Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 46
    1. #1
      Godwine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2010
      Location : dar
      Posts : 1,317
      Rep Power : 746
      Likes Received
      217
      Likes Given
      124

      Default Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Jamani watanzania katika topic hii tuanze kuweka taharifa za ukwepaji kodi kwenye thread hii ili wananchi watambue tunaibiwa kiasi gani na TRA ni wazembe kiasi gani, kwa kuanza tu


      1.kuna duka moja ukonga la abdalah hussein halitoi risiti kwa wateje

      2.kampuni ya airtel wanakwepa kulipa kodi kwa kuendelea kutumia vocha za zain ambazo muda wake umeisha(expiry) kwa mfano mimi nimetumia vocha serial no 3101115057667 ambayo inaonyesha expiry muda wa kuisha matumizi ni 31-o1-2011 hii inamaana vocha hii haiko kwenye control yeyote ya TRA


    2. #2
      Wambandwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2006
      Posts : 1,209
      Rep Power : 887
      Likes Received
      194
      Likes Given
      411

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Chinese hawkers in the city.
      Godwine likes this.

    3. #3
      menyidyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th October 2010
      Location : dsm
      Posts : 1,069
      Rep Power : 654
      Likes Received
      101
      Likes Given
      39

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      hapa lengo lilikuwa kumtaja airtel! hilo duka ni kuongeza list.
      Godwine likes this.

    4. #4
      Pota's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th April 2011
      Posts : 1,255
      Rep Power : 675
      Likes Received
      186
      Likes Given
      128

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Quote By Godwine View Post
      Jamani watanzania katika topic hii tuanze kuweka taharifa za ukwepaji kodi kwenye thread hii ili wananchi watambue tunaibiwa kiasi gani na TRA ni wazembe kiasi gani, kwa kuanza tu


      1.kuna duka moja ukonga la abdalah hussein halitoi risiti kwa wateje

      2.kampuni ya airtel wanakwepa kulipa kodi kwa kuendelea kutumia vocha za zain ambazo muda wake umeisha(expiry) kwa mfano mimi nimetumia vocha serial no 3101115057667 ambayo inaonyesha expiry muda wa kuisha matumizi ni 31-o1-2011 hii inamaana vocha hii haiko kwenye control yeyote ya TRA
      sasa walipe kodi ya nini wakati hatuna serikali?,kwa sasa kila mtu anaangalia maisha yake
      kesho ataishi vipi kuliko kuangalia uzalendo kwa serikali kimeo kama hii ya magamba
      Godwine likes this.

    5. #5
      Godwine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2010
      Location : dar
      Posts : 1,317
      Rep Power : 746
      Likes Received
      217
      Likes Given
      124

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Quote By Pota View Post
      sasa walipe kodi ya nini wakati hatuna serikali?,kwa sasa kila mtu anaangalia maisha yake
      kesho ataishi vipi kuliko kuangalia uzalendo kwa serikali kimeo kama hii ya magamba
      duh mheshimiwa serikali hipo lakini ni legelege isingekuwepo lingekuwa tatizo lingine


    6. #6
      Bei Mbaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 1,212
      Rep Power : 677
      Likes Received
      316
      Likes Given
      167

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      hapo Samora kuna duka la mhindi limepakana na duka la Magereza hufunguliwa kimachale machale

      mchana kuanzia saa 7 ndio linakua wazi

      na anafungua baada ya muda kidogo afunga, then ikipita muda kidogo afungua tena

      madalali wote nchini hawalipi kodi
      Last edited by Bei Mbaya; 21st August 2011 at 10:23.
      Godwine likes this.
      "Mwanzo 9:6. Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu."

    7. #7
      KakaKiiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Location : Here Where you see me!!
      Posts : 6,088
      Rep Power : 16341
      Likes Received
      2275
      Likes Given
      1283

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Mnaongelea maduka??tunataka muongelee maviwanda!makampuni makubwa ya migodi.
      Godwine likes this.

    8. #8
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,049
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2099

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      CHADEMA mbona mmewasahau?
      Godwine likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    9. #9
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,783
      Rep Power : 22096
      Likes Received
      1044
      Likes Given
      859

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Naona waache wakwepe kodi maana ata wakilipa ndo zaenda ongeza maV8 pamoja na posho
      Godwine likes this.

    10. #10
      Godwine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2010
      Location : dar
      Posts : 1,317
      Rep Power : 746
      Likes Received
      217
      Likes Given
      124

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Quote By KakaKiiza View Post
      Mnaongelea maduka??tunataka muongelee maviwanda!makampuni makubwa ya migodi.
      kaka hapa sio kuwa tuna taharifa zote bali yeyote mwenye taharifa anaziweka ubaoni hapa kama una taharifa yeyote karibu iweke ubaoni

    11. #11
      Bei Mbaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 1,212
      Rep Power : 677
      Likes Received
      316
      Likes Given
      167

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Quote By KakaKiiza View Post
      Mnaongelea maduka??tunataka muongelee maviwanda!makampuni makubwa ya migodi.
      kuchanganya siasa na biashara kumekata makali ya ukusanyaji kutoka wafanyabiashara wakubwa

      migodi, NG'O na mashirika ya dini bunge na serkali walisaidia kulobi kwenye sheria zetu
      Godwine likes this.
      "Mwanzo 9:6. Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu."

