Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa serikali, uhamiaji na wizara ya kazi ajira na vijana,

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      MZALENDOMKUU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th June 2011
      Posts : 133
      Rep Power : 430
      Likes Received
      25
      Likes Given
      2

      Default Kwa serikali, uhamiaji na wizara ya kazi ajira na vijana,

      -WAKUU KWA KWELI MAANDAMANO NA VURUGU ZINAZO FANYWA NA VIJA MATHALANI KULE MBEYA NI HAKI KABISA WAFANYE.

      LEO NILIINGIA KWENYE HOTEL MOJA YA NAURA SPRING ILIYOKA MITAA YA SANAWARI ARUSHA, BARABARA YA KUSHUKA AICC.
      NILICHO KUTANA NACHO KULE NI LUNDO LA WAHINDI AMABAO WAMEAJILIWA KAMA WAFANYA USAFI KWENYE HIYO HOTELI NA NIMEWASHUHUDIA WAKIWA WANA SAFISHA ENEO LA PARKING ZA MAGARI KWENYE HIYO HOTELI.

      -Nilijalibu kuongea na mlinzi wa pale akaniambia wale wahindi wameletwa kutoka huko india na hata kiswahili hawajui na nikaambiwa kuna mhindi mmoja jina sikutajiwa amenzisha recruitment company yake specila kwa ajili ya ku recruit wahindi pekee kutoka India na kuwaleta kufanya kazi Bongo.

      - Je zile kazi watanzania hawezi kuzifanya? na hata kama hawawezi c ni kiasi cha kufundishwa?

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kinyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2008
      Posts : 1,883
      Rep Power : 944
      Likes Received
      236
      Likes Given
      378

      Default Re: Kwa serikali, uhamiaji na wizara ya kazi ajira na vijana,

      Watanzania wamekuwa addicted na Wahindi yaani hata jamaa yangu Mrema haamini tena waswahili wenzake hadi anaajiri wahindi?
      Together in Poverty Apart in Riches

    4. #3
      BIG X's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2011
      Location : WHITE HOUSE
      Posts : 767
      Rep Power : 415
      Likes Received
      197
      Likes Given
      168

      Default Re: Kwa serikali, uhamiaji na wizara ya kazi ajira na vijana,

      Wahindi na Wachina kwakweli nawachukia. Wengi wao si wema, utu hakuna.
      GOOD JUDGEMENT COMES FROM EXPERIENCE, BUT EXPERIENCE COMES FROM BAD JUDGEMENT.

    5. #4
      BONGOLALA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,905
      Rep Power : 1478
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      128

      Default Re: Kwa serikali, uhamiaji na wizara ya kazi ajira na vijana,

      juzi naibu waziri anaulizwa employment rate ikoje kwa tanzania!akawa hana jibu sijawahi sikia rais wetu akizungumzia suala la ajira kwa data,utasikia sekta isiyo rasmi itaajiri mara oh ah

    6. #5
      Cathode Rays's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Location : Singita-Usanda
      Posts : 510
      Rep Power : 488
      Likes Received
      373
      Likes Given
      223

      Default Re: Kwa serikali, uhamiaji na wizara ya kazi ajira na vijana,

      Iko wapi ile sheria ya kulinda ajira za ndani? Je ni sheria ipi inayotekelezwa nchi hii?

      Ukienda kwenye mahotel ya kitalii kule Karatu na kwingineko unaweza kujiuliza maswali menig
      Kuna wanaosema watanzaia ni wavivu na hawaendi kazi (kama alivosema waziri mkuu bunge lililopita) lakini kwangu hili bado ni too much to be accepted. Kama ndivyo ile sheria ya kulinda watanzania kwenye soko la ajira ndani ina maana gani sasa kuitunga halafu waziri mkuu anatoa kauli za kizembe kama hizi?

      We need to get back to the fact kwamba kuwaacha hawa vijana wetu bila ajira na kuwaleta wahindi tunalea bomu ambalo kuna siku vijana hawa wakiamua hapatakalika......wale tunaowatukana ma-jobless na wanaishia kuandamana mtaani ni kwa sababu hakuna kazi, kuna siku watazinduka na wahindi wenu na wengine wote mtawatafutia pa kuwapeleka....wake up government ya Tanzania
      "Football.....bloody hell" - SAF, 2009.....You will be sorely missed

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Chasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2011
      Posts : 2,459
      Rep Power : 953
      Likes Received
      1209
      Likes Given
      238

      Default Re: Kwa serikali, uhamiaji na wizara ya kazi ajira na vijana,

      Kwakweli wakuu inauma sana. Bora ingekuwa katika section kama za upishi, ila hili la wafagiaji linauma sana.

      Hata haya makampuni ya kichina yanayo jenga barabara huku bongo inashangaza kukuta wachina ndo waendesha yale magreda unashindwa kujua inakuwaje.

    9. #7
      bibi.com's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th July 2011
      Posts : 244
      Rep Power : 451
      Likes Received
      71
      Likes Given
      74

      Default Re: Kwa serikali, uhamiaji na wizara ya kazi ajira na vijana,

      Quote By KOMANDOO
      Kwakweli wakuu inauma sana. Bora ingekuwa katika section kama za upishi, ila hili la wafagiaji linauma sana.

      Hata haya makampuni ya kichina yanayo jenga barabara huku bongo inashangaza kukuta wachina ndo waendesha yale magreda unashindwa kujua inakuwaje.
      acha tu waajiri waihindi, wachina wakenya na wengineo tumezidi longo longo nyingi. imefika kipindi tuchange our behaviour na sio kulalamika tu. mi nakumbuka kuna hotel moja hapo Dar kubwa tu wafanyakazi wake wakibongo walikuwa wanaiba mpk vijiko na visu wanakuja kutuzia ofisini sasa bosi akigundua kuwafukuza tutasema ni wabaya kwa kuwa bosi ni mhindi.

    Similar Topics

    1. Replies: 24
      Last Post: 11th April 2012, 04:41
    2. Bajeti ya Wizara ya Kazi na Ajira
      By PrN-kazi in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 15
      Last Post: 5th August 2011, 20:51
    3. Wizara ya Kazi, Ajira na maendeleo ya vijana- Tovuti yenu inatia aibu
      By Sisimizi in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 1
      Last Post: 5th July 2010, 23:17
    4. Tucta: Serikali imeshindwa kuwatengenezea vijana ajira
      By MziziMkavu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 9th June 2010, 03:45
    5. Wizara ya kazi: Tatizo la ajira nchini lapungua toka 16% mpaka 13%
      By Hofstede in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 13th December 2008, 07:48

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...