Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ni kweli kabisa Rais Jakaya Mrisho Kikwete sio mbayuwayu

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      bushman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,502
      Rep Power : 738
      Likes Received
      336
      Likes Given
      84

      Default Ni kweli kabisa rais jakaya kmrisho kikwete sio mbayuwayu

      it is all happening between Ruvuma and Whitehouse Magogoni dsm,nimefuatilia toka anasema kauli ile kule mbinga mkoani Ruvuma nikagundua alilokuwa anataka kuliongea ni la msingi lakini vifuatavyo hakuvizingatia;

      1.Mukatadha
      2.Hadhira
      3.Muda

      Nakama mkuu wa kaya anapoalikwa ktk hafla yyte ile kusema kitu,unatakiwa kuzingatia suala la MUKTADHA (mazingira) ktka ktka mazingira kama yale ambayo yalikuwa yakuwekwa wakfu Askofu John Ndimbo wa jimbo la mbinga huwezi kutoa kauli kama ile kwa viongozi wa dini ambao wanafuasi wengi na wanajihusisha na ujenzi wa roho za watu ni mbaya hasa ikikumbukwa miezi mitano iliyopita yeye mwenyewe wakati akizindua bunge la kumi alisema uchaguzi wa mwaka 2010 umeacha makovu makubwa ya UDINI kwa kauli ile iliyoitoa mbinga kila mtu aliiweza kuitafsiri kutokana jinsi anavyofahamu UDHAIFU mkubwa wa raisi wa nchi.

      HADHIRA,alikuwa anaongea na maaskofu wa kanisa katoliki na maskofu waalikwa kutoka makanisa mengine ya wakristu hivyo basi kama kweli alikuwa anakusudia kusema anahitaji ushirikiano kutoka kwa viongozi wa dini ju ya vita vya dawa za kulevya vingozi wa dini kutoka dini zote walitakiwa wawepo katika hadhira ile lakini alipoongea kauli ile maaskofu kwa kuangalia muktdha na hadhira wakajua nia yake ni kuwapaka matope,na hata walipokuwa wanampa masaa 48 awataje wahusika walisema "kama kuna mchungaji anajihusisha na dawa za kulevya atajwe na achukuliwe hatua za kisheria kwa sababu hafai" Ikumbukwe kuwa kuwa kikwete huyu huyu alisema anawajua wauza unga wote kwa majina kama anawajua sheria za nchi zinasemaje?

      MUDA,haukuwa wakati muafaka kuongea kitu kama hicho,kwa kutozingatia vitu hivyo vitatu ndio kumepelekea mvutano huo kati ya Raisi na maaskofu kwa sababu tukio lile halikuhusisha viongozi wote wote wa dini,anapojitokeza Sheikh kuisadia ikulu kutoa majibu kuwa kikwete aliwaonya viongozi wote wa dini alizingatia muktadha,hadhira na wakati alipokuwa anatoa kauli hiyo?

      ANGALIZO;
      1.Kikwete unatuharibia nchi yanayotokea nchi kama Nigeria visa kati ya dini mbili kubwa yanaweza kutokea pia Tanzania kwa sababu tasisi ya uraisi inatumika kuwagawa wananchi na si kuwaunganisha
      2.Kama wauza unga kikwete anawafahamu kwa nini asitumie sheria za nchi kuwawajibisha?
      3.Ulipohudhuria tamasha la pasaka mwaka huu ulisema Tanzania hakuna UDINI kauli ambayo inapingana wakati unazindua bunge la kumi kuwa inchi yetu iko hatarini kutumbukia katika UDINI je umelimalizaje tatizo hilo kwa muda wa miezi mitano?
      5.Hivi ikulu ya awamu ya nne haina washauri na waandaa hotuba ambao wanaweza kutambua KIPI KISEMWE WAPI?WAKATI GANI? KWA WATU GANI?

      HAKIKA KATIKA HILI WASHAURI WAKO WAMEKUPOTOSHA,LAKINI AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO UKASHINDWA KUCHANGANYA NA ZAKO KWA HIYO WEWE PIA SIO MBAYUWAYU KAMA ULIVYOTUTAKA WANANCHI WOTE TUWE MBAYUWAYU


    2. #2
      bushman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,502
      Rep Power : 738
      Likes Received
      336
      Likes Given
      84

      Default Ni kweli kabisa Rais Jakaya Mrisho Kikwete sio mbayuwayu

      it is all happening between Ruvuma and Whitehouse Magogoni dsm,nimefuatilia toka anasema kauli ile kule mbinga mkoani Ruvuma nikagundua alilokuwa anataka kuliongea ni la msingi lakini vifuatavyo hakuvizingatia;

