Mabweni UDSM yalanguliwa - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Habari na Hoja mchanganyiko


Habari na Hoja mchanganyiko Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Usisite, liweke hapa uwahabarishe wenzako. Hoja binafsi pia ziwekwe hapa.


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 11th October 2008, 02:05 AM   #1
Mabweni UDSM yalanguliwa
Bubu Ataka Kusema Bubu Ataka Kusema is offline 11th October 2008, 02:05 AM

Mabweni UDSM yalanguliwa

na Mobini Sarya
Tanzania Daima~Sauti ya Watu

WIMBI la kuuza vyumba vya kulala wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) sehemu ya Mlimani, limeshika kasi hivyo kuwafanya wanafunzi wengi wanaotokea familia maskini kushindwa kumudu gharama ya kupanga.

Inadaiwa vyumba vilianza kuuzwa sh 100,000. Hivi sasa chumba kimoja kinauzwa hadi sh 300,000 kupitia kwa mawakala ambao ni wanafunzi wanaokula na wahusika.

Taarifa hizo zinadai biashara hiyo inayowahusisha wasimamizi wa vyumba na madalali, imeanza siku chache baada ya chuo hicho kufunguliwa Septemba 29, mwaka huu, hivyo kuwalazimu watoto wa maskini wanaoshindwa bei hiyo kuamua kupanga mitaani.

Akizungumza na Tanzania Daima kwa njia ya simu, mmoja wa wabunge katika serikali ya wanafunzi (Daruso), alisema hivi sasa biashara hiyo inafanyika bila kificho.

“Unakuta tangazo kwenye ubao wa matangazo kwamba chumba kinauzwa shilingi kadhaa kwenye jengo fulani na ghorofa namba fulani, lakini mtu huyo hakamatwi,” alisema mbunge huyo ambaye jina lake limehifadhiwa.

Inaelezwa kwa kawaida mwanafunzi anatakiwa kuomba chumba kupitia mtandao wa chuo na kupewa na kisha kulipia sh 50,000 kwa muhula mmoja na iwapo atashindwa chumba hurudishwa kwa kitengo kinachohusika ili apewe mtu mwingine.
__________________
~*~Life is Good~*~

 
Bubu Ataka Kusema's Avatar
Bubu Ataka Kusema
JF Premium Member
Points: 12,707,061, Level: 100 Points: 12,707,061, Level: 100 Points: 12,707,061, Level: 100
Activity: 50% Activity: 50% Activity: 50%
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Mfaranyaki
Posts: 12,694
Thanks: 1,055
Thanked 1,211 Times in 704 Posts
Views: 355
Reply With Quote
  #2  
Old 11th October 2008, 02:06 AM
Bubu Ataka Kusema's Avatar
Bubu Ataka Kusema Bubu Ataka Kusema is offline
Bubu Ataka Kusema says life is GOOD!
JF Premium Member
Points: 12,707,061, Level: 100 Points: 12,707,061, Level: 100 Points: 12,707,061, Level: 100
Activity: 50% Activity: 50% Activity: 50%
 
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Mfaranyaki
Posts: 12,694
Thanks: 1,055
Thanked 1,211 Times in 704 Posts
Rep Power: 2049
Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!
Default Re: Mabweni UDSM yalanguliwa

Waungwana,

Lazima kupambana na hawa mafisadi. Wapigwe picha wakichukua rushwa za kutoa vyumba vya UDSM na ziwekwe hapa JF na kupelekwa polisi ili kuwakomesha mafisadi hawa ambao wanataka kutumia nafasi zao kujitajirisha. Hawa wanaokula na wakubwa wakibanwa ni lazima watawataja wanaokula nao pale UDSM na hivyo kuwachukulia hatua zinazostahili ikiwa ni pamija na kuwafukuza kazi na kuwafungulia mashtaka.
__________________
~*~Life is Good~*~
Reply With Quote
  #3  
Old 11th October 2008, 09:23 AM
PgSoft2008 PgSoft2008 is offline
PgSoft2008 has no status.
Senior Member
Points: 88,482, Level: 100 Points: 88,482, Level: 100 Points: 88,482, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu May 2008
Location: Tanzania,Kenya and Uganda
Posts: 86
Thanks: 6
Thanked 7 Times in 4 Posts
Rep Power: 22
PgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enoughPgSoft2008 will become famous soon enough
Send a message via Yahoo to PgSoft2008
Default Re: Mabweni UDSM yalanguliwa

Ni wazo zuri sana lakini kutokana na nature ya business yenyewe sidhani kama waweza kuwapiga picha kirahisi,

They do no have offices (hao madalali).
hakuna follow-up ya mgawanyo wa hivyo vyumba (rooms allocations)
Ukienda kwa taratibu husika unakuta vyumba vimejaa (yaani tayari allocated) Infact unanunua chumba kwa mwanafunzi mwenzio na sio ofisi husika.

