Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tanzania daima ni gazeti la udaku au?

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Freetown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2008
      Location : Tsim Sha Tsui
      Posts : 881
      Rep Power : 748
      Likes Received
      35
      Likes Given
      185

      Default Tanzania daima ni gazeti la udaku au?

      Naomba kuelimishwa hivi hili gazeti ni la udaku au ni vipi???. inakuwaje maoni ya watu yanatoka kama yalivyo bila kuhaririwa.
      someni hapo chini sehemu ya maoni niliyoyaona kwenye Tanzania daima juu ya Tanzania kujiunga au kutojiunga na OIC. sasa ni wazi Watanzania tunaelekea kubaya kama hata vichaa tunaruhusu wawe waandishi wa habari


      na kero, bongo Tz, - 26.10.08 @ 03:33 | #51438

      WA.********* MAASKOFU TANAINGIA OIC MTAKE MSITAKE.

      na CHINGA - 26.10.08 @ 03:53 | #51453

      W.A.********* MAASKOFU

      na CHINGA - 26.10.08 @ 03:54 | #51454

      M.I.K.U.N.D.U YAO MAASKOFU, BASI JUMAPILI IWE SIKU YA KAZI.

      na CHINGA - 26.10.08 @ 03:55 | #51455

      M.A.G.O.V.I YAO MAASKOFU BASI TUTOKE VATICAN NA JUMIYA YA MADOLA KWANI KATIBA ZAKE ZA KIKRISTU.
      HAKUNA CHA MEMBE WALA EMBE DODO SISI LAZIMA TUWE OIC.M.B.O.L.O ZENU WAGARATIA.

      na CHINGA - 26.10.08 @ 03:57 | #51457
      You can be whatever you make up your mind to be. What's in your mind is all that counts


    2. #2
      Freetown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2008
      Location : Tsim Sha Tsui
      Posts : 881
      Rep Power : 748
      Likes Received
      35
      Likes Given
      185

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au??????

      Haya ni matumizi mabaya ya uhuru, mutu anayeweza kuandika maoni kama haya anaweza akatembea uchi kwa kuwa inaonekana kila mtu yupo huru kufanya atakalo.
      You can be whatever you make up your mind to be. What's in your mind is all that counts

    3. #3
      Mwikimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 1,545
      Rep Power : 953
      Likes Received
      346
      Likes Given
      128

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au??????

      ni lazima mtanzania daima, wa -edit haya maoni kabla hawajatoa, nakumbuka nationmedia ya kenya kupitia daily nation walikuwa na section kama hii, bahati mbaya ikawa misused na wao siku hizi wana -edit kwanza

      lakini huku ni kuteleza tu, mtanzania daima linahusikaje na haya maoni?

    4. #4
      Sokomoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2008
      Location : Kijijini
      Posts : 1,913
      Rep Power : 955
      Likes Received
      96
      Likes Given
      25

      Angry Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au??????

      Quote By Freetown View Post
      Naomba kuelimishwa hivi hili gazeti ni la udaku au ni vipi???. inakuwaje maoni ya watu yanatoka kama yalivyo bila kuhaririwa.
      someni hapo chini sehemu ya maoni niliyoyaona kwenye Tanzania daima juu ya Tanzania kujiunga au kutojiunga na OIC. sasa ni wazi Watanzania tunaelekea kubaya kama hata vichaa tunaruhusu wawe waandishi wa habari


      na kero, bongo Tz, - 26.10.08 @ 03:33 | #51438

      WA.********* MAASKOFU TANAINGIA OIC MTAKE MSITAKE.

      na CHINGA - 26.10.08 @ 03:53 | #51453

      W.A.********* MAASKOFU

      na CHINGA - 26.10.08 @ 03:54 | #51454

      M.I.K.U.N.D.U YAO MAASKOFU, BASI JUMAPILI IWE SIKU YA KAZI.

      na CHINGA - 26.10.08 @ 03:55 | #51455

      M.A.G.O.V.I YAO MAASKOFU BASI TUTOKE VATICAN NA JUMIYA YA MADOLA KWANI KATIBA ZAKE ZA KIKRISTU.
      HAKUNA CHA MEMBE WALA EMBE DODO SISI LAZIMA TUWE OIC.M.B.O.L.O ZENU WAGARATIA.

