Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ajali ya Meli Zanzibar: Meli kama chombo na mazingira ya ajali

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 105
    1. Ami
      #1
      Ami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2010
      Location : SPACE STATION
      Posts : 1,854
      Rep Power : 617
      Likes Received
      301
      Likes Given
      142

      Default Ajali ya Meli Zanzibar: Meli kama chombo na mazingira ya ajali

      Namba za mabaharia wawili wa muda mrefu wa hii meli hizi hapa.
      +255773467746 na +255777899987.
      Huyu wa pili ni shujaa kati ya mabaharia kwani ndiye aliyepiga simu akiwa juu ya mlingoti wa meli muda mrefu kuwajulisha ndugu na polisi.
      Mara ya mwisho kulingana na mmoja ya waliopigiwa alisema...."Leo ndio tunakufa,tupo juu ya mlingoti hatuzidi watu 30 na simu yangu muda wowote itazima.
      Tangu muda huo nami nimejaribu kuwapigia sijawapata.Huenda line yangu ina matatizo nawaombeni nisaidieni kuwatafuta.

    2. Miaka 50

    3. Ami
      #2
      Ami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2010
      Location : SPACE STATION
      Posts : 1,854
      Rep Power : 617
      Likes Received
      301
      Likes Given
      142

      Default Ajali ya Meli Zanzibar: Meli kama chombo na mazingira ya ajali

      Zipo dalili zote kwamba hii ajali ya meli iliyotokea Zanzibar haijatazamwa kama janga na pahala pa kupata mafunzo bali imefanywa ni jukwaa la kupiga siasa.
      Nasema hivyo kwa kuangalia idadi zinazotangazwa za waliokufa na waliookolewa.
      Sijapata kusikia meli imezama tena katikati ya safari na wengi ya abiria wakaokolewa kuliko waliokufa.
      Kumbuka meli imezama na ilikuwa imejaza abiria na si mabaharia!
      Jee hizi idadi si katika mambo ya kisiasa ili kuepusha kuwajibika?.

    4. Ami
      #3
      Ami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2010
      Location : SPACE STATION
      Posts : 1,854
      Rep Power : 617
      Likes Received
      301
      Likes Given
      142

      Default Undani wa ajali ya meli

      Awali habari zilipoanza kutoka kuhusu kuzama kwa meli ya mv Spice ilielezwa kuwa zaidi ya watu 2000 wanahofiwa kufa.

      Habari zimebadilika mpaka vyombo vya habari vinatangaza watu 163 kufa na zaidi ya 500 kuokolewa.

      Kwa wajuzi wa safari za meli na hali ilivyokuwa siku meli ilipoanza safari na kwamba meli yenyewe imezama tena katikati ya bahari zipo kila sababu kuamini kwamba maisha ya watu yamepuuzwa kwa faida za kisiasa.

      Ukweli utabaki ni ule wa mwanzo kwamba watu 2000 wanahofiwa kufa. Binafsi nina sababu za kuamini kuwa zaidi ya 1000 watakuwa wamekufa iwapo watakaookolewa watajumlisha idadi ya 2000.
      Last edited by Ami; 11th September 2011 at 09:10.

    5. #4
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,696
      Rep Power : 11282
      Likes Received
      1481
      Likes Given
      570

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      Best! Yani hawa mapapa yani wao wanaona kama wa2 hawaoni wala hawatambui kuona kinachoendelea ktk Nchi yao. Kwa mtazamo tu,ina maana yule aliyesema wa2 walikuwa 2000 alikuwa hana mtazamo wa kutambua?

