Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JK ana hali mbaya sana ...

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 40
    1. #1
      Mwakalinga Y. R's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 2,170
      Rep Power : 974
      Likes Received
      924
      Likes Given
      2289

      Default JK ana hali mbaya sana ...

      Katika viongozi watakao weka historia mbaya nchini ,Rais huyu atakuwa wa kwanza.Nadhani washauri wake wameshindwa kusoma alama za nyakati.Yanayotokea Igunga ni chachu na picha ya mambo yatakavyakuwa tunakoelekea miaka ijayo hivi karibuni.
      Kwa wanaofahamu falsafa ya Uongozi,kiongozi mkuu wa nchi (ambaye kwa Tanzania ni Rais).Viongozi hawa huchukuliwa kama ni watu wenye maono na karama za pekee kutoka kwa mwenyezi Mungu.Kiongozi mkuu wa nchi anapopita sehemu yoyote kama ilikuwa haina neema, itakuwa ni moja ya chachu na chanzo cha neema pindi atakapoondoka kutokana na matatizo atakayoelezwa na hatua madhubuti atakazo chukua kutatua kero/maswala mbalilimbali yanayogusa maendeleo ya eneo husika.

      Yanayotokea kwa serikali ya mh. JK ni kutatua matatizo ya wanaomwanika hadharani kuwa yeye hana uwezo na karama ya kuwa kiongozi mkuu wa nchi (Vita hivi anapigana na wapinzani wake wa kisiasa ndani ya chama na nnje ya chama chake).Yapo mambo mengi ambayo kimsingi alitakiwa ayafumbie macho ili akimbilie kwa watetezi wake wamwisho ambao ni wananchi ( wapiga kura),kwa kusikiliza na kutatua kero zao.
      Kiongozi ambaye hana umaarufu kwa wananchi wake siku zake za kukaa madarakani zinahesabika.Ni kitendo cha kustaabisha ukihesabu mambo yalimkumba Mh. Jk tokea ameingia madarakani,mfano kitendo cha msafara wake kupigwa mawe alipofanya ziara mkoani Mbeya.Matukio kama haya yanaweza yasipewe uzito kutokana na yanavyoripotiwa na vyombo vya habari.Ila ni kigezo kikubwa kwa kuangalia/kupima umaarufu wa kiongozi kwa wachambuzi /wafuatiliaji wa mambo.Kisiasa ni hatari sana kwa kustakabali wa kiongozi huyo.

      Mambo mengine yanayodhihirisha kuwa kiongozi huyu amepoteza umaarufu ni kwenye mitandao ya kijamii.Mijadala mingi inayoendeshwa inakuwa inamkosoa na kumpinga wazi wazi kana kwamba sio Kiongozi wa nchi,mitandao ya kijaii ni muhimu kwa zama hizi kwani hutumika kama njia ya kuwasiliana baina ya mtu na mtu ,mtu na kundi ama kundi moja na kundi jingine.Nchi nyingine mitandao hii ya kijamii inatumiwa na viongozi kuwapasha habari wananchi na kutoa fursa ya kujadiliana/kushauriana maswala mbali mbali ya kijamii,kisiasa na kiuchumi.Kilichotokea tare 25/9/2011 wakati Rais alipoweka status na wachangiaji kuanza kuporomosha matusi ya wazi kuonyesha kuwa wamechoshwa na uongozi wake ni hatari sana.Kama watu unaowaongoza hawana imani na uongozi wako ni dhahiri unakosa/unapoteza sifa za kuwa kiongozi.

