Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ni chizi anayeweza kusema eti Nyerere hajawahi kuwa raia wa Tanzania

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      mpayukaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Posts : 950
      Rep Power : 921
      Likes Received
      337
      Likes Given
      1498

      Default Ni chizi anayeweza kusema eti Nyerere hajawahi kuwa raia wa Tanzania

      Nimesoma thread ya Faiza Foxy isemayo kuwa Nyerere hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Nimejaribu kuijibu mtandao ukagoma. Kwa ufupi ni kwamba mtu anayeshuku uraia wa Nyerere ni mgonjwa wa akili pekee. Nilidhani Faiza Foxy msomi kumbe bure. Anashangaa jinsi Nyerere alivyoweza kwenda masomoni Uingereza. Jibu ni rahisi kuwa wakati ule tulikuwa chini ya Mwingereza. Kama mantiki ni hayo, hata huyo baba wa Faiza Foxy hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Kuna haja ya watu kujisomea kabla ya kuchangamkia kuleta mada zisizo vichwa wala miguu. Hovyo.
      BAK and Mrembo by Nature like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Ni chizi anayeweza kusema eti Nyerere hajawahi kuwa raia wa Tanzania

      Quote By mpayukaji
      Nimesoma thread ya Faiza Foxy isemayo kuwa Nyerere hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Nimejaribu kuijibu mtandao ukagoma. Kwa ufupi ni kwamba mtu anayeshuku uraia wa Nyerere ni mgonjwa wa akili pekee. Nilidhani Faiza Foxy msomi kumbe bure. Anashangaa jinsi Nyerere alivyoweza kwenda masomoni Uingereza. Jibu ni rahisi kuwa wakati ule tulikuwa chini ya Mwingereza. Kama mantiki ni hayo, hata huyo baba wa Faiza Foxy hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Kuna haja ya watu kujisomea kabla ya kuchangamkia kuleta mada zisizo vichwa wala miguu. Hovyo.
      kwa hiyo kwa sababu mtandao unagoma ndio unafungua thread mpya? ukifungua thread mpya tu mtandao haugomi?? mpaka FaizaFoxy amekuchanganya hivyo ujijue una matatizo makubwa sana ya kisaiokolojia, nyie ndiyo mnabishana kwa kupiga vifua na kulamba udongo...kama mtu hujakubaliana naye why dont ignore her?? you serve lots of energy and time na utaishi maisha marefu...ona sasa muasisi wa Tanzania anaitwa siyo raia na ww una payuka hapa kuwa hana akili...in this case ww ndio huna akili kubishana na asiye na akili (kwa maneno yako)

      kama ww ni GT nenda kwenye thread yake kamuelewe, hajaanza FF alianza Mtikila....they may have reasons but wrong ones or right ones depending on their argument!!!!

      Kwa mfani nikisema mwaka 1954 Nyerere hakuwa raia wa Tanzania niko sahihi kwa sababu kipindi hicho hakukuwa na Tanzania..nikisema hivyo najisema na mimi pia

      povu jingi!
      JF-BAN1 likes this.
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    4. #3
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1644

      Default Re: Ni chizi anayeweza kusema eti Nyerere hajawahi kuwa raia wa Tanzania

      Mkuu,
      Thread yako inaingilia uhuru wa mtu kutoa maoni yake. Imejaa kejeli, jazba na maneno makali bila hoja.

      Nakushauri urudi kwenye thread ya Faiza Fox ukamweleweshe kwa hoja na kuepuka jazba mpaka ueleweke. That is how the GT should be. Na ukumbuke kwamba uhuru wako unaishia pale wa mwenzio unapoanza!

    5. #4
      Kadamfu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th November 2011
      Posts : 117
      Rep Power : 402
      Likes Received
      30
      Likes Given
      8

      Default Re: Ni chizi anayeweza kusema eti Nyerere hajawahi kuwa raia wa Tanzania

      wapi dada faiza

    6. #5
      Mrimi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 1,225
      Rep Power : 735
      Likes Received
      327
      Likes Given
      314

      Default Re: Ni chizi anayeweza kusema eti Nyerere hajawahi kuwa raia wa Tanzania

      Kwanza thead ndio inazidi kupata michango, nashangaa watu wanakuwa wakali. GT wakiona thread haina mvuto kwao wanaipotezea.

