Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011: Yana Kibali Cha Polisi!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 33
    1. #1
      KING KING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 251
      Rep Power : 736
      Likes Received
      25
      Likes Given
      0

      Default Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011: Yana Kibali Cha Polisi!

      Wapo Mission international ya Jijin Dar ,Imeandaa Maandamano ya hisani yenye lengo la kuchangisha Tshs 500m, kwa ya kununua viwanjwa vya ujenzi wa Shule ya Maadili kwa Kizazi kipya.

      Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa bodi wa MISSION hiyo Mhe Jaji Harold Nsekela wa Mahakama ya afrika , Mashariki , maandamano hayo ambayo Mgeni Rasimi ni waziri Mkuu Mizengo Pingo yatafanyika tarehe 26/11/2011!!! Maandamano hayo hayo ni ya zaidi ya 2km ambapo yataanzia eneo la Jogoo.

      Awali mpango huu wa Maadili kwa kizazi kpya ambao unaenda sambamba na Tiba Lishe na Kutoa Sumu uliopo mtaa wa LOLIONDO kurasini ulizinduliwa na Rais Jakaya Kikwete tarehe 18/07/2011.

      Mwenyekiti anawataka watu wote kuhudhuria na wale watakoa shindwa kuhudhuria wachangie kupitia CRDB 01j1013657901 na kwa Mawasiliano zaid piga simu 0787 582845.


    2. #2
      Utamaduni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Home
      Posts : 744
      Rep Power : 747
      Likes Received
      82
      Likes Given
      53

      Default Re: Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011:Yana Kibali Cha Polisi!!!!!!!!!!!!

      Umenikata Stim kinoma, daaah me nilijua yale maandamano yetu ya jukwaa la katiba ambayo nilishajiandaa na bango langu ninalo nasubiri turuhusiwe kuandamana tu

      Dah
      JK Ni Rais wa watu mil.5 kwenye nchi ya watu mil.50 (By vote)

    3. #3
      mama D's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 1,524
      Rep Power : 743
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1326

      Default Re: Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011:Yana Kibali Cha Polisi!!!!!!!!!!!!

      al shabab watakua wapi?
      BAK and Ngadu like this.
      Daily News halisomwi tandale kwa mtogole - MPOKI

    4. #4
      fige's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2010
      Posts : 360
      Rep Power : 527
      Likes Received
      53
      Likes Given
      21

      Default

      Quote By Utamaduni
      Umenikata Stim kinoma, daaah me nilijua yale maandamano yetu ya jukwaa la katiba ambayo nilishajiandaa na bango langu ninalo nasubiri turuhusiwe kuandamana tu

      Dah
      Kwani ukienda kwenye maandamano hayo na bango binafsi wanakataza ?

    5. #5
      fige's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2010
      Posts : 360
      Rep Power : 527
      Likes Received
      53
      Likes Given
      21

      Default

      Quote By mama D
      al shabab watakua wapi?
      Al shabab hawataki maandamano ya kupinga serikali.Hapo ndio mtajua ni nani hawa al shabab.si ndio wanawapa wenzao sumu nasikia !!


    6. #6
      Bukanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2010
      Location : Mmahare!
      Posts : 1,282
      Rep Power : 688
      Likes Received
      362
      Likes Given
      718

      Default Re: Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011:Yana Kibali Cha Polisi!!!!!!!!!!!!

      Duh aseeeeeeeeeeeee, umekata stimu kabisa nilikuwa nshaanza kuchana box!!!!!!!!!!!!
      Verbal Diarrhea Dehydrates Human Dignity

    7. #7
      KING KING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 251
      Rep Power : 736
      Likes Received
      25
      Likes Given
      0

      Default Re: Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011:Yana Kibali Cha Polisi!!!!!!!!!!!!

      Mimi nashauli Wale wote ambao walikuwa wanataka kupinga Mswaada wa Katiba waende na Mabaongo hayo kwenye maandamano hayo kwani hakuna anaye kataza!!!

      Mrada wa Kutoa Sumu ni Wa askofu Gammanywa ambaye ni mdau wa CCM hivyo hakuna shaka!!!

    8. #8
      mikatabafeki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 4,873
      Rep Power : 1407
      Likes Received
      778
      Likes Given
      1463

      Default Re: Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011:Yana Kibali Cha Polisi!!!!!!!!!!!!

      toka leo mchana polisi wameshatoa tamko la kuzuia maandamano hayo
      when love goes wrong,nothing goes right.

    9. #9
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 14,385
      Rep Power : 11306
      Likes Received
      7395
      Likes Given
      5730

      Default

      Al Shabaab wabaguzi sana, yaani wanataka kushambulia maandamano ya katiba tu?

    10. #10
      mgodi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 1,001
      Rep Power : 637
      Likes Received
      116
      Likes Given
      81

      Default Re: Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011:Yana Kibali Cha Polisi!

      Wakiyaruhusu haya maadamano ndiyo nitaamini hawa polisi ni policcm.

    11. #11
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,480
      Rep Power : 5055
      Likes Received
      803
      Likes Given
      1886

      Default Re: Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011:Yana Kibali Cha Polisi!

      wakuu twendeni, tutayageuza njiani na kuwa ya katiba!! Jitokezeni kwa wingi tuweze kufanya surprise kwa mapong'o.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    12. #12
      Shark's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2010
      Posts : 4,848
      Rep Power : 1545
      Likes Received
      1409
      Likes Given
      260

      Default Re: Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011:Yana Kibali Cha Polisi!

