Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Haya jeshi la Polisi Tanzania

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      engmtolera's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 3,610
      Rep Power : 1331
      Likes Received
      780
      Likes Given
      655

      Default Haya jeshi la Polisi Tanzania

      Kumbe hata wakuu wa nchi wanatambuwa kuwa Jeshi letu la Polisi Tanzania ni la walarushwa

      kwani haingii akilini hata mala moja pale ambapo Waziri mkuu anaona ni bora kutumia Jeshi la wananchi kuliko hawa polisi wenye kazi ya kubambikiza watu kesi na kutumika katika mambo ya kisiasa

      lakini pia iliwahi kusemwa na Mkuu wa Nchi kuwa ni vyema Jeshi la wananchi likatumika katika kupambana na majangili huko mbugani
      kauli hizi za wakuu wa nchi zinaonyesha ni jinsi gani walivyokuwa hawana imani na hili jeshi letu la Polisi


      Jamani Jeshi la Polisi Mjilekebishe-watu wanajuwa maouvu yenu
      "The person who says it cannot be done should not interrupt the person doing it."

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      JamboJema's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 746
      Rep Power : 551
      Likes Received
      77
      Likes Given
      216

      Default Re: Haya jeshi la Polisi Tanzania

      kwa nini hao wakuu walalamike badala ya kuchukua hatua? Si wao ndo 'wanalimiliki'? Wanatuthibitishia ni wavivu tu wa kufikiri.
      KIHENGE likes this.
      Uchakavu wa Mahakama si nafuu ya hukumu!

    4. #3
      Mabagala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : Nansio, Ukerewe
      Posts : 1,327
      Rep Power : 747
      Likes Received
      226
      Likes Given
      254

      Default Re: Haya jeshi la Polisi Tanzania

      Sasa si walifute tu jeshi la wananchi lifanye kazi zote? kwnza wanajeshi hawana kazi kwasababu hamna vita, wapewe tu majukumu yote ya polisi
      Promises are comfort to a fool

    5. #4
      KIHENGE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Posts : 110
      Rep Power : 410
      Likes Received
      50
      Likes Given
      110

      Default Re: Haya jeshi la Polisi Tanzania

      ujinga wa pinda na wewe unaushangilia mwambie achukue hatua!

    6. #5
      Mentor's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th October 2008
      Location : On my way to Heaven!
      Posts : 5,824
      Rep Power : 5239
      Likes Received
      3327
      Likes Given
      9082

      Default Re: Haya jeshi la Polisi Tanzania

      Nakusamehe kwa kuwa hujui ulinenalo!
      "Be an example.." 1 Timothy 4:12
      Irere lya Isembo ni ndeu - Benki ya mjinga ni tumbo lake.
      Mndu Kangikunda naware rero Lyako..John 14:23
      NACHO CHA RUWA
      !

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mr. Bigman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 573
      Rep Power : 624
      Likes Received
      103
      Likes Given
      57

      Default Re: Haya jeshi la Polisi Tanzania

      Polisi waliopo sasa nchini tz wote wapelekwe likizo ya miezi sita. Wakati huo Jwtz watake charge ya majukumu yote ya polisi wa sasa na Jeshi jipya la Polisi liundwe. Halafu timua ngunguri wote wa sasa baada ya hiyo likizo ya miezi 6 kwani wamezoea kuonea raia wa ngazi za chini kwa kuwapiga, kuwabambikia kesi,kuchukua rushwa. Timua wote

    9. #7
      H1N1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th May 2009
      Posts : 1,360
      Rep Power : 780
      Likes Received
      290
      Likes Given
      289

      Default Re: Haya jeshi la Polisi Tanzania

      POLISI Wapo lakini hawana makamanda wa kuwaongoza...wanajiongoza wenyewe mnataka wafanye nini ? eti kutii sheria bila kushurutiswa ndo falsafa mpaya ya geshi letu la polisi,wananchi hawajawahi kshurutishwa kutii sheria leo unataka watii bila kushurutishwa wapi na wapi ? kama Jeshi la polisi lingekuwa na makamanda wanao waongoza mapolisi kikazi,hakika kusingekuwa na maeneo ambayo vibaka wamejitangazia jamhuri,kama vile Jangwani,mkwajuni na mwenge stend,au madereva wa madaladala wasingejitangazia jamhuri yao yenye sheria za kuziba lane za barabara na kusababisha foleni kama vile, Manzese,daladala hufunga lane moja ya barabara kwa kushusha na kupakia abiria wakiwa kwenye eneo la barabara bila kufuata chaki na kusababisha msongamano mkubwa wa magari ambao kimsingi usingekuwepo,Ubungo mataa,madaladala kusimama pembeni ya barabara kusubiri abiria na kuziba njia moja ya barabara na kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumiaji wengine wa barabara,ubungo mataa moro.rd.daladala kupakia nje ya kituo na kusababisha njia moja tu kutumika na kusababisha msongamano mkubwa wa magari kwenye mataa,Kimara mwisho,kushusha na kupakia wakifunga upande mmoja wa barabara wakiacha kituo cha madaladala,Kimara polisi post ipo mita 100 toka mahala ambapo daladala zimejitangazia jamhuri yao. hayo ni maeneo machache kati ya mengi ambayo mabosi wa barabara wanajiamulia wanachotaka kufanya.
      Hii yote ni ukosefu wa makamanda.

