-WAKUU KWA KWELI MAANDAMANO NA VURUGU ZINAZO FANYWA NA VIJA MATHALANI KULE MBEYA NI HAKI KABISA WAFANYE.
LEO NILIINGIA KWENYE HOTEL MOJA YA NAURA SPRING ILIYOKA MITAA YA SANAWARI ARUSHA, BARABARA YA KUSHUKA AICC.
NILICHO KUTANA NACHO KULE NI LUNDO LA WAHINDI AMABAO WAMEAJILIWA KAMA WAFANYA USAFI KWENYE HIYO HOTELI NA NIMEWASHUHUDIA WAKIWA WANA SAFISHA ENEO LA PARKING ZA MAGARI KWENYE HIYO HOTELI.
-Nilijalibu kuongea na mlinzi wa pale akaniambia wale wahindi wameletwa kutoka huko india na hata kiswahili hawajui na nikaambiwa kuna mhindi mmoja jina sikutajiwa amenzisha recruitment company yake specila kwa ajili ya ku recruit wahindi pekee kutoka India na kuwaleta kufanya kazi Bongo.
- Je zile kazi watanzania hawezi kuzifanya? na hata kama hawawezi c ni kiasi cha kufundishwa?

Reply With Quote


Follow Us Here