Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      mwanaizaya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Posts : 135
      Rep Power : 592
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

      Askofu Mkuuu Wa Kanisa La Kkkt Tanzania Bw Malasusa Amesema Imefika Wakati Kanisa Tubaki Kama Kanisa Na Wanasiasa Naomba Mliheshimu Hili..tusingependa Kanisa Kutumika Kama Sehemu Ya Kujisafisha Au Kutangaza Sera Za Chama Fulani...
      Kama Niliposema Hapo Nyuma Kkkt Si Ya Chama Chochote Na Wala Hakina Mpango Wa Kuingia Kwenye Siasa!!!!
      Katika Kuhitimisha Askofu Mkuu Amesema Amegawa Waraka Makanisa Yoote Kulaani Yale Yaliotokea Kuhusu Kukaribishwa Kwa Mh Rostam Aziz,,alisema Anawakaribisha Sana Wanasiasa Ila Asingependa Watumie Sehemu Ile Kama Sehemu Ya Kujisafisha Au Kutangaza Sera Za Chama Fulani;;;;;

      Yoh 8:1--8

      Mwenye Dhambi Na Aanze Kumrushia Mawe :::::nao Wakaanza Kuondoka Mmoja Baada Ya Mmoja Tumuombee Na Si Kumhukumu!!!
      Mungu Atambadilisha Na Ipo Siku Atamjua Mungu Zaidi Na Kuomba Msamaha Kwa Yale Yote Aliyoyatenda

    2. Miaka 50

    3. #2
      Binti wa Kinyak's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Posts : 15
      Rep Power : 573
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!!!1

      Huo walaka sawa, lakini je hizo hela watazirudisha? maana hawazungumizii kuzirudisha hizo pesa.

    4. #3
      Nyauba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 984
      Rep Power : 750
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default Re: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

      KKKT mna tatizo kubwa. mnajichanganya mnoooo. hivi kazi ya utumishi wa Mungu kwa sasa mmeichaa mnafanya publicity ya RA tuuuuu. nani anayewalipaaaa. nawaombea kwa muumba mfanye kazi ya manufaa kwa kondoo wa mungu. Acheni majungu mnashusha heshima yenuu kama KANISA. kwani wanakwaya kama walimwalika akafika na kuhubiri, wakapata walichotaka(mchango) kwani hawakuona mwingine ila yeye ili wafanikiwe shida zao(jenereta nk). MSIHUKUMU ninyi ni sehemu ya kuokoaa hasa walio katika dhambi.

      ACHENI UNAFIKI NA KUTUMIKA NA KIKUNDI CHOCHOTE.
      Mna migogoro kila kukicha kutokana na tabia mnayoionyesha sasa...

    5. #4
      Kevo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2008
      Location : Around the World
      Posts : 1,348
      Rep Power : 827
      Likes Received
      15
      Likes Given
      14

      Default Re: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

      Melianzisha wenyewe kwa kuingiza siasa humo na hata kumsimamisha mchungaji lazima muyanywe maji na msikie uchungu wake.next time think twice before you make unwise decisions.
      'I could have annihilated all the Jews in the World,but I left some of them so you will know why I was killing them'-Adolf Hitler;Mien Kampf

    6. #5
      Vica's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th May 2008
      Posts : 81
      Rep Power : 576
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

      KKKT tumeshawazoe kila kukicha ugonvi so hatushangai kwa hili. nyie ni watu wa tamaa ugonvi na kupenda pesa,kwan hao wanakwaya hawakumona mtu mwingine mpaka wamualike RA.SAbabu ya kufany ahivyo ni katika kuebdeleza utaratibu wenu amabo mmekuwa nao wa kuchangisha watu ovyo..Sasa huyu kwakuwa ana beef na mzee mmojawapo wa kanisa ndio ikawa tabu

    7. Study Abroad

    8. #6
      Boma's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2008
      Posts : 194
      Rep Power : 606
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

