Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ni kweli Agha-Khan walishindwa kugundua Malaria ya Zitto?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 42
    1. RMA
      #1
      RMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2010
      Posts : 410
      Rep Power : 519
      Likes Received
      87
      Likes Given
      0

      Default Ni kweli Agha-Khan walishindwa kugundua Malaria ya Zitto?

      Ni malaria gani ya namna hiyo ambayo hata Agha khan hawakuigundua? Mbona waandishi wa habari hawawahoji Agha khan ili waseme kwa nini vipimo vyao havikugundua Malaria ya Zito? Huyo daktari wa Muhimbili tu ndiye mtaalamu wa malaria kuliko madaktari wote wa Tanzania? Tukumbuke siasa za Tanzania kwa sasa ni chafu mno! Uwezekano wa madaktari kutumiwa kwa hujuma za kisiasa ni mkubwa pia! Kama ni kweli Agha khan walishindwa kugundua kuwa Zito alikuwa na malaria, basi ni bora hospitali ifungiwe au uongozi ujiuzulu! Tofauti na hapo, Tanzania bado tuna safari ndefu!
      mmbangifingi likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      LoyalTzCitizen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2010
      Location : Lashkar Gah, Helmand
      Posts : 1,539
      Rep Power : 762
      Likes Received
      157
      Likes Given
      147

      Default Re: Ni kweli Agha-Khani walishindwa kugundua Malaria ya Zito? Ipo kazi!

      Mkuu! Hii kitu imenichanganya kichwa sana! Kama jamaa wameshindwa na malaria sasa ina maana hawatoweza gundua magonjwa mengine mengi sugu! can someone remind me what does the word hospital means?? I hate politics!!

    4. #3
      Biera's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th December 2010
      Posts : 431
      Rep Power : 515
      Likes Received
      50
      Likes Given
      0

      Default Re: Ni kweli Agha-Khani walishindwa kugundua Malaria ya Zito? Ipo kazi!

      Nina wasiwasi kuwa kuna k2 2mefichwa

    5. #4
      mwacheni77's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 518
      Rep Power : 518
      Likes Received
      63
      Likes Given
      0

      Default Re: Ni kweli Agha-Khani walishindwa kugundua Malaria ya Zito? Ipo kazi!

      Kwa kuendekeza siasa za majitaka hospital ya agha khan wamejishushia hadhi,wafunge hospital au watoe maelezo yatakayo kidhi haja kwa watanzani
      FuturePresident likes this.

    6. #5
      Entrepreneur's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 911
      Rep Power : 586
      Likes Received
      478
      Likes Given
      153

      Default Re: Ni kweli Agha-Khani walishindwa kugundua Malaria ya Zito? Ipo kazi!

      Hata mimi nashangaa ni kwa nini wamekuwa kimya mpaka sasa! Yaan dispensary huku uswahilin zinaweza kuona hata Malaria 3, sembuse Aghakhan Hosp!? Tena malaria kubwa namna hiyo! Tumeambiwa ni 150. Mmh! Kazi ipo

    7. Miaka 50

    8. #6
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,815
      Rep Power : 11188
      Likes Received
      7002
      Likes Given
      5176

      Default Re: Ni kweli Agha-Khani walishindwa kugundua Malaria ya Zito? Ipo kazi!

      Agha Khan ni hovyo kama shule za kata.
      Bei zao ni za juu, huduma mbovu.
      Kifo cha mapema kinapatikana Aga Khan.

    9. #7
      Daniel Anderson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2011
      Location : LUPA CHUNYA
      Posts : 826
      Rep Power : 559
      Likes Received
      130
      Likes Given
      348

      Default

      Quote By Biera
      Nina wasiwasi kuwa kuna k2 2mefichwa
      ningekuwa kwenye pc ningekudundia kitufe cha 'like' maana umegusa palipo muhimu.

    10. #8
      Mamzalendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : KASKAZINI
      Posts : 1,445
      Rep Power : 721
      Likes Received
      438
      Likes Given
      166

      Default Re: Ni kweli Agha-Khani walishindwa kugundua Malaria ya Zito? Ipo kazi!