      Yapo mengi yaliyotokea ila jingine ambalo litamtafuna sana Mh. Jk ni hili la hukumu ya leo -Tanesco iwalipe Dowans 94 bil. Tshs.Kweli Rais huyu hana washauri na hajaweza kusoma alama za nyakati ..Katika zama hizi za kiza /mgao mkali wa umeme,anaachia vyombo vilivyoko chini yake kufanya maamuzi bila kupima uzito wa jambo jenyewe.Anaamsha hisia za Watanzania kwa uchafu uliofanywa na watendaji wake!.Mbaya waliofanya uchafu huo wapo mtaani wanatembea na ma V8 kwa mbwembwe zote.
      MUNGU IBARIKI TANZANIA.
      Last edited by Mwakalinga Y. R; 28th September 2011 at 21:13.
      Mtambuzi and Ngoda95 like this.
      “Even the smallest person can change the course of the future.”-Galadriel


    2. Miaka 50

    3. #2
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,208
      Rep Power : 2097
      Likes Received
      1234
      Likes Given
      313

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      jk ni tia maji tia maji yaani duniani hayupo ahera hayuoo basi tafrani tupu

    4. #3
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,274
      Rep Power : 3045
      Likes Received
      3060
      Likes Given
      4155

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      Duniani hayupo, ahera hayupo??!
      tia maji tia maji....yani mguu kwenye break na kwenye accelerator.....ukiachia mafuta gari inazima, silence haipo.
      hahoyaya likes this.

    5. #4
      Patriote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2011
      Posts : 1,371
      Rep Power : 1096
      Likes Received
      728
      Likes Given
      145

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      Quote By Bigirita
      Duniani hayupo, ahera hayupo??!
      tia maji tia maji....yani mguu kwenye break na kwenye accelerator.....ukiachia mafuta gari inazima, silence haipo.
      Dahhh kwa kweli ni full magumashi, akivaa suti alizohongwa na kijana wa kiarabu unaona kweli kiongozi tumepata kumbe hana lolote maskin ya mungu, ubabaishaji mtupu, kuwa na kiongoz wa hivi ni mzigo kwa taifa, yan 2015 ni kama karne kwa watanzania.

    6. #5
      DASA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : JF
      Posts : 1,000
      Rep Power : 625
      Likes Received
      260
      Likes Given
      220

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      Quote By Mwakalinga
      Katika viongozi watakao weka historia mbaya nchini ,Rais huyu atakuwa wa kwanza.Nadhani washauri wake wameshindwa kusoma alama za nyakati.Yanayotokea Igunga ni chachu na picha ya mambo yatakavyakuwa tunakoelekea miaka ijayo hivi karibuni.
      Kwa wanaofahamu falsafa ya Uongozi,kiongozi mkuu wa nchi (ambaye kwa Tanzania ni Rais).Viongozi hawa huchukuliwa kama ni watu wenye maono na karama za pekee kutoka kwa mwenyezi Mungu.Kiongozi mkuu wa nchi anapopita sehemu yoyote kama ilikuwa haina neema, itakuwa ni moja ya chachu na chanzo cha neema pindi atakapoondoka kutokana na matatizo atakayoelezwa na hatua madhubuti atakazo chukua kutatua kero/maswala mbalilimbali yanayogusa maendeleo ya eneo husika.

      Yanayotokea kwa serikali ya mh. JK ni kutatua matatizo ya wanaomwanika hadharani kuwa yeye hana uwezo na karama ya kuwa kiongozi mkuu wa nchi (Vita hivi anapigana na wapinzani wake wa kisiasa ndani ya chama na nnje ya chama chake).Yapo mambo mengi ambayo kimsingi alitakiwa ayafumbie macho ili akimbilie kwa watetezi wake wamwisho ambao ni wananchi ( wapiga kura),kwa kusikiliza na kutatua kero zao.
      Kiongozi ambaye hana umaarufu kwa wananchi wake siku zake za kukaa madarakani zinahesabika.Ni kitendo cha kustaabisha ukihesabu mambo yalimkumba Mh. Jk tokea ameingia madarakani,mfano kitendo cha msafara wake kupigwa mawe alipofanya ziara mkoani Mbeya.Matukio kama haya yanaweza yasipewe uzito kutokana na yanavyoripotiwa na vyombo vya habari.Ila ni kigezo kikubwa kwa kuangalia/kupima umaarufu wa kiongozi kwa wachambuzi /wafuatiliaji wa mambo.Kisiasa ni hatari sana kwa kustakabali wa kiongozi huyo.