      Pili siku zote mtoa mada na FF naona wanatofautina, so GT hataona ajabu wakilaumiana. Naamini FF anapita hapa kila siku atamjibu muda si mrefu.

      Na wewe mtoa mada, tofauti yako na FF haijaanza leo. Kama ni ukichaa haujaanza leo, sasa mbona ushangaa. Vipi kichaa akikimbia na nguo zako, uanfanyaje? Na kwa jinsi navyomfaham FF, ujiandae kupambana naye, tena bora umeanzisha thread mpya!

      My word:
      Ingawa Ml. Nyerere alikuwa binadamu na mapungufu yake, ila alihitajika mtu wa namna yake kwa wakati ule ili kufanikisha yote aliyotenda. Binafsi sidhani kama hawa jamaa zetu wa siku hizi wangepata nafasi ile wangefanya lolote la maana zaidi ya kupewa vijisenti kidogo kisha wakaenda kuishi hukohuko na kutuacha tukiishi na shida zetu.

    7. Miaka 50

    8. #6
      NGUVUMOJA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2011
      Posts : 863
      Rep Power : 571
      Likes Received
      138
      Likes Given
      26

      Default

      Quote By mpayukaji
      Nimesoma thread ya Faiza Foxy isemayo kuwa Nyerere hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Nimejaribu kuijibu mtandao ukagoma. Kwa ufupi ni kwamba mtu anayeshuku uraia wa Nyerere ni mgonjwa wa akili pekee. Nilidhani Faiza Foxy msomi kumbe bure. Anashangaa jinsi Nyerere alivyoweza kwenda masomoni Uingereza. Jibu ni rahisi kuwa wakati ule tulikuwa chini ya Mwingereza. Kama mantiki ni hayo, hata huyo baba wa Faiza Foxy hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Kuna haja ya watu kujisomea kabla ya kuchangamkia kuleta mada zisizo vichwa wala miguu. Hovyo.
      Haya sasa mtandao haugomi, rudi kwenye uzi wa FF ukajibu hoja kabla mtandao haujagoma tena. Watu wengine wanashangaza sana. Inakuwaje akitajwa Nyerere wanabadilika lakini wakitajwa kina Mwinyi, Mkapa, Jakaya nk. aaah wanaona poa tu, tena pengine wakaongeza na kejeli nyingi! Kwa nini 'double standard?' Wote hao wamepitia uongozi wa juu kabisa ktk nchi yetu. Wote ni binadam, kila mmoja ana mazuri na mabaya yake. Kwa dunia ya leo wote wanajadilika. Tuache jazba tujibu hoja eeenh?

    9. #7
      MANAMBA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 169
      Rep Power : 456
      Likes Received
      15
      Likes Given
      0

      Default Re: Ni chizi anayeweza kusema eti Nyerere hajawahi kuwa raia wa Tanzania

      Ni kosa la ki maadili kumtuhumu mtu (mfu) asiyeweza kujitetea
      Honest is the best policy

    10. #8
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,513
      Rep Power : 19750
      Likes Received
      5443
      Likes Given
      3638

      Default Re: Ni chizi anayeweza kusema eti Nyerere hajawahi kuwa raia wa Tanzania

      Tatizo la Faiza Fox ni lile la imani ya mfumo kristo, ndio maana yeye hata siku moja hutomsikia akiwalaumu Mwinyi na JK, kUMBUKA MWISLAMU NDUGU YAKE NI MUISLAMU MWENZAKE.

      Hapo ndipo alipojikita FF, labda ningetumia fursa hii kuwakumbusha waislamu kwamba Rais JK aliwaambia wenzenu wakristo waliomba MoU na nyinyi ombeni, ni upuuzi kwa FF kukosa heshima kwa yule mzee ambaye yeye FF anadai hakuwa raia, kwangu uraia sio issue, issue ni je kati ya yeye ambae sio raia na hawa ambao ni raia ni yupi ameitendea Tanzania na kuacha Legacy?