      na CHINGA - 26.10.08 @ 03:57 | #51457
      Wewe ndio mdaku maana unajua fika kuwa hayo ni maoni ya watu mbalimbali na sio ya Tanzania Daima. Nyie ndio mnaotumwa na mafisadi kujenga hoja zisizo na mishiko!Tanzania Daima ni gaazeti makini na lililomstari wa mbele kuandika habari za kuwafichua mafisadi na kuwapa tahadhani watetezi wa mafisadi kama wewe.
      I'd rather die standing than live kneeling (Che guavara)

    5. #5
      Masatu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2007
      Location : Mbagala, Jeshini
      Posts : 3,739
      Rep Power : 1178
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au??????

      Freetown kwanini unashusha hadhi ya forum hii kwa kuokota matusi mitaani na kuyaweka hapa? Hapana huu nathubutu kuuita upumbavu na ujinga mkubwa.

      Unajua wazi kuwa hayo ni maoni ya wasomaji na hayawi edited na mhariri kitendo cha wewe kuyaweka hapa ni kuwadhalilisha hao waliotajwa na forum hii kwa ujumla wake.

      Pls mods ondoeni huu uchafu
      Mkulima kala Mbegu......


    6. #6
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,697
      Rep Power : 2911
      Likes Received
      3891
      Likes Given
      12464

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au??????

      Huyo Chinga alishapigwa marufuku hapa JF. Naona kapata mahali pengine pa kutokea na mitusi yake.

    7. #7
      Msongoru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2008
      Location : Japan
      Posts : 305
      Rep Power : 631
      Likes Received
      14
      Likes Given
      37

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au??????

      Tumsamehe freetown!

    8. #8
      Field Marshall ES's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 27th April 2006
      Posts : 13,740
      Rep Power : 0
      Likes Received
      329
      Likes Given
      208

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au??????

      Huyo mtu yupo hapa infact hata kwenye hii thread yupo, watu wengine ni kuwasamehe tu! Lakini Mods waondoe huu uchafu!

    9. #9
      Freetown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2008
      Location : Tsim Sha Tsui
      Posts : 881
      Rep Power : 748
      Likes Received
      35
      Likes Given
      185

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au??????

      Quote By Masatu View Post
      Freetown kwanini unashusha hadhi ya forum hii kwa kuokota matusi mitaani na kuyaweka hapa? Hapana huu nathubutu kuuita upumbavu na ujinga mkubwa.

      Unajua wazi kuwa hayo ni maoni ya wasomaji na hayawi edited na mhariri kitendo cha wewe kuyaweka hapa ni kuwadhalilisha hao waliotajwa na forum hii kwa ujumla wake.

      Pls mods ondoeni huu uchafu
      Mkuu sishushi hadhi ya JF nimeona ni mahali pekee ambapo tunaweza kwa pamoja kukemea matusi. Mtanzania daima wangeweka utaratibu mtu akitoa maoni yachujwe kabla ya kuwafikia umma. sioni koso nililofanya labda umenielewa vibaya sijapendezewa kabisa na hayo maoni, nawashukuru waliosema nisamehewe kwa sababu wamelewa nia yangu.
      You can be whatever you make up your mind to be. What's in your mind is all that counts

    10. #10
      Freetown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2008
      Location : Tsim Sha Tsui
      Posts : 881
      Rep Power : 748
      Likes Received
      35
      Likes Given
      185

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au??????

      Quote By Sokomoko View Post
      Wewe ndio mdaku maana unajua fika kuwa hayo ni maoni ya watu mbalimbali na sio ya Tanzania Daima. Nyie ndio mnaotumwa na mafisadi kujenga hoja zisizo na mishiko!Tanzania Daima ni gaazeti makini na lililomstari wa mbele kuandika habari za kuwafichua mafisadi na kuwapa tahadhani watetezi wa mafisadi kama wewe.
      Huo ndo uhuru unaotumika vibaya-wewe huoni kama kuna haja ya hilo gazeti kuzuia maoni ya matusi kama walivyoandika kama yalivyo. mbona magazeti mengi tu yanaruhusu maoni ya wasomaji lakini yanachujwa kwanza-utakuwa unajitukana mwenyewe iwapo utasema hivyo kwa mtu ninayechukia ufisadi kuliko kitu kingine chochote hapa duniani
      You can be whatever you make up your mind to be. What's in your mind is all that counts

    11. #11
      Freetown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2008
      Location : Tsim Sha Tsui
      Posts : 881
      Rep Power : 748
      Likes Received
      35
      Likes Given
      185

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au??????