      Mambo mengine yanayodhihirisha kuwa kiongozi huyu amepoteza umaarufu ni kwenye mitandao ya kijamii.Mijadala mingi inayoendeshwa inakuwa inamkosoa na kumpinga wazi wazi kana kwamba sio Kiongozi wa nchi,mitandao ya kijaii ni muhimu kwa zama hizi kwani hutumika kama njia ya kuwasiliana baina ya mtu na mtu ,mtu na kundi ama kundi moja na kundi jingine.Nchi nyingine mitandao hii ya kijamii inatumiwa na viongozi kuwapasha habari wananchi na kutoa fursa ya kujadiliana/kushauriana maswala mbali mbali ya kijamii,kisiasa na kiuchumi.Kilichotokea tare 25/9/2011 wakati Rais alipoweka status na wachangiaji kuanza kuporomosha matusi ya wazi kuonyesha kuwa wamechoshwa na uongozi wake ni hatari sana.Kama watu unaowaongoza hawana imani na uongozi wako ni dhahiri unakosa/unapoteza sifa za kuwa kiongozi.

      Yapo mengi yaliyotokea ila jingine ambalo litamtafuna sana Mh. Jk ni hili la hukumu ya leo -Tanesco iwalipe Dowans 94 bil. Tshs.Kweli Rais huyu hana washauri na hajaweza kusoma alama za nyakati ..Katika zama hizi za kiza /mgao mkali wa umeme,anaachia vyombo vilivyoko chini yake kufanya maamuzi bila kupima uzito wa jambo jenyewe.Anaamsha hisia za Watanzania kwa uchafu uliofanywa na watendaji wake!.Mbaya waliofanya uchafu huo wapo mtaani wanatembea na ma V8 kwa mbwembwe zote.
      MUNGU IBARIKI TANZANIA.
      JK hii Nchi imeshamshinda. AJIUZULU.


    7. #6
      Sabry001's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2011
      Location : everywhere
      Posts : 968
      Rep Power : 609
      Likes Received
      288
      Likes Given
      199

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      Ashakum sio matusi...kweli natamani jeshi lichukue nchi...potelea mbali liwalo na liwe!
      Mamndenyi likes this.

    8. #7
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,800
      Rep Power : 2150
      Likes Received
      1225
      Likes Given
      547

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      Kosa hili la kuchagua mtu asiye na uwezo lisirudiwe tena. hii imetokana na pesa chafu za Rostam na Lowasa wanamtandao waliohonga wajumbe wa CCM na kumweka huyu mtalii madarakani

    9. #8
      Mbugi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Location : BOX 2063 MBEYA
      Posts : 820
      Rep Power : 589
      Likes Received
      83
      Likes Given
      14

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      Quote By Chimunguru
      Kosa hili la kuchagua mtu asiye na uwezo lisirudiwe tena. hii imetokana na pesa chafu za Rostam na Lowasa wanamtandao waliohonga wajumbe wa CCM na kumweka huyu mtalii madarakani
      Nimejifunza jambo kwa JK. na nampongeza sana kwa ukomavu wa siasa, kwani pamoja na matusi, kashfa, maombi yote mabaya, na kutomtakia mema, ameendelea kuwa mvumilivu kisiasa sifa ambayo viongozi wengi duniani wameshindwa. chukua mfano tu wa vyama vingi ikiwemo vile tu ambavyo hata bado havijapewa dhamana kwa kiasi fulani inapofikia tu kiongozi kukosolewa anavyogeuka mbogo. angalia ya Mrema na mzee Tau, (TLP). Maamuzi zidi ya madiwani Arusha, na kwingineko ni baadhi tu ya ukosefu wa uvumilivu wa kisiasa.

