Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ubunifu wa ombaomba huu hapa

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Ubunifu wa ombaomba huu hapa

      Asubuh ya leo nimeona ubunifu wa Ombaomba, nilikua kwenye makutano ya kawawa road na nyerere rod,wakat daladala ipo kwenye folen nikasikia sauti iliyorekodiwa ikitoka kwenze kipaza sauti,SAUT HIYO ILISEMA

      'ndugu zangu watanzania nakuomben msaada,mia 1, mia 2, mia 5, aaamin aaamin'.
      Nikaamua kutupia macho,alikua ni kijana ambae amevaa shingon kipaza sauti kilichofungwa na kamba,ameamua kutumia mbinu hiyo ambayo

      inamsaidia sana kwani inaonesha anasikika kwa haraka sana,

      My take; NAMPONGEZA HUYU JAMAA,NAWEZA KUSEMA AMETHUBUTU!

    2. Study Abroad

    3. #2
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,018
      Rep Power : 7641
      Likes Received
      987
      Likes Given
      752

      Default Re: Ubunifu wa ombaomba huu hapa

      Quote By Bajabiri
      Asubuh ya leo nimeona ubunifu wa Ombaomba,nilikua kwenye makutano ya kawawa road na nyerere rod,wakat daladala ipo kwenye folen nikasikia sauti iliyorekodiwa ikitoka kwenze kipaza sauti,SAUT HIYO ILISEMA
      'ndugu zangu watanzania nakuomben msaada,mia 1,mia 2,mia 5,aaamin aaamin'.
      Nikaamua kutupia macho,alikua ni kijana ambae amevaa shingon kipaza sauti kilichofungwa na kamba,ameamua kutumia mbinu hiyo ambayo inamsaidia sana kwani inaonesha anasikika kwa haraka sana,
      My take;NAMPONGEZA HUYU JAMAA,NAWEZA KUSEMA AMETHUBUTU!
      Amethubutu, ameweza na anazidi kusonga mbele!
      mama D likes this.

    4. #3
      Mnyamahodzo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd May 2008
      Posts : 1,400
      Rep Power : 963
      Likes Received
      305
      Likes Given
      216

      Default Re: Ubunifu wa ombaomba huu hapa

      Amethubutu, ameweza na anasonga mbele.

      Dunia uwanja wa fujo.

    5. #4
      Tony Almeda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2011
      Location : C.T.U
      Posts : 395
      Rep Power : 467
      Likes Received
      117
      Likes Given
      37

      Default Re: Ubunifu wa ombaomba huu hapa

      Hiyo ni mojawapo ya stahili za kuomba zinazotumika ulaya, pamoja na ile stahili ya kuandika bango na unakaa watu wenye imani wanakupa, sio uko kwenye foleni mara ombaomba anakugongea dirisha.
      WAMETHUBUTU, HAWAWEZI LAKINI WANASONGA MBELE

    6. #5
      Mwita Matteo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th May 2010
      Location : Mpwapwa
      Posts : 210
      Rep Power : 500
      Likes Received
      49
      Likes Given
      56

      Default Re: Ubunifu wa ombaomba huu hapa

      Labda nae kaamua kuiga style ya uombaji ambayo nchi yake inatumia

    7. FemaTV & Radio

      Miaka 50

    Similar Topics

    1. Ubunifu
      By Kivumah in forum Jamii Photos
      Replies: 12
      Last Post: 26th September 2011, 19:41
    2. Ubunifu!!!!!!!!
      By Nyakarungu in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 4th May 2011, 13:54
    3. Ulemavu na Ombaomba
      By Rikab Mikail in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 3
      Last Post: 26th August 2009, 19:36

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...