Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hali mbaya sana Muhimbili

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,944
      Rep Power : 1433
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Hali mbaya sana Muhimbili

      Kuna siku nilienda kumetembelea Aunt angu pala Mwaisela..pembeni kulikuwa na binti mmoja aged 20+ anahema vibaya!!
      manesi hawashughuliki nae zaidi ya mama mmoja(ndugu yake). badae kidogo yule mama akampa maji ya kunywa...haikupita muda yule binti kakata roho mbele yetu. Nesi kaja kamshika mshipa wa mkono katoka zake tunaona watu wa vitanda wanaanza kukunjakunja na kuufunika mwili.

      Bahati nzuru nilikutana na mshkaji angu mmoja palepale anapiga field final yr, akaniambia hii ni hali ya kawaida kwa hapa Muhimbili na akanipa statistics kwamba kwa siku zaidi ya watu 40 wanakufa pale Muhimbili...!!
      Sasa kama hii ni data za kweli basi hali ni mbaya sana. Sijaangalia bado Amana, Mwananyamala, Hindumandal...mahospital mengine nk....na nadhani baada ya Babu wa Samunge hope idadi inaweza ikazidi kipimo. Duh maisha hayana thamani tena Bongo hii.
      uporoto01 likes this.
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,046
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1808
      Likes Given
      3439

      Default Re: Hali mbaya sana Muhimbili

      Inasikitisha sana, utakuta hao Manesi walikuwa wanampa shinikizo huyo mama ndugu yake Marehemu ili awape kitu kidogo kabla hawajaanza kumhudumia mgonjwa wake..
      Sizinga likes this.
      Do Something......

    4. #3
      Mzalendo80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Magogoni, Tanganyika
      Posts : 2,270
      Rep Power : 958
      Likes Received
      815
      Likes Given
      1589

      Default Re: Hali mbaya sana Muhimbili

      Quote By Sizinga
      Kuna siku nilienda kumetembelea Aunt angu pala Mwaisela..pembeni kulikuwa na binti mmoja aged 20+ anahema vibaya!!
      manesi hawashughuliki nae zaidi ya mama mmoja(ndugu yake). badae kidogo yule mama akampa maji ya kunywa...haikupita muda yule binti kakata roho mbele yetu. Nesi kaja kamshika mshipa wa mkono katoka zake tunaona watu wa vitanda wanaanza kukunjakunja na kuufunika mwili.

      Bahati nzuru nilikutana na mshkaji angu mmoja palepale anapiga field final yr, akaniambia hii ni hali ya kawaida kwa hapa Muhimbili na akanipa statistics kwamba kwa siku zaidi ya watu 40 wanakufa pale Muhimbili...!!
      Sasa kama hii ni data za kweli basi hali ni mbaya sana. Sijaangalia bado Amana, Mwananyamala, Hindumandal...mahospital mengine nk....na nadhani baada ya Babu wa Samunge hope idadi inaweza ikazidi kipimo. Duh maisha hayana thamani tena Bongo hii.
      Hali ni mbaya hospital zote kwa ukweli hatuna serikali inayojali maisha ya Watanzania zaidi ya kutafuna kodi zetu. Wao wakiumwa huwa wanapelekana India, UK na South Africa, tena siku hizi wanapelekana sana South Africa utafikiri wanaenda kutibiwa bure, kumbe wanakwenda kutumbua Kodi za watanzania wanokufia Muhimbili tena na mpaka posho wanalipana wakienda huko. Inasikitisha sana kuona nchi yetu kila idara inakufa kwa Ari ya Mpya Kikwete, Kasi Mpya ya Kikwete na Nguvu Mpya ya Kikwete kuua idara zote kwa upeo wake mdogo. Yeye akili zake amezielekeza kwenye Ndege na ana bahati siku hizi ajali za ndege zimepungua
      Sizinga likes this.
      The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.