    10. #9
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 4,032
      Rep Power : 1223
      Likes Received
      982
      Likes Given
      247

      Default

      Quote By Mbugi
      Nimejifunza jambo kwa JK. na nampongeza sana kwa ukomavu wa siasa, kwani pamoja na matusi, kashfa, maombi yote mabaya, na kutomtakia mema, ameendelea kuwa mvumilivu kisiasa sifa ambayo viongozi wengi duniani wameshindwa. chukua mfano tu wa vyama vingi ikiwemo vile tu ambavyo hata bado havijapewa dhamana kwa kiasi fulani inapofikia tu kiongozi kukosolewa anavyogeuka mbogo. angalia ya Mrema na mzee Tau, (TLP). Maamuzi zidi ya madiwani Arusha, na kwingineko ni baadhi tu ya ukosefu wa uvumilivu wa kisiasa.
      ni kweli amekomaa kwani yeye hujui ana kichwa nazi!

    11. #10
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,460
      Rep Power : 1006
      Likes Received
      365
      Likes Given
      537

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      Ukomavu wake uko wapi?usitake kuudhi watu hapa,ukomavu wake uko wapi?hivi wewe uko Tz au uko nchi jirani,hii nchi huioni inavyokwenda?hivi uliwahi kuona wapi Raisi anawaambia wezi rudisheni pesa halafu basi inaishia hivyo?wangapi wako gerezani kwa wizi wa kuku?Hii nchi ilipofika hapa unatuambia kakomaa kisiasa,wewe!au umetumwa?au kibaraka wa Nape?please think twice,hakuna ukomavu wala uvumilivu.hayo ya madiwani chadema ndo tunachokihitaji,wame-violate katiba off they go.nyinyi mlituambia siku tisini magamba mtayavua mbona yamewashinda?au huko ndo kukomaa kisiasa?na kwa taarifa yako,ndani ya CCM hakuna mwenye uwezo wa kufukuza Lowasa na Chenge ambao ndo mmewatuhumu ni magamba,wakati sisi tunajua kuna magamba karibu chama chote.
      Usiruduie tena kufikiri kwa kutumia masaburi,hakuna ukomavu wa kisiasa alionao Jei Kei.
      Mzee wa Rula and hahoyaya like this.

    12. #11
      uporoto01's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2009
      Posts : 4,160
      Rep Power : 1349
      Likes Received
      1250
      Likes Given
      4144

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      You are barking at the wrong tree,Kikwete hawezi kujiuzulu hilo halitatokea,hatasimama kwenye uchaguzi tena anamalizia miaka yake minne kama afya itamruhusu.Mapinduzi ya jeshi ni ndoto kwakuwa ni MWENZAO na wanajivunia mtu aliyepitia jeshini kuongoza nchi.Vyama vya siasa vijipange kuanzia muda huu;
      1.kushinikiza tume huru ya uchaguzi,
      2,kupatikana katiba mpya,
      3.kujiimarisha nchi nzima mambo ya 'shuka hadi shuka'.
      Wengi tuna wazo la Tanzania tunayoitaka/hitaji,tutafikaje huko ?

    13. #12
      Alexism's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Location : Iringa Municipal TZ
      Posts : 843
      Rep Power : 565
      Likes Received
      119
      Likes Given
      18

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      Hata Gaddaf na Mubarack ni wanajeshi lkn wako wapi,ndugu jeshi aliwezi kushinda na popular democracy.Ila ya Tanzania yaweza kuwa kama ya Baharin and Syria.

    14. #13
      Alexism's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Location : Iringa Municipal TZ
      Posts : 843
      Rep Power : 565
      Likes Received
      119
      Likes Given
      18

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      Hata Gaddaf na Mubarack ni wanajeshi lkn wako wapi,ndugu jeshi aliwezi kushinda na popular democracy.Ila ya Tanzania yaweza kuwa kama ya Baharin and Syria.
      CCM they have guns CHADEMA have PEOPLES POWER!

