Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwanini Nyerere hakuwa Dr?

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      massai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Posts : 625
      Rep Power : 533
      Likes Received
      109
      Likes Given
      2

      Default Kwanini Nyerere hakuwa Dr?

      Nimekaa na kujiuliza mara tatu nne kwanini Julius Kambarage Nyerere hakuwa na heshima ya udaktari aidha yakupewa au yakusoma darasani.hapohapo nikaanza kujijibu labda ilikua ni upungufu wa vyuo vilivyopo wakati ule,au ilikua si rahisi kupata hiyo heshima kama karama au zawadi au kwakuhonga ama kwakulazimisha,hapohapo najiuliza hivi haiwezekani akapewa hiyo heshima leo hii akiwa hayati??kwani kwa mazuri aliyofanya ni mengi kuliko mabaya aliyofanya na wala huwezi kmlinganisha na hawa waliopo,kama udokta ni kauli au busara za mwalimu zinadumu zitadumu nakudumu. ni mtazamo tu jamani na uelewa wangu mdogo katika hoja nzima.

    2. Miaka 50

    3. #2
      JAY2da4's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2008
      Posts : 191
      Rep Power : 575
      Likes Received
      59
      Likes Given
      135

      Default Re: Kwanini nyerere hakuwa dr??

      About Nyerere

      Honoraries and Award

      As a result of his good work, different institutions and universities honored Mwalimu Nyerere to mark his contributions to Tanzania, Africa, developing countries and the entire world.

      Honorary Degrees and Awards

      He received honorary degrees from the following:
      1. University of Edinburgh (United Kingdom)

      2. University of Dugueshe (United States of America)

      3. Cairo University (Egypt)

      4. University of Nsukka (Nigeria)

      5. University of Ibadan (Nigeria)

      6. University of Monrovia (Liberia)

      7. Toronto University (Canada)

      8. Havard University (United States of America)

      9. Howard University (United States of America)

      10. Ljubliana (Yugoslavia) - Honorary Doctoral of Law (26 March 1985)

      11. Pyongyang University (Korea) - Honorary Doctorate of Philosophy (28th March 1985)

      12. National University of Lesotho (Lesotho)

      13. The State House Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree for Diplomacy (20th Sept, 1985)

      14. Havana University of Cuba (Cuba) - Honorary Degree of Doctor Of Philosophy (30th Sept 1985)

      15. University of Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree of Literature Honoris Causa (13th Sept 1986)

      16. Universities of Philippines (Philippines) - Honorary Doctorate of Humanities (12th July 1991)

      17. Manila (Philippines) - Honorary Doctor Degree (12th October 1992)

      18. Makerere University Kampala (Uganda) - Honorary Doctor of Laws (29th January 1993)

      19. Open University of Tanzania (Tanzania) - Doctor of Letters Honoris Causa (15th March 1997)

      20. Claremont University Centre (United States of America) - Doctor of Laws for Claremont graduate School California (17th May 1997)

      21. Sokoine University of Agriculture (Tanzania) - Doctor of Philosophy Honoris Causa (28th November 1997)

      22. University of Fort Hare (South Africa) - Doctor of Laws Honoris Causa (23rd April 1998)

      23. Lincoln University (United States of America) - Honorary Degree of Laws (5th May 1998)

      Awards / Prices

      1. Yogoslavia - Memorial Plaque of the City of Belgrade (15th October 1969)

      2. Guyana - Freedom of the City of Georgetown (11th September 1974)

      3. Havana, Cuba - Order of Jose Marti (21st September 1974)

      4. Mexico - The Great Collar of the Aztec Eagle (24th April 1975)

      5. India - Nehru Award for International Understanding (17th January 1976)

      6. Guinea Bissau - Medal of Amilcar Cabral (19th September 1976)

      7. Brussels - The Dag Hammarskjold Price for Universal Merit

      8. New Delhi, India - Third World Prize (22nd February 1982)

      9. Maputo, Mozambique - Eduardo Mondlane Medal (7th September 1983)

      10. Geneva - Nansen Medal for Services to the Cause of Refugees (3rd October 1983).

      11. Luanda, Angola - Order of Augstino Neto Award (3rd October 1985)

      12. Luanda Angola - SADCC Sir Seretse Khama Medal (21 August 1986)

      13. Dodoma, Tanzania - Lenin Peace Prize (7th September 1987)

      14. Dodoma, Tanzania - Juliot Curie Gold Medal (February 1988)

      15. Paris, France - UNESCO Simon Boliver Prize (21st October 1992)

      16. Arusha, Tanzania - TANAPA / Gold Medal of Outstanding on Wildlife and Environmental Conservation (21st February 1994)

      17. New, Delhi, India - Gandhi Peace Prize (27th January 1995)

      18. Abujua, Nigeria - Nnandi Azikiwe Award (10th March 1996)

      19. Harvard University - World Map Globe (28th December 1999)

      20. CCM, Tanzania - The Century Statesman (2000)

      Source:Mwalimu Nyerere Foundation
      "Government is too big and too important to be left to the politicians" Chester Bowles(1901 - 1986)

    4. #3
      JAY2da4's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2008
      Posts : 191
      Rep Power : 575
      Likes Received
      59
      Likes Given
      135

      Default Re: Kwanini nyerere hakuwa Dr?