    6. Ami
      #5
      Ami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2010
      Location : SPACE STATION
      Posts : 1,854
      Rep Power : 617
      Likes Received
      301
      Likes Given
      142

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      Quote By liverpoolfc
      Best! Yani hawa mapapa yani wao wanaona kama wa2 hawaoni wala hawatambui kuona kinachoendelea ktk Nchi yao. Kwa mtazamo tu,ina maana yule aliyesema wa2 walikuwa 2000 alikuwa hana mtazamo wa kutambua?
      Mimi bwana ni mtambuzi wa meli.
      Nionavyo wanasiasa wanataka kulindana ndio maana idadi ya waliokufa inafanywa ndogo na waliookolewa ndio kubwa.
      Lakini meli imezama!,na wengi wa abiria ni akina mama na watoto.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,765
      Rep Power : 15109
      Likes Received
      7230
      Likes Given
      6904

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      lakini pia hata hao 163 ni wengi.....na hata kama ni mtu mmoja amekufa bado ni ajali vile vile na ni uzembe wa serikali....kwa nini meli imezama

    9. #7
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,689
      Rep Power : 1356
      Likes Received
      570
      Likes Given
      769

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      Nilisikia mmoja wa abiria aliyeokoka akidai kulikuwa na abiria zaidi ya 3elfu..takwimu za kisiasa zinaweza kupingwa iwapo ndugu wa waliosafiri wakijitokeza wote na kuorodhesha wale waliosafiri vs waliookoka kinachobakia ni waliopoteza maisha,,
      mungu awarehemu.
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    10. Ami
      #8
      Ami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2010
      Location : SPACE STATION
      Posts : 1,854
      Rep Power : 617
      Likes Received
      301
      Likes Given
      142

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      Nahodha wa hii meli nimewahi kukutana nae.Tangu juzi nampigia simpati.
      Katika mazungumzo akijitetea kuhusu jambo fulani,aliashiria kurudisha malalamiko kwa mmiliki wa meli ambaye ni muwakilishi fulani katika baraza la wawakilishi Zanzibar.

    11. #9
      Kiraka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Location : ILOGANZALA
      Posts : 1,352
      Rep Power : 743
      Likes Received
      258
      Likes Given
      438

      Default

      Quote By Ami
      Nahodha wa hii meli nimewahi kukutana nae.Tangu juzi nampigia simpati.<br />
      Katika mazungumzo akijitetea kuhusu jambo fulani,aliashiria kurudisha malalamiko kwa mmiliki wa meli ambaye ni muwakilishi fulani katika baraza la wawakilishi Zanzibar.
      <br />
      <br />
      Hivi hii si ilikuwa meli ya mizigo na abiria, inamaana haikuwa na mizigo kabisa? Maana yake watu elfu mbili au tatu ni wengi sana!

    12. #10
      Mwera's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 850
      Rep Power : 610
      Likes Received
      62
      Likes Given
      1

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      Mpk jana waliookolewa ni 750,maiti zimepatikana 263,na mudahuu wa saa3 asubuh meli yauokozi mv serengeti imeshusha maiti zaid ya 800 mm nipo hapa bandarini unguja hao maiti wameokotwa wakielea bado meli hawajaifikia iko ktk kinakirefu sana chini ya bahar,sasa kwamahesabu waliookolewa 750,mait zajana karibu 300 naleo zimepatikana maiti 800 sasa hapo ni hesabu 1850,serikali iache kudanganya watu.tunajionea kwa macho kila kitu hatudanganyiki.

    13. #11
      Kimilidzo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Posts : 661
      Rep Power : 623
      Likes Received
      152
      Likes Given
      11

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      Siasa zinaimaliza nchi hii. Je unategemea uchunguzi huru katika mazingira kama hayo? Je tume waliyoiunda itarudisha maisha ya mamia ya watu waliokufa katika hiyo ajali? Ilikuwaje mamlaka zinazohusika zikaruhusu meli iliyobeba abiria zaidi ya uwezo wake isafiri? Sumatra ya Zanzibar vipi? Na je nani atawatetea wananchi hawa ilihali hakuna chama cha upinzani huko kwenu visiwani?