    15. #14
      Emanuel Makofia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2010
      Location : B.O.T
      Posts : 3,435
      Rep Power : 1164
      Likes Received
      487
      Likes Given
      286

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      Yapo mengi yaliyotokea ila jingine ambalo litamtafuna sana Mh. Jk ni hili la hukumu ya leo -Tanesco iwalipe Dowans 94 bil. Tshs.Kweli Rais huyu hana washauri na hajaweza kusoma alama za nyakati ..Katika zama hizi za kiza /mgao mkali wa umeme,anaachia vyombo vilivyoko chini yake kufanya maamuzi bila kupima uzito wa jambo jenyewe.Anaamsha hisia za Watanzania kwa uchafu uliofanywa na watendaji wake!.Mbaya waliofanya uchafu huo wapo mtaani wanatembea na ma V8 kwa mbwembwe zote.
      MUNGU IBARIKI TANZANIA.[/QUOTE]

      Hapo kwenye red ni 94bil. plus gharama za kesi natakataka nyingine
      ambapo ki uhalisia ni
      111bil.tsh.

      kinachoniuma ni mahakama iliweka masharti ya kuwa DOWANS
      hawaruhusiwi kufanya chochote bila ruhusa ya mahakama ila
      cha kushangaza wakajiuza kwa SYMBION bila ya ridhaa ya mahakama.
      leo hii mahakama hiyo nayo inatoa hukumu dowans ilipwe mimi sielewi
      na sipendi kutoamini kama hakuna rushwa au mkono wa mkulu!!
      .....Chuma cha reli hakishiki kutu...

    16. #15
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,385
      Rep Power : 12714
      Likes Received
      2195
      Likes Given
      1820

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      Quote By Emanuel Makofia
      Yapo mengi yaliyotokea ila jingine ambalo litamtafuna sana Mh. Jk ni hili la hukumu ya leo -Tanesco iwalipe Dowans 94 bil. Tshs.Kweli Rais huyu hana washauri na hajaweza kusoma alama za nyakati ..Katika zama hizi za kiza /mgao mkali wa umeme,anaachia vyombo vilivyoko chini yake kufanya maamuzi bila kupima uzito wa jambo jenyewe.Anaamsha hisia za Watanzania kwa uchafu uliofanywa na watendaji wake!.Mbaya waliofanya uchafu huo wapo mtaani wanatembea na ma V8 kwa mbwembwe zote.
      MUNGU IBARIKI TANZANIA.
      Hapo kwenye red ni 94bil. plus gharama za kesi natakataka nyingine
      ambapo ki uhalisia ni
      111bil.tsh.

      kinachoniuma ni mahakama iliweka masharti ya kuwa DOWANS
      hawaruhusiwi kufanya chochote bila ruhusa ya mahakama ila
      cha kushangaza wakajiuza kwa SYMBION bila ya ridhaa ya mahakama.
      leo hii mahakama hiyo nayo inatoa hukumu dowans ilipwe mimi sielewi
      na sipendi kutoamini kama hakuna rushwa au mkono wa mkulu!!
      [/QUOTE]

      Hata mimi nashangaa sana, yaani umeme hatuna halafu tena tunaenda kulipa watu matapeli bila sababu ya msingi. Ningekuwa mimi nisingekubali kutoa fedha hizo hazina maana ni mzigo usiobebeka.


    17. #16
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 12,156
      Rep Power : 31829
      Likes Received
      6029
      Likes Given
      19645

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      miaka kumi hana hata kitu kimoja alichofanya cha kusimulia, hivi atawaeleza nini wajukuu zake miaka ijayo.

