Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 46
    1. #1
      Godwine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2010
      Location : dar
      Posts : 1,317
      Rep Power : 742
      Likes Received
      217
      Likes Given
      124

      Default Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Jamani watanzania katika topic hii tuanze kuweka taharifa za ukwepaji kodi kwenye thread hii ili wananchi watambue tunaibiwa kiasi gani na TRA ni wazembe kiasi gani, kwa kuanza tu


      1.kuna duka moja ukonga la abdalah hussein halitoi risiti kwa wateje

      2.kampuni ya airtel wanakwepa kulipa kodi kwa kuendelea kutumia vocha za zain ambazo muda wake umeisha(expiry) kwa mfano mimi nimetumia vocha serial no 3101115057667 ambayo inaonyesha expiry muda wa kuisha matumizi ni 31-o1-2011 hii inamaana vocha hii haiko kwenye control yeyote ya TRA

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By zomba
      CHADEMA mbona mmewasahau?
      <br />
      <br />
      WEWE NI ZOMBI SIO ZOMBA.

    4. #22
      Bei Mbaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 1,181
      Rep Power : 667
      Likes Received
      305
      Likes Given
      167

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Quote By Sir. Burn
      Sheraton, royal palm, movenpick hotel
      Tax avoidance is legal

      Tax evasion is illegal

      haya makampuni makubwa, menejimenti zao bongo zinachemka
      Godwine likes this.
      Kama si ombwe la Uongozi, kama si udhaifu wa serikali; wallahi kusingekuwepo hiki kinachoitwa 'udini' na ugaidi.

    5. #23
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,920
      Rep Power : 5062
      Likes Received
      3199
      Likes Given
      2653

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Mkubwa Jipange Hiyo serial Uliyotaja ifute kaka,wata-trace serial hiyo imetumika na namba gani then watakuja kuangalia Namba imesajiliwa Kwa jina gani then it is easy kukujua na kudeal na wewe kwa kuwachafulia!!!! Jipange
      Godwine likes this.
      M4C with No Apology

    6. #24
      saragossa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Location : Mkunazini
      Posts : 1,411
      Rep Power : 707
      Likes Received
      343
      Likes Given
      74

      Default

      Quote By Bobsambeke III
      Mkubwa Jipange Hiyo serial Uliyotaja ifute kaka,wata-trace serial hiyo imetumika na namba gani then watakuja kuangalia Namba imesajiliwa Kwa jina gani then it is easy kukujua na kudeal na wewe kwa kuwachafulia!!!! Jipange
      <br />
      <br />
      Mwambie uyo! Noma! Watakula nae sahani moja mpaka wazae nae, labda awe mtu wa pale st peters kwenye gorofa jipya lenye shape kama ya eagle!
      Godwine likes this.

    7. #25
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,854
      Rep Power : 11196
      Likes Received
      7041
      Likes Given
      5235

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      serikali legelege ina mikono legevu isiyoweza kukusanya kodi.
      Godwine likes this.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,854
      Rep Power : 11196
      Likes Received
      7041
      Likes Given
      5235

      Default

      Quote By Godwine
      Jamani watanzania katika topic hii tuanze kuweka taharifa za ukwepaji kodi kwenye thread hii ili wananchi watambue tunaibiwa kiasi gani na TRA ni wazembe kiasi gani, kwa kuanza tu<br />
      <br />
      <br />
      <b>1.kuna duka moja ukonga la abdalah hussein halitoi risiti kwa wateje<br />
      <br />
      2.kampuni ya airtel wanakwepa kulipa kodi kwa kuendelea kutumia vocha za zain ambazo muda wake umeisha(expiry) kwa mfano mimi nimetumia vocha serial no 3101115057667 ambayo inaonyesha expiry muda wa kuisha matumizi ni 31-o1-2011 hii inamaana vocha hii haiko kwenye control yeyote ya TRA<br />
      </b>
      <br />
      <br />
      usiogope maneno ya watu, be patient. In case of anything watetezi tupo
      Godwine likes this.