      Quote By mwanaizaya
      Askofu Mkuuu Wa Kanisa La Kkkt Tanzania Bw Malasusa Amesema Imefika Wakati Kanisa Tubaki Kama Kanisa Na Wanasiasa Naomba Mliheshimu Hili..tusingependa Kanisa Kutumika Kama Sehemu Ya Kujisafisha Au Kutangaza Sera Za Chama Fulani...
      Kama Niliposema Hapo Nyuma Kkkt Si Ya Chama Chochote Na Wala Hakina Mpango Wa Kuingia Kwenye Siasa!!!!
      Katika Kuhitimisha Askofu Mkuu Amesema Amegawa Waraka Makanisa Yoote Kulaani Yale Yaliotokea Kuhusu Kukaribishwa Kwa Mh Rostam Aziz,,alisema Anawakaribisha Sana Wanasiasa Ila Asingependa Watumie Sehemu Ile Kama Sehemu Ya Kujisafisha Au Kutangaza Sera Za Chama Fulani;;;;;
      Huyu Askofu Malasusa ni MNAFIKI tena sana.
      Tunakubali kuwa RA ni FISADI lakini mbona LOWASA alipokelewa tena na ASKOFU Laizer Arusha na hata kumwekea mikono ya baraka eti kwa kitendo cha kishujaa kujiuzuru uPM wakati aliambiwa lazima aachie ngazi, ASKOFU LAIZER ajua LOWASSA ni FISADI, hata huyu Askofu mkuu wa kkkt Tanzania bw. Malausa anajua hivyo kwanini HAKUKEMEA badala yake alikaa kimya wakati huo. mbona hata sasa hakumtaja LOWASSA badala yake anamkemea rOSTAM AZIZ peke yake.

      Mtazamo wangu askofu mkuu Malasusa ni MNAFIKI na MBELE YA MUNGU anahatia kwa kumkubali LOWASSA sijui kwa sababu ya kusaidia kujenga kanisa. Naona bora angekaa kimya tu otherwise, watu wa UDUNI watasema kwasababu RA ni dini tofauti ndiyo maana KASEMA

    9. #7
      mzeewamwakidila's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th July 2008
      Posts : 34
      Rep Power : 561
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Exclamation Re: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

      Quote By boma
      Huyu Askofu Malasusa ni MNAFIKI tena sana.
      Tunakubali kuwa RA ni FISADI lakini mbona LOWASA alipokelewa tena na ASKOFU Laizer Arusha na hata kumwekea mikono ya baraka eti kwa kitendo cha kishujaa kujiuzuru uPM wakati aliambiwa lazima aachie ngazi, ASKOFU LAIZER ajua LOWASSA ni FISADI, hata huyu Askofu mkuu wa kkkt Tanzania bw. Malausa anajua hivyo kwanini HAKUKEMEA badala yake alikaa kimya wakati huo. mbona hata sasa hakumtaja LOWASSA badala yake anamkemea rOSTAM AZIZ peke yake.

      Mtazamo wangu askofu mkuu Malasusa ni MNAFIKI na MBELE YA MUNGU anahatia kwa kumkubali LOWASSA sijui kwa sababu ya kusaidia kujenga kanisa. Naona bora angekaa kimya tu otherwise, watu wa UDUNI watasema kwasababu RA ni dini tofauti ndiyo maana KASEMA
      kkkt acheni unafiki,imekuwa taabu kwa rostam aziz?mbona lowasa alipokelewa arusha na askofu laizer na hamkusema chochote ?kkkt kupenda kwenu pesa mmekuwa mkipokea misaada kutoka kwa watu ambao c safi na wengi wamo ktk uongozi wa makanisa(wazee) na hizo pesa za aziz mnazirudisha? isiwe mambo ya baniani mbaya kiatu chake kizuri