      Kapata nyingi tu mkuu,sema yule mzee hakuwa mtu wa sifa kama hawa vimeo wa siku hizi,alitaka aonekane kama mwalimu tu.

      Quote By massai
      Nimekaa na kujiuliza mara tatu nne kwanini Julius Kambarage Nyerere hakuwa na heshima ya udaktari aidha yakupewa au yakusoma darasani.hapohapo nikaanza kujijibu labda ilikua ni upungufu wa vyuo vilivyopo wakati ule,au ilikua si rahisi kupata hiyo heshima kama karama au zawadi au kwakuhonga ama kwakulazimisha,hapohapo najiuliza hivi haiwezekani akapewa hiyo heshima leo hii akiwa hayati??kwani kwa mazuri aliyofanya ni mengi kuliko mabaya aliyofanya na wala huwezi kmlinganisha na hawa waliopo,kama udokta ni kauli au busara za mwalimu zinadumu zitadumu nakudumu. ni mtazamo tu jamani na uelewa wangu mdogo katika hoja nzima.
      Jasusi and Dingswayo like this.
      "Government is too big and too important to be left to the politicians" Chester Bowles(1901 - 1986)

    5. #4
      Nazjaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 2,865
      Rep Power : 1713
      Likes Received
      790
      Likes Given
      221

      Default Re: Kwanini nyerere hakuwa Dr?

      Nimesoma hizo shahada za heshima za Nyerere hadi nimechoka.

    6. #5
      JAY2da4's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2008
      Posts : 191
      Rep Power : 575
      Likes Received
      59
      Likes Given
      135

      Default Re: Kwanini nyerere hakuwa Dr?

      lazima uchoke mkuu maana mnavyomtangazia sumu humu ndani ni balaa,hawa wenu wa siku hizi kupata kashahada kamoja tu umekuwa wimbo wa taifa.

      Quote By Nazjaz
      Nimesoma hizo shahada za heshima za Nyerere hadi nimechoka.
      Jasusi likes this.
      "Government is too big and too important to be left to the politicians" Chester Bowles(1901 - 1986)


    7. #6
      Ze burner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Location : Pelaamisesta
      Posts : 438
      Rep Power : 512
      Likes Received
      51
      Likes Given
      88

      Default Re: Kwanini nyerere hakuwa Dr?

      duh! shahada na awards zote hizo na bado amekufa. si msheeeezoooo
      Perfect numbers like perfect men are very rare.

    8. #7
      popiexo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 683
      Rep Power : 686
      Likes Received
      143
      Likes Given
      96

      Default Re: Kwanini nyerere hakuwa Dr?

      Ngumu sana hawawezi kumfikia hata wakilazimisha vipi.
      JAY2da4 likes this.
      Peace & Love

    9. #8
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,068
      Rep Power : 1083
      Likes Received
      670
      Likes Given
      467

      Default Re: Kwanini nyerere hakuwa dr??

      Quote By JAY2da4
      About Nyerere

      Honoraries and Award


      As a result of his good work, different institutions and universities honored Mwalimu Nyerere to mark his contributions to Tanzania, Africa, developing countries and the entire world.

      Honorary Degrees and Awards


      He received honorary degrees from the following:


      13. The State House Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree for Diplomacy (20th Sept, 1985)


      Source:Mwalimu Nyerere Foundation
      Mkuu, pamekaaje hapo?
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    10. #9
      ntogwisangu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2011
      Posts : 435
      Rep Power : 466
      Likes Received
      113
      Likes Given
      29

      Default Re: Kwanini nyerere hakuwa dr??

      Quote By jay2da4
      about nyerere

      honoraries and award


      as a result of his good work, different institutions and universities honored mwalimu nyerere to mark his contributions to tanzania, africa, developing countries and the entire world.

      honorary degrees and awards


      he received honorary degrees from the following:
      1. University of edinburgh (united kingdom)

      2. University of dugueshe (united states of america)

      3. Cairo university (egypt)

      4. University of nsukka (nigeria)

      5. University of ibadan (nigeria)

      6. University of monrovia (liberia)

      7. Toronto university (canada)

      8. Havard university (united states of america)

      9. Howard university (united states of america)

      10. Ljubliana (yugoslavia) - honorary doctoral of law (26 march 1985)

      11. Pyongyang university (korea) - honorary doctorate of philosophy (28th march 1985)

      12. National university of lesotho (lesotho)

      13. The state house dar es salaam (tanzania) - honorary degree for diplomacy (20th sept, 1985)

      14. Havana university of cuba (cuba) - honorary degree of doctor of philosophy (30th sept 1985)

      15. University of dar es salaam (tanzania) - honorary degree of literature honoris causa (13th sept 1986)

      16. Universities of philippines (philippines) - honorary doctorate of humanities (12th july 1991)

      17. Manila (philippines) - honorary doctor degree (12th october 1992)

      18. Makerere university kampala (uganda) - honorary doctor of laws (29th january 1993)

      19. Open university of tanzania (tanzania) - doctor of letters honoris causa (15th march 1997)

      20. Claremont university centre (united states of america) - doctor of laws for claremont graduate school california (17th may 1997)