      Quote By Masatu View Post
      Freetown kwanini unashusha hadhi ya forum hii kwa kuokota matusi mitaani na kuyaweka hapa? Hapana huu nathubutu kuuita upumbavu na ujinga mkubwa.

      Unajua wazi kuwa hayo ni maoni ya wasomaji na hayawi edited na mhariri kitendo cha wewe kuyaweka hapa ni kuwadhalilisha hao waliotajwa na forum hii kwa ujumla wake.

      Pls mods ondoeni huu uchafu
      Quote By Sokomoko View Post
      Wewe ndio mdaku maana unajua fika kuwa hayo ni maoni ya watu mbalimbali na sio ya Tanzania Daima. Nyie ndio mnaotumwa na mafisadi kujenga hoja zisizo na mishiko!Tanzania Daima ni gaazeti makini na lililomstari wa mbele kuandika habari za kuwafichua mafisadi na kuwapa tahadhani watetezi wa mafisadi kama wewe.
      Quote By Mwikimbi View Post
      ni lazima mtanzania daima, wa -edit haya maoni kabla hawajatoa, nakumbuka nationmedia ya kenya kupitia daily nation walikuwa na section kama hii, bahati mbaya ikawa misused na wao siku hizi wana -edit kwanza

      lakini huku ni kuteleza tu, mtanzania daima linahusikaje na haya maoni?
      ASANTENI
      1. Mwikimbi
        Jasusi
        Msongoru
        Field Marshal ES

      Kwa upeo wenu wa kuelewa, Mungu awazidishie
      You can be whatever you make up your mind to be. What's in your mind is all that counts

    12. #12
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,328
      Rep Power : 3455
      Likes Received
      1336
      Likes Given
      864

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au?

      Freetown kwanini unashusha hadhi ya forum hii kwa kuokota matusi mitaani na kuyaweka hapa? Hapana huu nathubutu kuuita upumbavu na ujinga mkubwa.

      Unajua wazi kuwa hayo ni maoni ya wasomaji na hayawi edited na mhariri kitendo cha wewe kuyaweka hapa ni kuwadhalilisha hao waliotajwa na forum hii kwa ujumla wake.

      Pls mods ondoeni huu uchafu


      Huyo Chinga alishapigwa marufuku hapa JF. Naona kapata mahali pengine pa kutokea na mitusi yake
      __________________
      Mambo si mambo mkulima kala mbegu, habari ndio hiyo!



      JAMANI JF NI SEHEMU YA KUFUNDISHANA NA SI KUTISHIANA HAYA MAONI KWELI YAPO NA HATA KAMA NI YA WATU BINAFSI HAMWONI HAYAKUSTAILI KUWEPO NA KAMA YAPO KWA NINI WASIWEKE HUKU KAMA YALIVYO WAJULISHWE UPUMBAVU WAO....HONGEARA KIJANA NJOO UFUMBUE WATYU FANI ZAO ,,,,NA WALA USIOGOPE HATA KAMA ULIKOSEA HUKO NYUMA BADO UNA NAFASI YA KUELIMISHA JAMII HAPA JF,,JF SI YA BABA WALA MAMA YETU YA KILA MMOJA

      UHURU MUHIMU ZAIDI

    13. #13
      Himawari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Somewhere in this world
      Posts : 677
      Rep Power : 687
      Likes Received
      75
      Likes Given
      56

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au?