    10. #27
      Godwine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2010
      Location : dar
      Posts : 1,317
      Rep Power : 742
      Likes Received
      217
      Likes Given
      124

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Quote By Bobsambeke III
      Mkubwa Jipange Hiyo serial Uliyotaja ifute kaka,wata-trace serial hiyo imetumika na namba gani then watakuja kuangalia Namba imesajiliwa Kwa jina gani then it is easy kukujua na kudeal na wewe kwa kuwachafulia!!!! Jipange
      usijali kwani nina stock nyingi sana za ushahidi na kama wakitaka watangulie mahakamani ,kama wakiwa fiti wanaweza kuanzisha mashambulizi na hizo vocha za zain ninazo na ninaendelea kuwa na ushahidi nazo na nazitumia mimi pia ila nashangaa kwanini vyombo husika vimelala. na kama wakifunga line yangu ya simu basi nitawapeleka mahakamani

    11. #28
      Job K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Posts : 1,551
      Rep Power : 748
      Likes Received
      266
      Likes Given
      254

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Quote By Godwine
      kaka hapa sio kuwa tuna taharifa zote bali yeyote mwenye taharifa anaziweka ubaoni hapa kama una taharifa yeyote karibu iweke ubaoni
      Hivi hapo kwenye red hicho ni kiswahili au ni kilugha?

      Yaani mkuu unaishia kutaja kiduka tu na hiyo kampuni moja uliyokuwa umeilenga? Umetuambia kuwa wakwepaji kodi wakubwa hawa hapa tukafikri labda na wewe umekuja na list of shame, kumbe uchuro mtupu! Kama hamna taarifa ni bora ukajinyamazia mkuu siyo kukaa unaongeza post hata zile zisizokuwa na kichwa wala miguu!!
      Godwine likes this.

    12. #29
      Godwine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2010
      Location : dar
      Posts : 1,317
      Rep Power : 742
      Likes Received
      217
      Likes Given
      124

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Quote By Job K
      Hivi hapo kwenye red hicho ni kiswahili au ni kilugha?

      Yaani mkuu unaishia kutaja kiduka tu na hiyo kampuni moja uliyokuwa umeilenga? Umetuambia kuwa wakwepaji kodi wakubwa hawa hapa tukafikri labda na wewe umekuja na list of shame, kumbe uchuro mtupu! Kama hamna taarifa ni bora ukajinyamazia mkuu siyo kukaa unaongeza post hata zile zisizokuwa na kichwa wala miguu!!

      nitalifanyia marekebisho mkuu si unafahamu matatizo ya kufanya kitu bila editing pia kiswahili ni lugha ngumu sana ila nitalifanyia kazi tatizo ulilolisema

      kwa upande wako changia kwa kuonyesha namna yeyote ya mtu au taasisi inavyokwepa kodi

    13. #30
      Desteo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2011
      Posts : 352
      Rep Power : 466
      Likes Received
      49
      Likes Given
      46

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Hamjui tz ni tax haven?
      Godwine likes this.

    14. #31
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,532
      Rep Power : 2086
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      1573

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Mkuu, shida si hao jamaa bali vacuum ambayo nchi hii imo!
      Dark City and Godwine like this.
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    15. #32
      RasJah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2009
      Posts : 600
      Rep Power : 606
      Likes Received
      25
      Likes Given
      44

      Default

      Maduka yote ya kariakoo ndio mabingwa wa kukwepa kodi
      Godwine likes this.

