Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Beatrice Shelukindo na ya YUDA Iskariote

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. #1
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,690
      Rep Power : 1357
      Likes Received
      570
      Likes Given
      769

      Lightbulb Beatrice Shelukindo na ya YUDA Iskariote

      Baada ya Kumsaliti YESU Masia kwa Vipande 30 vya fedha, Yuda Iskariote aliumia sana moyoni akafikiri ametenda dhambi kuu, akafikia uamuzi wa kurejesha vile vipande vya fedha kwa wakuu wa makuhani na mafarisayo ili damu isiyo na hatia isije ikawamwagika juu yake, baada ya kuona ameshindwa akaishia kujinyonga...

      Mhe. Beatrice Shelukindo (Mbunge wa Kilindi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipojua yale ambayo yatamfika Mhe. William Mganga Ngeleja na Adam Malima (Wana CCM wenzake) baada ya kutoa taarifa yake, amejikuta akiumia sana moyoni na kujutia uamuzi wake wa kumlipua Jairo. Hivyo, kuamua kurejesha vipande 30 vya fedha kwa kuwataka wabunge na Serikali isimwajibishe Ngeleja kwa kuwa hausiki...

      Mhe, Betrice Shelukingo hakujua haya yote yatatokea??..
      Last edited by ngoshwe; 21st November 2011 at 21:28.
      Baba Collins likes this.
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Baba Collins's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2011
      Location : Naabi Gate
      Posts : 455
      Rep Power : 478
      Likes Received
      74
      Likes Given
      269

      Default Re: Beatrice Shelukindo na ya YUDA Iskariote

      Kaka hawa wnzetu kufanya maamuzi magumu ni jambo ambalo si rahisi kwao!
      'Mwoga hana makovu'

    4. #3
      Mbopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2008
      Posts : 2,531
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      375
      Likes Given
      13

      Default Re: Beatrice Shelukindo na ya YUDA Iskariote

      Beatrice alitumiwa na akina Lowassa na Januari Makamba ili Ngeleja atemeshwe mzigo then Januari achukue. Sasa amekumbuka mume wake alivyodhalilishwa Bumbuli na sasa anajaribu kurudisha nyuma gurudumu alilolianzisha, akisahau kwamba hana control tena na hoja ile si yake tena. Mnafiki mkubwa huyu!

    5. #4
      maliyamungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Posts : 385
      Rep Power : 470
      Likes Received
      47
      Likes Given
      4

      Default Re: Beatrice Shelukindo na ya YUDA Iskariote

      Mama mnafki sana pooooooooooooooooh! Mate chini

    6. #5
      nyandaojiloleli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 196
      Rep Power : 425
      Likes Received
      13
      Likes Given
      35

      Default Re: Beatrice Shelukindo na ya YUDA Iskariote

      Imekula kwake

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,590
      Rep Power : 1747
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default

      Quote By Baba Collins
      Kaka hawa wnzetu kufanya maamuzi magumu ni jambo ambalo si rahisi kwao!
      nyie mmefanya maamuzi yapi magumu?

    9. #7
      Sordo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Location : Siringet Olemuta
      Posts : 397
      Rep Power : 463
      Likes Received
      119
      Likes Given
      108

      Default

      Alitaka kuvua gamba alipona wanazingua akarudia kulivaa. Magamba wote vilaza
      Quote By ngoshwe
      Baada ya Kumsaliti YESU Masia kwa Vipande 30 vya fedha, Yuda Iskariote aliumia sana moyoni akafikiri ametenda dhambi kuu, akafikia uamuzi wa kurejesha vile vipande vya fedha kwa wakuu wa makuhani na mafarisayo ili damu isiyo na hatia isije ikafa juu yake, baada ya kuona ameshindwa akaishia kujinyonga.

