Mamia ya wagonjwa pamoja na wazazi wanalala chini wakati posho ya wabunge kwa siku ikizidi mshahara wa kianzio wa walimu na polisi.Tunapoelekea tunapajua?
Mamia ya wagonjwa pamoja na wazazi wanalala chini wakati posho ya wabunge kwa siku ikizidi mshahara wa kianzio wa walimu na polisi.Tunapoelekea tunapajua?
Ndiyo hivyo, wanasiasa wananguvu kuliko hata wanaofanya kazi. Nchi hii hadi tutakajua kuwa wanasiasa wananafasi yao, na professionals wengi wananafasi yao! tukiweza kutenganisha haya madudu tutaweza kuwaadabisha wanaoturudisha nyuma. Lakini kwa sasa, wanasiasa ni kama miungu watu.
"Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience" Mark Twain
nenda pale amana,mwananyamala na temeke wodi za wazazi hakika utaghadhabika kwa utakayoyaona.eti visenti vya kununulia banko hamna wakati mabilioni ya kulipana posho yapo
Hospital za public zinatia huruma.
miaka 50 ya uhuru
tumethubutu, tumeweza na tunazidi kusonga mbele.
siupendi kweli usemi huu.
Yeremia 33:3
Follow Us Here