Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa - tujiulize

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa - tujiulize

      Naaam
      Kwanza tujipe pole pole watanzania wote kwa msiba na wa ajali ya meli na zaidi kwa wale walioguswa moja kwa moja kwa kupoteza na ndugu , jamaa na marafiki .

      kama kawaida sisi "watazamaji" kazi yetu ni kukumbusha, kuhoji, kukossoa na kusifia yale yaliyofuata baada ya janga.

      Sasa swali na hoja yangu ni kutoka kujua je kitengo cha Maafa ofisi ya waziri mkuu(Nadhani na zanzira kipo chini ya ofisi ya waziri kiongozi) dhumuni na wajibu wake mkubwa ni nini?
      • Kusbiri majanga yatokee ili waote sanda na rambi rambi na kutangza maombolezo
      • Kuanisha maneneo yahohiytaji ungaliaizi wa hali ya juu na hivyo kusaidia kuzuia au kupunguza maafa ya majagan kabla au baada ya kutokea ?

      Kifupi napenda kujua kitengo cha MAAFA ofisi wa waziri mkuu MISSION, VISSION na strategy zake ni nini?
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      kabombe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 152
      Rep Power : 449
      Likes Received
      33
      Likes Given
      107

      Default Re: Ofisi ya waziri mkuu itengo cha maafa - tujiulize

      Quote By Mtazamaji
      Naaam
      Kwanza tujipe pole pole watanzania wote kwa msiba na wa ajali ya meli na zaidi kwa wale walioguswa moja kwa moja kwa kupoteza na ndugu , jamaa na marafiki .

      kama kawaida sisi "watazamaji" kazi yetu ni kukumbusha, kuhoji, kukossoa na kusifia yale yaliyofuata baada ya janga.

      Sasa swali na hoja yangu ni kutoka kujua je kitengo cha Maafa ofisi ya waziri mkuu(Nadhani na zanzira kipo chini ya ofisi ya waziri kiongozi) dhumuni na wajibu wake mkubwa ni nini?
      • Kusbiri majanga yatokee ili waote sanda na rambi rambi na kutangza maombolezo
      • Kuanisha maneneo yahohiytaji ungaliaizi wa hali ya juu na hivyo kusaidia kuzuia au kupunguza maafa ya majagan kabla au baada ya kutokea ?
      Kifupi napenda kujua kitengo cha MAAFA ofisi wa waziri mkuu MISSION, VISSION na strategy zake ni nini?
      Acha uvivu gonga hapa The United Republic Of Tanzania -Prime Minister's Office
      Mtazamaji likes this.

    4. #3
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Re: Ofisi ya waziri mkuu itengo cha maafa - tujiulize

      Aksante mkuu kumbe on paper tuko salama na majanga mengi. lakini kivitendo ndio ilipo shughuli

      Sababu sijawai japo kusikia tahadhari may be kwa miezi fulani yenye upepoo mkali hawa jama wakishirikiana na Kitengo cha hali yhewa kuwatahadrisha n kuwasistsiza watu wanaotumia vyombo vya maji iwe ni baharini au ziwa victoria au Tanganyika kuwa makini.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    5. #4
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21341
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Ofisi ya waziri mkuu itengo cha maafa - tujiulize

      Quote By kabombe
      Quote By Mtazamaji
      Naaam
      Kwanza tujipe pole pole watanzania wote kwa msiba na wa ajali ya meli na zaidi kwa wale walioguswa moja kwa moja kwa kupoteza na ndugu , jamaa na marafiki .

      kama kawaida sisi "watazamaji" kazi yetu ni kukumbusha, kuhoji, kukossoa na kusifia yale yaliyofuata baada ya janga.

      Sasa swali na hoja yangu ni kutoka kujua je kitengo cha Maafa ofisi ya waziri mkuu(Nadhani na zanzira kipo chini ya ofisi ya waziri kiongozi) dhumuni na wajibu wake mkubwa ni nini?
      • Kusbiri majanga yatokee ili waote sanda na rambi rambi na kutangza maombolezo
      • Kuanisha maneneo yahohiytaji ungaliaizi wa hali ya juu na hivyo kusaidia kuzuia au kupunguza maafa ya majagan kabla au baada ya kutokea ?
      Kifupi napenda kujua kitengo cha MAAFA ofisi wa waziri mkuu MISSION, VISSION na strategy zake ni nini?
      Acha uvivu gonga hapa The United Republic Of Tanzania -Prime Minister's Office
      Nafikiri muuliza swali alikuwa hajui kama kuna mtandao unaoelezea mambo ambayo hayaoni wala kuyafahamu on ground. Ningekuwa mimi ningehoji tafsiri ya kitengo ya maafa kwa nini kisiitwe KITENGO CHA MAJANGA. Na tusiishie hapo tufanye ammendment kiitwe kitengo cha kuzuia MAJANGA?. Maana maafa inafanya watu walale na kusubiri maafa wapate justification ya kuchota pesa kwa mambo yao.
      Mtazamaji likes this.