      Uwe unaweka na aina/sababu za maandamano kwenye heading,
      Namna hii ni kurushiana stimu tu!!!
      Mrimi likes this.

    13. Lsk
      #13
      Lsk's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th October 2011
      Posts : 175
      Rep Power : 424
      Likes Received
      21
      Likes Given
      4

      Default Re: Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011:Yana Kibali Cha Polisi!

      ...mimi na jamaa zangu wanne tulokuwa wote katika harakati za kuipigania katiba mpya ya serikali ya wanafunzi pale Chuoni IFM mwaka 2008,tumepanga kuwasuprise waandamanaji wa Gamanya. Tutakuwa na mabango yetu ya kupinga kusainiwa kwa mswada wa Mchakato wa Katiba. Karibuni na wengine,mtuunge mkono na mabango yenu yenye maudhui kama ya kwetu.

    14. #14
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By KING KING
      Wapo Mission international ya Jijin Dar ,Imeandaa Maandamano ya hisani yenye lengo la kuchangisha Tshs 500m, kwa ya kununua viwanjwa vya ujenzi wa Shule ya Maadili kwa Kizazi kipya.

      Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa bodi wa MISSION hiyo Mhe Jaji Harold Nsekela wa Mahakama ya afrika , Mashariki , maandamano hayo ambayo Mgeni Rasimi ni waziri Mkuu Mizengo Pingo yatafanyika tarehe 26/11/2011!!! Maandamano hayo hayo ni ya zaidi ya 2km ambapo yataanzia eneo la Jogoo.

      Awali mpango huu wa Maadili kwa kizazi kpya ambao unaenda sambamba na Tiba Lishe na Kutoa Sumu uliopo mtaa wa LOLIONDO kurasini ulizinduliwa na Rais Jakaya Kikwete tarehe 18/07/2011.

      Mwenyekiti anawataka watu wote kuhudhuria na wale watakoa shindwa kuhudhuria wachangie kupitia CRDB 01j1013657901 na kwa Mawasiliano zaid piga simu 0787 582845.
      vipi el shabab. Hawata kuwepo?

    15. #15
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Hawatakuwepo
      may b 2858 ova
      Quote By mama D
      al shabab watakua wapi?

    16. #16
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,553
      Rep Power : 5175
      Likes Received
      2870
      Likes Given
      237

      Default Re: Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011:Yana Kibali Cha Polisi!

      bora wameruhusu hayo maandamano mazuri ya kumkomboa mswahili wa tz na uzembe walionao wakufikiri..

    17. #17
      124 Ali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2010
      Location : urban-west,zanzibar island
      Posts : 952
      Rep Power : 655
      Likes Received
      187
      Likes Given
      152

      Default

      Quote By Jumakidogo
      vipi el shabab. Hawata kuwepo?
      We hujui kama police na al shabab damdam?

    18. Lsk
      #18
      Lsk's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th October 2011
      Posts : 175
      Rep Power : 424
      Likes Received
      21
      Likes Given
      4

      Default Re: Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011: Yana Kibali Cha Polisi!

      ...aibu kwa Kova,shame on Said Mwema!!

    19. #19
      Arusha one's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 252
      Rep Power : 509
      Likes Received
      33
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By mama D
      al shabab watakua wapi?
      mama D! Watokee wapi?

    20. #20
      king'amuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 420
      Rep Power : 512
      Likes Received
      88
      Likes Given
      129

      Default Re: Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011: Yana Kibali Cha Polisi!

      Quote By KING KING
      Wapo Mission international ya Jijin Dar ,Imeandaa Maandamano ya hisani yenye lengo la kuchangisha Tshs 500m, kwa ya kununua viwanjwa vya ujenzi wa Shule ya Maadili kwa Kizazi kipya.

      Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa bodi wa MISSION hiyo Mhe Jaji Harold Nsekela wa Mahakama ya afrika , Mashariki , maandamano hayo ambayo Mgeni Rasimi ni waziri Mkuu Mizengo Pingo yatafanyika tarehe 26/11/2011!!! Maandamano hayo hayo ni ya zaidi ya 2km ambapo yataanzia eneo la Jogoo.

      Awali mpango huu wa Maadili kwa kizazi kpya ambao unaenda sambamba na Tiba Lishe na Kutoa Sumu uliopo mtaa wa LOLIONDO kurasini ulizinduliwa na Rais Jakaya Kikwete tarehe 18/07/2011.

      Mwenyekiti anawataka watu wote kuhudhuria na wale watakoa shindwa kuhudhuria wachangie kupitia CRDB 01j1013657901 na kwa Mawasiliano zaid piga simu 0787 582845.
      Pingo=Pinda
      Jogoo la wapi?
      usipoteze muda Kuwasha moto juu ya Maji!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 9
      Last Post: 10th November 2011, 10:28
    2. Replies: 9
      Last Post: 18th October 2011, 12:38
    3. maandamano yana anzia wapi'?
      By chomete in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 28th December 2010, 03:01
    4. Kibali cha kufanya maandamano matukufu
      By Malyamungu in forum Utambulisho (Member Intro Forum)
      Replies: 5
      Last Post: 14th November 2010, 20:03

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...