    14. Ami
      #12
      Ami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2010
      Location : SPACE STATION
      Posts : 1,854
      Rep Power : 617
      Likes Received
      301
      Likes Given
      142

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      Hii ajali itakuwa ndio kubwa kuliko zote Tanzania na pengine Afrika.
      Kumbuka wengi wa abiria ni watoto waliotoka likizo.
      Pale bandarini kuna jamaa aliyewahi kuponea chupuchupu kufa katika ajali nyengine ya meli.Alipoona jinsi umati ulilvyo ndani ya meli alinyerereka na kurudi nyumbani.Meli ilipozama ilitupa watu baharini kama taka.
      Askari wa bandari walipokea chochote ndipo wakaruhusu meli kuondoka huku tayari ilikuwa inavuja ndani.Au hakuna utaratibu wa kukagua ndani mpaka kwenye injini kabla meli kuondoka!.

    15. #13
      gee bees's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th September 2011
      Location : Dar
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      ...ni UZEMBE tu,yaliyotokea Mv Bukoba wengi bado tunayakumbuka,Mpaka leo hakuna TULICHOJIFUNZA.Iweje idadi ya waliosafiri isijulikane..??Hapa ndio kuna umuhimu wa SIASA kutenganishwa na BIASHARA...Sasa na hapa WAJIVUE GAMBA kama sio NGOZI.

    16. #14
      gee bees's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th September 2011
      Location : Dar
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Unhappy Re: Undani wa ajali ya meli

      ..lets pray for the brothers n sisters we lost.

    17. #15
      Mbaliche's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Posts : 184
      Rep Power : 435
      Likes Received
      29
      Likes Given
      0

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      jamani mungu awatienguvu walio okolewa na aziweke roho za marehemu wote mahalipema peponi. Ameni

    18. #16
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,444
      Rep Power : 1001
      Likes Received
      364
      Likes Given
      536

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      Natamani Mungu angekuwa anashuka at the moment pindi mtu hasa kiongozi mkubwa wa cnhi au idara unaudanganya umma,hivi ni kweli waliokolewa hai wanafika idadi hiyo,na je waliokufa ni idadi hiyo tu?kama ni hivyo manifesto iwekwe wazi mbona kama imepotea?na je meli ilikuwa imebeba tani ngapi za mzigo na je capacity ya meli ni kubeba tani ngapi?je Nani alisaini Meli kuondoka bandarini,nani aliifanyia ukaguzi kabla ya kuondoka?Je report za kitaaluma zinasema meli ilikuwa na tatizo gani kwa kipindi japo cha miezi mitatu ya nyuma na je ilipatiwa matengenezo?Je ilituwaamini hawa kwa siku zijazo wananchi na waathirika wote wa majanga makubwa haya tufanyaje?maana ya MV Bukoba,ya Treni pale Nsagali-karibia Dodoma na la MV Spice kutokea inamaana hakukuwa na fundisho lolote kwa matukio ya nyuma na mambo yaliendelea kufanyika kwa mazoea.Tuambie ukweli tujue watanzania wenzetu wangapi wamepoteza maisha,jamani wenzetu mlioko Zanzibar shirikianeni na walioko Pemba mjue ukweli wa ndugu waliofariki,wala msitumie JF kutoa habari zisizo rasimi semeni ukweli tutawaamini kuliko wenzetu wa Chama chetu na mwenzao B.

    19. #17
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,185
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      945
      Likes Given
      377

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      Ama kweli siasa itatumaliza watz

    20. #18
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,696
      Rep Power : 11282
      Likes Received
      1481
      Likes Given
      570