    6. #5
      wimbi la mbele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 646
      Rep Power : 2877
      Likes Received
      235
      Likes Given
      61

      Default Re: Ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa - tujiulize



      i

      Hawa wazungu walikuwa taaban kusaidiana na ndugu zetu kutafuta maiti na watu walionusirika




      Then VODACOM waliamua kuwa bize kufanya yafuatayoooo



      wakati mnahangaika kutafuta Maiti za watoto wenu na ndugu zenu hawa walisema watakaosa pesa na wataingia hasara kubwa so wakaendelea kujirusha kama kawaida

    7. Miaka 50

    8. #6
      Ndachuwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2006
      Location : ARUSHA
      Posts : 2,660
      Rep Power : 1213
      Likes Received
      544
      Likes Given
      416

      Default Re: Ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa - tujiulize

      Quote By majambo


      i

      Hawa wazungu walikuwa taaban kusaidiana na ndugu zetu kutafuta maiti na watu walionusirika




      Then VODACOM waliamua kuwa bize kufanya yafuatayoooo



      wakati mnahangaika kutafuta Maiti za watoto wenu na ndugu zenu hawa walisema watakaosa pesa na wataingia hasara kubwa so wakaendelea kujirusha kama kawaida
      Walaumi na walioingia ukumbini wakati Taifa liko kwenye maombolezo
      majambo likes this.
      "Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker

    9. #7
      wimbi la mbele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 646
      Rep Power : 2877
      Likes Received
      235
      Likes Given
      61

      Default Re: Ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa - tujiulize

      Quote By Ndachuwa
      Walaumi na walioingia ukumbini wakati Taifa liko kwenye maombolezo
      Watalii hao walikuwa na uwezo wa kukaa vyumbani mwako lakini tazama wanavyoaangaika
      Ndachuwa likes this.

    10. #8
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default Re: Ofisi ya waziri mkuu itengo cha maafa - tujiulize

      Quote By Hofstede
      Nafikiri muuliza swali alikuwa hajui kama kuna mtandao unaoelezea mambo ambayo hayaoni wala kuyafahamu on ground. Ningekuwa mimi ningehoji tafsiri ya kitengo ya maafa kwa nini kisiitwe KITENGO CHA MAJANGA. Na tusiishie hapo tufanye ammendment kiitwe kitengo cha kuzuia MAJANGA?. Maana maafa inafanya watu walale na kusubiri maafa wapate justification ya kuchota pesa kwa mambo yao.
      Mkuu sio kwamba sifahamu ikabisa . Nilijaribu kutafta link hii nikaikosa lakini msingi wa kuleta mjdala huu ni kuuliza msisitizo wa hii IDARA uo wapi. Kwenye kusghulikia majanga na maafa yakitokea au pia wanwea effor zao kwenye key areas amabzo znaweza kueleta majanga na kuwashtua wahusika mapema

      So far nimeona kwenye maelezo ya makaratasi. tuko salama kabisa. Sasa tujiulize na tuwaulize
      • kuna ripoti gani na zinatoka kila baada ya muda gani kwa hali ya usalama kila ziwa, na baharini ?
      • Je kipindi cha kipuwe na upepo mkali baharii na kwenye maziwa kuna kampeni maalum ya kuwatadhirisha watu na watumiaji ? Kuna survey maalum inafanyika kipindi hiki.? Kuna utafiti wa makini wa hali ya hewa unafanyika kipindi hiki nauwaiati habari wahuika?
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    11. #9
      mwaJ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2007
      Location : Nowhere
      Posts : 3,450
      Rep Power : 14608
      Likes Received
      2288
      Likes Given
      1501

      Default Re: Ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa - tujiulize

      Hicho kitengo si lolote si chochote! Ni ulaji wa watu tu.

    Similar Topics

    1. Maafa ya mafuriko - kitengo cha maafa pmo mbona hakisikiki?
      By Ustaadh in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 23rd December 2011, 14:07
    2. Ofisi ya Waziri Mkuu tambueni tatizo la umeme ni Maafa ya kitaifa
      By KakaKiiza in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 13th July 2011, 22:21
    3. Barua toka ofisi ya waziri mkuu
      By BRUCE LEE in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 11
      Last Post: 16th April 2011, 15:50
    4. Replies: 6
      Last Post: 18th February 2011, 18:58
    5. Ofisi ya Waziri Mkuu yakanusha wizi
      By Mpaka Kieleweke in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 9
      Last Post: 14th May 2007, 21:12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...