      1.Mukatadha
      2.Hadhira
      3.Muda

      Nakama mkuu wa kaya anapoalikwa ktk hafla yyte ile kusema kitu,unatakiwa kuzingatia suala la MUKTADHA (mazingira) ktka ktka mazingira kama yale ambayo yalikuwa yakuwekwa wakfu Askofu John Ndimbo wa jimbo la mbinga huwezi kutoa kauli kama ile kwa viongozi wa dini ambao wanafuasi wengi na wanajihusisha na ujenzi wa roho za watu ni mbaya hasa ikikumbukwa miezi mitano iliyopita yeye mwenyewe wakati akizindua bunge la kumi alisema uchaguzi wa mwaka 2010 umeacha makovu makubwa ya UDINI kwa kauli ile iliyoitoa mbinga kila mtu aliiweza kuitafsiri kutokana jinsi anavyofahamu UDHAIFU mkubwa wa raisi wa nchi.

      HADHIRA,alikuwa anaongea na maaskofu wa kanisa katoliki na maskofu waalikwa kutoka makanisa mengine ya wakristu hivyo basi kama kweli alikuwa anakusudia kusema anahitaji ushirikiano kutoka kwa viongozi wa dini ju ya vita vya dawa za kulevya vingozi wa dini kutoka dini zote walitakiwa wawepo katika hadhira ile lakini alipoongea kauli ile maaskofu kwa kuangalia muktdha na hadhira wakajua nia yake ni kuwapaka matope,na hata walipokuwa wanampa masaa 48 awataje wahusika walisema "kama kuna mchungaji anajihusisha na dawa za kulevya atajwe na achukuliwe hatua za kisheria kwa sababu hafai" Ikumbukwe kuwa kuwa kikwete huyu huyu alisema anawajua wauza unga wote kwa majina kama anawajua sheria za nchi zinasemaje?

      MUDA,haukuwa wakati muafaka kuongea kitu kama hicho,kwa kutozingatia vitu hivyo vitatu ndio kumepelekea mvutano huo kati ya Raisi na maaskofu kwa sababu tukio lile halikuhusisha viongozi wote wote wa dini,anapojitokeza Sheikh kuisadia ikulu kutoa majibu kuwa kikwete aliwaonya viongozi wote wa dini alizingatia muktadha,hadhira na wakati alipokuwa anatoa kauli hiyo?

      ANGALIZO;
      1.Kikwete unatuharibia nchi yanayotokea nchi kama Nigeria visa kati ya dini mbili kubwa yanaweza kutokea pia Tanzania kwa sababu tasisi ya uraisi inatumika kuwagawa wananchi na si kuwaunganisha
      2.Kama wauza unga kikwete anawafahamu kwa nini asitumie sheria za nchi kuwawajibisha?
      3.Ulipohudhuria tamasha la pasaka mwaka huu ulisema Tanzania hakuna UDINI kauli ambayo inapingana wakati unazindua bunge la kumi kuwa inchi yetu iko hatarini kutumbukia katika UDINI je umelimalizaje tatizo hilo kwa muda wa miezi mitano?
      5.Hivi ikulu ya awamu ya nne haina washauri na waandaa hotuba ambao wanaweza kutambua KIPI KISEMWE WAPI?WAKATI GANI? KWA WATU GANI?

      HAKIKA KATIKA HILI WASHAURI WAKO WAMEKUPOTOSHA,LAKINI AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO UKASHINDWA KUCHANGANYA NA ZAKO KWA HIYO WEWE PIA SIO MBAYUWAYU KAMA ULIVYOTUTAKA WANANCHI WOTE TUWE MBAYUWAYU

    3. #3
      WISDOM SEEDS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2011
      Location : Sweden
      Posts : 609
      Rep Power : 529
      Likes Received
      113
      Likes Given
      66

      Default Re: Ni kweli kabisa rais jakaya mrisho kikwete sio mbayuwayu

      Anatafuta huruma kwa kuwa ni haohao waliompigia debe kuwa ni 'chaguo la Mungu'.

    4. MPG is offline
      MPG
      #4
      MPG's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2011
      Posts : 483
      Rep Power : 506
      Likes Received
      51
      Likes Given
      4

      Default Re: Ni kweli kabisa rais jakaya kmrisho kikwete sio mbayuwayu

      Huyu rais wa CCM msameheni tu anasifa ya kukurupuka na kulopoka,ana fikra mgando

    5. #5
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,583
      Rep Power : 786
      Likes Received
      416
      Likes Given
      487

      Default Re: Ni kweli kabisa rais jakaya mrisho kikwete sio mbayuwayu

      Quote By bushman View Post
      it is all happening between Ruvuma and Whitehouse Magogoni dsm,nimefuatilia toka anasema kauli ile kule mbinga mkoani Ruvuma nikagundua alilokuwa anataka kuliongea ni la msingi lakini vifuatavyo hakuvizingatia;
      ......
      ......
      .....

