Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tigo acheni wizi na vodacom acheni uzembe

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      lubazi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 33
      Rep Power : 449
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Tigo acheni wizi na vodacom acheni uzembe

      nimekuwa mtumiaji wa huduma katika tigo,voda na airtel lakini nimegundua matatizo makubwa katika kampuni ya tigo na vodacom.
      tigo wanachaji gharama kubwa sana kuongea toka tigo kwenda tigo achilia mbali tigo kwenda vodacom
      nimeongea kutoka tigo kwenda tigo nimejikuta nikikatwa shilingi 1 na senti 31 kwa sekunde 1 wakati tigo wanatanga senti 50 kwa sekunde huu ni wizi mkubwa wa kisirisiri tunaibiwa wananchi
      tatizo lingine muda wa kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 12 asubuhi wanasema kuongea baada ya dakika 3 inakuwa bure nimeweka vocha nikaongea nikijua nitaongea bure baada ya dakika 3 kufika nikajikuta simu imeisha ela na kukatika baada ya dakika kadhaa hazikuzidi dakika 30 katika maongezi yangu niliweka sh.1000 sasa tuwaite wezi au wawekezaji?
      tatizo lingine ukipiga namba yao ya 0713800800 customer care utaishia kusikiliza wimbo wao siku nzima hakuna wakupokea kukusikiliza shida yako sasa najiuliza huko tigo wameajiri mtu mmoja kwenye customer care?

      vodacom wamebweteka katika huduma ya mpesa maana kila wakati utasikia mtandao wa mpesa mbovu mafundi wanashugulikia limekuwa tatizo sugu kama umeme wa tanesco matokeo kumekuwa na kutokuelewana kati ya mawakala na wateja na voda hawafanyi jitihada kushugulikia hilo tatizo na hiyo inapelekea wateja kupata shida zaidi badala ya kutatuliwa shida zao
      kama mkonga wenu umezidiwa na idadi ya wateja ongezeni mikonga mingine na server za kutosha mbona munapata faida sana kwenye huduma zenu na hamtaki kuwekeza pesa zaidi kuimarisha huduma zenu???munataka kuchukua tuu kutoa hamtaki???tuwaite wezi au wawekezaji?


    2. #2
      dr chris's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd September 2011
      Posts : 73
      Rep Power : 405
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Tigo acheni wizi na vodacom acheni uzembe

      naunga mkono hoja

    3. #3
      tizo1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 732
      Rep Power : 571
      Likes Received
      52
      Likes Given
      0

      Default Re: Tigo acheni wizi na vodacom acheni uzembe

      Tigo ni wajinga sana.leo nimeongd dakika 2 na sekunde 24.wamenikata sh.408.hu sio wizi?

    4. #4
      Jeff's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2009
      Posts : 929
      Rep Power : 680
      Likes Received
      63
      Likes Given
      127

      Default

      Quote By tizo1 View Post
      Tigo ni wajinga sana.leo nimeongd dakika 2 na sekunde 24.wamenikata sh.408.hu sio wizi?
      Ni kweli kabsa,tgo ni wezi wa mchana hawa!

    5. #5
      Poriposha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2011
      Location : maajabuyamaji.net
      Posts : 301
      Rep Power : 5197
      Likes Received
      62
      Likes Given
      224

      Default Re: Tigo acheni wizi na vodacom acheni uzembe

      tatizo lingine muda wa kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 12 asubuhi wanasema kuongea baada ya dakika 3 inakuwa bure nimeweka vocha nikaongea nikijua nitaongea bure baada ya dakika 3 kufika nikajikuta simu imeisha ela na kukatika baada ya dakika kadhaa hazikuzidi dakika 30 katika maongezi yangu niliweka sh.1000 sasa tuwaite wezi au wawekezaji?
      Mi mbona huwa inakubali fresh baada ya dk 3 huwa naogea sana tu bureeee tena mara ya mwisho nimeonga jana bila problem karibu saa 1 na dk 45..ILA TATIZO KUBWA NI HIYO TIGO PESA YAO JINSI INAVYOZINGUA MAWAKALA FULL KULA LOSS

      tatizo lingine ukipiga namba yao ya 0713800800 customer care utaishia kusikiliza wimbo wao siku nzima hakuna wakupokea kukusikiliza shida yako sasa najiuliza huko tigo wameajiri mtu mmoja kwenye customer care?
      Hili naunga mkono hoja inakuwa bizee kwa sababu ni bure ila zile nyingine ambazo ukiongea nao wanakukata Tsh 100 ukipiga ni fasta unapokelewa..Tigo acheni huu uhuni
      "A REAL MAN doesn't love Million GIRLS, He love ONE GIRL in Millions ways" -facebook.com/HassanZiaa


    Similar Topics

    1. Vodacom acheni Upumbavu!
      By Shark in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 72
      Last Post: 17th October 2011, 15:37
    2. Tanzania Investiment Centre: ACHENI UZEMBE
      By Game Theory in forum Business & Economic Forum
      Replies: 4
      Last Post: 13th August 2011, 23:07
    3. VODACOM acheni uhuni
      By kaburunye in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 20
      Last Post: 12th November 2010, 17:09
    4. VODACOM Acheni Huu Wizi
      By Arsenal in forum Business & Economic Forum
      Replies: 7
      Last Post: 15th September 2010, 11:24
    5. Chadema acheni Uzembe! Nzega ni yenu
      By Mwanzo in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 1
      Last Post: 6th September 2010, 19:28

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...