    12. #12
      KakaKiiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Location : Here Where you see me!!
      Posts : 6,088
      Rep Power : 16341
      Likes Received
      2275
      Likes Given
      1283

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      CCM Waliingiza magari 270
      Hawakulipa hata thumni yaliletwa mahindra na noble motors inasemekana hawakulipa!na mtrekita ya Suma jkt?
      Godwine likes this.

    13. #13
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,049
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2099

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Quote By KakaKiiza View Post
      CCM Waliingiza magari 270
      Hawakulipa hata thumni yaliletwa mahindra na noble motors inasemekana hawakulipa!na mtrekita ya Suma jkt?
      Toka lini matrekta yameanza kulipiwa ushuru Tanzania? Kama huelewi, matrekta hayana ushuru Tanzania.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    14. #14
      Emanuel Makofia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2010
      Location : B.O.T
      Posts : 3,525
      Rep Power : 1186
      Likes Received
      517
      Likes Given
      303

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      watalipaje kodi wakati ndo wafadhili wa sirikali!
      .....Chuma cha reli hakishiki kutu...

    15. #15
      Sting's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Location : Mafichoni
      Posts : 715
      Rep Power : 547
      Likes Received
      142
      Likes Given
      52

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Sheraton, royal palm, movenpick hotel

    16. #16
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,781
      Rep Power : 23601
      Likes Received
      7153
      Likes Given
      11578

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Nilidhani hapa kuna orodha ya mapapa kumbe tunataja vidagaa?

      Laiti tungeanza na wale ambao kodi ya mwezi wanayokwepa inatosha kujenga zahanati kama 20 au sekondari za kata kama 3 kwani hao ndio wanaua mama zetu na wake zetu wanaokosa mahali pa kijifungulia. Tukimalizana na hao tunaweza kurejea kufyeka fyeka hayo majani i.e wale wanaoiba pesa hata zisizotosha kununua panadol kwa siku!!
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    17. #17
      BONGOLALA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 5,413
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1196
      Likes Given
      199

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      MOETL,FOREVER LIVING,VODACOM wanaongoza kwa kutolipa kodi

    18. #18
      Patriote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2011
      Posts : 1,439
      Rep Power : 1113
      Likes Received
      767
      Likes Given
      170

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Quote By Godwine View Post
      kaka hapa sio kuwa tuna taharifa zote bali yeyote mwenye taharifa anaziweka ubaoni hapa kama una taharifa yeyote karibu iweke ubaoni
      Samahani bro naomba nikukumbushe kiswahili sanifu, inaitwa TAARIFA sio TAHARIFA..................... naunga mkono hoja 100% kwa 100%
      Godwine likes this.

    19. #19
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,125
      Rep Power : 1251
      Likes Received
      671
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By KakaKiiza View Post
      Mnaongelea maduka??tunataka muongelee maviwanda!makampuni makubwa ya migodi.
      <br />
      <br />
      Si ndio upumbavu wa watanzania,wanaangalia watu wenye mitaji ya nyanya wakati wenye viwanda,migodi wanaachwa bila hata kufatiliwa,kama kweli wanania waanze na wakubwa ndipo waje kwa wadogo.

    20. #20
      Pota's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th April 2011
      Posts : 1,255
      Rep Power : 675
      Likes Received
      186
      Likes Given
      128

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Quote By Godwine View Post
      duh mheshimiwa serikali hipo lakini ni legelege isingekuwepo lingekuwa tatizo lingine
      kaka ukiwa na bunduki halafu haina risasi na upo vitani utasema una siraha? labda kama hujui vita. tz hatuna
      serikali wala rais. bila shaka wewe ni baba au unaelekea huko. sasa fanya hivi... kila siku nenda kushinda kwa
      majirani zako, tena wahi asbuhi ukawaamshe ukianzia na housgl,lala huko nk, fanya hivo several times uone
      watoto zako watakavyokuwa wanataniwa na wenzao mitaani. halafu utajiita na wewe una familia. baba hajitambulishi.narudia tena mkuu
      tz hatuna serikali, ila tuna jamaa ambao wamefanya maskani yao magogoni
      Godwine likes this.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Hawa ndio walipa kodi wakubwa nchini; NMB yabwaga Benki zote
      By Jackbauer in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 227
      Last Post: 12th June 2012, 20:37
    2. Replies: 24
      Last Post: 10th December 2011, 21:10
    3. Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)
      By VoiceOfReason in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 43
      Last Post: 24th November 2010, 11:16
    4. Hawa ni wakwepa kodi wakubwa?
      By TandaleOne in forum Business & Economic Forum
      Replies: 5
      Last Post: 2nd October 2010, 21:56

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...