      He he he he you people hamjui kabisa madokta wa sa hv kwenye hizi hospital,ndugu yangu tulimpeleka hospital kafanyiwa eti vipimo dokta akaandika normal kila k2 had kizazi na wakati kilishatolewa mwaka wa tisini hivi na dokta kasain na nihospital tuliyokuwa tunasema nzuri hivi tanzania tuna madokta je wana wito au ni pesa mbele,jamani madokta mjali uhai wa watu kwa sababu wewe unamuambia m2 normal wakati analalamika mgonjwa na tukaenda hospital ingine akapata matibabu kwani ndugu yangu alijua wanadanganya yeye pia ni muuguzi,

    11. #9
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,302
      Rep Power : 1007
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      522

      Default Re: Ni kweli Agha-Khani walishindwa kugundua Malaria ya Zito? Ipo kazi!

      Quote By Bujibuji
      Agha Khan ni hovyo kama shule za kata.
      Bei zao ni za juu, huduma mbovu.
      Kifo cha mapema kinapatikana Aga Khan.
      Mkuu usinikumbushe hapo kwenye red. Jana, 29 Oct. 2011, tulimzika FRED V. KANUTI best wangu ambaye tumehitimu wote Mzumbe University mwaka huu na graduation yetu inatarajiwa kuwa 02 Nov. 2011. Huyu jamaa alikuwa amelazwa Aga-Khan kwa tatizo dogo tu lakini maskini amekufa kijana mdogo na shahada yake ya Finance and Accounting.

      Halafu hawa jamaa (Aga-Khan) kwa uroho wa pesa huwa ni mara chache wanatoaga referral labda ndugu waje juu sana vinginevyo watakomaa na wewe hadi roho ikutoke ili wapate na hela ya mochuari. Nashangaa wanaoichagua Aga-Khan kama first choice.

      TANGAZO LA KIFO: Kwa wale Masela wote waliomaliza Kumbukumbu Primary School (Dar) 2000, Azania Sec. School 2004, Tambaza High School 2007, na Mzumbe University 2011; wale Masela wa Kinondoni Shamba, ndugu, jamaa na marafiki wote waliomfahamu FRED V. KANUTI nasikitika kuwatangazia kwamba jamaa hatunaye tena. Amefariki 26 Oct. 2011 Aga-Khan Hospital na kuzikwa huko Mbezi (Dar) tar. 28 Oct. 2011. Marehemu apumzike kwa amani, Amen.
      Last edited by dudus; 29th October 2011 at 12:07.
      Kimox Kimokole likes this.

    12. #10
      Godlisten Masawe's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th July 2011
      Location : Hapa Hapa
      Posts : 607
      Rep Power : 0
      Likes Received
      220
      Likes Given
      2877

      Default Re: Ni kweli Agha-Khani walishindwa kugundua Malaria ya Zito? Ipo kazi!

      Quote By RMA
      Ni malaria gani ya namna hiyo ambayo hata Agha khan hawakuigundua? Mbona waandishi wa habari hawawahoji Agha khan ili waseme kwa nini vipimo vyao havikugundua Malaria ya Zito? Huyo daktari wa Muhimbili tu ndiye mtaalamu wa malaria kuliko madaktari wote wa Tanzania? Tukumbuke siasa za Tanzania kwa sasa ni chafu mno! Uwezekano wa madaktari kutumiwa kwa hujuma za kisiasa ni mkubwa pia! Kama ni kweli Agha khan walishindwa kugundua kuwa Zito alikuwa na malaria, basi ni bora hospitali ifungiwe au uongozi ujiuzulu! Tofauti na hapo, Tanzania bado tuna safari ndefu!
      Kwa kweli hichi kitu na mimi kimenishangaza, najaribu kukifikilia mara kwa mara sipati jibu, yaani The Agha Khan wameshindwa kabisa kugundua malaria? Alafu ninachofahamu mimi ni kuwa mgonjwa hakishindikana Muhimbili anapelekwa The Agha Khan, sasa hii imekuwa Vise Versa wakuu? hivi imekahaje hii?