      Mhe. Beatrice Shelukindo (Mbunge wa Kilindi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipojua yale ambayo yatamfika Mhe. William Mganga Ngeleja na Adam Malima (Wana CCM wenzake) baada ya kutoa taarifa yake, amejikuta akiumia sana moyoni na kujutia uamuzi wake wa kumlipua Jairo. Hivyo, kuamua kurejesha vipande 30 vya fedha kwa kuwataka wabunge na Serikali isimwajibishe Ngeleja kwa kuwa hausiki...

      Mhe, Betrice Shelukingo hakujua haya yote yatatokea??..

    10. #8
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,690
      Rep Power : 1357
      Likes Received
      570
      Likes Given
      769

      Default Re: Beatrice Shelukindo na ya YUDA Iskariote

      Quote By Sordo
      Alitaka kuvua gamba alipona wanazingua akarudia kulivaa. Magamba wote vilaza

      Alichopaswa kufanya ni kile cha Poncio Pilato (Pontius Pilatus) mbele ya wale makuani, baada ya kuridhika kuwa hakuna sababu za kutosha za kumuunganisha Ngeleja na kashfa ya fedha haramu za Jairo, angenawa mikono mapema kwa kusema kuwa damu ya Ngeleja na Nduguye Adam Malima na iwe juu yetu watanzania, kwa kuwa ametutenda dharau, angetamka wazi kuwa yeye na nyumba yake ya Shellukindo wasihusishwe..lakini alichofanya ni kujitafutia umaarufu wa bei chee (cheap popularity) kwa kujifanya ameweka historia ya kuibua ufisadi kama akina Zitto Kabwe lakini badala yake kaingiwa na hofu ya ghafla kuhusu maisha yake baada ya kujioone kumbe yeye bado ni Magamba na magambani atarejea...japo alidai kuwa "Mungu wake mlinzi yu hai"..alishindwa kumsaidia kutafakari athareio ya unafiki alioutenda kwa watanzania...atajutia maneno yake aliyotaoa kabla na wakati akinchangia mjadala wa Ripoti ya Kamati teule..
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    11. #9
      Mbopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2008
      Posts : 2,531
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      375
      Likes Given
      13

      Default Re: Beatrice Shelukindo na ya YUDA Iskariote

      Alichokionyesha Beatrice ni mja kati ya zile dalili tatu za mnafiki.

    12. #10
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,978
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      555

      Default Re: Beatrice Shelukindo na ya YUDA Iskariote

      Sishangai maana amerithi Unafiki kutoka Chama Chake cha CCM
      "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


    13. #11
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1546
      Likes Given
      1793

      Default Re: Beatrice Shelukindo na ya YUDA Iskariote

      She was right! hawa watu hawajui kabisa kinachendelea juu ya fedha, nenda mkoani RC hajui lolote juu ya fedha, nenda wilayani DC hali kadhalika they are just political figure lakini hawajui kinachoendelea juu ya mambo mengine yote.

    14. #12
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,568
      Rep Power : 2550
      Likes Received
      2141
      Likes Given
      1862

      Default Re: Beatrice Shelukindo na ya YUDA Iskariote

      Hahahahhaaaaa hakuna kitu kibaya kama kukimbia kivuli chako mwenyewe!!!! Alinikera sana juzi alipogeuka kabisa as if sio yeye! Aliwasha moto kwenye nyumba alimolala! Kaona na yeye anaungua kaona heri ajaribu kuuzima while it is too late

    Similar Topics

    1. Yuda Iskariote(2).
      By Jaguar in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 8
      Last Post: 14th November 2011, 03:18
    2. Yuda Iskariote.
      By Jaguar in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 3
      Last Post: 10th August 2011, 12:09
    3. Replies: 8
      Last Post: 31st January 2011, 22:50
    4. Et tu Brute? Wajueni Ma-Yuda Iskariote wenu!
      By Rev. Kishoka in forum Great Thinkers
      Replies: 43
      Last Post: 22nd October 2009, 09:34
    5. Et tu Brute? Wajueni Ma-Yuda Iskariote wenu!
      By Rev. Kishoka in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 43
      Last Post: 22nd October 2009, 09:34

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...