Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ya jairo kimya, ernest malima kimya, wanyama wetu kimya, ngeleja na sasa luhanjo na msekwa!

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      luckman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2010
      Posts : 945
      Rep Power : 630
      Likes Received
      151
      Likes Given
      20

      Default Ya jairo kimya, ernest malima kimya, wanyama wetu kimya, ngeleja na sasa luhanjo na msekwa!

      1.Report ya jairo imewasilishwa siku nyingi na CAG na jamaa kakaa kimya na sitegemei lolote juu ya hili sanasana pesa zetu zimetumika bila kuserve purpose
      2.Sijasikia lolote juu ya tuhuma za naibu waziri wa nishati aliyebadilisha jina na kujiita john ernest malima badala ya adam kigoma malima, si yeye pamoja na kutumiwa msg wala si kauli ya serikali
      3.wanyama wetu wametoroshwa tangu mwaka jana na serikali inajua kwani raia mwema walianika hayo matukio hadi mlango uliotumika kuingiza hao wanyama ndani ya ndege, pamoja na radar tuliyonunua kwa pesa nyingi bado haikuweza kudetect ndege ya qatar airways??kitu ambacho sikiamini na kuna mambo mengi hapo na serikali amabyo iko serious watu hao wote ilitakiwa wafukuzwe!
      4.ngeleja amehusika kwa kiasi kikubwa kwa utendaji wake legelege hadi nchi kufika hapa, na bado haoni kama hastaili kuwa waziri, si serikali kusema lolote juu ya hili wala si yeye kuona aibu na kulinda heshima yake anawaza kula,
      5.huyu ni mtu ambaye anaitwa bwana philemon luhanjo katibu kiongozi wa ikulu anahushwa mojakwamoja kutoa ajira mbovu kiupendeleo yaani kwa wabena na ni mtu anayejifanya kuwa na intergrity, tusubiri tuone mazingaombwe.
      6.bwana piusi msekwa amehusishwa na kuuza maeneo kwa wawekezaji tena kasemwa na mbungu amabaye pia alishawahi kuwac mjumbe wa bodi ya maliasili! na bado anzunguka anwaambia wenzake waachie ngazi kisa wamekosa nidhamu na ufisadi wao hali yeye ni walewale!

      sasa kama hawa ndo viongozi waliopewa dhamana ya kutufikisha aehemu nzuri yenye kuleta unafuu kwa watanzania je tutegemee chochote toka kwao???

      my take.haya mambo watanzania tunayaona na tunajua nini kinaendelea, wabunge wamesema wengi kisa wapinzani wameombwa ushahidi na wameupeleka, na kati yao ni lema-waziri mkuu muongo, zito mawaziri wameongwa, lisu, na wengine wenginlakini kama kawaida ya serikali kukalia report na ushaidi unaoanika maozo yote wamekalia, ipo siku mbivu na mbichi zitajulikana in either way!

      nawasilisha

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      luckman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2010
      Posts : 945
      Rep Power : 630
      Likes Received
      151
      Likes Given
      20

      Default Ya jairo kimya, ernest malima kimya, wanyama wetu kimya, ngeleja na sasa luhanjo na msekwa!

      NAOMBA KUJUA, HII NCHI KWELI YA KISANII,

      1.Report ya jairo imewasilishwa siku nyingi na CAG na jamaa kakaa kimya na sitegemei lolote juu ya hili sanasana pesa zetu zimetumika bila kuserve purpose
      2.Sijasikia lolote juu ya tuhuma za naibu waziri wa nishati aliyebadilisha jina na kujiita john ernest malima badala ya adam kigoma malima, si yeye pamoja na kutumiwa msg wala si kauli ya serikali
      3.wanyama wetu wametoroshwa tangu mwaka jana na serikali inajua kwani raia mwema walianika hayo matukio hadi mlango uliotumika kuingiza hao wanyama ndani ya ndege, pamoja na radar tuliyonunua kwa pesa nyingi bado haikuweza kudetect ndege ya qatar airways??kitu ambacho sikiamini na kuna mambo mengi hapo na serikali amabyo iko serious watu hao wote ilitakiwa wafukuzwe!
      4.ngeleja amehusika kwa kiasi kikubwa kwa utendaji wake legelege hadi nchi kufika hapa, na bado haoni kama hastaili kuwa waziri, si serikali kusema lolote juu ya hili wala si yeye kuona aibu na kulinda heshima yake anawaza kula,
      5.huyu ni mtu ambaye anaitwa bwana philemon luhanjo katibu kiongozi wa ikulu anahushwa mojakwamoja kutoa ajira mbovu kiupendeleo yaani kwa wabena na ni mtu anayejifanya kuwa na intergrity, tusubiri tuone mazingaombwe.
      6.bwana piusi msekwa amehusishwa na kuuza maeneo kwa wawekezaji tena kasemwa na mbungu amabaye pia alishawahi kuwac mjumbe wa bodi ya maliasili! na bado anzunguka anwaambia wenzake waachie ngazi kisa wamekosa nidhamu na ufisadi wao hali yeye ni walewale!

      sasa kama hawa ndo viongozi waliopewa dhamana ya kutufikisha aehemu nzuri yenye kuleta unafuu kwa watanzania je tutegemee chochote toka kwao???

      my take.haya mambo watanzania tunayaona na tunajua nini kinaendelea, wabunge wamesema wengi kisa wapinzani wameombwa ushahidi na wameupeleka, na kati yao ni lema-waziri mkuu muongo, zito mawaziri wameongwa, lisu, na wengine wenginlakini kama kawaida ya serikali kukalia report na ushaidi unaoanika maozo yote wamekalia, ipo siku mbivu na mbichi zitajulikana in either way!

      nawasilisha

    4. #3
      Gama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Posts : 4,575
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      425
      Likes Given
      621

      Default Re: Ya jairo kimya, ernest malima kimya, wanyama wetu kimya, ngeleja na sasa luhanjo na msekwa!

      Vipi tuhuma za ufisadi wa viwanja kule Arusha unaomhusu RZ, vipi mradi wa viwanja hewa -kinyerezi?. Haya, tuacha nature ichukue mkondo wake.

    5. BPM
      #4
      BPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Location : shamba
      Posts : 2,023
      Rep Power : 880
      Likes Received
      387
      Likes Given
      144

      Default Re: Ya jairo kimya, ernest malima kimya, wanyama wetu kimya, ngeleja na sasa luhanjo na msekwa!

      ningali natafakari hii hali maana wizara ya nishat na ya maliasili kuna mazito

    6. Study Abroad

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...