    10. #8
      Mentor's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th October 2008
      Location : On my way to Heaven!
      Posts : 5,824
      Rep Power : 5239
      Likes Received
      3327
      Likes Given
      9082

      Default Re: Haya jeshi la Polisi Tanzania

      H1N1..unabaka point!
      "Be an example.." 1 Timothy 4:12
      Irere lya Isembo ni ndeu - Benki ya mjinga ni tumbo lake.
      Mndu Kangikunda naware rero Lyako..John 14:23
      NACHO CHA RUWA
      !

    11. Dio
      #9
      Dio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 1,216
      Rep Power : 663
      Likes Received
      121
      Likes Given
      11

      Default Re: Haya jeshi la Polisi Tanzania

      Kaka jarıbu kutofautisha R na L.

    12. tz1
      #10
      tz1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2011
      Posts : 2,048
      Rep Power : 827
      Likes Received
      406
      Likes Given
      319

      Default Re: Haya jeshi la Polisi Tanzania

      Quote By KIHENGE
      ujinga wa pinda na wewe unaushangilia mwambie achukue hatua!
      Mkuu upo sahihi,kama Pinda ameona matatizo ypo wapi kwa nini hawawajibishi wahusika?
      [email protected]

    13. #11
      engmtolera's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 3,610
      Rep Power : 1331
      Likes Received
      780
      Likes Given
      655

      Default Re: Haya jeshi la Polisi Tanzania

      Quote By Dio
      Kaka jarıbu kutofautisha R na L.
      baada ya marekebisho hayo vipi maoni yako juu ya Mh waziri mkuu kutaka JWTZ ndio wakabidhiwe kazi ya kudhibiti magendo ya sukuari kupelekwa nje ya nchi wakati polisi wakionekana ni kama wala rushwa tu na ndio wanaowakumbatia majambazi?

      we si unaona hata wale vijana wa mahenge kifo kiliwakuta kwa kuwa walikuwa na mamilioni ya pesa walivuna kutoka katika madini lakini polisi wakazingizia ni majambazi ili wapige pesa

      mimi nadhani jeshi la polisi limeshindwa kazi liwekwe pembeni na JWTZ wachukue nafasi
      "The person who says it cannot be done should not interrupt the person doing it."

    14. #12
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,978
      Rep Power : 12008
      Likes Received
      5310
      Likes Given
      5144

      Default Re: Haya jeshi la Polisi Tanzania

      Polisi wanachojua kufanya kwa ufanisi mkubwa ni kuua raia wasio na hatia. Lakini wakiambiwa kupambana na wahalifu hawathubutu kutia mguu.

      Mtu anakutwa anatembea hata jiwe hajashikilia lakini polisi anamtwanga risasi kichwani na kutoa ripoti ya uongo kwamba alikuwa anajihami baada ya kushambuliwa. Kila siku tunasikia polisi wanazidi kuua raia kwakuwa wakuu wa serikali wamebariki madudu yanayofanywa nao.

      Kwa mfano kuna mwananchi aliuawa geita kwenye maandamano ya wananachi waliokuwa wakipinga diwani wao ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa halmashauri ya geita kuvuliwa uongozi. Polisi wakampiga mtu risasi kichwani na kumuua. Jana RPC wa mwanza Liberatus Barlow anasema hata kama ikithibitika kwamba askari polisi ndiye alimuua yule mwananchi, atashitakiwa kwa kosa la kuua bila kukusudia, haya ndo maajabu ya tanganyika.
      Honesty is a very expensive GIFT. Do not expect it from cheap people.

    15. #13
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,410
      Rep Power : 993
      Likes Received
      774
      Likes Given
      259

      Default Re: Haya jeshi la Polisi Tanzania

      Kama mkuu wa kaya anachukua rushwa ya suti na kuuza nchi, unategemea askari ambaye mshahara wake haufiki hata laki 2 afanyeje?? Wanawaonea bure tu hawa askari masikini.

    16. #14
      Mentor's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th October 2008
      Location : On my way to Heaven!
      Posts : 5,824
      Rep Power : 5239
      Likes Received
      3327
      Likes Given
      9082

      Default Re: Haya jeshi la Polisi Tanzania

      Hii thread nimeisoma leo na imenisikitisha leo jinsi gani tulio wengi hatujui majukumu, mipaka na kazi za Jeshi la polisi na Jeshi la wananchi..so sad indeed!
      "Be an example.." 1 Timothy 4:12
      Irere lya Isembo ni ndeu - Benki ya mjinga ni tumbo lake.
      Mndu Kangikunda naware rero Lyako..John 14:23
      NACHO CHA RUWA
      !

    Similar Topics

    1. Haya ni aibu kwa Mwema binafsi na Jeshi la Polisi
      By Chief Isike in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 6
      Last Post: 31st October 2011, 21:27
    2. Jeshi la polisi tanzania
      By ACID in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 3
      Last Post: 11th August 2011, 12:56
    3. Replies: 1
      Last Post: 10th March 2011, 21:21
    4. Nalipongeza jeshi la polisi Tanzania
      By Magobe T in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 5
      Last Post: 2nd November 2010, 16:10
    5. Tovuti ya jeshi la polisi tanzania
      By Balantanda in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 9
      Last Post: 8th October 2008, 20:10

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...