya zaman iliyofungwa ya Lonkoni, aliwashambulia kwa risasi wananchi waliokuwa wameingia
      maeneo ya mgodi bila ruhusa (maarufu kama watu wa "magwangara" yaani watu wanaoingia maeneo
      ya mgodi ili kuokota mawe yasiyohitajika yaliyotupwa ambapo huyaprocess na kupata chochote).
      Kwa mujibu wa maelezo ya masecurity hao wanadai watu hao walitumia nguvu kuingia kitendo kilichomfanya
      askari huyo awafyatulie risasi na kumpiga tumboni kijana huyo ambaye alijeruhiwa vibaya sana na kupoteza
      maisha yake papo hapo.

    4. #3
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Mauaji mgodi wa dhahabu wa geita.

      Dah,
      sasa tunaanza kuzoea habari za mauaj ya migodin

    5. #4
      Memo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 2,128
      Rep Power : 847
      Likes Received
      662
      Likes Given
      937

      Default Re: Mauaji mgodi wa dhahabu wa geita.

      dah.............mi inaniuma sana hii
      Mwali likes this.
      STUKA!!

    6. #5
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1825
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Askari wa mgodi wa dhahabu wa geita apiga risasi na kuua mwananchi.

      Wananchi wamechukua hatua gani mpaka sasa?

    7. Study Abroad

    8. #6
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,764
      Rep Power : 26860
      Likes Received
      4283
      Likes Given
      4588

      Default Re: Mauaji mgodi wa dhahabu wa geita.

      Quote By Memo
      dah.............mi inaniuma sana hii
      Hasa ukizingatia kua shimo lenyewe limesha achwa na mgodi...
      Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds
      Albert Einstein


    9. #7
      mgodi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 994
      Rep Power : 631
      Likes Received
      113
      Likes Given
      81

      Default Re: Askari wa mgodi wa dhahabu wa geita apiga risasi na kuua mwananchi.

      haya mauwaji ya watu kwenye migodi yataisha lini? hasa kwenye migodi ya dhahabu.

    10. #8
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,396
      Rep Power : 7348
      Likes Received
      1060
      Likes Given
      1088

      Default Re: Askari wa mgodi wa dhahabu wa geita apiga risasi na kuua mwananchi.

      halafu askari mwenyewe mbongo mwenzao
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    11. #9
      Mbuki Feleshi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th January 2011
      Posts : 67
      Rep Power : 434
      Likes Received
      14
      Likes Given
      71

      Default Re: Askari wa mgodi wa dhahabu wa geita apiga risasi na kuua mwananchi.

      Inaskitisha sana, siku nzima ya leo hakuna huduma ya television geita baada
      ya kukatwa kwa huduma ya cable ambayo ndo huduma pekee ya kuwawezesha
      wananchi wa geita kupata habari hii inadaiwa ni njama ya kuzuia habari hii
      isisambae na kupelekea kuamsha hasira zaananchi.
      Waliozipata habari hizi pamoja na wadau wenzake na marehemu wamekasirishwa
      sana na kuahidi kulipa kisasi, kiukweli hali ya amani huku sasa ni tete.

    12. #10
      Slave's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Location : jamiiforums area
      Posts : 2,876
      Rep Power : 4890
      Likes Received
      868
      Likes Given
      687

      Default Re: Askari wa mgodi wa dhahabu wa geita apiga risasi na kuua mwananchi.

      Kama sehemu hairusiwi wao kwa nini wanaenda huko? Hao watu unao waita magwangala huwa sio watu wema maana huwa wanaingia katika ngome za migodi wakiwa na siraha.kwa upande wa mwadui watu hao huitwa wabeshi.mfano kuna watu wengi sana walikufa kule kakola kwa kukaidi amri kutoka ndani ya mashimo walimo kuwa wamezamia mpaka.mwisho wa siku wazungu wakaagiza mtambo (bull dozer d9)ifukie mashimo na hatimae watu walifia ndani ya mashimo.pia kule runzewe mgodi wa tulawaka hao magwangala au wabeshi waliwahi kuvamia mgodi na kupiga bomu plant.kama haitoshi wengine kule kahama buzwagi baada ya kuzidi sana kuiba mafuta polisi waliongezwa mgodini hapo,kutokana na hari hiyo wabeshi walimvamia askari polisi wakamuuwa na kumnyang'anya bunduki na kutoweka nayo. Na mengine mengi tu hao wabeshi wamefanya

    13. #11
      Idimulwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2011
      Posts : 1,354
      Rep Power : 678
      Likes Received
      387
      Likes Given
      279