    5. #4
      RedDevil's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2009
      Location : Hapa Hapa
      Posts : 1,456
      Rep Power : 804
      Likes Received
      270
      Likes Given
      513

      Default Re: Hali mbaya sana Muhimbili

      Nipo nchi moja ughaibuni wanaJF, huwezi kuamini nilikutana na dogo mmoja (Girl) katika kupiga piga stori za hapa na pale basi tukawa tunaulizana historia za hapa na pale, kagusia home kwetu ( my family), nikampa habari ya mama yangu kuwa alisha fariki! akashtuka sana. Akasema kwa nini? Alikuwa kazeeka sana au ajali? Nikasema aliugua tu ndo akafariki, alishangaaa sana. Na akasema hapa kwao, ni nadra kukuta mtu kafa kwa sababu ya magonjwa yanayotibika, watu wanakufa sababu ya uzee au ajali ndo vyanzo vya vifo vilivyozoeleka.

      Nachotaka kusema hapa wanaJF ni kuwa, bado mifumo yetu ya kiutawala inaabudu mabepari, mabwanyenye na mijitu iliyojilimbikizia mali nyingi harafu ndo imekuwa miungu watu, ndiyo inaamua kwa fulani wale nyama au maharage. Inasikitisha sana binadamu wenzetu wanapofanya mambo ya ajabu pasipo kujua huo uongozi ni fursa ya kufanya mema kwa ajili ya wengi.

      We still need to define our own rules and not to keep following other countries rules. How? Nikuwatolea uzembe viongozi wetu, na wakishautema uongozi tuwawajibishe kwa uzembe.
      Sizinga likes this.
      "Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience" Mark Twain

    6. #5
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,944
      Rep Power : 1433
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Hali mbaya sana Muhimbili

      Quote By RedDevil
      Nipo nchi moja ughaibuni wanaJF, huwezi kuamini nilikutana na dogo mmoja (Girl) katika kupiga piga stori za hapa na pale basi tukawa tunaulizana historia za hapa na pale, kagusia home kwetu ( my family), nikampa habari ya mama yangu kuwa alisha fariki! akashtuka sana. Akasema kwa nini? Alikuwa kazeeka sana au ajali? Nikasema aliugua tu ndo akafariki, alishangaaa sana. Na akasema hapa kwao, ni nadra kukuta mtu kafa kwa sababu ya magonjwa yanayotibika, watu wanakufa sababu ya uzee au ajali ndo vyanzo vya vifo vilivyozoeleka.

      Nachotaka kusema hapa wanaJF ni kuwa, bado mifumo yetu ya kiutawala inaabudu mabepari, mabwanyenye na mijitu iliyojilimbikizia mali nyingi harafu ndo imekuwa miungu watu, ndiyo inaamua kwa fulani wale nyama au maharage. Inasikitisha sana binadamu wenzetu wanapofanya mambo ya ajabu pasipo kujua huo uongozi ni fursa ya kufanya mema kwa ajili ya wengi.

      We still need to define our own rules and not to keep following other countries rules. How? Nikuwatolea uzembe viongozi wetu, na wakishautema uongozi tuwawajibishe kwa uzembe.
      Mi niliishi India miaka 4...pale kitaa waliofariki ninaowajua hawazidi 5...naa wote ni vikongwe japo mmoja mwanacollege alipata ajali...hamna magonjwa ya kizembezembe namna hii hapa Bongo, tena siku hizi vibinti 23+ vikishika mimba ya kwanza tu kujifungua salama ni bahati....wengi wanafariki!! dah
      RedDevil likes this.
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    7. Miaka 50

    Similar Topics

    1. JK ana hali mbaya sana ...
      By Mwakalinga Y. R in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 39
      Last Post: 30th September 2011, 11:43
    2. Hali mbaya SANA.... sikitiko
      By TIMING in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 56
      Last Post: 11th August 2011, 02:28
    3. Hali ni mbaya sana Arusha hospitali
      By Mpaka Kieleweke in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 78
      Last Post: 7th January 2011, 11:04

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...