    10. #8
      Mulokole's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th August 2007
      Posts : 33
      Rep Power : 608
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

      huyu malasusa naye ni fisadi mkubwa ndani ya kkkt. mbona fisadi lowasa mpaka leo ana siti yake maalumu kkanisani? yaani ukiingia kanisani azania, bench la pili kutoka mbele, kulia kwako km unaangalia madhabahu, ni siti ya lowasa na familia yake ktk ibada ya pili, hakuna mtuu anayeruhusiwa kuikalia. nih lowasa na vikinda vyake tu. kumbuka pia mtoto wa lowasa maarafu km freddy, ndiye mzee wa kanisa wa azania front.
      siku za mavuno, hawa majamaa hukaa mbele pamoja na ufisadi wao. Malasusa mwenyewe hung'ang'ania matajiri. sasa kuna mpango wa kujenga mahekalu ya anasa ktk eneo la kanisa kule mikocheni karibu na regence hotel, ili malasusa apate pahala pazuri pa kukaa eti kwa kuwa nii askofu mkuu wa kkkt (kampuni kubwa katika tz)
      wazee wa kanisa hilo huwa wanajipanga na kwenda kuspend sadaka za waumini kila mwezi ktk hotel za kitalii, mfano hivi majuzi walikuwa kwenye hotel ya courtyard halafu vinakosekana vitu vingine muhimu kanisani!
      maaskofu woote ni mafisadi bila kujali dini na ndiyo maana wanaishi kwa anasa za miili na sio roho mtakatifu kwani kila askofu wa dini yoyote anaendesha gari la kifisadi na kuishi kwenye juumba la kifisadi.
      nawakemea katika jina la Yesu wa tanzania maana yule wa uyahudi wamemshinda kete!
      siku ya mwisho (kama ipo kweli) wote watalia na kusaga meno hata kama yatakuwa yameng'oka yote.

      BWANA YESU ASIFIWE JAMANI!
      "when two persons agrees to each other, only one is thinking, but when they argue, both are thinking"

    11. #9
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,482
      Rep Power : 1450
      Likes Received
      388
      Likes Given
      179

      Default Re: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

      Jamani naomba mnifafanulie inakuwaje viongozi wa dini wakawa wanatumia nyumba za Ibada kuzungumzia viongozi wa kisasa iwapo kuwasifu au kuwakaripia lakini RA alipopata mwanya wa kutumia Kanisa kwa kujikosha kunatokea nongwa? Kwanini KKKT hawawi wawazi na kuwaeleza wananchi kuwa Sera ni kuchaguwa viongozi wa namna fulani katika kutumia fursa hiyo na kwamba RA hayumo katika orodha ya those favoured kutumia kanisa?

    12. #10
      mwanaizaya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Posts : 135
      Rep Power : 592
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

      huyu bwana ni mnafiki sana kwanza kuna hiki kisa mnisaidie kuna binti mmoja alipata matatizo na bwana wake akapeleka matatizo kwa mkuu malasusa baadala yake jama akaafanya testing kumu apro@##$%% mwisho dada akaamua kujikalia na matatizo yake

      lingine hilo la lowassa mbona akuongea zaidi ya kupiga perfume viti vyake na familia yake kila jumamosi na yeye kuja na kuhahkiki mapema kama viko safi we malasusa

      unamwona mwenzio mtikila anatukana huku ameshayakalia mavi....kumbe mnaikwenda kuomba na vijisent kw ahaho hao mafisadi alafu mnawatukana nyie watu waumini kuweni macho sana na watu hawa mtakufa maskini......mtikila amejenga jumba kubwa mikiocheni kwa pesa za kuomba mafisadi nyie mmmmhhh
      haya we!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    13. #11
      Companero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2008
      Posts : 4,752
      Rep Power : 6503
      Likes Received
      954
      Likes Given
      1105

      Default Re: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

      Hivi hili ni kanisa lao au la Mungu? Kweli Neno halikukosea liliposema kuwa tamaa ya pesa ndio chanzo cha maovu yote!
      "Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

    14. #12
      Kaa la Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Bristol
      Posts : 6,822
      Rep Power : 1943
      Likes Received
      428
      Likes Given
      4195