      Default

      Quote By Mbuki Feleshi
      Hii imetokea alfajiri ya leo ambapo askari wa mgodi wa dhahabu wa Geita aliyekuwa katika lindo
      maeneo ya pit ya zaman iliyofungwa ya Lonkoni, aliwashambulia kwa risasi wananchi waliokuwa wameingia
      maeneo ya mgodi bila ruhusa (maarufu kama watu wa "magwangara" yaani watu wanaoingia maeneo
      ya mgodi ili kuokota mawe yasiyohitajika yaliyotupwa ambapo huyaprocess na kupata chochote).
      Kwa mujibu wa maelezo ya masecurity hao wanadai watu hao walitumia nguvu kuingia kitendo kilichomfanya
      askari huyo awafyatulie risasi na kumpiga tumboni kijana huyo ambaye alijeruhiwa vibaya sana na kupoteza
      maisha yake papo hapo.
      Jamaaani,mkuu huyo askari ni wa kampuni ipi?g4s au ggm yenyewe? Make mgodi unalindwa na askari wa aina mbili,g4s na ggm,halafu weka jina la huyo askari nioganizenguvu ya umma tutoe disipline fasta au mpatie taarifa hizo jamaa mmoja anaitwa Dear Mama yupo pale mtaa wa rwenge hapohapo geita town,atajua cha kufanya

    14. #12
      Idimulwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2011
      Posts : 1,354
      Rep Power : 678
      Likes Received
      387
      Likes Given
      279

      Default

      Quote By Mbuki Feleshi
      Inaskitisha sana, siku nzima ya leo hakuna huduma ya television geita baada
      ya kukatwa kwa huduma ya cable ambayo ndo huduma pekee ya kuwawezesha
      wananchi wa geita kupata habari hii inadaiwa ni njama ya kuzuia habari hii
      isisambae na kupelekea kuamsha hasira zaananchi.
      Waliozipata habari hizi pamoja na wadau wenzake na marehemu wamekasirishwa
      sana na kuahidi kulipa kisasi, kiukweli hali ya amani huku sasa ni tete.
      Mkuu Mbuki hao jamaa waliokata huduma ya kebo ndo wanaorushia matangazo ya kinyemela pale kwenye jengo la mzee Mulela au ni wale wachina wa CITCC?Piga moto ofisi hizo.period

    15. #13
      Idimulwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2011
      Posts : 1,354
      Rep Power : 678
      Likes Received
      387
      Likes Given
      279

      Default

      Quote By mgodi
      haya mauwaji ya watu kwenye migodi yataisha lini? hasa kwenye migodi ya dhahabu.
      Hujui thamani ya dhahabu na almasi?Hayataisha,pale Mwadui wanatafunwa na mbwa za wawekezaji
      daile,nenda pale Maganzo utawakuta wahanga.

    16. #14
      Idimulwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2011
      Posts : 1,354
      Rep Power : 678
      Likes Received
      387
      Likes Given
      279

      Default

      Quote By Slave
      Kama sehemu hairusiwi wao kwa nini wanaenda huko? Hao watu unao waita magwangala huwa sio watu wema maana huwa wanaingia katika ngome za migodi wakiwa na siraha.kwa upande wa mwadui watu hao huitwa wabeshi.mfano kuna watu wengi sana walikufa kule kakola kwa kukaidi amri kutoka ndani ya mashimo walimo kuwa wamezamia mpaka.mwisho wa siku wazungu wakaagiza mtambo (bull dozer d9)ifukie mashimo na hatimae watu walifia ndani ya mashimo.pia kule runzewe mgodi wa tulawaka hao magwangala au wabeshi waliwahi kuvamia mgodi na kupiga bomu plant.kama haitoshi wengine kule kahama buzwagi baada ya kuzidi sana kuiba mafuta polisi waliongezwa mgodini hapo,kutokana na hari hiyo wabeshi walimvamia askari polisi wakamuuwa na kumnyang'anya bunduki na kutoweka nayo. Na mengine mengi tu hao wabeshi wamefanya
      Acha uongo wewe buzwagi askari alisema na hao wezi wa mafuta wakampa hela nzuri tu wapige zutu then akajifanya mjanja ndo waka mu disipline ila hawakumuua huyo polisi bwana na silaha ilipatikana chini ya umahiri wa buzwagi mine security manager Mr.Mark Sydney.R.I.P Sydney kwa hiyo ajali ya gari iliyochukua roho yako huko majuu

    17. #15
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,589
      Rep Power : 1745
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default Re: Askari wa mgodi wa dhahabu wa geita apiga risasi na kuua mwananchi.

      Askari walikuwa wanapambana na majambazi.