      21. Sokoine university of agriculture (tanzania) - doctor of philosophy honoris causa (28th november 1997)

      22. University of fort hare (south africa) - doctor of laws honoris causa (23rd april 1998)

      23. Lincoln university (united states of america) - honorary degree of laws (5th may 1998)

      awards / prices


      1. Yogoslavia - memorial plaque of the city of belgrade (15th october 1969)

      2. Guyana - freedom of the city of georgetown (11th september 1974)

      3. Havana, cuba - order of jose marti (21st september 1974)

      4. Mexico - the great collar of the aztec eagle (24th april 1975)

      5. India - nehru award for international understanding (17th january 1976)

      6. Guinea bissau - medal of amilcar cabral (19th september 1976)

      7. Brussels - the dag hammarskjold price for universal merit

      8. New delhi, india - third world prize (22nd february 1982)

      9. Maputo, mozambique - eduardo mondlane medal (7th september 1983)

      10. Geneva - nansen medal for services to the cause of refugees (3rd october 1983).

      11. Luanda, angola - order of augstino neto award (3rd october 1985)

      12. Luanda angola - sadcc sir seretse khama medal (21 august 1986)

      13. Dodoma, tanzania - lenin peace prize (7th september 1987)

      14. Dodoma, tanzania - juliot curie gold medal (february 1988)

      15. Paris, france - unesco simon boliver prize (21st october 1992)

      16. Arusha, tanzania - tanapa / gold medal of outstanding on wildlife and environmental conservation (21st february 1994)

      17. New, delhi, india - gandhi peace prize (27th january 1995)

      18. Abujua, nigeria - nnandi azikiwe award (10th march 1996)

      19. Harvard university - world map globe (28th december 1999)

      20. Ccm, tanzania - the century statesman (2000)

      source:mwalimu nyerere foundation
      hii nchi bwana ina mijitu ya ajabu sana!!!unakuta jitu linaanzisha thread kumponda nyerere!ok pengine alikuwa na mapungufu yake!!!lakini yeye na waliomfuata yupi alionyesha njia?dr kikwete!dr mkapa!!!!!na pengina alhaj dr mwinyi?mtakufa na vichwa ovyo ambavyohavijatumika!!!!kuweni wastaarabu!nyerere was ana still a great person who tanzania and africa in general has ever have!!!!!!
      JAY2da4 likes this.

    11. #10
      andrewk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2010
      Posts : 2,229
      Rep Power : 908
      Likes Received
      283
      Likes Given
      60

      Default Re: Kwanini nyerere hakuwa Dr?

      Ni mara chache sana kuona wanamtambulisha kama Dr
      JAY2da4 likes this.

    12. #11
      massai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Posts : 625
      Rep Power : 533
      Likes Received
      109
      Likes Given
      2

      Default Re: Kwanini Nyerere hakuwa Dr?

      Nashukuru kwa ufahamisho wakuu,sikuwa na data hizo kabla much thanks to all replies ,asanteni sana.
      Dingswayo likes this.

    13. #12
      Cha Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Location : Kijijini
      Posts : 937
      Rep Power : 587
      Likes Received
      131
      Likes Given
      247

      Default Re: Kwanini Nyerere hakuwa Dr?

      Mwalimu alikuwa na madiriii kudaddadekiii zaidi ya 20, humo ma PhD ya kumwaga mbaya
      JAY2da4 likes this.

    14. #13
      Papa Mopao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2009
      Posts : 1,749
      Rep Power : 839
      Likes Received
      248
      Likes Given
      344

      Default Re: Kwanini Nyerere hakuwa Dr?

      kwa Nyerere ni sawa kabisa, ukiangalia maisha ya watu walivyokuwa wanaishi zamani na mambo yalivyoendeshwa utaona kabisa alistahili kupewa kubwa, hotuba zake nyingi imekuwa shule kwetu hadi hivi leo, katika hawa wote wa sasa nani katuonesha njia kama kiongozi wa nchi na chama katika hali ya nidhamu kabisa?
      JAY2da4 likes this.

    15. #14
      NEW NOEL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2011
      Posts : 433
      Rep Power : 492
      Likes Received
      106
      Likes Given
      28

      Default Re: Kwanini Nyerere hakuwa Dr?

      Sasa hivi kuitwa Dr. Imekuwa sifa kuliko hata kuitwa Proffessor. Ndo maana kina flani wanapenda kuitwa kina Dr...li.....mi kuliko hata kina Prof.......

    Similar Topics

    1. Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!
      By NasDaz in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 1040
      Last Post: 3rd June 2012, 10:24
    2. Nyerere hakuwa Mungu Mtu!
      By Game Theory in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 18
      Last Post: 25th January 2012, 11:05
    3. Kwanini Michael Jackson hakuwa na Tatoo?
      By Nazjaz in forum Entertainment
      Replies: 9
      Last Post: 9th April 2011, 17:51

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...