      Default Re: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

      Jamani kumbebesha makosa Malasusa si kumtendea haki.
      Michango kwa kanisa au misikiti ni kitu cha kawaida na hakuna ubishi kwamba michango lazima itolewe.
      Hakuna kanisa au msikiti ambao unaweza kujiendesha popote pale katika dunia hii kama si michango ya waumini.
      Waswahili tulishazoea michango hatutoi ila wazungu ndio huwa wanatupa michango yao kuendesha makanisa yetu na huwa hatuulizi imetoka kwa nani? Mingine hutoka hata kwa mashoga na tunapokea tukiamini imetoka katika mikono safi.
      Na ninachotaka kupinga kwa Rostam kualikwa kanisani ni matamshi yake kujisafisha ufisadi tu lakini msaada ulikuwa ni sahihi kabisa. Na wala hakukuwa na kosa yeye au hata mafisadi wengine kutoa.
      Nina hakika wengi wanaopiga kelele za kulaani utoaji wa Rostam si watoaji kabisa makanisani, bali ni wale wanaodhani makanisa yanapokea pesa za kujiendeshea toka hewani.
      Mwacheni Malasusa na shambulieni RA si kwa kutoa bali kwa ajili ya kauli ya kujisafisha kanisani na si kutubu dhambi ya wizi.
      wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.

      ....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"

    15. #13
      Boma's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2008
      Posts : 194
      Rep Power : 606
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

      Quote By mwanaizaya
      huyu bwana ni mnafiki sana kwanza kuna hiki kisa mnisaidie kuna binti mmoja alipata matatizo na bwana wake akapeleka matatizo kwa mkuu malasusa baadala yake jama akaafanya testing kumu apro@##$%% mwisho dada akaamua kujikalia na matatizo yake

      lingine hilo la lowassa mbona akuongea zaidi ya kupiga perfume viti vyake na familia yake kila jumamosi na yeye kuja na kuhahkiki mapema kama viko safi we malasusa

      unamwona mwenzio mtikila anatukana huku ameshayakalia mavi....kumbe mnaikwenda kuomba na vijisent kw ahaho hao mafisadi alafu mnawatukana nyie watu waumini kuweni macho sana na watu hawa mtakufa maskini......mtikila amejenga jumba kubwa mikiocheni kwa pesa za kuomba mafisadi nyie mmmmhhh
      haya we!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

      Malasusa na KKKT yake ni HOVYO wanakula pesa za mafisadi sana hana tofauti na MTIKILA anaenda kuomba pesa kwa Rostam Aziz na wengine anakula zikiisha anaanza kupiga kelele Fisadi akaamua kumtolea uvivu, sasa Mtikila anasema alienda kukopa atarudisha.

      Malasusa eti wanasiasa waache kutumia makanisa kwa manufaa yao, mbona yeye anatumia kanisa kuwasema kisha anarudi kimyumenyume kuchukua pesa kwa mafisadi kina LOWASSA. NINGEKUWA NA GAZETI NINGEWATOA KWENYE FRONT HEADING MAASKOFU NA MAIMAMU WAACHE KUKEJELI WANANCHI KWA HIZO TABIA ZA KIFISADI,

      Jamani kwa mwendo huu tutafika kweli??????????????????????

    16. #14
      WildCard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 6,453
      Rep Power : 1978
      Likes Received
      1797
      Likes Given
      59

      Default Re: Askofu Malasusa-tuachieni Kanisa Letu!

      Kinachonishangaza kwa VIONGOZI wetu wa DINI ni kitu kimoja: Wanafarijika na kusuuzika sana MIOYONI mwao pale MUUMINI wao mwanasiasa anapopata ukubwa fulani katika ngazi za juu za UONGOZI wa Nchi kama vile Rais, Makamu wake, Waziri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu au hata Waziri. Wanamfutia dhambi zake zote; ALIZOTENDA na ATAKAZOTENDA pindi akiwa MADARAKANI!

    17. FemaTV & Radio

    Similar Topics

    1. JK na Malasusa wapelekewa malalamiko kuhusu askofu mdegela
      By Mzito Kabwela in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 29
      Last Post: 7th September 2011, 14:50
    2. Fedha zilimwagwa kumng'oa Askofu Malasusa KKKT...................
      By Rutashubanyuma in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 5
      Last Post: 9th December 2010, 11:53
    3. Replies: 27
      Last Post: 18th October 2010, 16:44
    4. Askofu Malasusa aunga mkono ongezeko la ada vyuo vikuu
      By Pdidy in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 21
      Last Post: 10th August 2009, 18:47
    5. Ndugu Askofu Malasusa unataka kufanya kweli ama ni changa la macho hili ?
      By Lunyungu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 27th December 2007, 08:35

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...