Quote:
View Post
Waungwana,

Lazima kupambana na hawa mafisadi. Wapigwe picha wakichukua rushwa za kutoa vyumba vya UDSM na ziwekwe hapa JF na kupelekwa polisi ili kuwakomesha mafisadi hawa ambao wanataka kutumia nafasi zao kujitajirisha. Hawa wanaokula na wakubwa wakibanwa ni lazima watawataja wanaokula nao pale UDSM na hivyo kuwachukulia hatua zinazostahili ikiwa ni pamija na kuwafukuza kazi na kuwafungulia mashtaka.
__________________
Things go by Plan and not by chance
Reply With Quote
  #4  
Old 11th October 2008, 01:14 PM
Sinyolita Sinyolita is offline
Sinyolita is always eager to help
JF Premium Member
Points: 94,002, Level: 100 Points: 94,002, Level: 100 Points: 94,002, Level: 100
Activity: 20% Activity: 20% Activity: 20%
 
Join Date: Sun Jun 2008
Location: N/A
Posts: 348
Thanks: 71
Thanked 82 Times in 54 Posts
Rep Power: 22
Sinyolita will become famous soon enoughSinyolita will become famous soon enoughSinyolita will become famous soon enoughSinyolita will become famous soon enoughSinyolita will become famous soon enoughSinyolita will become famous soon enoughSinyolita will become famous soon enoughSinyolita will become famous soon enough
Default Re: Mabweni UDSM yalanguliwa

Mkuu BAK, vyumba pale mlimani havijaanza kuuzwa leo. Mimi niliuziwa chumba na aliyekuwa vice president wa DARUSO (Ephraim Mafuru, sasa ni kibosile flani ndani ya VodaCom) mwaka 1997.

So, biashara hii viongozo wa DARUSO ndo vinara wenyewe na wala haitaisha kesho.

Pia wanaouza vyumba huwa ni wamiliki 'halali' ambao wamepata vyumba kwa utaratibu uliopangwa lakini kwa kuwa hawataki kukaa chuo, wanaamua kuuza.
__________________
To get something you never had, you have to do something you never did
Reply With Quote
  #5  
Old 11th October 2008, 01:26 PM
Kevo's Avatar
Kevo Kevo is offline
Kevo is stuff is tough
JF Senior Expert Member
Points: 238,924, Level: 100 Points: 238,924, Level: 100 Points: 238,924, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Jun 2008
Location: Around the World
Posts: 1,301
Thanks: 0
Thanked 24 Times in 12 Posts
Rep Power: 24
Kevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enough
Default Re: Mabweni UDSM yalanguliwa

Kutokana na mimi ninavyofahamu ni kwamba wanafunzi wenyewe ambao wanashida ya fedha wengi wao ndio wauzaji wakubwa wa rooms.
Vilevile wardens wa halls ni wala rushwa wakubwa mabao wanahongwa na wanafunzi hadi laki tano ili tuu apate room katika baadhi ya halls of residence kwenye hiko chuo na wengine hata kuwa na vyumba hadi vitano then wanaviuza.
Its a profitable business hapo chuoni na ambao hawana fedha ndio wanaishia kuumia!
DARUSO wenyewe ni mafisadi wakubwa coz wanapatana na baadhi ya wardens na kuuza rooms maana wengi wao DARUSO wana occupy rooms kwenye hall linaloitwa Extension!
__________________
'I could have annihilated all the Jews in the World,but I left some of them so you will know why I was killing them'-Adolf Hitler;Mien Kampf
Reply With Quote
  #6  
Old 11th October 2008, 01:27 PM
Kevo's Avatar
Kevo Kevo is offline
Kevo is stuff is tough
JF Senior Expert Member
Points: 238,924, Level: 100 Points: 238,924, Level: 100 Points: 238,924, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Jun 2008
Location: Around the World
Posts: 1,301
Thanks: 0
Thanked 24 Times in 12 Posts
Rep Power: 24
Kevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enoughKevo will become famous soon enough
Default Re: Mabweni UDSM yalanguliwa