      Default

      Quote By Ami
      Hii ajali itakuwa ndio kubwa kuliko zote Tanzania na pengine Afrika.&lt;br /&gt;<br />
      Kumbuka wengi wa abiria ni watoto waliotoka likizo.&lt;br /&gt;<br />
      Pale bandarini kuna jamaa aliyewahi kuponea chupuchupu kufa katika ajali nyengine ya meli.Alipoona jinsi umati ulilvyo ndani ya meli alinyerereka na kurudi nyumbani.Meli ilipozama ilitupa watu baharini kama taka.&lt;br /&gt;<br />
      Askari wa bandari walipokea chochote ndipo wakaruhusu meli kuondoka huku tayari ilikuwa inavuja ndani.Au hakuna utaratibu wa kukagua ndani mpaka kwenye injini kabla meli kuondoka!.
      &lt;br /&gt;<br />
      &lt;br /&gt;<br />
      Ami! Yaelekea unapoteza kumbukumbu sometime,kwa sbb hii pigo la leo ni cha mtoto kwa ile ya Mv Bukoba. Ile kuwa kiboko kwani takwimu pamoja na serikali ya awamu ya tatu kukataa kutangaza lakini hakika ilikuwa zaidi ya watu 4,700 walipoteza maisha ila kumbuka kbs ya kwmb mapapa waliipotezea wakasema watu walikuwa 1500 tu. Yani bila mabadiliko ya haki hakika tutaendelea kuwapoteza ndg,jamaa na hata marafiki we2. Walale kwa Amani ya Bwana wale wote waliotutangulia mbele ya haki. Mapapa kweli ni janga kwa Taifa le2.

    21. #19
      nguluvisonzo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 452
      Rep Power : 516
      Likes Received
      50
      Likes Given
      21

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      Quote By Kimilidzo
      Siasa zinaimaliza nchi hii. Je unategemea uchunguzi huru katika mazingira kama hayo? Je tume waliyoiunda itarudisha maisha ya mamia ya watu waliokufa katika hiyo ajali? Ilikuwaje mamlaka zinazohusika zikaruhusu meli iliyobeba abiria zaidi ya uwezo wake isafiri? Sumatra ya Zanzibar vipi? Na je nani atawatetea wananchi hawa ilihali hakuna chama cha upinzani huko kwenu visiwani?
      Tusidanganyike na hizi SUMATRA,EWURA NA TCRA hivi vyombo vyote viko kisiasa zaidi badala ya kufanya kazi yake,vyombo hivi vilitakiwa viundwe na walaji sio serikali,mfano mzuri ni chama cha wapangaji lakini serikali inakijima nguvu ya kisheria ili kifanye kazi yake vizuri.
      Ndio maana hata walaji tunaonewa hovyo kwa sababu mtetezi yupo kwenye gamba la serikali,viongozi wanateuliwa na Raisi unategemea nini hapo?Watanzania tutaendelea kufa kwa kila namna,wafanya biashara wakubwa miongoni mwao ni viongozi wakubwa serikalini hivi vyombo havitafanya kitu,mfano Mafuta bei zake ni za ajabu ajabu tu,chombo ambacho tulitegemea kitusaidie ndio kina side na hao hao wafanyabiashara.

    22. #20
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,672
      Rep Power : 977
      Likes Received
      584
      Likes Given
      10

      Default Re: Undani wa ajali ya meli

      Waziri anayehusika na usafirishaji SMZ anasubiri nini? Na nasikia anatokea CUF. Siyo ndo wakati wa ndugu zetu CUF kuonyesha tofauti yao na CCM.

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Ajali ya Meli: Utata wa umiliki wa meli na tamko la Serikali
      By Bajabiri in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 60
      Last Post: 15th September 2011, 13:53
    2. Tetesi: Ajali ya Meli Zanzibar: Meli iliongezewa urefu kienyeji
      By Mbalamwezi in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 11
      Last Post: 15th September 2011, 13:08
    3. Ajali ya Meli: Picha ya meli na utata uliojitokeza
      By Vin Diesel in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 18
      Last Post: 15th September 2011, 13:01
    4. Orodha ya Walionusurika ajali ya Meli Zanzibar
      By Kibanga Ampiga Mkoloni in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 51
      Last Post: 15th September 2011, 11:50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...