    11. #9
      NZURI PESA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 604
      Rep Power : 533
      Likes Received
      50
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Matola
      Tatizo la Faiza Fox ni lile la imani ya mfumo kristo, ndio maana yeye hata siku moja hutomsikia akiwalaumu Mwinyi na JK, kUMBUKA MWISLAMU NDUGU YAKE NI MUISLAMU MWENZAKE.

      Hapo ndipo alipojikita FF, labda ningetumia fursa hii kuwakumbusha waislamu kwamba Rais JK aliwaambia wenzenu wakristo waliomba MoU na nyinyi ombeni, ni upuuzi kwa FF kukosa heshima kwa yule mzee ambaye yeye FF anadai hakuwa raia, kwangu uraia sio issue, issue ni je kati ya yeye ambae sio raia na hawa ambao ni raia ni yupi ameitendea Tanzania na kuacha Legacy?
      Ha!ha!ha!ha! hata ukiwa chz huwezi kulinganisha mazuri ya raia wa 4 na 1 ambae alifikiria matumbo ya weupe kuliko raia wake.

    12. #10
      NZURI PESA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 604
      Rep Power : 533
      Likes Received
      50
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mpayukaji
      Nimesoma thread ya Faiza Foxy isemayo kuwa Nyerere hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Nimejaribu kuijibu mtandao ukagoma. Kwa ufupi ni kwamba mtu anayeshuku uraia wa Nyerere ni mgonjwa wa akili pekee. Nilidhani Faiza Foxy msomi kumbe bure. Anashangaa jinsi Nyerere alivyoweza kwenda masomoni Uingereza. Jibu ni rahisi kuwa wakati ule tulikuwa chini ya Mwingereza. Kama mantiki ni hayo, hata huyo baba wa Faiza Foxy hakuwahi kuwa raia wa Tanzania. Kuna haja ya watu kujisomea kabla ya kuchangamkia kuleta mada zisizo vichwa wala miguu. Hovyo.
      Kwani kumuelezea kwa mazuri pekee huyo babu bila kukosoa makosa yake ndo USOMI?Rudi shule wewe UKATAE UKILAZA ULIOKUGANDA!

    13. #11
      NZURI PESA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 604
      Rep Power : 533
      Likes Received
      50
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Matola
      Tatizo la Faiza Fox ni lile la imani ya mfumo kristo, ndio maana yeye hata siku moja hutomsikia akiwalaumu Mwinyi na JK, kUMBUKA MWISLAMU NDUGU YAKE NI MUISLAMU MWENZAKE.

      Hapo ndipo alipojikita FF, labda ningetumia fursa hii kuwakumbusha waislamu kwamba Rais JK aliwaambia wenzenu wakristo waliomba MoU na nyinyi ombeni, ni upuuzi kwa FF kukosa heshima kwa yule mzee ambaye yeye FF anadai hakuwa raia, kwangu uraia sio issue, issue ni je kati ya yeye ambae sio raia na hawa ambao ni raia ni yupi ameitendea Tanzania na kuacha Legacy?
      Ha!ha!ha!ha! hata ukiwa chz huwezi kulinganisha mazuri ya raia wa 4 na 1 ambae alifikiria matumbo ya weupe kuliko raia wake.

    Similar Topics

    1. Nyerere alikuwa raia wa Tanzania
      By SOBY in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 34
      Last Post: 5th December 2011, 08:11
    2. Hajawahi kuwa na mpenzi, anayachukia mapenzi, hayuko tayari kuwa katika mahusiano
      By tindikalikali in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 37
      Last Post: 19th April 2011, 17:42
    3. Najuta kuwa Raia Katika Nchi Ambayo Tambwe Hiza ni Raia
      By mwanaharakati_msemahovyo in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 13
      Last Post: 25th March 2008, 19:12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...