Kutokana na mimi ninavyofahamu ni kwamba wanafunzi wenyewe ambao wanashida ya fedha wengi wao ndio wauzaji wakubwa wa rooms.
Vilevile wardens wa halls ni wala rushwa wakubwa mabao wanahongwa na wanafunzi hadi laki tano ili tuu apate room katika baadhi ya halls of residence kwenye hiko chuo na wengine hata kuwa na vyumba hadi vitano then wanaviuza.
Its a profitable business hapo chuoni na ambao hawana fedha ndio wanaishia kuumia!
DARUSO wenyewe ni mafisadi wakubwa coz wanapatana na baadhi ya wardens na kuuza rooms maana wengi wao DARUSO wana occupy rooms kwenye hall linaloitwa Extension!
__________________
'I could have annihilated all the Jews in the World,but I left some of them so you will know why I was killing them'-Adolf Hitler;Mien Kampf
Reply With Quote
  #7  
Old 11th October 2008, 02:12 PM
Makanyaga Makanyaga is offline
Makanyaga has no status.
Senior Member
Points: 85,203, Level: 100 Points: 85,203, Level: 100 Points: 85,203, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Sep 2007
Posts: 99
Thanks: 0
Thanked 12 Times in 7 Posts
Rep Power: 23
Makanyaga will become famous soon enoughMakanyaga will become famous soon enoughMakanyaga will become famous soon enoughMakanyaga will become famous soon enoughMakanyaga will become famous soon enoughMakanyaga will become famous soon enoughMakanyaga will become famous soon enoughMakanyaga will become famous soon enough
Default Re: Mabweni UDSM yalanguliwa

Quote:
View Post
Mkuu BAK, vyumba pale mlimani havijaanza kuuzwa leo. Mimi niliuziwa chumba na aliyekuwa vice president wa DARUSO (Ephraim Mafuru, sasa ni kibosile flani ndani ya VodaCom) mwaka 1997.
So, biashara hii viongozo wa DARUSO ndo vinara wenyewe na wala haitaisha kesho.

Pia wanaouza vyumba huwa ni wamiliki 'halali' ambao wamepata vyumba kwa utaratibu uliopangwa lakini kwa kuwa hawataki kukaa chuo, wanaamua kuuza.
Sinyolita,
Mimi nakumbuka nimemaliza shule UDSM mwaka 1999, Mafuru nadhani alikuwa hata hajaanza shule, au alikuwa first year! Hiyo mwaka 1997 hata Kitila Mkumbo alikuwa bado hajashika uongozi. Huyo Mafuru mimi namfahamu na tumesoma wote pale shuleni kwa mwalimu nyerere, Pugu high school. Jamani naomba tuache siasa za kuchafuliana majina, simply mwenzako ameweza kuwa kibosile fulani kwenye system. Kwa ulivyowakilisha ujumbe wako, ni wazi kuwa mafuru hakuwahi kukufanyia kitu cha namna hiyo, ila pengine tu humpendi kwa sababu zako unazozijua!
Reply With Quote
  #8  
Old 11th October 2008, 04:07 PM
Nkamangi's Avatar
Nkamangi Nkamangi is offline
Nkamangi wishes she was a Hadzabe
JF Senior Expert Member
Points: 91,200, Level: 100 Points: 91,200, Level: 100 Points: 91,200, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Location: Disturbia
Posts: 477
Thanks: 2
Thanked 21 Times in 9 Posts
Rep Power: 23
Nkamangi will become famous soon enoughNkamangi will become famous soon enoughNkamangi will become famous soon enoughNkamangi will become famous soon enoughNkamangi will become famous soon enoughNkamangi will become famous soon enoughNkamangi will become famous soon enoughNkamangi will become famous soon enough
Default Re: Mabweni UDSM yalanguliwa

As long as there's a demand there'll always be a supply. That's enterpreneurship if you ask me. The problem that needs to be addressed is shortage of accomodation. These students sublet the rooms on their own free will au?
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
mabweni, udsm, yalanguliwa


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
UDSM Ndio Chanzo Cha Mfubao Wa Elimu Tz MkamaP Jukwaa la Elimu (Education Forum) 236 3rd December 2009 11:31 PM
Law school, Kitivo cha sheria (UDSM) na ubinafsi wa wanataaluma wa sheria masungan Jukwaa la Sheria (The Law Forum) 8 1st April 2008 01:06 PM
Hivi Chuo Tanzania ni UDSM tu? Peter Kilanga Habari na Hoja mchanganyiko 6 11th March 2008 05:15 AM
Udsm Na Ukiritimba Wa Matokeo Dhidi Ya Wahitimu Ibambasi Jukwaa la Elimu (Education Forum) 8 2nd March 2008 06:01 PM
UDSM yapata uongozi mpya Kitila Mkumbo Jukwaa la Elimu (Education Forum) 22 6th December 2006 03:50 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 12:53 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com