      ANGALIZO;
      1.Kikwete unatuharibia nchi yanayotokea nchi kama Nigeria visa kati ya dini mbili kubwa yanaweza kutokea pia Tanzania kwa sababu tasisi ya uraisi inatumika kuwagawa wananchi na si kuwaunganisha
      2.Kama wauza unga kikwete anawafahamu kwa nini asitumie sheria za nchi kuwawajibisha?
      3.Ulipohudhuria tamasha la pasaka mwaka huu ulisema Tanzania hakuna UDINI kauli ambayo inapingana wakati unazindua bunge la kumi kuwa inchi yetu iko hatarini kutumbukia katika UDINI je umelimalizaje tatizo hilo kwa muda wa miezi mitano?
      5.Hivi ikulu ya awamu ya nne haina washauri na waandaa hotuba ambao wanaweza kutambua KIPI KISEMWE WAPI?WAKATI GANI? KWA WATU GANI?

      HAKIKA KATIKA HILI WASHAURI WAKO WAMEKUPOTOSHA,LAKINI AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO UKASHINDWA KUCHANGANYA NA ZAKO KWA HIYO WEWE PIA SIO MBAYUWAYU KAMA ULIVYOTUTAKA WANANCHI WOTE TUWE MBAYUWAYU
      nasikia huwa wanamuandalia kabisa na kufanya rehearsal saa nyingine lakini akienda public anayasahau. Pia juu ya hilo ndiyo maana wanadai eti wakati anatembelea wizara, waziri anasoma taarifa yeye inabidi ainterupt kabla hajasahau endapo angelimuacha akamalizi taarifa.
      ...au labda ni makusudi maana kila binadamu ana style yake ya kupresent


    6. #6
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 11,262
      Rep Power : 2670
      Likes Received
      722
      Likes Given
      1639

      Default Re: Ni kweli kabisa rais jakaya mrisho kikwete sio mbayuwayu

      Quote By WISDOM SEEDS View Post
      Anatafuta huruma kwa kuwa ni haohao waliompigia debe kuwa ni 'chaguo la Mungu'.
      Kigeugeu na hana msimamo.

    7. #7
      mkulimamwema's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th April 2011
      Posts : 154
      Rep Power : 444
      Likes Received
      18
      Likes Given
      2

      Default Re: Ni kweli kabisa rais jakaya kmrisho kikwete sio mbayuwayu

      Kazi ya ikulu hiyo mwaka huu tutasikia mengi,tuwasubiri maasikofu watasema nini baada ya hayo masaa 48

    8. #8
      Mwambao's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 22
      Rep Power : 419
      Likes Received
      5
      Likes Given
      3

      Default Re: Ni kweli kabisa Rais Jakaya Mrisho Kikwete sio mbayuwayu

      ndio wauza unga hata mukinuna huo ndio ukweli haina haja ya kuchaguwa mahali pa kusemea maadamu mulimualika wenyewe na alikuja kama kiongozi wa nchi na kasema kama kiongozi wa nchi,hakuna fitna hapo kasema ukweli,angelikuwa na waisilamu angeliwaambia jamani eee jengeni mashule na hospitali na vyuo, ila maadamu nyie hivyo munavyo basi kawaambia muache kuuza unga, pres yuko sahihi sana

    9. Obe is online now
      Obe
      #9
      Obe's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st December 2007
      Posts : 1,425
      Rep Power : 921
      Likes Received
      329
      Likes Given
      186

      Default Re: Ni kweli kabisa Rais Jakaya Mrisho Kikwete sio mbayuwayu

      Quote By Mwambao View Post
      ndio wauza unga hata mukinuna huo ndio ukweli haina haja ya kuchaguwa mahali pa kusemea maadamu mulimualika wenyewe na alikuja kama kiongozi wa nchi na kasema kama kiongozi wa nchi,hakuna fitna hapo kasema ukweli,angelikuwa na waisilamu angeliwaambia jamani eee jengeni mashule na hospitali na vyuo, ila maadamu nyie hivyo munavyo basi kawaambia muache kuuza unga, pres yuko sahihi sana
      Mufti Simba kawambia mkasome, vp ushajiandikisha gumbaru, akili zako kama umepakatwa na ustadhi ubwabwa
      Masanilo likes this.

    10. #10
      meddie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 315
      Rep Power : 506
      Likes Received
      57
      Likes Given
      1

      Default Re: Ni kweli kabisa Rais Jakaya Mrisho Kikwete sio mbayuwayu

      baada ya kupewa kikombe na kuanza kujisikia vizuri sasa kawageuka!!!!!!!

    Similar Topics

    1. Ushauri kwa Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete
      By Joblube in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 22nd September 2011, 14:33
    2. Wakenya wauthamini mchango wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete
      By Teroburu in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 4
      Last Post: 29th August 2011, 17:13
    3. Pongezi Kwa Mh Rais Jakaya Mrisho Kikwete
      By Mtaalam in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 13
      Last Post: 4th February 2008, 22:20

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...