Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 30
    1. #1
      janja pwani's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th July 2011
      Posts : 104
      Rep Power : 420
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      wakiongea na kuwasiliana na masheikh wa mkoa wa tabora katika kipindi maalumu cha Radio IMANI wamesema kitendo alichofanya said kubenea kwa kuandika habari isiyokuwa na uhakika huku ni kuudhalilisha uislamu, katika habari "DC Fatuma kimario si muislamu" wamesema kwanza mwenyewe aliishasema "kwa mujibu wa dini yangu ya UISLAMU kitendo cha kunivua hijabu ni kama wameniwacha uchi" naye sheikh wa Mkoa anasema bi fatuma ni muislamu safi na huwa tunasali naye hapa msikitini na hata Ijitimayi iliyofanyika Nairobi mwaka jana tulikwenda naye, na shughuli zote za hapa msikitini huwa anashiriki hata usafi wa msikiti huwa anashiriki na wakina mama wenzie, siku ya ijumaa huwa anafika mapema hapa msikitini, kwa hiyo nashangaa mtu anaposema mama huyo ni Mkristo, alisema sheikh huyo wa mkoa wa Tabora.


    2. #2
      Kayoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 437
      Rep Power : 496
      Likes Received
      95
      Likes Given
      2

      Default Re: Masheikh wamuonya kubenea na Mwanahalisi.

      Kwa nini huyo kiroboto asije mwenyewe kukanusha au kukubali juu ya iman yake. Kwani amekuwa popo yeye.! Na hao masheikh kwa nini wausemee moyo wa Fatuma Kimario.?

    3. #3
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Masheikh wamuonya kubenea na Mwanahalisi.

      Hivi hao mashehe hawana kazi za kufanya? Kila kukicha 'ONYO' huyo DC mwenyewe wala hajui yeye ni dini gani... Yupo yupo tu! Waache kuchafua uislam kwa maslah ya watu wachache.

    4. #4
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 4,085
      Rep Power : 1237
      Likes Received
      988
      Likes Given
      247

      Default Re: Masheikh wamuonya kubenea na Mwanahalisi.

      wale waandishi na vipindi vya dakika mara 45, mara tuonge asubuhi mbona hawaendi kumhoji huyu mama, mtasingizia rikesi riko mahakamani, shauri yenu, wapagani mnawatukana mpaka matusi hadharani wao kimya, nyinyi na dini zenu mkifanya ufuska hamuwi waumini, mkitiwa adabu kwa makosa kwenye jamii mwaangaliwa kwa dini, huwa mnasali kweli? wanafiki sana watu wa dini, mbona maovu hayaishi au angalau kupungua. waachieni wapagani hii dunia nyie na dini zenu si muende mbinguni! munaudhi sasa. mulichikomaza se!

    5. #5
      ibrah rahby's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 59
      Rep Power : 402
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Masheikh wamuonya kubenea na Mwanahalisi.

      Masheikh wakinafiki hawa wapo kimaslahi zaidi,waislam tunashida nying za maana kuliko huyo mfunga nguruwe mkuu wa wilaya mbona mmeshindwa kutusaidia kama kweli mnalinda maslahi ya waislam? Wanafiki wakubwa mnatumiwa na ccm kwa njaa zenu,sijaona sheikh hapo naona genge la wahuni wenye njaa wasio na elimu waa mtazamo! Mnadhani tukianza kupigana family zenu zitasalimika?


    6. #6
      Shinto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Posts : 1,783
      Rep Power : 682
      Likes Received
      75
      Likes Given
      10

      Default Re: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      Wewe nadhani 'shekhe' wako ni Pengo, Slaa au Malasusa! Ungekuwa hata na harufu ya imani usinge thubutu kuwatukani viongozi wako eti kwa ajili ya huu upuuzu wa Chadema! Mwenzio Kubenea analipwa kuutukana uislam

    7. #7
      Kabakabana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2011
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1763
      Likes Received
      1119
      Likes Given
      126

      Default Re: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      yani hili swala ni kama mazingaombwe

    8. #8
      Eraser Stop's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Posts : 1,692
      Rep Power : 1654
      Likes Received
      27
      Likes Given
      46

      Default Re: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      Mashehe uchwala