      Quote By Freetown View Post
      Naomba kuelimishwa hivi hili gazeti ni la udaku au ni vipi???. inakuwaje maoni ya watu yanatoka kama yalivyo bila kuhaririwa.
      someni hapo chini sehemu ya maoni niliyoyaona kwenye Tanzania daima juu ya Tanzania kujiunga au kutojiunga na OIC. sasa ni wazi Watanzania tunaelekea kubaya kama hata vichaa tunaruhusu wawe waandishi wa habari


      na kero, bongo Tz, - 26.10.08 @ 03:33 | #51438

      WA.********* MAASKOFU TANAINGIA OIC MTAKE MSITAKE.

      na CHINGA - 26.10.08 @ 03:53 | #51453

      W.A.********* MAASKOFU

      na CHINGA - 26.10.08 @ 03:54 | #51454

      M.I.K.U.N.D.U YAO MAASKOFU, BASI JUMAPILI IWE SIKU YA KAZI.

      na CHINGA - 26.10.08 @ 03:55 | #51455

      M.A.G.O.V.I YAO MAASKOFU BASI TUTOKE VATICAN NA JUMIYA YA MADOLA KWANI KATIBA ZAKE ZA KIKRISTU.
      HAKUNA CHA MEMBE WALA EMBE DODO SISI LAZIMA TUWE OIC.M.B.O.L.O ZENU WAGARATIA.

      na CHINGA - 26.10.08 @ 03:57 | #51457
      Hata kama ni uhuru wa watu kutoa maoni, hayo yaliyotolewa ni matusi na sii maoni! Huwa nashindwa kuamini kama mtu mzima na akili timamu anaweza kuandika matusi na kuita maoni! So kwa kuzingatia hayo matusi (maoni) Tanzania itajiunga na OIC msikonde!

    14. Shy is offline
      Shy
      #14
      Shy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Posts : 4,922
      Rep Power : 0
      Likes Received
      76
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au?

      Huyu chinga kila sehemu ni matusi matusi matusi matusi

    15. #15
      SaidSabke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2006
      Posts : 604
      Rep Power : 771
      Likes Received
      27
      Likes Given
      6

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au?

      Kwa mtaji wa kutetea matusi na kukubali matusi kuchapishwa katika gazeti lako eti kwa kisingizio cha uhuru wa habari huo ni wendawazimu.haiyumkini mtu na heshima zake ukaandika matusi kama haya.kwa huku kusoma pamoja na kuwa na taaluma fulani vilevile kunatoa malezi ya kiungwana kama hukufaidika na elimu basi unamatatizo

    16. #16
      Mwawado's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Location : Tulsa, Oklahoma/MFA-TZ
      Posts : 1,263
      Rep Power : 902
      Likes Received
      113
      Likes Given
      219

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au?

      Quote By Shy View Post
      Huyu chinga kila sehemu ni matusi matusi matusi matusi
      Kumpa nafasi ya kumjadili Chinga hapa ni "Kumtukuza" anapaswa kupuuzwa na kutojadiliwa,hiyo itamfanya kujiona Mjinga na kuacha huo Upuuzi wake!!
      Its not enough to do good if you can do better.

    17. #17
      Ladslaus Modest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th June 2008
      Location : Nachunga Kondoo
      Posts : 638
      Rep Power : 687
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Tanzania daima ni gazeti la udaku au?

      Huyu chinga, inaonekana ni kati ya wale WaTanzania wasiokuwa na maadili.
      Ninamuomba Mungu wangu amsamehe maana akili yake ndivyo inavyomtuma.
      KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI; KIDUMU CHAMA TAWALA; CCM NI NAMBARI WANI. CCM HOYEEEEEEE!
      "Mungu katika Jina la Yesu akusamehe Maovu yako yote, na Kukuponya Magonjwa yako yote
      (Zaburi 103:3)"

    Similar Topics

    1. Gazeti la Mbowe TANZANIA DAIMA
      By woyowoyo in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 20
      Last Post: 20th September 2011, 13:35
    2. Gazeti la Tanzania daima
      By everybody in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 11
      Last Post: 25th April 2011, 14:33
    3. Gazeti la Tanzania Daima Linahujumiwa
      By STEIN in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 14
      Last Post: 1st March 2011, 12:19
    4. Gazeti la Tanzania Daima: What's up?
      By Mugongo Mugongo in forum Jamii Intelligence
      Replies: 55
      Last Post: 1st August 2009, 11:40

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...