Ni mara chache sana kwangu kuangalia mijadala ya bunge letu 'tukufu' kupitia tv. Hata zile mara chache ninapoangalia
bunge nikikutana na wabunge hawa lazima nibadilishe channel:
Magreth Abdalah,
Ole Sendeka,
John Shibuda, orodha ni ndefu naomba utaje wabunge wanaoKUBOA

Reply With Quote
Follow Us Here