    9. #9
      Giddy Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2011
      Posts : 834
      Rep Power : 594
      Likes Received
      176
      Likes Given
      0

      Default Re: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      Mashehe mlitumwa na Ccm sasa mmekuta mziki mzito sasa mnakuja na Matamko yenu yasiyo na tija hapa eleweni kuwa hii nchi siyo Mali ya Kanisa wala Msikiti pia mwambieni Kikwete naona anawasikiliza nyie Mashehe mwambieni hivi sisi watanzania tumechoshwa sana tena sana.AONDOKE.Kubenea mwacheni kwani yeye ana uchungu na nchi yake nyie mnawaza tumbo zenu tuu mnaogopa kusema ukweli.

    10. #10
      mikatabafeki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 4,873
      Rep Power : 1408
      Likes Received
      778
      Likes Given
      1463

      Default Re: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      kwanini hawa mashekhe ndo wamsemee huyo KAVIRONDO kwani ye hana mdomo???

    11. #11
      Transporter's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 170
      Rep Power : 429
      Likes Received
      40
      Likes Given
      22

      Default Re: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      Masaburi wakubwa nyie..

    12. #12
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,065
      Rep Power : 7655
      Likes Received
      998
      Likes Given
      762

      Default Re: Masheikh wamuonya kubenea na Mwanahalisi.

      Quote By Kayoka View Post
      Kwa nini huyo kiroboto asije mwenyewe kukanusha au kukubali juu ya iman yake. Kwani amekuwa popo yeye.! Na hao masheikh kwa nini wausemee moyo wa Fatuma Kimario.?
      After all what is Kimario mpaka asumbue watu. Just a lady like any mother. Masheik hawana la kufanya la maana mpaka waende kwenye upuuzi huo. Illiteracy ya masheick, elimu ndogo inawasumbua. Sidhani kama maaskofu ( siwasemei) wanaweza kuhangaika na sister aliyevuliwa shela in whatever way particularly pale anapokutwa anafanya mambo ambayo yanatia mashaka. Masheick nendeni shule, jadili maendeleo ya waislamu, jenga shule, zifanye zilizopo zifanye vizuri etc. Acha kushupalia ujinga

    13. #13
      JOYCE PAUL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2010
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 970
      Rep Power : 678
      Likes Received
      65
      Likes Given
      18

      Default Re: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      Quote By janja pwani View Post
      wakiongea na kuwasiliana na masheikh wa mkoa wa tabora katika kipindi maalumu cha radio imani wamesema kitendo alichofanya said kubenea kwa kuandika habari isiyokuwa na uhakika huku ni kuudhalilisha uislamu, katika habari "dc fatuma kimario si muislamu" wamesema kwanza mwenyewe aliishasema "kwa mujibu wa dini yangu ya uislamu kitendo cha kunivua hijabu ni kama wameniwacha uchi" naye sheikh wa mkoa anasema bi fatuma ni muislamu safi na huwa tunasali naye hapa msikitini na hata ijitimayi iliyofanyika nairobi mwaka jana tulikwenda naye, na shughuli zote za hapa msikitini huwa anashiriki hata usafi wa msikiti huwa anashiriki na wakina mama wenzie, siku ya ijumaa huwa anafika mapema hapa msikitini, kwa hiyo nashangaa mtu anaposema mama huyo ni mkristo, alisema sheikh huyo wa mkoa wa tabora.
      msituleteeee udini kwa reporter wetu loh

    14. #14
      Babuu blessed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Location : machame
      Posts : 1,129
      Rep Power : 743
      Likes Received
      265
      Likes Given
      54

      Default Re: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      Tatizo wanapgania dini alyeianzisha akufanikiwa kuweka mising mizuri kama YESU kristo alivyofanya kwa waja wake wakikristo.wala utakiwi kuwa na elimu kubwa kuelewa familia yenye malezi mema na maovu.wazazi wasipowekea watoto wao misingi mizuri ya maisha mara nying watoto wanachanganyikiwa na wanakuwa awana misimamo katka maisha.wakirsto tumshukuru yesu katuachia amani na upendo
      CHUAKACHARA likes this.