    13. #11
      Godlisten Masawe's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th July 2011
      Location : Hapa Hapa
      Posts : 607
      Rep Power : 0
      Likes Received
      220
      Likes Given
      2877

      Default Re: Ni kweli Agha-Khani walishindwa kugundua Malaria ya Zito? Ipo kazi!

      Quote By Mamzalendo
      He he he he you people hamjui kabisa madokta wa sa hv kwenye hizi hospital,ndugu yangu tulimpeleka hospital kafanyiwa eti vipimo dokta akaandika normal kila k2 had kizazi na wakati kilishatolewa mwaka wa tisini hivi na dokta kasain na nihospital tuliyokuwa tunasema nzuri hivi tanzania tuna madokta je wana wito au ni pesa mbele,jamani madokta mjali uhai wa watu kwa sababu wewe unamuambia m2 normal wakati analalamika mgonjwa na tukaenda hospital ingine akapata matibabu kwani ndugu yangu alijua wanadanganya yeye pia ni muuguzi,
      Hitaje hiyo hospitali ili na sisi tusiende au tusipate kuwapeleka ndugu na jamaa zetu? Unaificha nini!! una maslahi nayo? Taja

    14. #12
      Mkuu wa chuo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Kibada
      Posts : 1,769
      Rep Power : 841
      Likes Received
      340
      Likes Given
      19

      Default Re: Ni kweli Agha-Khani walishindwa kugundua Malaria ya Zito? Ipo kazi!

      au labda hawana microscope!

    15. #13
      kipindupindu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2010
      Location : puchapucha sokoni
      Posts : 1,031
      Rep Power : 633
      Likes Received
      124
      Likes Given
      91

      Default

      Quote By Muchembe
      Kwa kweli hichi kitu na mimi kimenishangaza, najaribu kukifikilia mara kwa mara sipati jibu, yaani The Agha Khan wameshindwa kabisa kugundua malaria? Alafu ninachofahamu mimi ni kuwa mgonjwa hakishindikana Muhimbili anapelekwa The Agha Khan, sasa hii imekuwa Vise Versa wakuu? hivi imekahaje hii?
      wewe ni mbumbumbu mpaka unaboa!

    16. #14
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Unajua huu wimbo?'DAWA MSETO YA MALERIA SASA INAPATKANA KWA BEI NAFUU'
      Quote By RMA
      Ni malaria gani ya namna hiyo ambayo hata Agha khan hawakuigundua? Mbona waandishi wa habari hawawahoji Agha khan ili waseme kwa nini vipimo vyao havikugundua Malaria ya Zito? Huyo daktari wa Muhimbili tu ndiye mtaalamu wa malaria kuliko madaktari wote wa Tanzania? Tukumbuke siasa za Tanzania kwa sasa ni chafu mno! Uwezekano wa madaktari kutumiwa kwa hujuma za kisiasa ni mkubwa pia! Kama ni kweli Agha khan walishindwa kugundua kuwa Zito alikuwa na malaria, basi ni bora hospitali ifungiwe au uongozi ujiuzulu! Tofauti na hapo, Tanzania bado tuna safari ndefu!

    17. #15
      kipindupindu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2010
      Location : puchapucha sokoni
      Posts : 1,031
      Rep Power : 633
      Likes Received
      124
      Likes Given
      91

      Default

      Quote By Muchembe
      Hitaje hiyo hospitali ili na sisi tusiende au tusipate kuwapeleka ndugu na jamaa zetu? Unaificha nini!! una maslahi nayo? Taja
      stori za kijiweni hizo hazina reference!

    18. #16
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Entrepreneur
      Hata mimi nashangaa ni kwa nini wamekuwa kimya mpaka sasa! Yaan dispensary huku uswahilin zinaweza kuona hata Malaria 3, sembuse Aghakhan Hosp!? Tena malaria kubwa namna hiyo! Tumeambiwa ni 150. Mmh! Kazi ipo
      siku nilpoambiwa nna 9 nikashangaa,150 ndo nikajkwaa kwa mshangao

    19. #17
      kipindupindu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2010
      Location : puchapucha sokoni
      Posts : 1,031
      Rep Power : 633
      Likes Received
      124
      Likes Given
      91

      Default

      Quote By LoyalTzCitizen
      Mkuu! Hii kitu imenichanganya kichwa sana! Kama jamaa wameshindwa na malaria sasa ina maana hawatoweza gundua magonjwa mengine mengi sugu! can someone remind me what does the word hospital means?? I hate politics!!
      kuna rafiki yangu alikufa kwa malaria akiwa russia kwa sababu ilichelewa kugundulika.

