Ni chizi anayeweza kusema eti Nyerere hajawahi kuwa raia wa Tanzania
Nimesoma thread ya Faiza Foxy isemayo kuwa Nyerere hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Nimejaribu kuijibu mtandao ukagoma. Kwa ufupi ni kwamba mtu anayeshuku uraia wa Nyerere ni mgonjwa wa akili pekee. Nilidhani Faiza Foxy msomi kumbe bure. Anashangaa jinsi Nyerere alivyoweza kwenda masomoni Uingereza. Jibu ni rahisi kuwa wakati ule tulikuwa chini ya Mwingereza. Kama mantiki ni hayo, hata huyo baba wa Faiza Foxy hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Kuna haja ya watu kujisomea kabla ya kuchangamkia kuleta mada zisizo vichwa wala miguu. Hovyo.
Re: Ni chizi anayeweza kusema eti Nyerere hajawahi kuwa raia wa Tanzania
By mpayukaji
Nimesoma thread ya Faiza Foxy isemayo kuwa Nyerere hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Nimejaribu kuijibu mtandao ukagoma. Kwa ufupi ni kwamba mtu anayeshuku uraia wa Nyerere ni mgonjwa wa akili pekee. Nilidhani Faiza Foxy msomi kumbe bure. Anashangaa jinsi Nyerere alivyoweza kwenda masomoni Uingereza. Jibu ni rahisi kuwa wakati ule tulikuwa chini ya Mwingereza. Kama mantiki ni hayo, hata huyo baba wa Faiza Foxy hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Kuna haja ya watu kujisomea kabla ya kuchangamkia kuleta mada zisizo vichwa wala miguu. Hovyo.
kwa hiyo kwa sababu mtandao unagoma ndio unafungua thread mpya? ukifungua thread mpya tu mtandao haugomi?? mpaka FaizaFoxy amekuchanganya hivyo ujijue una matatizo makubwa sana ya kisaiokolojia, nyie ndiyo mnabishana kwa kupiga vifua na kulamba udongo...kama mtu hujakubaliana naye why dont ignore her?? you serve lots of energy and time na utaishi maisha marefu...ona sasa muasisi wa Tanzania anaitwa siyo raia na ww una payuka hapa kuwa hana akili...in this case ww ndio huna akili kubishana na asiye na akili (kwa maneno yako)
kama ww ni GT nenda kwenye thread yake kamuelewe, hajaanza FF alianza Mtikila....they may have reasons but wrong ones or right ones depending on their argument!!!!
Kwa mfani nikisema mwaka 1954 Nyerere hakuwa raia wa Tanzania niko sahihi kwa sababu kipindi hicho hakukuwa na Tanzania..nikisema hivyo najisema na mimi pia
Re: Ni chizi anayeweza kusema eti Nyerere hajawahi kuwa raia wa Tanzania
Mkuu,
Thread yako inaingilia uhuru wa mtu kutoa maoni yake. Imejaa kejeli, jazba na maneno makali bila hoja.
Nakushauri urudi kwenye thread ya Faiza Fox ukamweleweshe kwa hoja na kuepuka jazba mpaka ueleweke. That is how the GT should be. Na ukumbuke kwamba uhuru wako unaishia pale wa mwenzio unapoanza!
Re: Ni chizi anayeweza kusema eti Nyerere hajawahi kuwa raia wa Tanzania
Kwanza thead ndio inazidi kupata michango, nashangaa watu wanakuwa wakali. GT wakiona thread haina mvuto kwao wanaipotezea.
Pili siku zote mtoa mada na FF naona wanatofautina, so GT hataona ajabu wakilaumiana. Naamini FF anapita hapa kila siku atamjibu muda si mrefu.
Na wewe mtoa mada, tofauti yako na FF haijaanza leo. Kama ni ukichaa haujaanza leo, sasa mbona ushangaa. Vipi kichaa akikimbia na nguo zako, uanfanyaje? Na kwa jinsi navyomfaham FF, ujiandae kupambana naye, tena bora umeanzisha thread mpya!
My word:
Ingawa Ml. Nyerere alikuwa binadamu na mapungufu yake, ila alihitajika mtu wa namna yake kwa wakati ule ili kufanikisha yote aliyotenda. Binafsi sidhani kama hawa jamaa zetu wa siku hizi wangepata nafasi ile wangefanya lolote la maana zaidi ya kupewa vijisenti kidogo kisha wakaenda kuishi hukohuko na kutuacha tukiishi na shida zetu.