    16. #33
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,726
      Rep Power : 10177
      Likes Received
      5673
      Likes Given
      12666

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Quote By menyidyo
      hapa lengo lilikuwa kumtaja airtel! Hilo duka ni kuongeza list.
      tatizo liko wapi?
      Godwine likes this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    17. #34
      king11's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2010
      Posts : 328
      Rep Power : 520
      Likes Received
      66
      Likes Given
      89

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      vada, airtel,tigo na baric

    18. #35
      Percival's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2010
      Posts : 499
      Rep Power : 563
      Likes Received
      62
      Likes Given
      23

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Wakusanyaji kodi wasisahauliwe , nao walipe kodi ikiwa hakuna njia ya kuzuia ufisadi wao.!! - hawa ndio wana pato kubwa bila ya mtaji au gharama zozote. Wanapata kuliko hao wafanya biashara.
      Godwine likes this.

    19. #36
      First Born's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : Tanzania Vijiweni
      Posts : 2,724
      Rep Power : 947
      Likes Received
      432
      Likes Given
      199

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      kodi utalipa wewe kwani Tanzania hii inawenyewe babu.
      Godwine likes this.

    20. #37
      flora msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : under a coconut tree
      Posts : 4,137
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      505
      Likes Given
      372

      Default

      Quote By goodgud
      hapo Samora kuna duka la mhindi limepakana na duka la Magereza hufunguliwa kimachale machale<br />
      <br />
      mchana kuanzia saa 7 ndio linakua wazi<br />
      <br />
      na anafungua baada ya muda kidogo afunga, then ikipita muda kidogo afungua tena<br />
      <br />
      <b>madalali </b>wote nchini hawalipi kodi
      <br />
      <br />
      MASHARTI YA MGANGA
      Godwine likes this.

    21. #38
      flora msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : under a coconut tree
      Posts : 4,137
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      505
      Likes Given
      372

      Default

      Quote By Job K
      Hivi hapo kwenye red hicho ni kiswahili au ni kilugha?<br />
      <br />
      Yaani mkuu unaishia kutaja kiduka tu na hiyo kampuni moja uliyokuwa umeilenga? Umetuambia kuwa wakwepaji kodi wakubwa hawa hapa tukafikri labda na wewe umekuja na list of shame, kumbe uchuro mtupu! Kama hamna taarifa ni bora ukajinyamazia mkuu siyo kukaa unaongeza post hata zile zisizokuwa na kichwa wala miguu!!
      <br />
      <br />
      I HATE WATU WANAWEKA H SEHEMU ISIYOHUSIKA,SIJUI NI UKILAZA AU NINI
      Godwine likes this.

    22. #39
      flora msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : under a coconut tree
      Posts : 4,137
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      505
      Likes Given
      372

      Default

      Quote By goodgud
      hapo Samora kuna duka la mhindi limepakana na duka la Magereza hufunguliwa kimachale machale<br />
      <br />
      mchana kuanzia saa 7 ndio linakua wazi<br />
      <br />
      na anafungua baada ya muda kidogo afunga, then ikipita muda kidogo afungua tena<br />
      <br />
      <b>madalali </b>wote nchini hawalipi kodi
      <br />
      <br />

    23. #40
      Marcossy A.M's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Dar es salaam
      Posts : 56
      Rep Power : 560
      Likes Received
      16
      Likes Given
      30

      Default Re: Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

      Kazi kwelikweli...
      Sasa kama hatuna serikali we unafanya nini Bro? Si uhamie magogoni, teh teh, teheeeee...
      Godwine likes this.
      Mtanganyika!

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Hawa ndio walipa kodi wakubwa nchini; NMB yabwaga Benki zote
      By Jackbauer in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 227
      Last Post: 12th June 2012, 20:37
    2. Replies: 24
      Last Post: 10th December 2011, 21:10
    3. Wakwepa Kulipa Kodi Wakubwa(Celtel; Zain; na Sasa Airtel)
      By VoiceOfReason in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 43
      Last Post: 24th November 2010, 11:16
    4. Hawa ni wakwepa kodi wakubwa?
      By TandaleOne in forum Business & Economic Forum
      Replies: 5
      Last Post: 2nd October 2010, 21:56

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...