    20. #18
      FuturePresident's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Posts : 291
      Rep Power : 491
      Likes Received
      36
      Likes Given
      358

      Default Re: Ni kweli Agha-Khani walishindwa kugundua Malaria ya Zito? Ipo kazi!

      By Bujibuji
      Agha Khan ni hovyo kama shule za kata.
      Bei zao ni za juu, huduma mbovu.
      Kifo cha mapema kinapatikana Aga Khan.


      Quote By dudus
      Mkuu usinikumbushe hapo kwenye red. Jana, 29 Oct. 2011, tulimzika FRED V. KANUTI best wangu ambaye tumehitimu wote Mzumbe University mwaka huu na graduation yetu inatarajiwa kuwa 02 Nov. 2011. Huyu jamaa alikuwa amelazwa Aga-Khan kwa tatizo dogo tu lakini maskini amekufa kijana mdogo na shahada yake ya Finance and Accounting.

      Halafu hawa jamaa (Aga-Khan) kwa uroho wa pesa huwa ni mara chache wanatoaga referral labda ndugu waje juu sana vinginevyo watakomaa na wewe hadi roho ikutoke ili wapate na hela ya mochuari. Nashangaa wanaoichagua Aga-Khan kama first choice.
      Wakubwa kama hali iko hivi Agakhan !!!!Mhhh.....Tumuombeee mweshiwa Zito apone halafu na yeye aje atujuze humu juu ya yaliyomsibu Agakhan....Isiwe ni uzuri wa majengo tuu na Vitanda na chakula kumbe maaana ya Hospital Haipo!!!!
      Better is not Good enough the best has yet to come!!!

    21. #19
      Lasikoki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2010
      Posts : 618
      Rep Power : 2699
      Likes Received
      98
      Likes Given
      39

      Default Re: Ni kweli Agha-Khan walishindwa kugundua Malaria ya Zitto?

      Wandugu

      Kabla ya 'kulaumu' na kubeza uwezo wa hosp ya Aga Khan na madaktari kwa ujumla, mfahamu na naamini mnajua ya kwamba nchi hii kila kitu ni politiks. Siyo kila anayepelejwa india amekosa matibabu hapa nchini.....

      Malaria iligundulika Aga Khan by the way na matibabu aliyaanzia pale pale na alikuwa akiendelea vema but alikuwa pia anatibiwa maradhi mengine, kipanda uso. Mengine siyajui coz i'm not his doctor anyway......

      What is malaria 3 or 150? Even the best microscopist can miss malaria.......it's not uncommon to miss it though. By the way muhi2 do not refer pts to aga khan but vice versa...,

    22. #20
      prakatatumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 822
      Rep Power : 548
      Likes Received
      99
      Likes Given
      8

      Default Re: Ni kweli Agha-Khan walishindwa kugundua Malaria ya Zitto?

      Sitaki hata kuisikia mpaka watakapo toa maelezo ya kuniridhisha,Agha Khan wapo after money zaidi,unakatwa hadi hela ya simu wakati sijatumia,KWELI AGHA KHAN ni MDANANDA

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 3
      Last Post: 10th November 2011, 12:44
    2. Mkurugenzi NHIF anavyoibia wanachama kwa kushirikiana na Agha Khan hospital
      By Danniair in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 3
      Last Post: 4th September 2011, 21:07
    3. malaria sugu kweli ameishiwa?
      By Malaria Sugu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 33
      Last Post: 23rd July 2011, 00:38
    4. Hivi ni kweli Net zinatunkinga na malaria?
      By akoe in forum JF Doctor
      Replies: 3
      Last Post: 12th March 2008, 09:08
    5. Jamaa Maeneo Ya Baharini Nyuma Ya Agha Khan Ni Wezi?
      By Bongolander in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 6
      Last Post: 20th September 2007, 14:49

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...