    15. #15
      mwacheni77's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 519
      Rep Power : 522
      Likes Received
      63
      Likes Given
      0

      Default Re: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      Walio Tabora na wanaomjua huyu mama vizuri watujuze,hakuna hata mtu mmoja anayefanyakazi hapo wilayan,au anayeijua familia ya huyu mama vema?

    16. #16
      mtu chake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : Kivu
      Posts : 2,173
      Rep Power : 1768
      Likes Received
      1021
      Likes Given
      1341

      Default Re: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      Hivi hao mashehe hawana kazi za kufanya? Kila kukicha 'ONYO' huyo DC mwenyewe wala hajui yeye ni dini gani
      ....kazi..kulala msikitini
      @@

    17. #17
      Laura Mkaju's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 194
      Rep Power : 463
      Likes Received
      35
      Likes Given
      0

      Default Re: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      Hivi nini uhusiano wa utendaji kazi na hijab??

    18. #18
      mtu chake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : Kivu
      Posts : 2,173
      Rep Power : 1768
      Likes Received
      1021
      Likes Given
      1341

      Default Re: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      Hivi nini uhusiano wa utendaji kazi na hijab??
      ..hakuna..
      @@

    19. #19
      gmosha48's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 828
      Rep Power : 605
      Likes Received
      256
      Likes Given
      486

      Default Re: Masheikh wamuonya kubenea na Mwanahalisi.

      Quote By CHUAKACHARA View Post
      After all what is Kimario mpaka asumbue watu. Just a lady like any mother. Masheik hawana la kufanya la maana mpaka waende kwenye upuuzi huo. Illiteracy ya masheick, elimu ndogo inawasumbua. Sidhani kama maaskofu ( siwasemei) wanaweza kuhangaika na sister aliyevuliwa shela in whatever way particularly pale anapokutwa anafanya mambo ambayo yanatia mashaka. Masheick nendeni shule, jadili maendeleo ya waislamu, jenga shule, zifanye zilizopo zifanye vizuri etc. Acha kushupalia ujinga
      Mkuu, I agree with you, except for the red highlited text. Huyu mama hawezi kuwa kama mama yangu hata kidogo. Mama yangu hajashiriki kwenye hizi mbinu chafu za kukandamiza demokrasia ya kweli.
      CHUAKACHARA and ngokowalwa like this.
      Ngo'ng'o

    20. #20
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,874
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      228
      Likes Given
      9

      Default Re: Masheikh wamuonya Kubenea na MwanaHalisi

      Kwa style hii ya waislamu kutaka kufanya watakavyo kwa kisingizio cha dini haitawezekana.......dc lazima afuate sheria za nchio na sheria za uchaguzi ambazo yeye kwa makusudi na kwa kukusudia amezikiuka. Ni ajabu pale waislamu wanaendelea kuwahamasisha wahalifu (wa mali-kweney mabenki na wale wa sheria -km Fatuma) kutumia mavazi yanayoitwa ya kiislamu kuhalalisha uhalifu wao........kwa taarifa yenu kama huo ndiyo uislamu basi AKIKAMATWA USTADH NA MTU MIDEVU YAKE ANAIBA NA WANANCHI WAKIMKAMATA NA KUMNYOA WAISLAMU WATASEMA NDEVU NI VAZI LA KIISLAMU...
      MASHEIKH ACHENI KUENEZXA UDINI KWA MASLAHI YA MATUMBO YENU -HASA POSHO MNAZOPATA KUTOKA CCM KILA BAADA YA KUTOA MATAMKO TAFADHARI
      Mvumilivu hula mbivu... Ila mvundika mbivu hula mbovu

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Saed Kubenea na gazeti la MwanaHalisi
      By Shukurani in forum Celebrities Forum
      Replies: 142
      Last Post: 19th February 2012, 23:10
    2. Kubenea wa MWANAHALISI amenunuliwa na mafisadi?
      By Ngao One in forum Celebrities Forum
      Replies: 241
      Last Post: 28th October 2011, 04:40
    3. Replies: 2
      Last Post: 22nd December 2010, 09:42
    4. Kubenea Na Mwanahalisi Waombe Radhi
      By Shy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 24
      Last Post: 25th October 2010, 21:06
    5. MwanaHalisi na Kubenea watinga AU
      By Halisi in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 14th November 2009, 19:19

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...