    18. #16
      Slave's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Location : jamiiforums area
      Posts : 2,876
      Rep Power : 4890
      Likes Received
      868
      Likes Given
      687

      Default

      Quote By Ng'wana Sweke
      Acha uongo wewe buzwagi askari alisema na hao wezi wa mafuta wakampa hela nzuri tu wapige zutu then akajifanya mjanja ndo waka mu disipline ila hawakumuua huyo polisi bwana na silaha ilipatikana chini ya umahiri wa buzwagi mine security manager Mr.Mark Sydney.R.I.P Sydney kwa hiyo ajali ya gari iliyochukua roho yako huko majuu
      kama ndivyo basi asante kwa kuniweka sawa kwa ishu ya buzwagi. Na vp kakola na mwadui kwanini wanaingia katka ngome bila idhini? Mwadui asilimia kubwa hao wabeshi wanajiua wenyewe hao mbwa wamefunzwa hawawezi mbwa kuingia mtaani na kuuma watu ila watu ndo wanawafuata mbwa. Kama sio hilo tu mwadui kuna bwawa la tope lini ambalo ukilitazama kwa juu unaweza jua hapo ni pakavu. Wabeshi wengi wamefia humo maana hupita hapo wakizani njia salama hatima hutitia na kuzama ndani ya tope na kufia humo humo.naomba unijibu hao watu kwann huwa wanaingia sehem ambazo haziruhusiwi?
      Idimulwa likes this.

    19. #17
      Jeji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2011
      Location : hapa hapa
      Posts : 1,479
      Rep Power : 694
      Likes Received
      217
      Likes Given
      288

      Default Re: Askari wa mgodi wa dhahabu wa geita apiga risasi na kuua mwananchi.

      hata kama wameingia bila ruhusa ndio waamue kuua???
      Tanzania zaidi ya uijuavyo.
      Yeremia 33:3

    20. #18
      Slave's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Location : jamiiforums area
      Posts : 2,876
      Rep Power : 4890
      Likes Received
      868
      Likes Given
      687

      Default

      Quote By Jeji
      hata kama wameingia bila ruhusa ndio waamue kuua???
      Tanzania zaidi ya uijuavyo.
      jamani tufikie sehemu tuwe tuna pima mambo kwa uzito wake.inamaana huyo mlinzi yeye ange uwawa na hao wabeshi ingekuwaje? Mie sifahamu madhingira ya eneo la tukio lilivyo.ila ninachoomba kufahamu huyo mwananchi aliingia humo kwa ruhusa ya nani?mambo mengine haya hitaji uwelewa mkubwa kutambua kwa kifupi walienda kuiba hivyo mlinzi akawashitukia.

    21. #19
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,694
      Rep Power : 3252
      Likes Received
      977
      Likes Given
      748

      Default Re: Askari wa mgodi wa dhahabu wa geita apiga risasi na kuua mwananchi.

      Quote By Mbuki Feleshi
      Inaskitisha sana, siku nzima ya leo hakuna huduma ya television geita baada
      ya kukatwa kwa huduma ya cable ambayo ndo huduma pekee ya kuwawezesha
      wananchi wa geita kupata habari hii inadaiwa ni njama ya kuzuia habari hii
      isisambae na kupelekea kuamsha hasira zaananchi.
      Waliozipata habari hizi pamoja na wadau wenzake na marehemu wamekasirishwa
      sana na kuahidi kulipa kisasi, kiukweli hali ya amani huku sasa ni tete.
      nani kawadanganya kuwa kuna mtu anaweza kuzuia habari? waambieni imeandikwa.... hakika, wakinyamaza hawa, hata mawe yatapiga kelele
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    22. #20
      mikatabafeki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1396
      Likes Received
      765
      Likes Given
      1463

      Default Re: Askari wa mgodi wa dhahabu wa geita apiga risasi na kuua mwananchi.

      habari mbaya kwakweli
      when love goes wrong,nothing goes right.

    23. Miaka 50

    Similar Topics

    1. Wafanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu Geita waandamana
      By Mongoiwe in forum Business & Economic Forum
      Replies: 1
      Last Post: 27th March 2011, 12:04
    2. Replies: 25
      Last Post: 13th March 2011, 23:18
    3. Mgodi wa dhahabu buhemba watelekezwa
      By Njowepo in forum Business & Economic Forum
      Replies: 7
      Last Post: 16th November 2010, 17:25
    4. Replies: 0
      Last Post: 11th November 2010, 19:59
    5. Watu 16 wafukiwa mgodi wa dhahabu wilayani Geita Mkoani Mwanza
      By Mgoyangi in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 20
      Last Post: 13th April 2010, 22:35

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...