    18. #17
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,262
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      1295
      Likes Given
      835

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      ngoja na yeye aondoke madarakani kisha aseme tutamkumbuka

    19. #18
      Tikerra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,588
      Rep Power : 864
      Likes Received
      100
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Mzee wa Rula
      Hapo kwenye red ni 94bil. plus gharama za kesi natakataka nyingine
      ambapo ki uhalisia ni
      111bil.tsh.

      kinachoniuma ni mahakama iliweka masharti ya kuwa DOWANS
      hawaruhusiwi kufanya chochote bila ruhusa ya mahakama ila
      cha kushangaza wakajiuza kwa SYMBION bila ya ridhaa ya mahakama.
      leo hii mahakama hiyo nayo inatoa hukumu dowans ilipwe mimi sielewi
      na sipendi kutoamini kama hakuna rushwa au mkono wa mkulu!!
      Hata mimi nashangaa sana, yaani umeme hatuna halafu tena tunaenda kulipa watu matapeli bila sababu ya msingi. Ningekuwa mimi nisingekubali kutoa fedha hizo hazina maana ni mzigo usiobebeka.[/QUOTE]

      Watawala wa Tanzania ni demonic kiasi kwamba hawajali kabisa how we feel.They are sadists of the highest order.

    20. #19
      Majala Kimolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2007
      Posts : 316
      Rep Power : 667
      Likes Received
      26
      Likes Given
      31

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      Quote By Mbugi
      Nimejifunza jambo kwa JK. na nampongeza sana kwa ukomavu wa siasa, kwani pamoja na matusi, kashfa, maombi yote mabaya, na kutomtakia mema, ameendelea kuwa mvumilivu kisiasa sifa ambayo viongozi wengi duniani wameshindwa. chukua mfano tu wa vyama vingi ikiwemo vile tu ambavyo hata bado havijapewa dhamana kwa kiasi fulani inapofikia tu kiongozi kukosolewa anavyogeuka mbogo. angalia ya Mrema na mzee Tau, (TLP). Maamuzi zidi ya madiwani Arusha, na kwingineko ni baadhi tu ya ukosefu wa uvumilivu wa kisiasa.
      Mwagito pole, nafikiri hujui maana ya Siasa ndo maana ukadhani kupuuza kwake maoni ya wanaotaka tija ya uongozi wake basi ndo ukomavu. Siasa sio ulaghai au blahblah, siasa ni sayanzi na inaendeshwa kwa utafiti na uhakika wa ukisemacho. Tafsiri ya siasa ni sayansi ya uongo ndiyo iliyomfikisha hapo huyu jamaa, alidhani akishasema jukwaani baasi yamekwisha, kumbe ndo kalianzisha, alidhani unaweza kuwadanganya watu wote kwa muda wote, kumbe sivyo, aghlabu mambo yake yanawafanya watu wengi wajisikie wanyonge na ukiwa katika kipindi chake cha uongozi. Ni kweli jamaa ni muungwana, anakiri kuwa mambo yamemshinda ndo maana badala ya kukemea, analalamika. Sasa sijui anataka nani afanyie kazi kero
      Leo hata sukari inataka kuwa bidhaa adimu, eti kakomaa kisiasa, mafuta na umeme ni kero. Kukomaa gani huku unakokusema mnyalukolo
      Mpe pole shemejiyo, analo hilo

    21. #20
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: JK ana hali mbaya sana ...

      jk ni kama gia 1 haikai 2 haikai 3 inafyetuka
      hahoyaya likes this.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Hali mbaya SANA.... sikitiko
      By TIMING in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 56
      Last Post: 11th August 2011, 02:28
    2. Shida ya mafuta hali ni mbaya sana hapa Sinza GBP
      By SUYA in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 8th August 2011, 20:12
    3. Hali mbaya sana Muhimbili
      By Sizinga in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 4
      Last Post: 26th June 2011, 15:34
    4. hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana
      By carmel in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 48
      Last Post: 1st February 2011, 19:04
    5. Hali ni mbaya sana Arusha hospitali
      By Mpaka Kieleweke in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 78
      Last Post: 7th January 2011, 11:04

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...