Baada ya Kumsaliti YESU Masia kwa Vipande 30 vya fedha, Yuda Iskariote aliumia sana moyoni akafikiri ametenda dhambi kuu, akafikia uamuzi wa kurejesha vile vipande vya fedha kwa wakuu wa makuhani na mafarisayo ili damu isiyo na hatia isije ikawamwagika juu yake, baada ya kuona ameshindwa akaishia kujinyonga...
Mhe. Beatrice Shelukindo (Mbunge wa Kilindi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipojua yale ambayo yatamfika Mhe. William Mganga Ngeleja na Adam Malima (Wana CCM wenzake) baada ya kutoa taarifa yake, amejikuta akiumia sana moyoni na kujutia uamuzi wake wa kumlipua Jairo. Hivyo, kuamua kurejesha vipande 30 vya fedha kwa kuwataka wabunge na Serikali isimwajibishe Ngeleja kwa kuwa hausiki...
Mhe, Betrice Shelukingo hakujua haya yote yatatokea??..
Last edited by ngoshwe; 21st November 2011 at 21:28.
Beatrice alitumiwa na akina Lowassa na Januari Makamba ili Ngeleja atemeshwe mzigo then Januari achukue. Sasa amekumbuka mume wake alivyodhalilishwa Bumbuli na sasa anajaribu kurudisha nyuma gurudumu alilolianzisha, akisahau kwamba hana control tena na hoja ile si yake tena. Mnafiki mkubwa huyu!
Alitaka kuvua gamba alipona wanazingua akarudia kulivaa. Magamba wote vilaza
By ngoshwe
Baada ya Kumsaliti YESU Masia kwa Vipande 30 vya fedha, Yuda Iskariote aliumia sana moyoni akafikiri ametenda dhambi kuu, akafikia uamuzi wa kurejesha vile vipande vya fedha kwa wakuu wa makuhani na mafarisayo ili damu isiyo na hatia isije ikafa juu yake, baada ya kuona ameshindwa akaishia kujinyonga.
Mhe. Beatrice Shelukindo (Mbunge wa Kilindi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipojua yale ambayo yatamfika Mhe. William Mganga Ngeleja na Adam Malima (Wana CCM wenzake) baada ya kutoa taarifa yake, amejikuta akiumia sana moyoni na kujutia uamuzi wake wa kumlipua Jairo. Hivyo, kuamua kurejesha vipande 30 vya fedha kwa kuwataka wabunge na Serikali isimwajibishe Ngeleja kwa kuwa hausiki...
Mhe, Betrice Shelukingo hakujua haya yote yatatokea??..
Alitaka kuvua gamba alipona wanazingua akarudia kulivaa. Magamba wote vilaza
Alichopaswa kufanya ni kile cha Poncio Pilato (Pontius Pilatus) mbele ya wale makuani, baada ya kuridhika kuwa hakuna sababu za kutosha za kumuunganisha Ngeleja na kashfa ya fedha haramu za Jairo, angenawa mikono mapema kwa kusema kuwa damu ya Ngeleja na Nduguye Adam Malima na iwe juu yetu watanzania, kwa kuwa ametutenda dharau, angetamka wazi kuwa yeye na nyumba yake ya Shellukindo wasihusishwe..lakini alichofanya ni kujitafutia umaarufu wa bei chee (cheap popularity) kwa kujifanya ameweka historia ya kuibua ufisadi kama akina Zitto Kabwe lakini badala yake kaingiwa na hofu ya ghafla kuhusu maisha yake baada ya kujioone kumbe yeye bado ni Magamba na magambani atarejea...japo alidai kuwa "Mungu wake mlinzi yu hai"..alishindwa kumsaidia kutafakari athareio ya unafiki alioutenda kwa watanzania...atajutia maneno yake aliyotaoa kabla na wakati akinchangia mjadala wa Ripoti ya Kamati teule..
"Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.
She was right! hawa watu hawajui kabisa kinachendelea juu ya fedha, nenda mkoani RC hajui lolote juu ya fedha, nenda wilayani DC hali kadhalika they are just political figure lakini hawajui kinachoendelea juu ya mambo mengine yote.
Hahahahhaaaaa hakuna kitu kibaya kama kukimbia kivuli chako mwenyewe!!!! Alinikera sana juzi alipogeuka kabisa as if sio yeye! Aliwasha moto kwenye nyumba alimolala! Kaona na yeye anaungua kaona heri ajaribu kuuzima while it is too late
Follow Us Here