Nimesoma thread ya Faiza Foxy isemayo kuwa Nyerere hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Nimejaribu kuijibu mtandao ukagoma. Kwa ufupi ni kwamba mtu anayeshuku uraia wa Nyerere ni mgonjwa wa akili pekee. Nilidhani Faiza Foxy msomi kumbe bure. Anashangaa jinsi Nyerere alivyoweza kwenda masomoni Uingereza. Jibu ni rahisi kuwa wakati ule tulikuwa chini ya Mwingereza. Kama mantiki ni hayo, hata huyo baba wa Faiza Foxy hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Kuna haja ya watu kujisomea kabla ya kuchangamkia kuleta mada zisizo vichwa wala miguu. Hovyo.
Haya sasa mtandao haugomi, rudi kwenye uzi wa FF ukajibu hoja kabla mtandao haujagoma tena. Watu wengine wanashangaza sana. Inakuwaje akitajwa Nyerere wanabadilika lakini wakitajwa kina Mwinyi, Mkapa, Jakaya nk. aaah wanaona poa tu, tena pengine wakaongeza na kejeli nyingi! Kwa nini 'double standard?' Wote hao wamepitia uongozi wa juu kabisa ktk nchi yetu. Wote ni binadam, kila mmoja ana mazuri na mabaya yake. Kwa dunia ya leo wote wanajadilika. Tuache jazba tujibu hoja eeenh?
Re: Ni chizi anayeweza kusema eti Nyerere hajawahi kuwa raia wa Tanzania
Tatizo la Faiza Fox ni lile la imani ya mfumo kristo, ndio maana yeye hata siku moja hutomsikia akiwalaumu Mwinyi na JK, kUMBUKA MWISLAMU NDUGU YAKE NI MUISLAMU MWENZAKE.
Hapo ndipo alipojikita FF, labda ningetumia fursa hii kuwakumbusha waislamu kwamba Rais JK aliwaambia wenzenu wakristo waliomba MoU na nyinyi ombeni, ni upuuzi kwa FF kukosa heshima kwa yule mzee ambaye yeye FF anadai hakuwa raia, kwangu uraia sio issue, issue ni je kati ya yeye ambae sio raia na hawa ambao ni raia ni yupi ameitendea Tanzania na kuacha Legacy?
Tatizo la Faiza Fox ni lile la imani ya mfumo kristo, ndio maana yeye hata siku moja hutomsikia akiwalaumu Mwinyi na JK, kUMBUKA MWISLAMU NDUGU YAKE NI MUISLAMU MWENZAKE.
Hapo ndipo alipojikita FF, labda ningetumia fursa hii kuwakumbusha waislamu kwamba Rais JK aliwaambia wenzenu wakristo waliomba MoU na nyinyi ombeni, ni upuuzi kwa FF kukosa heshima kwa yule mzee ambaye yeye FF anadai hakuwa raia, kwangu uraia sio issue, issue ni je kati ya yeye ambae sio raia na hawa ambao ni raia ni yupi ameitendea Tanzania na kuacha Legacy?
Ha!ha!ha!ha! hata ukiwa chz huwezi kulinganisha mazuri ya raia wa 4 na 1 ambae alifikiria matumbo ya weupe kuliko raia wake.
Nimesoma thread ya Faiza Foxy isemayo kuwa Nyerere hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Nimejaribu kuijibu mtandao ukagoma. Kwa ufupi ni kwamba mtu anayeshuku uraia wa Nyerere ni mgonjwa wa akili pekee. Nilidhani Faiza Foxy msomi kumbe bure. Anashangaa jinsi Nyerere alivyoweza kwenda masomoni Uingereza. Jibu ni rahisi kuwa wakati ule tulikuwa chini ya Mwingereza. Kama mantiki ni hayo, hata huyo baba wa Faiza Foxy hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Kuna haja ya watu kujisomea kabla ya kuchangamkia kuleta mada zisizo vichwa wala miguu. Hovyo.
Kwani kumuelezea kwa mazuri pekee huyo babu bila kukosoa makosa yake ndo USOMI?Rudi shule wewe UKATAE UKILAZA ULIOKUGANDA!
Tatizo la Faiza Fox ni lile la imani ya mfumo kristo, ndio maana yeye hata siku moja hutomsikia akiwalaumu Mwinyi na JK, kUMBUKA MWISLAMU NDUGU YAKE NI MUISLAMU MWENZAKE.
Hapo ndipo alipojikita FF, labda ningetumia fursa hii kuwakumbusha waislamu kwamba Rais JK aliwaambia wenzenu wakristo waliomba MoU na nyinyi ombeni, ni upuuzi kwa FF kukosa heshima kwa yule mzee ambaye yeye FF anadai hakuwa raia, kwangu uraia sio issue, issue ni je kati ya yeye ambae sio raia na hawa ambao ni raia ni yupi ameitendea Tanzania na kuacha Legacy?
Ha!ha!ha!ha! hata ukiwa chz huwezi kulinganisha mazuri ya raia wa 4 na 1 ambae alifikiria matumbo ya weupe kuliko raia wake.
Follow Us Here